Kutana na TUMAINI, MSHINDI WA GREEN CARD LOTTERY wa mwaka huu toka TANZANIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • Tumaini aliomba Green Card Lottery mwaka jana kupitia kituo cha EBM SCHOLARS. Sasahivi anasubiria kufanya interview yake na kuja Marekani kuanza maisha mapya kama mkazi wa kudumu, PERMANENT RESIDENT (GREEN CARD HOLDER)

ความคิดเห็น • 65

  • @angelalyaruu7196
    @angelalyaruu7196 4 หลายเดือนก่อน +1

    ❤ am so happy of you dogo.. Yaani words cant express how much am exhited for u.. nangoja yangu pia.. tutakutana Marekani dear❤😂

    • @tumainimachange694
      @tumainimachange694 4 หลายเดือนก่อน +1

      Thank you Angie 🎉

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 2 วันที่ผ่านมา

      Unaweza ukawa mshindi ila ukaja kudundishwa kwenye interview ya Visa

  • @annahmukai7775
    @annahmukai7775 10 หลายเดือนก่อน +2

    Wow dada nimekupenda

  • @user-kf5ln5gs2f
    @user-kf5ln5gs2f 10 หลายเดือนก่อน +2

    safi sana dada umeuliza maswali mazuri sana mungu akutangulie.see it in america for the first time

  • @NasriAbdi-hs9hm
    @NasriAbdi-hs9hm 6 หลายเดือนก่อน +2

    Bidada ashasahau km yuko na mume masihara nn lazima umkatae

  • @annahmukai7775
    @annahmukai7775 9 หลายเดือนก่อน +1

    Dada Tumaini pokea salama zangu,nimpenda maswali mpaka nimelewe kabisa,nikifika America wewe ndiyo utakuwa host wangu niko 🇰🇪🙏

  • @annatemu4488
    @annatemu4488 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana Tumaini

  • @tumaininyambita5002
    @tumaininyambita5002 10 หลายเดือนก่อน +1

    All the best wajina

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 10 หลายเดือนก่อน +1

    My dear KABIDHI KWA MUNGU MAANA WABONGO HEEEEEEE ,IFUNIKE KWA DAMU YA YESU

  • @muhammedjuma8966
    @muhammedjuma8966 5 หลายเดือนก่อน

    Ebm tunashikuru sana kw kutuelimisha na mm ni mmoja wapo nimeomba shukran sana kutuhamasisha

  • @YasminaMkali
    @YasminaMkali 9 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah! Karibu sana ndugu. Mwenyezi Mungu akusimamie wewe na Familia yako nzima. ❤❤❤

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 10 หลายเดือนก่อน +1

    Asandi dada swami lako limenisaidia sana❤❤❤ kweli hauna kujibenda mungu akutangulie mpele akulinde uwe na kipali Siku zote za maisha yako

  • @matevamusa2212
    @matevamusa2212 10 หลายเดือนก่อน +1

    Proud ebm tz🎉🎉

  • @katieabraham2013
    @katieabraham2013 10 หลายเดือนก่อน

    this is very good, tunao apply mwaka huu please tumtangulize MUNGU

  • @gracekirway8720
    @gracekirway8720 10 หลายเดือนก่อน +2

    Fomu zinapatikana wapi jamani maana wengine hatuko Dar es salam

  • @anastazia3014
    @anastazia3014 10 หลายเดือนก่อน +2

    Njamani siuelewi huu mchezo nifundisheni

    • @mackjr5291
      @mackjr5291 10 หลายเดือนก่อน

      Mcheck EBM mtu poa sana yaani simple atakueleza na kujitosheleza

  • @claudeniyondiko5460
    @claudeniyondiko5460 10 หลายเดือนก่อน

    Daaah jameni raha Huku kwa EBM

  • @njuka3515
    @njuka3515 10 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 10 หลายเดือนก่อน

    Hii kali kamati roho sijawahi kusikia inapatikana wapi sjui msije huko huko mashetani kamati roho mbaya

  • @annatemu4488
    @annatemu4488 10 หลายเดือนก่อน

    Daah nimeioenda hiyo On Behalf of the People of UNITED STATES OF AMERICA 😂😂😂👏👏👏

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 10 หลายเดือนก่อน +1

    Lip stick jmn

  • @DizzoclassicSoundstz
    @DizzoclassicSoundstz 10 หลายเดือนก่อน

    Kaka mm naitaji kuomba sana ni bei gani kwako nina watoto wawili na mke nafanyeje jibu hata sms messages

  • @claudeniyondiko5460
    @claudeniyondiko5460 10 หลายเดือนก่อน

    Mkuuu zidi kutuelimisha uyu mwaka nime apply tena nategemea kupata majibu mzuri kutoka kwa green card

  • @Wesley-AK
    @Wesley-AK 10 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @Abdul-zx9vn
    @Abdul-zx9vn 9 หลายเดือนก่อน

    Je inahitajika elimu gani

  • @DizzoclassicSoundstz
    @DizzoclassicSoundstz 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mbona siwaelewi kweni uyu kacheza tarehe iyo 24/10/2023 leo ni tarehe ngapi jamani

    • @Thyme938
      @Thyme938 10 หลายเดือนก่อน +1

      Aliomba mwaka Jana! Ila mwaka wa USA huanza October, so Green card ya mwaka Jana iliitwa ya mwaka 2023, means japo aliomba mwaka Jana lkn majibu ni 2023, na Interview yake ni 2023!! So wanaoomba mwaka huu, wanaomba Green card ya msimu wa 2024, japo wameomba 2023!
      Clear?

    • @Thyme938
      @Thyme938 10 หลายเดือนก่อน +1

      I mean mwaka wa USA wa kiserikali huanza OCTOBER.

    • @DizzoclassicSoundstz
      @DizzoclassicSoundstz 10 หลายเดือนก่อน +1

      @@Thyme938 thanks ww umecheza nisaidie na mm nicheze naona niko New York

    • @Thyme938
      @Thyme938 10 หลายเดือนก่อน

      @@DizzoclassicSoundstz sio Tatizo, wasiliana na EBM atakusaidia.

    • @DizzoclassicSoundstz
      @DizzoclassicSoundstz 10 หลายเดือนก่อน

      @@Thyme938 ajibu sms messages wala asomi EBM nimemtafuta sana

  • @DizzoclassicSoundstz
    @DizzoclassicSoundstz 10 หลายเดือนก่อน

    Nisaidie na mm nicheze naona siku zinaenda mbio ebm,nafula na wengine uko nisaidie kujaza wakuu

  • @Abdul-zx9vn
    @Abdul-zx9vn 9 หลายเดือนก่อน

    Je inahitajika elimu gani?

  • @dainafranck8718
    @dainafranck8718 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka naomba kujua dar unakuja lini na utakuwa hoteli gani natamani sana na mimi kujaribu kucheza hiyo green card ila sijui nianzie wapi?

    • @Thyme938
      @Thyme938 10 หลายเดือนก่อน

      Mbona ashakuja na ofisi yake IPO wazi!

  • @njuka3515
    @njuka3515 10 หลายเดือนก่อน

    Kimberly wewe ni Muha !!!! Ndio maana uko hivyo😅😅

  • @Jesusisaking1
    @Jesusisaking1 10 หลายเดือนก่อน +1

    Bro EBM, vipi kuhusu passport,ni lazima uwe nayo kwa usajili wa kwanza?

    • @Thyme938
      @Thyme938 10 หลายเดือนก่อน

      Hapana! Ku apply ni free, bla passport, ila ukishashinda itabidi utafute.

    • @bonifacekataga3308
      @bonifacekataga3308 9 หลายเดือนก่อน

      Kuomba ni free

  • @user-cd2np5by6g
    @user-cd2np5by6g 10 หลายเดือนก่อน

    Ijumaaa hii ndio naenda kwa EBM nishafanya mazungumzo nae

  • @mafrikanws
    @mafrikanws 10 หลายเดือนก่อน

    Dada ananza kuiyona marekani

  • @user-lz5tb3vt4f
    @user-lz5tb3vt4f 10 หลายเดือนก่อน

    Nyie mnao apply mjipange kifedha ikitokea mmeshinda

    • @shila9887
      @shila9887 10 หลายเดือนก่อน

      He he he ,mkuu embu tudokeze makadilio kama kiasi gani hvi?

    • @michaelnyandindi8461
      @michaelnyandindi8461 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@shila9887visa dollar 330
      Medical kama dollar 400 ila in depend
      Nauli

  • @DizzoclassicSoundstz
    @DizzoclassicSoundstz 10 หลายเดือนก่อน +1

    Leo ni tarehe 20/10/2023 yy tayari kashinda sijaelewa nisaidieni jamani

  • @mafrikanws
    @mafrikanws 10 หลายเดือนก่อน

    NAKAMA INAWEZEKANA KUFANYIA INTERVIEW KWENE INCHI YOTE ILE KUNAITAJI NINI ILI WAKUBALI UFANYI INCHI NYINGINE

  • @mafrikanws
    @mafrikanws 10 หลายเดือนก่อน +2

    JE KAKA EBM MTU AKIFANYIKIWA KUSHINDA GREEN CARD ANAWEZA FANYIA INTERVIEW YAKE KWENE UBALOZI WOTE ULE DUNIANI

  • @user-zm3cx8er5o
    @user-zm3cx8er5o 10 หลายเดือนก่อน

    Ebm shida yenu hamjibu comments.

  • @user-lz5tb3vt4f
    @user-lz5tb3vt4f 10 หลายเดือนก่อน

    Je nikiwa sina ndugu yoyote huko USA wa kunipokea inakuaje hapo

    • @Thyme938
      @Thyme938 10 หลายเดือนก่อน +2

      Shinda kwanza, kupata host sio tatizo, ata ukimuona Ibrahim, atakusaidia.

    • @user-lz5tb3vt4f
      @user-lz5tb3vt4f 10 หลายเดือนก่อน

      @@Thyme938 nipe namba yake huyo

    • @user-lz5tb3vt4f
      @user-lz5tb3vt4f 10 หลายเดือนก่อน

      @@Thyme938 nipe na namba yako pia

    • @devidjav3583
      @devidjav3583 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@Thyme938Ibrahim ndio nani? Host wapo lakini sio rahisi kupata bro wengi wanakosa zile form za affidavit of support from the host so their process does not go well

  • @annatemu4488
    @annatemu4488 10 หลายเดือนก่อน

    EBM tunaomba uzungumzie pia mfumo wa matibabu kama wewe ni mshindi inakuaje? Kuhusu elimu kwa watoto ulituambia ni Bure, je kuhusu matibabu?

  • @mafrikanws
    @mafrikanws 10 หลายเดือนก่อน

    MTU AMBAYE AMEJAZA GREEN CARD ILA UNAKUJA GUNDUWA KUWA UMEFANYA KOSA LA KUTIA JINA LA PILI KWENE JINA LA TATU JE AKISHINDA KWENE D260 ANAWEZA KUBADIRI NA KUWEKA VIZURI

    • @jessemwakyusa8913
      @jessemwakyusa8913 10 หลายเดือนก่อน +1

      yes jina halina impact kama umeyapishanisha, kwenye ds260 utarekebisha.

    • @mafrikanws
      @mafrikanws 10 หลายเดือนก่อน

      @@jessemwakyusa8913 Asante Sana ndugu je piya nilitaka kujuwa mtu AKISHINDA anaweza fanya interview na embassy ya inchi yoyote Ile afrika tafautu na inchi yake

    • @joycemhana2018
      @joycemhana2018 10 หลายเดือนก่อน +1

      Jina sio tatizo na baadae akishinda atajaza kiusahihi