Asante sana mpendwa wetu dr slaa kwa kumweleza huyu kibaraka wa kiongozi wetu anafikiria kufanya hivo ataweza kulinda masilahi yake binafsi naamini amekusikia
Maua yako Dr. Slaa Mungu akuongezee miaka ya kuishi. You will be in the best example and good history in Tanganyika. You will be remembered with many the wonderful legacy you will leave. Wewe Kinana na wenzako mtafanya hata CCM kupotea na kutaka isisike ikiongelewa kwa sababu kuwa watu kama ninyi.
Asante sana dr Slaa kwa kumpa makavu huyu kibabaraka wa CCM anayetumika vibaya na CCM pamoja na uzee wake wote watanzania wa sasa tuko makini sana huwezi kutudanganya hovyo mmechanganyikiwa na hiyo CCM yenu ambayo inakataa katiba mpya bila kufikiria kesho iliyo bora kwa taifa letu na watoto wenu na vijukuu vyenu mmejisahau nakifikiri mta dumu milele
asante sana Dr silaa saaita tukaze mikanda kupambana na serekali dhalimu ya CCM ya Samia na kinana na kikwete atumtaki akae mbali na chadema asituambie porojo za Samia tunataka utawala wa mikoa ARUShA mbona tuletewe mkuuu wa mkoa wananchi tunataka tupewe mashamba ❤
Watanganyika tutarudisha siku moja kila walichoiba na kila walicho uza. Ukifika majengo ya Urafiki mzalendo mtanganyika utatotoa machozi. Ninyi wakina Kinana na Wakina aina na Nape wasiyo jitambua ninyi mnataka kujitaburisha ya kujitajirisha mnadhani mtatawala Watanganyika kwa sababu ya kuiba mali zote za Tanganyika. Mkisimama kuongea mbaongea kana kwamba miungu. Watu kama wakina Kinana wao wanaangalia kuiba mali hizi za Tanganyika na ndiyo legacy utakayoiacha Tanganyika na kukumbukwa kwa jinsi mlivyoibia Inchi is this the legacy you want to leave in Tanganyika?
Mimi ni ccm kadi yangu nilichukulia tawi la ukonga magereza..lakini maneno ya katiba ni la zima kwa sababu pension zetu wazee wote hazijawahi ongezwa tokea mwaka1994 hadi leo ndiyo maana tunaunga mkono maandamano sipo peke yangu ni wasitafu wote pamoja na polisi waliyo sitafu nawo wanashida kifetha kama mimi.
Kinana meli yake ilikamatwa na meno ya tembo hivyo CCM ndy inatoa katiba yy nimungu wa nchi maisha magumu yy haya mugus maumivu hayajui analalia fedha anakula fedha hajawahi kulala njaa kutembea kwa miguu hajui hata duka la dawa chawa huyo
Wakati wa 2015 to 2020 kulikuwa hakuna katiba kuhusu mikutano mbona hamkuandama so kwenye katiba mnayo itaka mpya neno la mikutano ya mihadhara itafutwa ama itaboreshwa
Kinana and the rest of them under the CCM banner ni wachumia matumbo, they operate under the principle of "the end justifies the means" hata kama ni kuuwa watu ili kuwanyamazisha au kuwatisha walio wengi.
Katiba mpya ni sasa, wananchi tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, Kinana na kelele zake za upotoshaji zitafika mwisho kwenye sanduku la kura.
Tunawashukuru Sana mnaotuongelea watanzania. Kiukweli tinaumia Sana. Sana msione hatusemi. 😭😭😭 Na kama Rais Tena tunaambiwa unakuwa na Rais kivuli. Kwakweli hamtutendei haki.
Nasikia kichefuchefu kusikia jina la huyo mzee wa ccm. Ni CD iliyo kwaruzika na kuoza. Hajasafisha jina lake wao na Makamba Yusufu wanajitutumua hawajitambui hawaoni hawasikii ni vipofu na viziwi MUNGU atatumia wananchi wawahukumu muda c mrefu watajificha
Kama ni kuiba hajachoka kuiba? Wataiibia hii Inchi mpaka lini? Wewe Kinana ni nani? Hata ukiendelea kuuza siku moja uatashindwa kwanza Mungu ameisha kukulaani unazeeka ovyo.
Safi mwehu tu huyo anafikiri hatumjui aende kuleee mbona alimkataa magufuli hadharani akasema amechoka kufanya kazi anataka afanye kazi na majambazi wenzake ndo anaona raha
Waliopiga makofi ni mkusanyiko wa wachache na sio wananchi wote, Ili kusudi waamini maneno yake ya propaganda! Hawa ndio wanaotupumbaza na kutuondoa kwenye misimamo yetu wananchi kusudi wajitengenezee njia tuwape ridhaa,waendelee kutufanya watumwa!! Wananchi tunaojitambua tusikubaliane na hotuba zao,kauli mbiu zao,wala ahadi zozote ni uongo wa kisiasa tu...
Babu umefiska kiakili umefilisika kifedha Rais Samia hatokuita hata siku Moja kuchukiwa bahasha hata unachokisema hakieleweki . Rudi kanisani ukahubiri dini .
Nyie wanasiasa tumechoka na nyie sasa... Inch inakabiliwa na majanga kibao wala hatuelewi nini cha kufanya. Na nyie mnatupigia kelele tu. Badara serikal viongozi mkae mjadiri njia za kutatua majanga yanayo ;ikaBIRI inch.
Pupets kama malaya kama chama upinzani unateuliwa na chama tawala unafki,siasa ya kwetu tunaijua cuf mlisema chama cha waislam wanafki ,raia wanataka mapinduzi ila bado hatutaki siasa za ukabila udini sasa hv kuna utajiri na umarufu,utawala wa manyani ndio mana tumetoka utumwa wa mabavu tunaenda utumwa wa akili..
Hebu tuambie ulipoteuliwa balozi Katiba ilikuwa nzuri hadi pale ulipotengiliwa ikaanza kuwa mbaya 😅😅😅. Acha kupiga kelele za njaa, nenda ikulu kaombe kibarua ya kuganaga njaa, kama ulivyofanya, ukapewa ubalozi
Hv ukimsikiliza unaona ni njaa inamsumbua hakuna anachotetea? Hakuna kwa akili zaa namna hii tutaendelea kurudi nyumba kimaendeleo kweli huoni athari ya kuuzwa kwa rasilimali za Taifa? Haya mswala hayahitaji shule ni kiwango chako Cha kufikiria vinginevyo uwe umeathirika akili
@@madaiincubationcenter4947 anayeona mapya anayozungumza akili zimedumaa kabs. Katiba, bandari, maandamano yote yanafanyiwa kazi kipi kipya hapo kama c udumavu akili?
Kama ni kweli bandari katiba na maandamano vinafanyiwa kazi, unadhani ni kwa kwasababu ya Watanzania makondoo au kwasababu ya watanzania wanaojitambua wanao piga kelele?
@@bahatikamihanda3689 kama huna taarifa bandari tayari maboresho yamefanyika na uwekezaji imeanza subiri neema. Maandamano yameruhusiwa wameshandamano mpaka office ya umoja wa mataifa na mikoa kadhaa hapa nchini hakuna cha maana, wamesusiwa mfano Manyara na mwanza, wananchi wameangalia na kuendelea na shughuli muhimu kw maisha Yao, badala ya porojo za kimaslahi ya kisiasa, Katiba tunayo kikosi Kaz inayohusisha vyama vyote, mapendekezo Yao yamepokelewa n yanafanyiwa Kaz kwa taratibu za kisheria, kanuni za nchi. Kipya Kiko wapi hapo? Wewe kutojua hayo haimanishi wananchi wote hatujui kama wewe, watu wako makini sana na wachambuzi wazuri, wenye kumbukumbu safi.
Waliompigia makofi kinana ni wale masikini,watu njaa,wasio na akili,chawa wanaoitwa wajumbe ccm kutoka kwenye wilaya ambao ukienda kwao wanamaisha magumu,wajinga wenzake
WEWE MWENYEWE MPOTOSHAJI NA NDUMILA KUWILI ...YAANI WEWE UNASHINDWA KUONGOZA TAASISI NDOGO KABISA KAMA KANISA KISHA UNATAMANI KUIONGOZA NCHI??? HUNA LOLOTE NI NJAAA TU..M
Atakuwa ameshawaelimisha wengi LAKINI kwa sababu katiba mpya ina manufaa mapana sana sana kuliko unavyodhani wewe hujazunguka Tanzania uone wananchi wanavyomiliki ardhi ndogo tena kwa mashaka na uone wageni walivyo na ardhi kubwa wamezungushia wire za umeme na sehemu kubwa hawaitumii
Asante sana mpendwa wetu dr slaa kwa kumweleza huyu kibaraka wa kiongozi wetu anafikiria kufanya hivo ataweza kulinda masilahi yake binafsi naamini amekusikia
Mzee upo vizuri na mbona alijiuzulu wakati wa magufuli
Tunataka vita kabisa sio maanadamano waache usenge hao
Maua yako Dr. Slaa Mungu akuongezee miaka ya kuishi. You will be in the best example and good history in Tanganyika. You will be remembered with many the wonderful legacy you will leave. Wewe Kinana na wenzako mtafanya hata CCM kupotea na kutaka isisike ikiongelewa kwa sababu kuwa watu kama ninyi.
asanteni sana wanaemchuki Dr silaa ninyi wachache sana amtafika 10 tunaemuunga mkono sisi ni wengi sana
Kweli kabisa Baba, aliyozungumza Kinana ni propaganda tuu.
Hongera sana
Asante sana dr Slaa kwa kumpa makavu huyu kibabaraka wa CCM anayetumika vibaya na CCM pamoja na uzee wake wote watanzania wa sasa tuko makini sana huwezi kutudanganya hovyo mmechanganyikiwa na hiyo CCM yenu ambayo inakataa katiba mpya bila kufikiria kesho iliyo bora kwa taifa letu na watoto wenu na vijukuu vyenu mmejisahau nakifikiri mta dumu milele
Hongera saaana mzee
Mungu akubariki sana Balozi
Upo sahihi yule Mzee kinana aliumizwa na magufuri lkn hajifunzi tu Atatokea Magufuri mwingine amuumize kwa katiba hii hii shenzi
asante sana Dr silaa saaita tukaze mikanda kupambana na serekali dhalimu ya CCM ya Samia na kinana na kikwete atumtaki akae mbali na chadema asituambie porojo za Samia tunataka utawala wa mikoa ARUShA mbona tuletewe mkuuu wa mkoa wananchi tunataka tupewe mashamba ❤
Mzee mnafiki sana wewe wakati umepewa ubarozi na magufuli hukukataa ukaufyata
Ubalozi na hayo anayoongea vinahusianaje?
Watanganyika tutarudisha siku moja kila walichoiba na kila walicho uza. Ukifika majengo ya Urafiki mzalendo mtanganyika utatotoa machozi. Ninyi wakina Kinana na Wakina aina na Nape wasiyo jitambua ninyi mnataka kujitaburisha ya kujitajirisha mnadhani mtatawala Watanganyika kwa sababu ya kuiba mali zote za Tanganyika. Mkisimama kuongea mbaongea kana kwamba miungu. Watu kama wakina Kinana wao wanaangalia kuiba mali hizi za Tanganyika na ndiyo legacy utakayoiacha Tanganyika na kukumbukwa kwa jinsi mlivyoibia Inchi is this the legacy you want to leave in Tanganyika?
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 big point ipo itafika
Katibq ni haki ya Watanzania wote wanataka siyo Vyama vya upinzani tu tu hata wana ccm wenyewe wanaokataa ni majizi
Mambo huwa yanageuka mliko nyinyi usije ukaona tunabadilishana mliko tukawa sisi tuliko sisi mkawa nyinyi kama unamwamini mungu.
.
Usiseme mali za Tanzania sema mali za Tanganyika hapo Zanzibar haihusiki
Huyu ndiye Dr Slaa
Mimi ni ccm kadi yangu nilichukulia tawi la ukonga magereza..lakini maneno ya katiba ni la zima kwa sababu pension zetu wazee wote hazijawahi ongezwa tokea mwaka1994 hadi leo ndiyo maana tunaunga mkono maandamano sipo peke yangu ni wasitafu wote pamoja na polisi waliyo sitafu nawo wanashida kifetha kama mimi.
Katiba mpya ndio dawa pekee!
Katiba. Ndio mwokozi. Was kilakitu
dawa ya nini
Kwa shida na matatizo yote inchin
@@justinnoah4590wewe ni hamnazo, punguwani au chawa?
TANGANYIKA yetu tunaitaka.
Kinana meli yake ilikamatwa na meno ya tembo hivyo CCM ndy inatoa katiba yy nimungu wa nchi maisha magumu yy haya mugus maumivu hayajui analalia fedha anakula fedha hajawahi kulala njaa kutembea kwa miguu hajui hata duka la dawa chawa huyo
Unasikia kichefuchefu kusikia sauti ya Slaa wewe mwenyewe matapishi tu
Katiba mpy nisasa
Wakati wa 2015 to 2020 kulikuwa hakuna katiba kuhusu mikutano mbona hamkuandama so kwenye katiba mnayo itaka mpya neno la mikutano ya mihadhara itafutwa ama itaboreshwa
Katiba mpya si ya Silaa wala mbowe hata wewe inakuhusu
Kinana and the rest of them under the CCM banner ni wachumia matumbo, they operate under the principle of "the end justifies the means" hata kama ni kuuwa watu ili kuwanyamazisha au kuwatisha walio wengi.
Kinana ni mjinga nizeee ambalo halijitambui sawa na lizeee Lile la bunda
Katiba mpya ni sasa, wananchi tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, Kinana na kelele zake za upotoshaji zitafika mwisho kwenye sanduku la kura.
Allymusilaa elimu kisiyasa huwezi kuchalenji dr
Tunawashukuru Sana mnaotuongelea watanzania. Kiukweli tinaumia Sana. Sana msione hatusemi. 😭😭😭 Na kama Rais Tena tunaambiwa unakuwa na Rais kivuli. Kwakweli hamtutendei haki.
kwanini unasema SISI watanzania? aliekutuma useme kwa niaba ya Watanzania wote nani? sema "mimi na wenzangu tuseama,......"
Wewe mwenyewe ni muongo lisu amesema kuwa umehongwa na magufuli kwa hio wewe ni mnafiki tu
Vipande hivyo vya maneno kinana anavisikiaaa.atusaidiye wezi wa pembe za ndovo wakamatwe.
Mzee Slaa jibu hoja
Hoja gani ajibu ?
Jibu wewe hoja😂
Shida ni kukaririshwa, hoja ipi unamtaka ajibu zaidi ya anachoongea? Ebu tuorodheshee hizo hoja ambazo unahitaji zijibiwe!
Jugs kama juha wewengine lipid ambacho binaries loosens Silaa?
Huyu mwamba nika kocha wa siasa namkubali sana
kinana mbona wakati wa magufuri ulijiuzuru
Hata Mimi nastaajabu,wanaccm watesi wa jpm Leo mhuuuu
Huyu kinana ni jangili la rasilimali zetu
Kwani katiba au uchaguzi ni wako? Wala huwezi kupeleka jambo kwakua sliaa au chadema kwani ccm sio watanzania acha unafiki
Katiba mpya ni Sasa bila hivyo tutauzwa bila kuoji Chochote
Nasikia kichefuchefu kusikia jina la huyo mzee wa ccm. Ni CD iliyo kwaruzika na kuoza. Hajasafisha jina lake wao na Makamba Yusufu wanajitutumua hawajitambui hawaoni hawasikii ni vipofu na viziwi MUNGU atatumia wananchi wawahukumu muda c mrefu watajificha
Wa Tanganyika!!
Hili zee lina angalia tumbo lake tuu. Haifai kuwa kiongozi, aliwatosa wenzake kwa kurubuniwa balozi. Huna maana yoyote kesho ukipewa fupa unageuka
Wewe slaa huna heri unatumia vibaya uhai wako
Muulize huyo kinana yale meno ya tembo alitoa kwenye nchi gani kama sio rasilimali zetu anajaza tumbo , yeye ni maviii tuuu
Pumbavu zako ujinga ume kupanda kichwani
Mawazo mazuri MUNGU ambariki do slaa.
Zilongwa mbali zitendwa mbali,aibu aibu aibu twendeni na amani sio haki
Umeshakubali ujingaa wa kuzidi kumpaisha Kinana 😂
Wambiye ukweri mzee wabusara
Doctor slaa ulikua wap vitu hivi ukiwa balozi huko canada mbn watu huwa tunakua wanafk sis huku hatukutk
Kila wakati Kuna nyakati zake.tumuache slaa atuelimishe.kwenda ccm sio jinai,kukaa ccm ndio laana.
Kwani wakati akiwa balozi bandari na misitu na KIA iliuzwa???????
Huyu kinana hajuwi kuwa tunashindwa kumshitaki raisi Kwa sababu ya katiba
Kwanza wewe Mzee unatakiwa utuambie vizuri mana ulisema chadema ni watekaji
Jibu hoja zake. Usijifanye kichaa. Hajazubgumzia Chadema.
Wewe musta ndoto za mchana media wapi amesema chadema nenda shule ili upanue uwezo wa kuelewa
Shida ni kuwa Hana sapoti walio wengi wanajali matumbo yao hebu angalia rasilimali zetu zilivyouzwa kumbe Hadi viwanja vya ndege?
Kama ni kuiba hajachoka kuiba? Wataiibia hii Inchi mpaka lini? Wewe Kinana ni nani? Hata ukiendelea kuuza siku moja uatashindwa kwanza Mungu ameisha kukulaani unazeeka ovyo.
Mbona tunaumia woote
Unafiki mtupu kipindi cha magufuli ilikuwa wapi
Wakati wa Magufuli alikuwepo lakini hakuna bandari iliuzwa. Au wewe hukuwepo? Tumiaga akili aisee. Acha kuhemka. Magufuli alikodisha bandari?
Safi mwehu tu huyo anafikiri hatumjui aende kuleee mbona alimkataa magufuli hadharani akasema amechoka kufanya kazi anataka afanye kazi na majambazi wenzake ndo anaona raha
Maneno mengi karibu na kura huyo anarudi nyumbani ndio unaaambiwa nyumba ulio izoea kuehama kazi
Natamani hawa wazee wasiiache hii Dunia kabla fikra zao hazijafanyiwa kazi.
Hata wewe unatoa kauli ya kutushirikisha kwamba watanzania wanataka ilihali sisi hujatushirisha kama mwenzio unaemjadili
Kwani CCM ndo tunaendeshwa na njaa zako? Wewe mzee kaa huko.
Mzee kaakimya ulikua unakula za ubalozi ulitulia tuli acha wakati wako umekwisha wa kupiga kelele saahizi tunakusikia ka king ,ora tu
Magufuli alilinda rasilimali zetu ulitaka ampinge
Waliopiga makofi ni mkusanyiko wa wachache na sio wananchi wote, Ili kusudi waamini maneno yake ya propaganda! Hawa ndio wanaotupumbaza na kutuondoa kwenye misimamo yetu wananchi kusudi wajitengenezee njia tuwape ridhaa,waendelee kutufanya watumwa!! Wananchi tunaojitambua tusikubaliane na hotuba zao,kauli mbiu zao,wala ahadi zozote ni uongo wa kisiasa tu...
Bora tuwe kama congo tu congo sio wajinga bana acheni usenge
Huyu mzee busala zinaenda zinaisha.
Hivi huyu Mzee Salaam Hana shughili nyingine ya kufanya. Yeye Kila kituni kubisha tu😂😂
Nina maana ya Silaa siyo salaam
Silaa anajitambua shida ipo kwako.
Twalib kwa comment yako unadhihirisha elimu na ufahamu wa kuchanganua mambo ni mdogo nakushauri utafakari usikilize hoja kabla ya kujibu
Babu umefiska kiakili umefilisika kifedha Rais Samia hatokuita hata siku Moja kuchukiwa bahasha hata unachokisema hakieleweki . Rudi kanisani ukahubiri dini .
Wilbrod Slaa ni king'ang'anizi asiye jitambua.
Anatamani arudi utotoni.
Muda wako umeisha
Kinana ni jinzi lonaloitafuna nchi hii na kinganganizi wa madaraka kwa maslahi yake jangili lishenzi
Nyie wanasiasa tumechoka na nyie sasa... Inch inakabiliwa na majanga kibao wala hatuelewi nini cha kufanya. Na nyie mnatupigia kelele tu. Badara serikal viongozi mkae mjadiri njia za kutatua majanga yanayo ;ikaBIRI inch.
Pupets kama malaya kama chama upinzani unateuliwa na chama tawala unafki,siasa ya kwetu tunaijua cuf mlisema chama cha waislam wanafki ,raia wanataka mapinduzi ila bado hatutaki siasa za ukabila udini sasa hv kuna utajiri na umarufu,utawala wa manyani ndio mana tumetoka utumwa wa mabavu tunaenda utumwa wa akili..
Unamwambia anyamaze mwananchi mwenzako, wewe vipi ndo umetupa ardhi, madini , bandari, ndo maana unazungumza, kwisha logic kbs kalee wanukuu ndugu yangu.
Hebu tuambie ulipoteuliwa balozi Katiba ilikuwa nzuri hadi pale ulipotengiliwa ikaanza kuwa mbaya 😅😅😅. Acha kupiga kelele za njaa, nenda ikulu kaombe kibarua ya kuganaga njaa, kama ulivyofanya, ukapewa ubalozi
Hv ukimsikiliza unaona ni njaa inamsumbua hakuna anachotetea? Hakuna kwa akili zaa namna hii tutaendelea kurudi nyumba kimaendeleo kweli huoni athari ya kuuzwa kwa rasilimali za Taifa? Haya mswala hayahitaji shule ni kiwango chako Cha kufikiria vinginevyo uwe umeathirika akili
@@madaiincubationcenter4947 ukipewa unaingia uvunguni kutafuna. Hana jipya unayeona kuna jipya kajicheleweshe
@@madaiincubationcenter4947 anayeona mapya anayozungumza akili zimedumaa kabs. Katiba, bandari, maandamano yote yanafanyiwa kazi kipi kipya hapo kama c udumavu akili?
Kama ni kweli bandari katiba na maandamano vinafanyiwa kazi, unadhani ni kwa kwasababu ya Watanzania makondoo au kwasababu ya watanzania wanaojitambua wanao piga kelele?
@@bahatikamihanda3689 kama huna taarifa bandari tayari maboresho yamefanyika na uwekezaji imeanza subiri neema. Maandamano yameruhusiwa wameshandamano mpaka office ya umoja wa mataifa na mikoa kadhaa hapa nchini hakuna cha maana, wamesusiwa mfano Manyara na mwanza, wananchi wameangalia na kuendelea na shughuli muhimu kw maisha Yao, badala ya porojo za kimaslahi ya kisiasa, Katiba tunayo kikosi Kaz inayohusisha vyama vyote, mapendekezo Yao yamepokelewa n yanafanyiwa Kaz kwa taratibu za kisheria, kanuni za nchi. Kipya Kiko wapi hapo? Wewe kutojua hayo haimanishi wananchi wote hatujui kama wewe, watu wako makini sana na wachambuzi wazuri, wenye kumbukumbu safi.
Waliompigia makofi kinana ni wale masikini,watu njaa,wasio na akili,chawa wanaoitwa wajumbe ccm kutoka kwenye wilaya ambao ukienda kwao wanamaisha magumu,wajinga wenzake
WEWE MWENYEWE MPOTOSHAJI NA NDUMILA KUWILI ...YAANI WEWE UNASHINDWA KUONGOZA TAASISI NDOGO KABISA KAMA KANISA KISHA UNATAMANI KUIONGOZA NCHI??? HUNA LOLOTE NI NJAAA TU..M
Ana njaa gan ?lkn nakilina Mimi ana njaa ya haki
Slaa amebarikiwa, wenye hekima pekee wanamwelewa!
😂😂😂😂😂😂
Kazaneni na Katiba, ambayo tayari mchakato wake unaendelea wananchi wameridhia isipokuwa wewe
Wewe ndio ulioridhika na sio wananchi soma comment ujitambue
😂😂😂 🙌🙌
@@MiriamAbdallah kuna tofauti ya kuridhika na kuridhia? Kama hamna wewe mwerevu.
@@zachariamalley7076 sawa wewe ndio ulioridhika usitusemee wengine sema wewe
Chadema watapigwa na kitu kizito hawakomi wanajiona wamepata mtu wamaana kumbe ana mambo nje ya pazia
Atakuwa ameshawaelimisha wengi LAKINI kwa sababu katiba mpya ina manufaa mapana sana sana kuliko unavyodhani wewe hujazunguka Tanzania uone wananchi wanavyomiliki ardhi ndogo tena kwa mashaka na uone wageni walivyo na ardhi kubwa wamezungushia wire za umeme na sehemu kubwa hawaitumii