Jyameni, kwanini msiwaalbie watu, waende ubungo kwenye KANISA UFUFUO NA UZIMA, MISUKULE ATA AWE AMEMALIZA MYAKA 6 HAONEKANI, WANAMRUDISHA KWA MAOMBI YA KIBIBILIA APANA KWA WAGANGA, MBUNGE ASKOFU DR JOSEPHAT GWAJIMA KWENYE KANISA UFUFUO NA UZIMA WANASHUGULIKA NA HAYO,
This man is real, namkubari yuko pande zote mbili, science na spiritual. UBARIKIWE SANA
Watangazaji mnaongea sana mnamkatisha mtaalam kueleza
mnaongea sana nyie wadada mpka kaka mnapoteza kuongea nyamazen mtu anapoelezea
Nyamazeni Hawa mabinti kasuku bana
Huo mziki unaimba nyuma una maana gani
Nyajufuru panya aiba mahindi🤣🤣🤣🤣
Like nyingi kwa waliovutiwa na kipindi
Tafathari tupe namba yako ya sim
Nyinyi watu wa studio mnazingua sana sasa mupo kwenye mahojiano sasa hiyo biti ya mziki ya nn
docta mkweri huyu misukure inatubaka usiku sana wanaireta wachawi
Samahani naomba kuuliza baba hasani mganga yupo kigamboni ? Kwa huyu mnaoongea nae studio wengine wakiona hivi wanaiga
mama mbilinyi🏃🏃🏃🏃🤫🤫
Hiyo bit ya nini jamani
Naomba nibip baba kwa namba hii
Biti za nn jameni hatusikii!!
Mh
Jyameni, kwanini msiwaalbie watu, waende ubungo kwenye KANISA UFUFUO NA UZIMA, MISUKULE ATA AWE AMEMALIZA MYAKA 6 HAONEKANI, WANAMRUDISHA KWA MAOMBI YA KIBIBILIA APANA KWA WAGANGA,
MBUNGE ASKOFU DR JOSEPHAT GWAJIMA KWENYE KANISA UFUFUO NA UZIMA WANASHUGULIKA NA HAYO,
Haaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!