Hapa Ndiyo Marekani Vijijini 🇺🇸
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2023
- Join this channel to get access to perks:
/ @jackwausa
My previous video;
• Hizi Ndiyo Sehemu Za K...
🔸FOLLOW ME ON;
INSTAGRAM: / jacchalz
TikTok: / officialjackwausa
My Other Channel: / @jackchalz
#jackwausa #mtaani
Please SUPPORT Me By Joining Here!
patreon.com/JackWaUSA
Sasa Mtu Wng Ukiwa Napesa Ukiitaji Nunuwa Kiwanja Hau Nyumba ; Inaweza garimu Kiasi Gani Ya Pesa.....?
I was born in Zanzibar Island 🏝 na kuwatch nikiwa Kuwait 🇰🇼
Hello jack nauliza kama gari aina ya proboxzinapatikana 🇺🇸🇺🇸??
Hapo sawa
Jack mi naomba kujua we ulifika marekani kwa ajili gan,maana wengine pia tunawaza kutimba lakn nashndwa cha kwenda kufanya
Mr Jack your video always teach us soo many things and i salute you 👍
Ni Anestus Mujuni nafatilia kutoka Kampala Uganda. Shukrani sana #Jack kwa kazi zako nzuri sana naenjoy mnoo. Siku ukirejea Tanzania toa taarifa ili angalau tufanye utaratibu wa kukupokea Airport kaka.
Quality yako ya video iko juu...loving it from 🇰🇪 🇰🇪
Kazi safi bro. Maendeleo marekani iko hali ya juu. Hiyo kijiji imetulia sana, na barabara zao ziko hali ya juu. Nakutazama kutoka Nairobi, Kenya.
Pamoja sana Jack nakutazama nikiwa Arusha Tanzania 🇹🇿
Kijijini ni zaidi ya masaki big up sana mimi nipo home mzee jack Tz
Jack, nakutazama kutoka Kenya, nairobi . Natokea mtaa wa Githurai 44! Napenda sana vlog zako.. Nipe ata shout out angalau, naitwa Karis! Kariuki
I'm watching this video from Dar Es Salaam Tanzania 🇹🇿
Jack jack jackiiiii mungu aendeleee kukulinda nakusiiliza nikiwa singda singda✔️
Natizama video zako nyingi napenda sana mungu akubriki sana. Naomba tuwasiliane
Asante sana niko Burundi thanks.
Asante kazi nzuri
Umetisha sana kaka jack watching from Zanzibar 😮😊
Nakutazama nikiwa Spain 🇪🇦
kazi nzuri ndg jack.
Mdogo wangu na kukubali santa,hizo halakati zako poa sana,be blessed,nakutazama nikiwa mbinga,tz
Thx bro fresh nacheck video hii Tz Zanzibar hivo vijiji Haitwa Sehemu gn broo
Live from Sumbawanga Tanzania 🇹🇿
Kijana mtanzania mwenzangu nikiwa saudia arabia
Pamoja kaka
Unaosha vyombo sio
Nisaidie connection hata ya ulinzi
Unaosha umbwa 😂😂
😢
Apo powa nikufata kutokea south africa kaka ❤❤❤❤ one love
kazi safi,umetufikisha usa virtual,keep up bro
Safi sana nakutazama nikiwa Kampala.
Watching this video from Upanga Dar es salaam-Tanzania
Brother. Ninakukubali saana Kwa mitaa unayotuonyesha Kila wakati.. Kenya.
Safi sana nimependa hii video niko 🇲🇿 Pemba
kazi nzuri kaka
Hi jack...i always enjoy ua videos alot..coz they are jst too diverse... I get to learn USA🇱🇷🇱🇷🇱🇷at a distance.. I'm hoping 2 meet you soon in YUES.. following u from Nairobi kenya❤💜💙💋
Kumekucha😅
Hongera sana jack nakupata nikiwa tz kigoma
Mwanza Mwanza region bro, pamoja sana
Jackson mungu abaliki kazi yako. Jackson niyonkuru Burundi mugara
Amina!
Kaka uko poa sana Allah akubark kwa kutufikisha marekani me younglee kutoka tanzania zanzibar
Amina!
Safi sana 🎉.....🇹🇿
Wekweli mbishi
Tbt Moja Mshua tuko pamoja sana
safi sana mr jack nachek video nikiwa Dar es saalam.
Kutoka Tanzania 🇹🇿. Hongera sana
Big up Sana..
Mie naitwa suleiman toka sinza vatcan nimependa unavyo tutembeza nice bro
Sema kuna watu waongo, kuna mtu nilienda nae Kigoma ndani ndani sehemu inaitwa Subankara akaniambia hta Marekani vijijini panafanana kma huko, sikumbishia coz jamaa katembea nchi nyingi Duniani
Asante kwa taarifa! Safi sana kk nitumie namba zako ninajambo langu tuongee bro
Pamoja sana niko 🇬🇭 Ghana
Natazama nikwa mbeya jack
Safi Sana, nakutazama nikiwa Tanzania
Hi Jack.. watching from Ngorongoro Tanzania.
Safi sana mm nipo mozambique
Kk na kucheki sana apa congo
Jack Kama Jack My Friend How ?"
Zambia Lusaka
opo ni lokesheni brother tumpeleke village
@Jack video yako ukieleza jinsi ulivyokwenda huko USA
Musoma pande za nyasho,jack fresh nataka mpaka mashambani kwao tujue maisha Yao ya ndani
Ubarikiwe na ww
Naiangalia hii video nikiwa njombe umetisha sana kk
Nakupatasa sana jack nikiwa,jiji
Sana jack nakuchek kutoka mbeya
Siku nyingi jamaa yangu sikufatilii hii video naangalia nikiwa kaliwa Tabora kikaz ila nyumban ni mwendakulima buzwagi kahama.
Amazing 👌🇲🇿
I'm looking this video in TZ
Natazama nikiwa kariakoo mtaa wa Lindi na Nyamwezi hapa Jack
Marekani vijijini kuzuri.😊
Umtisha Sana Jack natazama video hii nikiwa tabora tz
Unsombeka moja kwa moja kutoka Mbeya, Tanzania
Na enjoy nikiwa geita
jack natazama nikiwa mwanza buswelu nakupata sana mmarekeni mwenzang
Naangalia nikiwa kihurio same kilimanjaro tz
Safi...naangalia video hii nikiwa Lindi kusini mwa Tanzania
Hapa ni mwanza tanzania
From Singida Tanzania nakupata
Nikiwa bongo nimekubali
Sema nakuelewa sana mwana unatuneshaga mambo ambayo wengine hatujawahi kuyawaza
Ok
Bro nahitaji support yako
jack na shida Sana wewe
Niko saudi Asante kutuonyesha❤
Uko juu.
Natazama nikiwa D.T
From kigoma, panafanana na manyovu kigoma
nakupata mozambique# ujanja gani ma mimi nifike huko meerikani
Kijana Mimi nipo songea Ruvuma tunakupata Uzuri Sana Hongera Sana
Unatisha sana home boy
Daaah ni kama Dar
Wahh🎉
Nitaftiye mume wa kizungu hapo kijijini🙆
🎉 Amazing
Aiseee marekani vijijini kunafanana babisa na mbeya
Nyumba za kiMexico
Pamoja sana kaka pambana yaela yote
Kaka utamaliza viatu tu huwezi kupata vijiji kama vya bongo huko 😂😂
Nipo Zanzibar
Karibu iringa
Nitafutie kazi huko broo
Nakubali 🥂💯💯💯
Watu Hawa wakombali sana
Aiseee ☺️☺️ mbn kuzuri ivo 😮ndo kijijini huko😳😳😳tena kutanifaa, km posta ya Dar huko😁😁😁
Mbeya Tanzania
mimi naitizama nikiwa kahama mkuu umetisha kamandangu
kutoka Mwanza Tanzania nakufuatilia sana na najifunza mengi
Nakutazama nikiwa Tunduma border nakubali kazi yako
Vijijini ni shamba sio nje ya mji
Tunakupata kaka nipo Tz NATAMANI kufika Ulaya au USA nijifunze
All the way from Burundi