Mzee Yusufu Kaenda Makka Kumtapeli Mungu / Mungu Kapiga Laana/Dua Yake Haikuswii Makka Pro . Mazinge

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
  • Mzee Yusufu Kaenda Makka Kumtapeli Mungu / Mungu Kapiga Laana / Dua Yake Haikuswii Makka/ Pro . Mazinge
    Mashaa Allah Pro.Habibu Mazinge akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Sababu Ya Mzee Yusufu Kaenda Makka Kumtapeli Mungu / Mungu Kapiga Laana / Dua Yake Haikuswii Makka/ Pro . Mazinge
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Airtel Money +255782466586
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/Dars...
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    TH-cam @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv

ความคิดเห็น • 71

  • @ffed1876
    @ffed1876 ปีที่แล้ว +7

    Innaka laa tahdii man ahbabta walaakinna Llaha yahdii man yashaau.Mola atuongozee vizazi vyetu na atuswameh tusiyoyajua.Aamin.

  • @TunnuAlly-bp7ur
    @TunnuAlly-bp7ur ปีที่แล้ว +3

    Allah akusamehe we uliemiita sheikh jina baya

  • @abdallahkhamisi4791
    @abdallahkhamisi4791 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akupe umr mrefu shk maznge

  • @athmanmuhammed7333
    @athmanmuhammed7333 ปีที่แล้ว +8

    MWENYEZI MUNGU AKUPE UMRI MREFU SHEIKH MAZINGE

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust1234 ปีที่แล้ว +6

    Allah akuifadh sheikh Mazinge

  • @ZuhuraHamisi-v2k
    @ZuhuraHamisi-v2k 7 หลายเดือนก่อน +1

    Shekhe mazinge allah akujaalie upate daraja la juu kabisa peponi insha'allah unafanya kazi kubwa sana kwenye dini ya kiislam allah akupe afya njema uendelee kutoa dawa

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 ปีที่แล้ว +3

    Hao mateja pia ni laana zenu,,,wengine ni watoto wa watu mlowafanya misukure kuwabadirishia maisha mwisho wanakuwa mateja coz hawajielewi,,,Pia sanda isiwe tusi ,,nyie ndo mnasababisha watu wanaufata ukristo hakuna mtu anataka kusimangiwa hadi kifo🙏🙏🙏🙏

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 ปีที่แล้ว +5

    SUBHANA ALLAH! ALLAH Atusamehe Ya Rabb. AMIIN

  • @TunnuAlly-bp7ur
    @TunnuAlly-bp7ur ปีที่แล้ว +2

    Mungu ukupe umri mrefu sheikh

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 ปีที่แล้ว +2

    Wewe mbaba angalie usiwe kuni za kuzimu wewe🙏

  • @rajabusaidi6692
    @rajabusaidi6692 5 หลายเดือนก่อน +1

    Subhana allah❤❤❤

  • @pythagorasgibson6368
    @pythagorasgibson6368 6 หลายเดือนก่อน +1

    Isha Allah

  • @khamissalim8708
    @khamissalim8708 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ameen ya rabbi

  • @mcheshslim
    @mcheshslim ปีที่แล้ว +7

    Wasiojielewa wanakupinga unachokifanya ustadhi

  • @radjabubizimana5065
    @radjabubizimana5065 7 หลายเดือนก่อน +1

    Alhmdulillahi

  • @saidaabdalla2854
    @saidaabdalla2854 ปีที่แล้ว +3

    Yaa Allahu Bihusni khatima

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 ปีที่แล้ว +2

    Nyie ndo walee masheikh mnaovunja ndoa za wenzenu kutumia kivuli cha dini,,.ila uwezo wa kuwahudumia hamna,,,afya pia ya kuwamiliki hamna,,kazi kunukisha ugoro wake za wenzenu

  • @sarahmohamed3968
    @sarahmohamed3968 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani Allah hukuletea salam wewe mazinge nani kamsamehe na nani hajamsamehe

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 ปีที่แล้ว +4

    Harafu nguvu za kiume ni sifa ya mume,,,bila nguvu ya kiume mnataka tuwasage na kuwakoboa then mpakatwe na wazungu????

  • @abubakariali9848
    @abubakariali9848 ปีที่แล้ว +6

    Sheikh Mazinge utatunga san Visa vyako 😮😮 hujatoa hio tarekh kama ilivyokuja kweny masimulizi

    • @omaryhaytham2899
      @omaryhaytham2899 ปีที่แล้ว

      Mpingaji wewe😂😂

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 5 หลายเดือนก่อน

      Hajatunga..ni kweli kabisa anachokisema we km hujui kasome

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa analinganisha aya kwa ufaham wake

  • @nyabendamathieu
    @nyabendamathieu ปีที่แล้ว +1

    Mazinge ww uko wa motoni na waislamu wanaokufwata aca uongo

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 5 หลายเดือนก่อน +1

      Hata baba yako ni wa motoni

  • @FarahJey
    @FarahJey ปีที่แล้ว

    Mazing Horatio kuzungumza,kaliningrad nakupa nasaha,na hii nasaha pia kwa wale wanao kuwa mfano wako.
    Nasaha yenyewe inao husu aya (ان لله وان اليه راجعون) aya kama hii huwa mwasoma,nusu na munatarajia nusu nyengine watu wakamilishe wenyewe,bila shaka hivi ni makosa.unapo soma aya kamilisha mwenyewe.

    • @omaryhaytham2899
      @omaryhaytham2899 ปีที่แล้ว +1

      Sawa lkn alichokisema umekielewa lkn

    • @issaathmet
      @issaathmet ปีที่แล้ว

      Naam ila umekosea kuiandika hiyo aya

    • @FarahJey
      @FarahJey ปีที่แล้ว +1

      @@issaathmet sawa
      شكرا جزاك اللح خيرا
      الكمال لله
      (إنا لله وإنا إليه راجعون)

  • @johnsulle4679
    @johnsulle4679 ปีที่แล้ว +2

    Au mungu wenu ni mwarabu

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 ปีที่แล้ว

      Yaani wapo radhi wampe mwarabu matako hawa jamaa 😂

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 5 หลายเดือนก่อน

      We km hayakuhusu na hujui jambo tulia..kwn wewe Mungu wako ni mzungu..Acha kufuru

  • @mariamwanjiku7518
    @mariamwanjiku7518 ปีที่แล้ว +1

    Ww kazi yako uwa kuwahukumu watu tu kwani ww ni nani

  • @LadislausyStanislausy
    @LadislausyStanislausy 9 หลายเดือนก่อน

    Mazinge acha kutisha watu

  • @johnsulle4679
    @johnsulle4679 ปีที่แล้ว +3

    Mshamba ww huwezi kumhukumu mtu wakati ya kwako bado hujayaweza

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 ปีที่แล้ว +1

    Haituishi Tanzania ya misiba,,,hata hukooo mataifa nao hujiburudisha kwa muziki mzuriiiii,,,hadi majini mnaowaabudu wanapenda MUSIC so be yourself babu🙏

  • @johnsulle4679
    @johnsulle4679 ปีที่แล้ว

    Kwan hii lugha yenu ya kutudanganyia haitafsiriki kwa kiswahili

    • @FatmaZena
      @FatmaZena ปีที่แล้ว +1

      Soma elimu zote ndugu

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 ปีที่แล้ว

      Kwani na nyie si mtumie lugha ya Yesu, mbona haina shida.

  • @LovelyFountainPen-bf7fb
    @LovelyFountainPen-bf7fb 6 หลายเดือนก่อน

    Kajitapeli mwwnyewe yeye mola tajiri hafilisiki

  • @jumahaji4141
    @jumahaji4141 ปีที่แล้ว +4

    wewe ulie muita shekhe tapeli jiangalie ww

  • @mariamwanjiku7518
    @mariamwanjiku7518 ปีที่แล้ว +1

    Mzee Yusuf ndio keshakwenda iyo makka ww ushakwenda??

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 5 หลายเดือนก่อน

      Hujielewi na hujamuelewa mazinge

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 ปีที่แล้ว

    Ommy dimpoz kaenda kuhiji na anaimba mbona umekaa na mzee Yusuf

    • @faridmobji
      @faridmobji ปีที่แล้ว +2

      Ommu Ajahiji kaenda umrah ...Umrah na hija tofauti

    • @jesusislord9190
      @jesusislord9190 ปีที่แล้ว

      @@faridmobji hijja ni nn? Na umrah ni nn??

    • @zulekhasaud483
      @zulekhasaud483 ปีที่แล้ว +1

      Halafu ommi hakutangaza kuacha mziki kama alivyo sema kaka yangu nimeacha na akawa akitembea kwenye mihadhara na mashehe kutangaza dini .ndio mana wamemuandama sanaaa.wamsamehe mungu ndio ata muhukumui.

    • @jesusislord9190
      @jesusislord9190 ปีที่แล้ว

      @@zulekhasaud483 kwahiyo ommy yupo sawa Akon sawa Dj khaleed sawa Mzee Yusuf wrong?? Msiwe hivyo muacheni mzee Yusuf

    • @zulekhasaud483
      @zulekhasaud483 ปีที่แล้ว

      @jesusislord9190 Mungu ndio atakaye hukumu pengine yy ndio msafi kuliko wao

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 ปีที่แล้ว

    Dua yako ipi imefila mzee tangu uanze kuomba???Mtume yupi kamuomba MUNGU????kumbe mzee YUSUPH alikuwa mtume wako???acheni dhurma kwa kutumia jina la ALLAH

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 ปีที่แล้ว

    Nyie mwapenda watu wawe majambazi then waigize maisha?kwani Allah hajui hao waimba muziki hizo ndo ajira zao???au mlitaka muishi na EID AMIN DADAA ndo mumsifie swala zake???nyie ndo mnataka waislaam wawe mafukara hadi waende kupakatwa LGBTQ ili mjue kuwa kipaji cha mtu ni karama na mtaji wake wa kumfikisha hadi MACCA na MADINA

  • @Abuuabdillah259
    @Abuuabdillah259 ปีที่แล้ว +1

    Ww mwenyewe tapeli tuu.

    • @BilaliMuhammad
      @BilaliMuhammad ปีที่แล้ว +1

      Kama huna chakukoment kaa kimya

    • @saddybrezzy9777
      @saddybrezzy9777 19 วันที่ผ่านมา

      Unajina zuri la kiislamu lakin ajabu unamtukana mazinge mtu aliewasilimisha watu zaid 100000

  • @sarahmohamed3968
    @sarahmohamed3968 3 หลายเดือนก่อน

    Kisha unavyoongea unajiamini wewe ni mtu wa peponi hicho ni kibri

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 ปีที่แล้ว

    Mboma hamjadiri mahirizi yalokutwa katika mji mtakatifu wa ALLAH???nyie mna mema yapi???kutongoza makahaba vichochoroni na kuficha dhambi kwenye makanzy yenu na daawa???baasi na mimi nipakateni nipate hela waislaam wote tuwe mafukara

    • @MussaMussa-v4x
      @MussaMussa-v4x 8 หลายเดือนก่อน

      Samiramawby1257 .5mo ago :Wewe nimuislam au kafiri?Tujuane kwanza

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 ปีที่แล้ว +1

    Kwanini ufatilie mambo ya watu usiopatana nao katika matendo???wewe wa ALLAH kwanini uwadis kina HARMONIZE ???unawafatilia wa nini???nyie ndo mnafanya hadi Qaswida ipotee Tanzania make hamjui hata sauti nzuri humvutia ALLAH na huumbwa na ALLAH iwe msaada,,,kila mtu ana mda wake wa tooba so MIND YOUR own business dear old man

    • @aliykhamisi1431
      @aliykhamisi1431 ปีที่แล้ว +1

      Wasio jielewa wewe ni mmoja wao

    • @MYME-u5d
      @MYME-u5d 6 หลายเดือนก่อน

      Umeonaaaaa naona anatapika upuuz km huijui din vizur kaa kimyaaa

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 ปีที่แล้ว

    Sheikh sorry,,Hivi wewe ni ALLAH kujua duaa ya nani au hijja ya nani imepokelewa???hivi huyu mzee YUSUPH siku akiacha ajira yake ya masong kuna siku nyie mtamlisha???mtamfaa???mtampa huduma stahiki yeye na mkewe???au mtampa mshahara kulingana na hadhi yake???

    • @omarmakame3027
      @omarmakame3027 10 หลายเดือนก่อน

      Kuna mlango wa tauba kauangalie Kuna mambo utajifunza ,utajua mengi apa Kisha ndio useme mambo mengine

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 5 หลายเดือนก่อน

      Kasome dini...kwn kuimba ni halali au haramu?bs wewe imba alf ukifa ndo utajua maana mtu akisema ukweli mnaporomoa maneno machafu.

    • @samiramawby1257
      @samiramawby1257 5 หลายเดือนก่อน

      @@SoudShuraim una dhambi ngapi we kima mpaka leo hadi kuimba kukupeleke motoni???Kwahiyo akiwa shoga au jambazi atapata thawabu au pepo siku akifa???ask mohammad if he is in Jehannam or??

    • @sarahmohamed3968
      @sarahmohamed3968 3 หลายเดือนก่อน

      Tumeisha wajuwa ni matapeli

    • @sarahmohamed3968
      @sarahmohamed3968 3 หลายเดือนก่อน

      Wewe huwezi kuhumu hija za watu