ELIZA AMWAGA MACHOZI | NIMEKAA SANA HAPA | SIPATI MPENZI | HUYU SIMTAKI | HELLO MR RIGHT
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Eliza sio mke bora, alafu mnafiki saaaana kisha mbinafsi, huyo mwanamke ni Mtihani kwa kweli.
Ni mtu wa wapiii huyuu
Anajiona keki Sena kwenye maisha ACHA kujivun San utapa mume ukiwa mwenye hekim naheshim na umstarabu kuwa mpole ACHA ujuwaj Kila mwanaume anamapunguf yake chamuhimu kubalian na namapungufu yake utadumu kwenye. Ndoa kuwa mvumilivu.hakuna mwanadamu anaye kosa mapungufu kwenye hii Dunia My daer usisahau ku Muoomb Mungu kwayote Kila jambo Lina mwisho wake 😢😢 like you Elizabeth ❤
Wewe mimi niko moçambique huku naona huna akili wewe ebu tujuane zaidi
Yani Eliza atasugua sana hapo kwa tabia tabia zake hakuna mwanaume atakae mchukua Mimi mwenyewe natamani atoke hapo
Umejua kabisa.
😂
We Dada Akili sana I salute you 🫡
Anaye muchoka Eliza kama mimi apa like apa twende kazi
Mm apa
Uyo dada anatafuta umaharufu tu hapo
@@RayyanRayyan-rt9cg tumemuchoka kwakweli 😪
Simpendi
Huyu Eliza mtoeni hayuko serious anabagua sana sasa hana hisia amekuja fanya nini hapo 🤣😂🤣🤣🤣siaende ajitibu mwanzo nafatilia nkiwa Dubai
Eliza muongooo kajiwashia taa tu😂😂😂😂...huyu kaka c vitu vyake😅
may God bless her anaonkana hayuko sawa sema nkama alitaka kua open kuna vtu vna mtatza ila nkama wote washmktaa, somtines wanawke nkama watoto wakipata mambo yakuwaumza sana wankua watu kma eliza huyu dada anaitaji ushauri sana
Umewaza kama mm😢 pengine anahitaji kusikillizwa Zaid jaman
Sahh kabsa
😂😂😂😂huyu dada Eliza duh….anatamani kupendwa na hana hisia… apambane na roboti basi love is a two way road… she needs therapy before getting in a relationship with anyone.
For real reason zake hazimaki sense.....she doesn't know what she wants.... damnit......am watching from Qatar 😢
Huyu Eliza atoke tu hapo tumemchoka kiukweli 😅
Tuko full😂😂😂😂
Kabisa
Eriza Cyo Mwanamke Bora halafu Piah Anaonekana Pia hanamazalahu Sana hata Kwa Mwanaume hatakaye Mpk🤣🤣🤣
Mwambie kama Hana hisia aende kwa mganga sio hapo hakumfai😂😂
Make nichekee😂😂😂😂 kwanza😂😂 Eliza anachekesha😅😅
Eliza rudi nyuma jitafakari..kama ni kweli unahitaji mume..hapo sio sehemu sahihi kwa sasa..maana tabia ulizozionesha zimekwishakuharibia sana..na hata mwanaume akisema amekuchagua mi nahisi atakua anakutania tu...ushauri wangu ebu tulia pata ushauri wa kisaikolojia lkn kubwa zaidi wanawake tabia, wanawake kauli, wanawake utii hakuna mwanamke anapenda mwanamke anadharau wa kushindana..so badili hivyo vitu utapata mwenza wako..lkn pia mshirikishe Mungu kama kweli unataka mwenza wa kweli
8:14 😂😂😂 Mimi sina hisia 😢 ila natamani kupendwa 😅😂😂 Jemani nisaidieni nipate uyu mshangazi😂❤😂
Kaka mm nawakubali sana apo, ila kuna mtu nimemuelewa namuitaji kama ata nilizia ila mm siko tz kwa sasa.
Njoo tuchukuane uku achana na hao
Sijawahi kuona mwanamke dishi kama Eliza ivi anafanya Nini hapo mbona kama micholesho mingi si wamtimue
Sasha alie mzalisha yupo wapi.amleemtoto wake iliaweze kumweshimu asisumbue watu
Isiya is typing......
Huyo Eliza aondoke hapo anawazalilisha vijana wawatu
Eliza jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Eliza hana hekimaa kabisa upati mme Kwa stail hyoo
Kanafiki sana haka Kaeliza😂😂
Et ana miaka 28😂😂😂😂😂
@@subrynerysegerow1323 🤪🤪🤪🤪
Kwanza mbaya ana domo la hovyo sana.pili anazarau kubwa kuliko yote anajiona yeye mzur kuliko wenzake nb anajifanya anajua sana kwakifup huyo akazeekee kwa wazaz wake akifka 40yrs atashiks adabu
Kama kaja kuonyesha mavazi
Sasa mnalazimisha aondoke na mtu ambaye hajampenda ???
Kwani huyo Eliza anamaisha gani mazuri mpaka achague mwanaume miaka yote yupo hapo podium.na atazeekea hapo
Uyo Eliza anatafuta umaarufu, akiondoka apo cv yake itapotea,,kashapata kitimtim tayar naona anataka lamata amuone,...anakeraaa wamfukuzeeee
Hana akili uyu Eliza anajiona mzuri kumbe hana lolote na mdomo wake ni mchafu sana kukosowa Kosowa bitu
Atasubiri sana hapo....sidhani kama kuna Mr Right atamchagua
Duh, huyu dada anachagua mchumba
Mwaka mzima, kaolewe na mizimu, fala weweeeee, kila siku wewe tu lookoh, chafuuuuuu, sababu za kipuuziiii kila suku, kwendaaaaaaaaaaa, tukusikilize ya nyookhoooooo,
atoke tu hapo kwanza kunamda anadharau sana kuna mda atumuelewi yani tumemchoka 😏
Au Eliza yupo kwa ajili ya kufurahish na kukela watu mbn Kam haitaji mwanaume
Janani Janani sehemu anataka kuingia nisehemu ya kuwa makini sana tafadhali kama inawezekana mpeni nafasi ili afanikiwe Kwa kile anacho kihitaji .kumbukeni sehemu ulipo umilia hupa pita Kwa makini ili usiumizwe Tena.
Pole sana Eliza weeee
Huyo Malaya tu, hamna mke hapo .. hajui anatafuta nini😅😂
Eliza anatumia hilo jukwaa kama sehemu ya kuigizia.... na pia anakauli za hovyo ambazo mpaka sasa amepunguza sana nafasi yake ya kumpata Mr right wake kupitia jukwaa hili. Kuendelea kuwa naye hapo Hai make sense. Nashauri akapate tiba kwanza kwa therapist wa tatizo lake la hasira na dharau.
Yan nimecheka uwiiiiiiiii yn mkimtoa Eliza siangalii Mr right hahahaha
Ila Uyo Eliza ni Changamoto kwakweli Daah kama ana Hisia kwaio tufanyaje hahahah hahahahahah
Anakiwa apendwe na sio ampende yy
Poleeeeee
Yani huyo dada hajitambui bado hajui nn hataki
Bila eliza kutapowa hapo hahaha mi nalipenda lieliza kuna saa li comedian flan hivi hahaha jmn MSIMTOE JAMANI HAHAHAHA MBAVU ZANGU JAMANI
❤❤❤❤
Eliza kilamara anazinguwa kwendhaaaaa utazeekea apo.
Anapuyanga sana eliza
Kinachomuweka hapo Eliza ni maneno yake na Hana msimamo na Hana point kabisa
Ukweli eliza hana sifa za kuwa mke wa mtu, kwanza mbishi hawezi kusikiliza mjeuri, huyo ni wa kutumiwa tu na kuachwa. 😅😅😅
Memwelewa eliza tushapitia hayo na ninashukuru mungu mevuka hyo hatua kuna muda mtu unahitaji kupata mwenza bt ukiyakumbuka ya nyuma unahisi unaukatibisha moto mwingne zaidi
Asituchoshe eliza
Mapenzi sio kabila umri sio kitu we kwenda huko Eliza uko na ngundu
Nimecheka nyie leo😂😂😂😂😂😂😂
Kweli mnamnyanyapaaa mnamsema sana mpk sisi watazamaji tunajiskia vibaya.
Hahaa we humjui tu huyo dada hafai hata kdg jinsi anavyowachambua wanaume hapo na hayo ndo malipo yake
@@mokeya mm ningemshauri km mwanaume hamtaki akae kimya asiongee chochote hadi kwa atakae mpenda. Maan mdomo wke sio mzur sana
Eliza Toka hapo Gara B Kwan umuoni hyo mjinga
Eliza mwanzo alipnekana kam wife material ila hamna kitu na nishaona km mr right ya uongo maana huyu eliza yupo kwenye kitim tim anaigiza
Binti kizee Anatatizo la hisia😂😂😂
Eliza is back 😂😂
Sema huyu dada mtangazaji 😅😅😅 kamkaba kooni Leo Eliza 😅😅😅
Huyo Eliza hafai anahashuo tu
Anaboa sana huyu dada
Eleza chefuuuuuu uyo ni comedian humo
If you don't have a feelings why are you there🇿🇦🇧🇮
Mtoeni uyo dada mi naona ajui mana yaicho kipindi
Eliza aendee jaman tumemchoka😂😂
dada Eliza usichague sana utaludi pazaman Fanya maamuzi ili maisha yaendele dada
Mi silipendi linajisikia sana
Eliza toka toka toka
Kiukweli eliza anakera kira siku yeye tu why
Eliza sio mkee kabisaaa kila siku yupo kwenye Mr Right lakini kazi yakee nichamba watu mtoenii asiwe anakuja
Huyo dada Anakela sana
Eiza unaudhi jameni kama hupati huko kwenye Mr.Right tafta inje ya Mr. Right,,, your so dramatic😂😂😂
Mm nimemwelewa eliza na you na tatizo sio siri
Elinza utachagua mpaka utaenda kupata lori la mchanga hpo umekaa kama comedian 😏
Kwa jins eliza alivokua na drama nyingi uckute anasema ukweli lkn ndoiv tena kashaondosha uamininifu kwa watazamaji so sad😢han hisia nimelia sannaa😅
Ila Eliza bn,😂😂😂😂
Atoke hapo
Ni kweli ni shobo mdundo ila msaidieni
Profile ya wanawake mbona haiwekwi? wengine mnawatoto na hamsemi
Anaigiza huyooo
Eliza anamaliza soda mtoen
Muigizaji mzuri
Ana jini mahaba huyu elizabeth bila shaka😂😅😂
Yaani tumemuchoka saan
Aaliyah anazingua asee 😢😢😢 this is not fair na Aaliyah amkubali huyu sister
Kama hunaisia sasa umefata nn apo
Mc.galabii,Nilikuwa na Maoni au mawazo au ombi kwanini msiwe mnaweka wadada wanao fata picha zao na namba zao zasimu .maana yangu niipi kuna watu wako mbali hivyo anaweza kumuona mwana mke na akampenda waka wasiliana .naona hiyo nayo ni nzury zaidi.
Eliza aondoke tu anakera hapo😏😏😏😏
Eliza Kaa chizii
Huyo Gara B mwenyewe ni Mhaya!! Hivi Eliza Gara B angekutaka ungekataa ww nyau ww.😂😂 huna nyimboooo ww mzeee saizi yako ni yule Baharia
Eliza Ana depression
Eliza ni kama nati imelegea
Eliza asaidiwe kwa kuunganishwa na psychologist na councellor kisha arudi stejin atapata mwenza,
Eliza ana hisia Sasa mbona analia ujue kinachofanya mtu Alie pumbavu Sana elizah
Eliza lishangazi analinga anajiona sana
Kuanzia mwaka 1990 mpaka 99 ni mashangazi...ko sisi ni mashangazi
Huyo amekua gundi hapo kwa podium
Eliza huna hisia umeenda stagen kufanya nn saa😢😮😮😮
Eliza she's so Dramatic 🫴🏾😐
Diva umependeza dada hlo
Vazi usiliache inshaallah mungu akupe subira hyoyo
Huyo eliza kwan hawez toka hapooo wakuuu...
Kwa huo mdom utampat nan
It’s Aaliyah’s facial expressions after Eliza started crying💔😂
Idis like eliza unakera kwa kweli kuna wanaume nje ya mr right show waache wenye nia wakae hapo wewe toka
This Aliza my God,all day wahaya hachana na sisi kaa.Jealousy ya maisha,wahaya for life we do better .watching from 🇺🇸
😂😂😂kwani usingetuambia from us ungechubuka we muhaya
@@dianerditto ,Ndo zakwetu wahaya ndo maana
Eliza anatumind,but who cares.
Mr. Right, am sorry huyo Eliza msimchukulie simple Sana na kumcrush hv. Nilichokigundua she is affected psychological, so mtafutieni mshauri nasaha ili apate matibabu ya kisaikolojia. Mtakua mmemsaidia kuliko kumuweka hapo mda mrefu Kuna siku vikimzidi atawaharibia hapo jukwaani. My opinion❤