Kumbe wakipenda wao ao wanawake kisha wakakataliwa huwa wanajickia vibaya ee uyo eliza alikuwa ana uhakika kuwa atachaguliwa yeye kwa uzuri wk kumbe hajui kuwa wanaume huwa hawaangalii sn uzuri wanaangalia maini me nimefrahi sn kukataliwa mn vipande vya nyuma yeye ndo mwanamke alie chaguliwa n wanaume zaidi y 5 wote kawakataa 😂 Leo kakataliwa yeye 😂😂😂
Maisha yanaenda kasiii sana huyu glady nae anakosoa wanaume😂 sura kama mkuki wa mmasai😂..huyo zarish si alisema kwa siku anaingiza laki 6😂😂 imekuaje tena kaja kwenye kipindi kudanga😂😂
Huyo Eliza Acha akome wanaumme wengi wame mupenda lakini anawakata .kajiona mzuri sana kazaniya kwamba watamuchaguwa yeye ona sasa mubaya anaondoka unabaki nauzuri wako apo😃😃😃
Uyu jamaa ameniboa na hiyo kutafuna tafuna😂
Huwa maraya Hawa wanao tafuta boblishi
@@monirangerera7155 wamekosa kutafuta wanawake inje wanaenda kununua hapo 🙆
Umeona hajieshimuuuuuu
Inamfanya mtu aonekane local Sana anatafuna Manini sasa😂😂😂😂😂
Jamani nisameheni me napendaga2 kutafuta bablish et😅
Eliza na zarish 😂😂mtakaa hapo kama mabalozi wa nyumba kumi😂
😀
Duuuh masikini eliza haamini anachokiona😂😂😂😂amewakataa wengi sanaa😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 leo Eliza limemkuta jambo 😅😅😅😅😅weupe wake huwa unamdanganya xana
eliza anajiona sana tena kakomeshwa kabisa anajiona yeye ndoo mzur dunia nzima
We kaka unajuwa kuchangua apo umepata mke mwema ❤
Uwakika kaka umepatachombo
Uyo zarish atafte hela aache upuuzi😂😂😂et nahitaji hela nyoko zke...😂😂😂
We miso misondo umepigaje hapo kwa Eliza 😂
Uyu zarich amna mtu kabisa Uta kaa Sana apo
Lulu diva you're beautiful..congrats
Duuuh leo nimekuwa wakwanza nipeni like zang
Anaboa kutafuna uyoooooo aseee
Eliza ULIKUWA unawakataa sana watu Sasa jifunze
Eliza umekoma unazidi kuchaguwa sana
Eliza aliringa sana na nilisema atakuja penda na asipendwe,pole yake😢😊😂
Eliza malipo duniani 😂😂😂😂 kuna kaka uli mnanga
Nitumie number nikutafute dada
Sasa
Mimi nikupe namba au uyo eliza wa mr right
ELIZA LEO KAACHWA ANAJIONA MZURI😂
Mzuri kweli Si uongo
@@khadijaabdhalla9669 mbona haolewi anahangaika kujitangaza
Leo lulu diva umevaa vzr umependeza dear love you
Mr light nime mwelewa sana jama kaongea point hongela zake
Kwanza niwapokeze lulu ❤pamoja na viongozi wake jamnii nawapenda sana🥰🥰🫂🫂
Chewing jamaniiii😢😢😢😢😢😢
Najua mwenye ameona hii atanipea support
😂😂😂 safiii sana Elizabeth kibibi alafu anajikuta kachaguliwa na wanaume wengi sana kawakataaaa safiii kbs, kibibi atabaki apooo😂
Hhhhhhhhhh jmn daaah Elza anatia hurum
Eliz leo zamu yko kukataliwa😂😂😂😂
Eliza 😂😂😂yame mkuta na yeye
Safiiiii sana mkaka my Hy ndie mkee wako
Eliza haamini kilichotokea😂😂😂
Mtafuno mwiiingi jamani 😢😮😂😂😂 sijapenda
Eliza kapigwa n kitu kizito😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
" mim ni mwanamke mzuri naitaji matunzo bila hela siendi"
Wanaume popote mlipo hebu jaribuni kuitafakari hii kauli😂😂😂,,
hamna mke hapo atakutesa sana huyo daah yani wanawake wa ovyo kabisa
Very nice 🎉
Unyama sana 🎉
Syo mzuri uyo aliyo mchaguwa eliza beautiful ❤❤❤❤
Eliza kaongea kama anaugomvi😂😂😂😂😂😂
Namtafuta huyo eliza kama unazo contracts zake nisaidie
An Eliza sikupnd tyu kwa maneno Yako unajisikia sana
Kumbe wakipenda wao ao wanawake kisha wakakataliwa huwa wanajickia vibaya ee uyo eliza alikuwa ana uhakika kuwa atachaguliwa yeye kwa uzuri wk kumbe hajui kuwa wanaume huwa hawaangalii sn uzuri wanaangalia maini me nimefrahi sn kukataliwa mn vipande vya nyuma yeye ndo mwanamke alie chaguliwa n wanaume zaidi y 5 wote kawakataa 😂 Leo kakataliwa yeye 😂😂😂
Muosha huosha
😁😁
@@florahfrancis1613muosha huoshwa
Leo kaoshwa alafu hata sio mzur ni keupe tu
Cheko la Aliya 😂😂😂
Hapa wakaka mnatakiwa mje magaidi tu 😂😂😂
Aaliah khaaaa!!!
Careen is so pretty and cool
Glady na Eliza katafute wanaume mtaani hapo tumeshawachoka kila siku mpo halafu nyodo nyingi wenyewe wabayaaaaa khaaaa!!!
😂😂😂😂😂😂
Inawezakana napi siowake
Safi careen ni mzuri sana
Glady fanya uondoke umekaa mda mrefu sana
Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua
Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua
Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua
We misomisondo umpepigaje apo🤣🤣🤣 Eliza haaminiiii anachokionaaaa🤭🤭🤭
Kingine waking lulu na wenzie wapunguze kuongea sana wana kula muda wa kipindi
Zarish ni mwehu kwa kweli
Inaitwa not everyone cup of tea Eliza 😂
😂😂😂 Huyu jamaa namfahamu
Elizabeth kuchamba kwingi ndio😮😮
Nainjoi sana
Eti mzuri nataka matunzo. Number huyo dada anajiuza. Shenzi
Eliza you're cute
HIVI HAWA WASICHANA WANAOENDA UKU WANA AKILI. KWELII HAWA
Hata wanaume pia wanaowafuata huko wanaakilikweli
Brother nimekubali uchaguzi sahihi kabisa
Dj mwendelezo jmn
Uyu zarish nimjuaji tu, kila mwanamume anakuàga na kasoro kwake yy kila kitu kwake tatizo ajui kuchanganua mambo.
Hivi wanapimaga afya kwanza huyu kanywa alafu kamnywesha
Mate hayana maambukizi
Weeeeeh nkaliii hiii
Zarishi umekomaaaaaa San mpak umekuw bib yetu jaman acha ujing hat ukipat bwan wa ovyo sepa bhan mmezid na Eliza wako🤪🤪🤪
Hao wanaume ni waongo wangekua wanaulizwa na max wao wangeaibika
Eliza.... mwenyew ashaga mkataa mdau😂
😂😂😂
Zarish anamaanisha anajiuza arikua anataka hela kwa mme wake
Dada lulu like beautiful ❤
Uyu dada alikuja wakwake akawakataa akomae
Eliza leo kime waka huuu duh mapenzi buana
Eliza Leo kaachwa mzuri❤😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂
Looo white and black ndo inanoga naona watu kumyari Eliza wa watu 😢
Kupigwa ndio mapenz😮😮
Mr. Right anajua kuchagua kweli kaacha Eliza pisi kali..😅😅
Aibuuu Kwa eliza
Hakuna mke hapo bali kuna wake za watu walioachika kisa pesa,aloooo Dunia inaenda kasi sana.
Eliza huo weupe unakuzuzua unafkiri utamchanganya kila mwanaume pole mwaya leo zamu yako kukataliwa😮😮
Malipo n hapa hapa
Huyo eliza mshahili apo atafuti mume anatafuta danga Lizzy mdangaji mzuri huyu dada chamazi ukienda utamkuta sana
@@user-yr5wj5bz4w 🤣🤣🤣siyo vzr
Anachagua sana uyo eliza😂
@@user-yr5wj5bz4w mwachen achague had azeek
Yy si hodar kukataa wt ss leo kwa kwake
Mmmh Eliza wamuajiri tu auze hizo soda mana podium ishamzoeaa😂😂😂
Mbona Eliza mwenyewe mzeee
Mbona wazeee
Eliza mimi nampenda balaa
Maisha yanaenda kasiii sana huyu glady nae anakosoa wanaume😂 sura kama mkuki wa mmasai😂..huyo zarish si alisema kwa siku anaingiza laki 6😂😂 imekuaje tena kaja kwenye kipindi kudanga😂😂
apo kwenye sura kama mkukii😅😅
Huyo glad angekua mzuri tungekoma😂😂😂 msomi lakin elimu yake Bado haija msaidia.. kingereza cha hovyo … pia pointless kila akiongea😂
Nice
Hata mimi ningechagua huyo black maana yuko normal hana mambo mengi✅✅✅✅
Hhhhhhh elizaa jogoo mnyonge 😂😂😂
😂😂Mimi nilijua tu.Eliza kutoboa ni issue,inabidi abadilike kwanza.Eliza kumuweka ndani shughuli
Zarishi mpuuzi we nan kakudanganya wewe mzuri
Jamani huyo zaylish atolewe maana anaker nakuharibu pia
Eti mi mzuri unajiona lakini alafu sijui kwanini mibaya ndio inalinga sana
Jamani gala b punguzeni Saudi ya mziki mana hatuwaskii waledwa
Umeonaje hiyoo
nakuja apo kumchukua eriza
Zaylish mjinga sana Kaz kukosoa Mr right
Kupigwa ndio mapenz
Huyo Eliza Acha akome wanaumme wengi wame mupenda lakini anawakata .kajiona mzuri sana kazaniya kwamba watamuchaguwa yeye ona sasa mubaya anaondoka unabaki nauzuri wako apo😃😃😃
😂😂😂😂
Ata huyo alio ondoka sio mbaya ukisema mbaya kwan kajiumba umeongea vzl ila hilo neno umekosea eti mbaya
😂😂😂
Nataka mwanaume mwenye six park awe mrefu handisome awe na funguo tatu za gari awe na nyumba ya ghorofa kumi plz im here waiting😢😢
Umba wako unavotaka halafu umpe maokoto kisha akuoe mwenyewe
Zarishi Hela a nyoko kubabake
Shoga haamini anachokiona
Zompa Tena unavyopenda minyama 😅😂
Eliza jamani😂
Limemkut
Jamani mnapima kwanza ukimwi
Yan hili li dayan lina dharau na linavaa uchi
WANAUme tunaangalia akili na tabia
Mr right unatafuta sana
We zayrish una uzuri gani kimeo tu au urefu kwa mwanamke Ni uzuri siku izi