MASKINI APIGA MPAKA GOTI | AKATALIWA VIBAYA SNA | SIWEZI KUWA NAYE | SIYO MZURI | HELLO MR RIGHT

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 134

  • @LucasAlfayo-nq8wu
    @LucasAlfayo-nq8wu 10 หลายเดือนก่อน +11

    Kimsingi kazi nzuri ilaa Kuna mabinti hapo wanatafuta umaarufu na sio wenza,,,,wazo langu mngekuwa mnawatoa,,,,,,hakuna kitu kibaya kama kumzodoa usiye mjua,,,waambieni kuwa tukiwakosa kwenye podiamu watatukuta mtaaani huku ndipo maisha yalipo,,,

  • @fistonnibigira167
    @fistonnibigira167 10 หลายเดือนก่อน +1

    Yes my sister Lolo diva you give them good advice🇿🇦🇧🇮

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 2 หลายเดือนก่อน

    Uyo kaka yupo vzr sana

  • @AbdulrahmanRamadhan-h3m
    @AbdulrahmanRamadhan-h3m 10 หลายเดือนก่อน +10

    Shida ninayo iyona hapo kaka ni wanawake wengi wanaokuja hapo wanakuja kutafuta wanaume matajiri na Sio wa kuanzanao katika utafutaji

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 10 หลายเดือนก่อน +7

    Mtu akitaka mke wa kweli amtafute anakoishi maana wapo wengi tu. Hao wa hapo wana maringo sana. Mke mwema mtu hupewa na BWANA.

  • @gastoenock3020
    @gastoenock3020 13 วันที่ผ่านมา

    Hizi issue za kutongoza kwa kuigiza wachaga hatuziwezi kabisaaaaaah

  • @Eliza425-v4e
    @Eliza425-v4e หลายเดือนก่อน

    Hahahahah jamn gara b ety shagabara shekebere ety ndo kunena kwq lugha😂😂😂😂

  • @RaphaelPaulo-js6bi
    @RaphaelPaulo-js6bi 10 หลายเดือนก่อน

    Hongereni sana Kwa kipindi chenu ila mtafutieni Eliza mwalimu wa kumfundisha maswala ya mapenzi au mpeni maneno magumu Ili apate wa kwenda kuishi nae

  • @SantaJumaa
    @SantaJumaa 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hii mr right ya msimu hii inakuwa mbaya kwa sababu ya hao wadada wanaringa sana hlf uzuri wenyew wala awana

  • @nappekiliakiliasalimu346
    @nappekiliakiliasalimu346 10 หลายเดือนก่อน +9

    Hapo hakuna manamke wa maisha wote Malaya wa buzza tyu

    • @Edna-w3z
      @Edna-w3z 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 wanatuchosha tyuu

  • @ellycon7096
    @ellycon7096 10 หลายเดือนก่อน +3

    Mbona demu kashazeeka uyo ,bruh umefanya kweli au unamakengeza

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 10 หลายเดือนก่อน +5

    Kutongoza mbele z watu nacho ni kipaji😅😅

    • @tato8979
      @tato8979 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @LucyNgowi-m5z
      @LucyNgowi-m5z 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂kipaji haswa

  • @issahpaul4510
    @issahpaul4510 10 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa kajitaidi kupiga sera zake kwa kweli

  • @MariamTemba-qz5hy
    @MariamTemba-qz5hy 10 หลายเดือนก่อน +5

    Wangapi wamemuona Aalia yuko disapoint na haka kadem

  • @FloraMbuya
    @FloraMbuya 9 หลายเดือนก่อน

    Napenda sana mashushu yako Lulu Divaaa. Waambie hao mashauzi mengi yasio na maana

  • @tumaxaad
    @tumaxaad 10 หลายเดือนก่อน

    Kwa kweli hao mabint sijui wanatk mwanaume wa aina gn mana kama huyu mkaka wa mwish yupo vzr t akiulizwa huyu bint alomkataa hana sababu za msingi sasa apo mmekuja kuwachora wanaume wa watu tu

  • @niymaedwin4297
    @niymaedwin4297 10 หลายเดือนก่อน +4

    Lulu leo umeongea hao mademu wanazingua balaa toeni wote leteeni wengine

  • @ZachariaYohana-nw3xe
    @ZachariaYohana-nw3xe 8 หลายเดือนก่อน

    Kubababake kumbe mnatafuta matajili hapo mmmmmh mungu tusaidie yan kwa kaline hii upate mwanaume wakukupgia magoti bado humpendi mtakwisha jmn wadada bas penda mwanaume mwenyepesa na ww huwe nakaz cyo utake mwanaume aliyenavyo vyete afu w huna yan hujishugulishi 😢😢😢

  • @SwaumuThiphilo
    @SwaumuThiphilo 12 วันที่ผ่านมา

    😢Mhhhhhh mdada unajishauwa ww sur yenyew ya kibib

  • @MayaJoh-u1m
    @MayaJoh-u1m 9 หลายเดือนก่อน

    Heee chiddy 😂😂😂😂😂nimechekaaa

  • @RaphaelPaulo-js6bi
    @RaphaelPaulo-js6bi 10 หลายเดือนก่อน

    Jamani huyo Eliza anataka mwanaumee Gani na mbona ni mzuri sana

  • @MtasingwaAlistachius
    @MtasingwaAlistachius 10 หลายเดือนก่อน +3

    Mi walivyovaa tu kiheshima flani hivi,nimewapenda na mmenoga sana

  • @AbdulDc-oc7ps
    @AbdulDc-oc7ps 10 หลายเดือนก่อน +1

    Daa yan wadada wanaringa sana alaf wakawaida tu

  • @berndschneider372
    @berndschneider372 10 หลายเดือนก่อน

    Toeni mabint wenye wamekaa sana wakaombe mungu nnje,wanaboa sana

  • @ZaifathMustafa
    @ZaifathMustafa 10 หลายเดือนก่อน

    Luludiva una point

  • @RaphaelOtieno-v8f
    @RaphaelOtieno-v8f 7 หลายเดือนก่อน

    I love it women in tz they are so beautiful I will go to marry in tz

  • @nainai5797
    @nainai5797 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mariam ukimuangalia kwa ukaribu mubayaaaa!

  • @SharifSadiki
    @SharifSadiki 10 หลายเดือนก่อน

    Hii ivi awa jamaa wanafeli wapi eti mwanamke mtu anasura ya baba kabisa 😂

  • @Victorialabani-su6gn
    @Victorialabani-su6gn 9 หลายเดือนก่อน +1

    Wengine tupo huku tunawahitaji watu wakutupenda jaman 😢

  • @muhammadsalym4124
    @muhammadsalym4124 10 หลายเดือนก่อน

    Brother fight about money Love Will come

  • @SarahKigogo
    @SarahKigogo 6 หลายเดือนก่อน

    Hao Malaya tu watengeneze wanaume wao wanakela

  • @Kakakuona5_G
    @Kakakuona5_G 7 หลายเดือนก่อน

    Ukweli ni kwamba hapo kuna makahaba tu. Mtu anashawishiwa kwa kiwango kikubwa yeye ananyodoa tu. Hao malaya tu wachunaji

  • @salamarashid3687
    @salamarashid3687 10 หลายเดือนก่อน

    Nyingi madem mnata wanaume wenye maokoto. Nyinyi hayo maokoto mnayo? Na wenye maokoto hapo hawaji hata kwa bahati mbaya

  • @florianabel5347
    @florianabel5347 9 หลายเดือนก่อน

    Namuomba huyo mariam jamani

  • @bossykalewa
    @bossykalewa 10 หลายเดือนก่อน

    Daah dunia ina wasenge skuiz,,, kolo nalia kwa huyo choko😂😂😂 daah kmk

  • @gelardbalalu9119
    @gelardbalalu9119 10 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mariamu hana lolote kwanza nikija apo vichambo kwanza mfano ilo lishangazi litoeni apo bhana linaziba nafas za watu

  • @dorahkaruma9299
    @dorahkaruma9299 10 หลายเดือนก่อน

    Gara B naomba Pepsi😮

  • @danielndei5420
    @danielndei5420 10 หลายเดือนก่อน

    AGNESSSSSSSS🥰😍🤩😘

  • @JamalKivambe
    @JamalKivambe 10 หลายเดือนก่อน

    Kazi inawashinda saiz warembo wanaxingua

  • @jamhuriAbdirahmaan
    @jamhuriAbdirahmaan 10 หลายเดือนก่อน

    Hii mr right la leo sio nzuri juu dada wankelw sana

  • @messiasulleydidy2585
    @messiasulleydidy2585 9 หลายเดือนก่อน

    Hii mimi hamna kbs

  • @gracenekesa8228
    @gracenekesa8228 10 หลายเดือนก่อน

    Wasichana wanataka mtu aina gani kwa kweli Mariam surely😮😮😮😮😮Waaaaa

  • @ZuwenaMohammed-fp4yv
    @ZuwenaMohammed-fp4yv 10 หลายเดือนก่อน

    Wanaboa sana hawo wadada alaf huyo mamu mbona hata vazi lenyew hajui kuvaa😂

  • @AsmaAlly-m9i
    @AsmaAlly-m9i 10 หลายเดือนก่อน

    😢Mariam iaxingua

  • @gevensiakibibi2732
    @gevensiakibibi2732 10 หลายเดือนก่อน

    Hawa wadada hawana haja na waume wanihitaji kujionyesha tu😊

  • @lizzyford4622
    @lizzyford4622 10 หลายเดือนก่อน

    Mbona mdada ana pua kama za babalevo na anajishebedua uwiiiih mdomo komaah😂💔🙌

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas 10 หลายเดือนก่อน

    Hako ni kamtu bro sema ni filam ingekua ni really mweh😅😅😅😅

  • @sinomiles
    @sinomiles 10 หลายเดือนก่อน

    Hao mabinti wanataka nini hapo? daaa!!!!!!!!

  • @MidjendjeniSalmata
    @MidjendjeniSalmata 10 หลายเดือนก่อน

    Alafu Anlia amependeza sana daah ❤😊

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 10 หลายเดือนก่อน

    Sasa mwanamme unaenda kukataliwa hadharani na unapiga magoti kwa mwamke anakukataa mbele ya dunia nzima. kwani huko mtaani wanawake wamesha mpaka uje kujidhalilisha hapo

  • @preceenosent6324
    @preceenosent6324 10 หลายเดือนก่อน

    Pumbavu Sana mariam mbona
    Hata sio mzur

  • @Oman-z7j
    @Oman-z7j 10 หลายเดือนก่อน

    Hapo hakuna wanawake huyo maryam mwenyewe mshamba 2

  • @odiloboniphace
    @odiloboniphace 10 หลายเดือนก่อน

    Mbona ni Mbibi sana huyo mshangazi

  • @AbdulAmour-fv5eb
    @AbdulAmour-fv5eb 10 หลายเดือนก่อน

    Ilokweli wanawake wa hapo wanataka umaarufu na matajiri tu yani hawana pwenti za kukataa wanaume

  • @wildcarnivore
    @wildcarnivore 10 หลายเดือนก่อน

    Huyo Mariam pua zenyewe kama exhaust ya bajaji 😂

    • @merryaugustin8814
      @merryaugustin8814 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂kwann Exhaust

  • @AshaRamadhani-r2o
    @AshaRamadhani-r2o 2 หลายเดือนก่อน

    Wanachangua nini mbn wakiwa mitaan hawapati hajajielew gar b

  • @ZaifathMustafa
    @ZaifathMustafa 10 หลายเดือนก่อน

    Ila mariam mbaya kwakwel kazeeka😮

  • @neemaneychricious6493
    @neemaneychricious6493 10 หลายเดือนก่อน

    Mbna mkaka wawatu yupo vzr tu jamn unachagua saaan we mwenyee mbaya kama nin

  • @manwalimshali2986
    @manwalimshali2986 10 หลายเดือนก่อน

    huyo Dada hatakuja kupata mwanaume kama huyo mshikaji saivi amna mwanaume wa kumpigia magoti mwanamke

  • @florianabel5347
    @florianabel5347 9 หลายเดือนก่อน

    Mariam nime muelewa sana, hata ningekuwa hapo ningemchagua pia,. Ana sifa za kuwa mke,

  • @FredyMatayo
    @FredyMatayo 10 หลายเดือนก่อน

    Hv nikweli wanatafutaga wachumba au wanazingua to na kutafuta umaarufu

  • @mtwevenicko
    @mtwevenicko 10 หลายเดือนก่อน

    Wadada wanao chunguza xana mavazi na mionekano ya wanaume hao wamekuja kujionyesha2 hapo wafukuzwe wote waletwe ambao wako slys na kutafuta wenza wa kufanyanao maisha wanaziba2 nafasi hapo na huyo Eliza apate msaada kwanza wa tatizo la hisia,,

  • @JohnKashangaki
    @JohnKashangaki 10 หลายเดือนก่อน

    Na huyo dada Mariam ni age go

  • @tumaxaad
    @tumaxaad 10 หลายเดือนก่อน

    Viongozi chukueni hatuwa kwa hili mabint kuwakataa wanaume bila sababu za msingi

  • @RaphaelPaulo-js6bi
    @RaphaelPaulo-js6bi 10 หลายเดือนก่อน

    Garabii na lulu mnatisha sana kwenye kipindi kinachangamsha ila huyo mwingine mara moja moja ndio anachangamka

  • @MwanangeniAyubu-nn1hw
    @MwanangeniAyubu-nn1hw 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna kutafuta umaarufu na kutafuta mume hao mabint wanatafuta umaarufu hiv huyu kijana ana ttz gan I'm sad😢

  • @MwaniPh
    @MwaniPh 10 หลายเดือนก่อน

    Hawapo serious hawa wadada

  • @poulmbogo1770
    @poulmbogo1770 10 หลายเดือนก่อน +21

    Broo unazingua hawa madem wa type hii wapo wengi tandika tena wengi huyu mimi siwez hata date nae kamekomaa kama mfup wa wa ugoko alafu kijan unalia kwa huyo choko

    • @ZawadZaoadi-po1us
      @ZawadZaoadi-po1us 10 หลายเดือนก่อน

      😂

    • @AlbinMsechu
      @AlbinMsechu 10 หลายเดือนก่อน +1

      Jamaa amezingua sana, eti na goti anapiga

    • @SantaJumaa
      @SantaJumaa 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @FloraSteven-w5i
      @FloraSteven-w5i 10 หลายเดือนก่อน +1

      Mbona ugoko we kaka😂

    • @LoveAron
      @LoveAron 10 หลายเดือนก่อน +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jacobmelody
    @jacobmelody 10 หลายเดือนก่อน

    Wanaume tufanye Nini sasa Kama Hata Hela ukiwa nayo pisi zinakuletea Nyodo?? Mimi kama ni Kufa single Bora nife ila sio kuja kwenye hili Jukwaa la uzalilishaji na madharau

  • @theprincejr1417
    @theprincejr1417 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mariam mwenywe kichwa kama mokoena wa mamelody 😅😂 asee

    • @GraceKanu-lr6yv
      @GraceKanu-lr6yv 10 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂

    • @theprincejr1417
      @theprincejr1417 10 หลายเดือนก่อน

      @@GraceKanu-lr6yv ni basi tu 😅

    • @theophilyyona9940
      @theophilyyona9940 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂

    • @GloryNIYO86
      @GloryNIYO86 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

  • @amoursalim7418
    @amoursalim7418 10 หลายเดือนก่อน

    Kwan hawa wadada wanataka nn

  • @EliyaKalimanjira
    @EliyaKalimanjira 10 หลายเดือนก่อน

    Zarish iko wapi

  • @samwelmzava1174
    @samwelmzava1174 10 หลายเดือนก่อน

    Hawa mabint wanaochagua Sana siku za mbeleni watakuja kuomba radhi wanaume wakiwa wamechelewa

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 10 หลายเดือนก่อน +2

    Basi anajiona mzuri mamu mwenyewe na kichwa yake yenye makorongo hiyo

    • @neemaneychricious6493
      @neemaneychricious6493 10 หลายเดือนก่อน

      Hahahahahahahahahah hayaaaa bhan mbavu Sina makorongo tena jman daaah

  • @JonathanNelson-l8h
    @JonathanNelson-l8h 10 หลายเดือนก่อน

    Unapoga na goti 😂😂

  • @Officialrockzompa
    @Officialrockzompa 10 หลายเดือนก่อน

    Icho kimamu kinajikuta nani😂

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 10 หลายเดือนก่อน

    Malaya wa vingunguti kutwa vindala vya manyoya na vijora wapo kutafuta umaarufu tu hapo

  • @johnmwaura6635
    @johnmwaura6635 10 หลายเดือนก่อน

    Wabongo wasenge sana

  • @JoelOrio-jr4oq
    @JoelOrio-jr4oq 10 หลายเดือนก่อน

    Kweli wanachagua Sana ila kila mmj na riski yake

  • @RashidiMshana
    @RashidiMshana 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa wadada watazeekea hapa

  • @MusondoliRobert-ve4wz
    @MusondoliRobert-ve4wz 10 หลายเดือนก่อน

    Wasichana wa leo sijui wanataka nini ?

  • @LazandaSweety
    @LazandaSweety 10 หลายเดือนก่อน

    Uyu dada kama wale wanauza pombe za kilubunj kijijini

    • @MwaniPh
      @MwaniPh 10 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅

  • @Allymzaki
    @Allymzaki 10 หลายเดือนก่อน

    ASA kukataliwa na demu Baya kama hili utampta nin tena.

  • @ZainabOthman-wu4by
    @ZainabOthman-wu4by 10 หลายเดือนก่อน

    Wanachanguwa San wanajion sana Kwan apo wamekuja kujiuza au kutafuta wenza. Hunje Kuna wanawake wazur sana

    • @AlbinMsechu
      @AlbinMsechu 10 หลายเดือนก่อน

      Wanajisahau....wacha warudi mtaani

  • @MidjendjeniSalmata
    @MidjendjeniSalmata 10 หลายเดือนก่อน

    Ivi hii choo infanika ga wapi napenda kuangalia live 💖 ❤

  • @tumaxaad
    @tumaxaad 10 หลายเดือนก่อน

    Ipo hivi hao wakaka wanaongea profile zao ukijivurug kdg t huondok na mke kwaio itabdi na sasa hiv wadada waongee nao profile zao

  • @sinomiles
    @sinomiles 10 หลายเดือนก่อน

    Wanataka kuwa maarufu tu

  • @FatmaHamisi-b6d
    @FatmaHamisi-b6d 10 หลายเดือนก่อน

    😮Mariam ua not attractive kahovyoo na unaringa mm hata nipewe bure sichukui

  • @AlfredyTarimo
    @AlfredyTarimo 10 หลายเดือนก่อน

    Aeleweki atakua wafisi uyu

  • @gloriawahurire7870
    @gloriawahurire7870 10 หลายเดือนก่อน

    👍👍👍👍👍👍👍👍🏾

  • @danieligledson5697
    @danieligledson5697 10 หลายเดือนก่อน

    Mariam n wakawaida sana SEMA tunaheshim maon yake😊

    • @AlbinMsechu
      @AlbinMsechu 10 หลายเดือนก่อน +1

      Uko sahihi sanaa...ila jamaa asingepiga goti hapo ndo amezingua

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 10 หลายเดือนก่อน

    Muone wakisifiwa wanaona wazuuri

  • @MackKombole-jg9vv
    @MackKombole-jg9vv 7 หลายเดือนก่อน

    hataree

  • @johnsonjonathan4029
    @johnsonjonathan4029 10 หลายเดือนก่อน

    Doooh ila Alya umemuonea huruma huyo kaka

    • @MariamTemba-qz5hy
      @MariamTemba-qz5hy 10 หลายเดือนก่อน

      Sanaaa yn amekua disappoint sana adi bc. Kidem chenyew sasa kimekomaa kma hua kinatembeza tembele

    • @johnsonjonathan4029
      @johnsonjonathan4029 10 หลายเดือนก่อน

      @@MariamTemba-qz5hy hahaha ila Huwa nafatilia hiki kipindi sana wadada walio wengi wanazingua Bora hata wa mwanzoni kabisa alafu ni wanataka mwanaume awe na pesa nyingi sana je walipo Toka kwao zipo au wenyewe wanawake hao wanapesa

    • @zuenakhassim
      @zuenakhassim 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 yaani wewe​@@MariamTemba-qz5hy

    • @GloryNIYO86
      @GloryNIYO86 10 หลายเดือนก่อน

      ​@MariamTemb😂😂😂a-qz5hy

  • @nzeyimanaabdallah131
    @nzeyimanaabdallah131 10 หลายเดือนก่อน

    Elisa atokeee waweke wengine

  • @RoseMeshack-c9x
    @RoseMeshack-c9x 10 หลายเดือนก่อน

    Eliza Bado yupo tu jaman dahh

  • @allybaru
    @allybaru 10 หลายเดือนก่อน

    Aka mariam kanaonekana mcharuko

  • @نجمةكينيا
    @نجمةكينيا 10 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂🎉🎉

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 9 หลายเดือนก่อน

    Wajinga san wanawake hakuna alie zaliw na pesa pesa zinapatikan haphap dunian mbon wote hatukuw na pesa lakin tumetafuta sai tunazo

  • @AbdulAmour-fv5eb
    @AbdulAmour-fv5eb 10 หลายเดือนก่อน

    Ilokweli wanawake wa hapo wanataka umaarufu na matajiri tu yani hawana pwenti za kukataa wanaume