Listened to this song as a young girl and you can imagine how happy i am finding it here. It ministers to me specially. God bless you. Mob love from 🇰🇪
PLEASE CAN YOU KINDLY UPLOAD' WEWE NI MUNGU WETU' FROM THIS SAME ALBUM. MY BEST CHOIR OF ALL TIME FROM WAY BACK 90s. WHEN I BOUGHT A VIDEO CASSETTE TAPE IN THE STREETS NAIROBI.THE SONG IS ALWAYS A BIG BLESSING TO ME. ASANTE SANA.
Old school days when we would watch sayare tv ..it was realy a blessing..what a powerful choir.reminds of late mum lovely songs and sis who could immitate that soloist.
Wakati HUO inatoka nyimbo hii nolikuwa nimepata ajali mbaya mm na mtoto wangu tulitoka salama nikawa nashinda naangalia mikanda hii ASANTE SANA MUNGU KUNILINDA MM
Nyie ma bwana mdogo bana. Naomba mjieleze kabisaaa mko wapi? Hata kama mmezeeka si msiseme tu? Solo guitar na Bass guitar ndo vepeee sasa. Nina lunch zenu hapa Dsm....
UPENDO MNATULET DOWN SANA KWA KWELI WAPENDWA,ULIMWENGU UMEBADIRIKA SANA JARIBUNI KUENDANA NA KASI,TUNAHITAJI TUONE NYIMBO ZENU ZOTE KWENYE YOTUBE,TUMEMIC SANA NYIMBO ZENU
Naomba muupload wimbo unaosema chorus Pokea shukurani zetu bwana Kwasababu wewe pekee yako Ndio unastahili kuabudiwa Pamoja na kwamba tulikutenda dhambi Lakini bado ukamtuma mwana wako Aje kutukomboa
Nataka moyo wangu uwe enzi yako
Wakenya ni wangapi tunapenda huu wimbo pamoja na kwaya nzima tuinue mikono🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋🕊️🕊️💐🌷🌹🥀🖐️🖐️🖐️🖐️
🤚🤚
@@anastaciakokinzyimi2675 excellent choir
✋
Bila kutaja taifa lako utakuwa hujaridhika. Acha ukabila na ubaguzi sisi ni wamoja katika Kristo. Ulíza tu wangapi twaupenda huu wimbo. Inatosha.
@@nchimbirobert5926 Barikiwa sana ndugu hapo umeongea kitu cha msingi
Napenda Sana hizi nyimbo. Tafadhali weka pia Tazama Eliya. Nimeutafuta kwa muda mrefu Sana. Much love kutoka Kenya
This song remind me far
Huyu soloist nampenda sana kipa jichake na waimbaji wote pia .
Best of the Best.. yaani sichoki kusikiliza Upendo Choir.. sana sana hii album..
Nilipenda sana kwaya yenu, nilikuwa napita karb na duka lenu nasimama kusikilixa hizi nyimbo nikitoka shule 2003 form four
Izi ndo nyumba zangu,old is gold,old songs are more spiritual
Nyimbo nzuri tangu enzi za utoto nawapenda
Songs which made many pagans turn to Jesus and became good people in the society
Old is gold ❤ nlikuwa primary 🎉
I remember grabbing my mum's serving spoons trying to imitate the guitarists.....timeless music
Jamani kitambo hichooo ilikuaga raha sana nilikua nampenda huyo dada anaeimba solo hatari jamani
Ziwekwe kwenye streaming platforms kama spotify
So dope
Naombeni wimba wa dunia imeharibika kijana eee
Me pia nautatafuta
Sina cha kusema.Nimebaki nikilia.Nakumbuka 2003 - 2004 nikiwa A- level.Mungu awabariki daima kwaya hii
Aki nimefurahia kuupata huu wimbo waa iam happy
2024 and this song is still a blessing
Amen! Amen! You are also a blessing with your comments. It encourages us in our service to God.
Mtu afanye tu justice upload the full album 💯❣️
Yan hizi ndo zilikua kwaya kipindi hicho mtu huchoki kusikiliza
Nilikuwa kijana mdogo now nimekuwa mbaba such a great song…
It reminds me of 2002, I was in standard one though 😀.. God is good
Tupo pamoja
dah..st james parish kaloleni miaka ya 2000...duh...
Jamani nawapenda nyie watu nyie na huu wimbo aseeeee mbarikiwa kwakweli
Reminds me of my olden golden days. Draws me really close to God.
This just reminded me of my childhood. Please upload Tazama Eliya. Bless you
Barikiweni upendo kwaya nawapenda sana by Rehema Gomile from kitunda Anglican Dar es salaam
th-cam.com/video/xILY5outhcQ/w-d-xo.html
I loved that song Tazama Eliya
Huyu dada kwangu alikuwa ze best
Am happy to have found this song, it reminds me of good memories when i was still young
Nakumbuka ilikua inapigwa redio sauti ya injili nikiwa darasa la pili today niko 30 years.I love God
Old is good . Nyimbo nzuri Sana’a
My all the time favorite song from upendo choir
Inanikumbusha mbali Sana , Mama izi ndizo zilikuwa nyimbo zake mpaka sasa.
Listened to this song as a young girl and you can imagine how happy i am finding it here.
It ministers to me specially. God bless you. Mob love from 🇰🇪
Daaah those days back when I was young
When listeni to this song, lazima nifungue kinywa kuiga sauti ya sololist😄😄😄.Mungu awabariki upendo choir
Napenda sana nyimbo zenu .nabarikiwa sana
I remember I used to dance the song at my young age now am 24 . I still remember ♥️♥️
If now your 24yrs you was not dance this song at all,this was below 2thousands.Be Blessed .
Mmenikumbusha mbali Sana na bado nabarikiwa Sana na nyimbo zetu.Nasubiria zingne kama;Tazama Eliya na Asante Sana Bwana
Dada aliye soro uu wimbo mbona simuoni kwenye nyimbo mpya tumuone akisoro Tena mungu awabariki
Duuuuuuh nilikua form two 99 namkumbuka mbali
Jmn hii kwaya ni ya mwaka 1967 kweli?
Ni kweli kabisa
Sweet song.
A real worship
Great song.cant get enough of it.mbarikiwe sana
Safi safi, huyu solo alitendea haki nyimbo hizi. Naomba mawasiliano yake wapendwa
Mie niko Mwanza
Wimbo mzuri mno
Upendo Choir Mbarikiwe saana
I first heard this song when i was in class 2003 but it still sound like its released this minute mungu azidi kutamba milele Amen
mungu naomba uwahifadh watumish hawa
Amen sana
🙏🙏🙏shukranii sana kwa alouproad wimbo huuu nakumbka nilkuwa mtoto saba
I used to this when i was a toddler 😂😂I'm 21 proud to say i remember the lyrics 😇
PLEASE CAN YOU KINDLY UPLOAD' WEWE NI MUNGU WETU' FROM THIS SAME ALBUM. MY BEST CHOIR OF ALL TIME FROM WAY BACK 90s. WHEN I BOUGHT A VIDEO CASSETTE TAPE IN THE STREETS NAIROBI.THE SONG IS ALWAYS A BIG BLESSING TO ME. ASANTE SANA.
Tafadhali watuwekee nyimbo album full kwa TH-cam
Hakika uwepo wenu unatubaliki sana
Mbarikiwee
Mungu awabariki waimbaji
Nawakubari sana Upendo kwaya
Old school days when we would watch sayare tv ..it was realy a blessing..what a powerful choir.reminds of late mum lovely songs and sis who could immitate that soloist.
Sayare Reminise
Amen 🙏🙏🙏
Mungu awbariki Sanaaa nazipenda sana hizi nyimbo..ongereni Jana nimeona mmezindua toleo lingine..
❤nawapenda sn upendo Kwaya kitambo sn najumbuka mbali Sana ❤
Remind me so far
Ameen
Woow
Nabarikiwa sana nisikiapo wimbo huu Eee mwenyezi Mungu uwabariki sana hawa ndugu
Nawapenda sana Mungu abariki huduma zenu ziweza uwepo wa Mungu na upako wa kiMungu
Wp john mtangooop na kati na mzeee mlunga
Here after finding furaha gani has been converted .. Upendo choir keep going. 🙏
MUNGU awabariki san hawa waimbaji wa st James nyimbo znagusa san mbarikiwe Sana san
Wakati HUO inatoka nyimbo hii nolikuwa nimepata ajali mbaya mm na mtoto wangu tulitoka salama nikawa nashinda naangalia mikanda hii ASANTE SANA MUNGU KUNILINDA MM
❤❤❤❤❤❤❤❤Amen amen ba Binti y’a Buana Yesu
Nawapenda!
Mbarikiwe Sana waimbaji wetu mmenifanya nikumbuke mbali sana.
Awesome
Nyie ma bwana mdogo bana. Naomba mjieleze kabisaaa mko wapi? Hata kama mmezeeka si msiseme tu? Solo guitar na Bass guitar ndo vepeee sasa. Nina lunch zenu hapa Dsm....
I grew up listening to these songs as a child.
Please upload Tazama Eliya
UPENDO MNATULET DOWN SANA KWA KWELI WAPENDWA,ULIMWENGU UMEBADIRIKA SANA JARIBUNI KUENDANA NA KASI,TUNAHITAJI TUONE NYIMBO ZENU ZOTE KWENYE YOTUBE,TUMEMIC SANA NYIMBO ZENU
Hy nyimbo niya siku nyingi 1967
Mhhh 67 au 97
Huyu lead solo lady ako wapi? Very beautiful singing
youtube.com/@lizzybethmayengoh?si=uaMe3y0d1gzrdIIp
Oh i love this song so much
Feels good to reminisce on such amazing songs🤗
Mbalikiwe
Huyu soloist yupo wapi atakuwa mama sasa
youtube.com/@lizzybethmayengoh?si=uaMe3y0d1gzrdIIp
Hi
Naomba muupload wimbo unaosema chorus
Pokea shukurani zetu bwana
Kwasababu wewe pekee yako
Ndio unastahili kuabudiwa
Pamoja na kwamba tulikutenda dhambi
Lakini bado ukamtuma mwana wako
Aje kutukomboa
Daah Hii nyimbo hii 🙌🏾🙌🏾