Music video by Elizabeth Maliganya song titled ''MAGUFULI-OMKAYA '' Video directed by doyer Maziwa please share,comment and subscribe our channel thank you
Nashukuru sana mama angu kuolewa usukumani na nikapata damu ya chaga and sukuma nakukubali sana dada angu japo uncle magu atupo nae ila nyimbo hii itaendelea kuishi daima mioyoni mwetu,,,kisukuma raha sana
Hakika wimbo mzuri kwa hisia kali hadi unahisi kutokwa na machozi..Kiongozi aliyewahi kukubalika sana mchapakazi ..Ama kweli ardhi haishibi imemeza wengi wazuri tuwapendao
Huu wimbo ni mzuri mno naupenda nampenda Rais wangu Lisu alivyokua akimtukana nilikuwa Nalia sikutaka tena kumsikiliza Lisu Moyo ulikuwa unaniuma niliumia saana mwimbo huu lugha Mama yangu usikiliza natoa chozi namkumbuka mama yangu Misuka Souz Mwana Masanja Mwenyeezimungu amrehe Mama yangu akipenda saana kuimba nyimbo za kisukuma na kinyamwezi maneno ni mamoja tofauti utamkaji.
Nimekumbuka mbali sana! Pumzika kwa Amani Baba yetu mkombozi wa Tanzania ya Magufuli. Hongera pia Elizabeth kwa kujaliwa kutunga wimbo mzuri .... Mungu akubariki sana!
Africa we need MAGUFULIFICATION for change and brings prosperity for citizens. His greatest Leader of Africa. Rest in perfect peace my late president Dr JPM.
yaàn huwa nipiga picha enzi hizo ,,Magufuri,,Mama Samia ,,Majaliwa,, Mangula,,,Bashuru,,Polepole na Janeth Magufuri,,,na team yake ilinipa raha sanaaa,,,lakin Leo yamegeuka maumivu makali 🙆🙆🙆🙆🙅🙅💔💔💔💔💔💔🤐🤐🤐🤐🤐🤐
I miss Magufuli so terribly. This man will ever live in our thoughts.. He was the right man for Tz and never ever we will get a man like him. He was so special.
Mwaka 2015 kulikuwa na wimbo unafanana na huu alikuwa anasema ccm chama kubwa ngombe mwenye pembe kubwa katikati ya wengine daaaaah nilikuwa naucheza bila kujua mwimbaji sasa hivi nimefurahi kumwona live
Huu wimbo unaweza kusuluhisha mgogoro wowote wa kisiasa daaah hapa pembeni mwangu kuna mwanachadema anacheza kimyakimya hadi ameshindwa kujizuia kasema kweli awamu hii mnavutia kila idara mmejipanga
Pumzika salama Rais Magufuli nimekumbuka Kasi yako na Mhe Majaliwa tulikuwa tunasikia Raha kuwaona piga kazi Mhe Majaliwa Mungu akufiche kwenye Damuni mwake Magufuli alikuwa ni mwanadamu sio Malaika tusimhukumu RIP JPM
ELIZABETH ULIIMBA WIMBO MZURI SANA NAUPENDA SANA NIKISIKILIZA NAHISI MAUMIVU YA ANKO JPM PUMZIKA KWA AMANI BABA TULIKUPENDA SANA ILA MUNGU ALIKUPENDA ZAIDI AMINA
Nakueleawa sanaa dadaake wap like kwamsukuma🌹🌹🌹
Kila nisikiliza najikuta nalia R.I.P BABA ANGU😭😭😭😭😭
mimi huwa machozi yanatoka na roho inauma sana
Nimekuja hapa baada ya msiba wa Magufuli! Naamini Magufuli atadumu katika mioyo yetu!
Fikra zake zitadumu milele katika taifa hili
Sana nilikuwa nampenda sana magu
Nilikupenda Rais wangu Shujaa wa Tanzania na Afrika utaishi ktk mioyo yetu pumzika Baba..! 😭😭😭😭
Nakupenda Sana mtani wangu mungu akupe nguvu zamilele
so nice song though we lost him 💔 but forever in our hearts 💕
Waooooh wasukuma mpo vizurii
Huu wimbo unatibu ugonjwa wa Msongo wa Mawazo 👏👏👏
Sala na Kazi
Dada Yuko vizuri kapambana sana
Hahahahaha uwiiiiiii nmecheka mpk watu wameniangalia ata mm kichwa kilikuwa kinauma hapa kimepona
😄👍
JPM alikuwa Jembe kweli Kweli ukimfikiria lazima upate msongo wa mawazo
baba alifia Tanganyika 1943 mimi ni mKenya mjerumanihata mimi nataka kuzikwa Tanzania, Tanzania naipnda sana
Elizabeth maliganya pambeeeee wa simiyu tujuane apa
Tupo watu wa simiyu
Nashukuru sana mama angu kuolewa usukumani na nikapata damu ya chaga and sukuma nakukubali sana dada angu japo uncle magu atupo nae ila nyimbo hii itaendelea kuishi daima mioyoni mwetu,,,kisukuma raha sana
Nakumbuka mbali enzi za baba yetu mpedwa pumzika Kwa Amani kipenzi chetu
Hakika wimbo mzuri kwa hisia kali hadi unahisi kutokwa na machozi..Kiongozi aliyewahi kukubalika sana mchapakazi ..Ama kweli ardhi haishibi imemeza wengi wazuri tuwapendao
Shunja wetu pumuzika kwa Aman 😭 😭😭😭😭
Huu wimbo ni mzuri mno naupenda nampenda Rais wangu Lisu alivyokua akimtukana nilikuwa Nalia sikutaka tena kumsikiliza Lisu Moyo ulikuwa unaniuma niliumia saana mwimbo huu lugha Mama yangu usikiliza natoa chozi namkumbuka mama yangu Misuka Souz Mwana Masanja Mwenyeezimungu amrehe Mama yangu akipenda saana kuimba nyimbo za kisukuma na kinyamwezi maneno ni mamoja tofauti utamkaji.
Lissu kumtukana alikua sahihi kwa sababu maguful nae alikua na mavisas ya hovyo sana
Wimbo wa kutibu maradhi ya Moyo big up ELIZA
Hahaaaa
Kabisa 😭😭😭
Wimbo umetulia sana hongera mnooo!!!!
Mwimbo wangu saaana🇧🇮🇧🇮
🙏
Nimekumbuka mbali sana! Pumzika kwa Amani Baba yetu mkombozi wa Tanzania ya Magufuli. Hongera pia Elizabeth kwa kujaliwa kutunga wimbo mzuri .... Mungu akubariki sana!
Amen mubarikiwe kwakweli Magufuli ni Rais pekee wa Tanzania yani kila kitu handi Raha
Mimi. Cyo msukuma ila sichoki kisikiliza hii nyimbo kazi nzuri Dada lizy
Africa we need MAGUFULIFICATION for change and brings prosperity for citizens.
His greatest Leader of Africa.
Rest in perfect peace my late president Dr JPM.
The man will be missed forever..It is hard to believe Magufuli has gone and will never come back. Life isn't fair.
Dah bx tu jmn,!!
WASUKUMA wenzangu naombeni like hata zenu kwa Wimbo huu Pendwa.
tupo pamoja
bro hata wale ambao sio waskuma tumpenda kama mm niko kenya lkn napnda xna huyo mzee
@@ElizabethMaliganya mm
@@ElizabethMaliganyaunifundishe kisukuma bas jmn ?
Sister Maliganya wa moto sana unaimba mpaka sichoki kurudia kutizama nyimbo zako
Hongera mama
Wimbo wangu pendwa,,,tumempata komba mwingine kutoka usukumani👏👏👏👏👏👏👏
I love this song
Nilichelewa kuupata huu wimbo...hii ni passport hata nje ya nchi unasafiri kabisa ...john pombe omkaya ghedogatolele
Kila nikiutizama wimbo roho inaniuma jamani magufuri wetu
, mwanga wa milele umwangazie eeee bwana 😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿 Iko katka wingu ziti baada ya mungu kumchukua mja wake RIP Jpm
😭😭😭kama yupo t JPM jaman ...mungu akuongeezee Eliza
Jamani nimekupenda kwa wimbo huu jamani
Pumzika kwa Amani baba yetu lakn mioyon mwetu utadumu milele, ahsante dada Elizabeth kwa wimbo mzur.
Hiyo ngoma kwl iliandikwa na ikandikika n bonge la ngoma
Likes from kenya
Karibu Tanzania
@@ElizabethMaliganya hahahhaha Tz kumenoga!!!!
Vichekrsho
Hongera Sana dada sina cha kukupa mngu akuzidishie Kwa nyimbo za kisukuma unatupa furaha wasukuma
yaàn huwa nipiga picha enzi hizo ,,Magufuri,,Mama Samia ,,Majaliwa,, Mangula,,,Bashuru,,Polepole na Janeth Magufuri,,,na team yake ilinipa raha sanaaa,,,lakin Leo yamegeuka maumivu makali 🙆🙆🙆🙆🙅🙅💔💔💔💔💔💔🤐🤐🤐🤐🤐🤐
Wallàh nahuzunikaga sana mie,ila mungu yupo tunapita wote,yaani hakiyamungu namachungu sana,mungu nisamehe tu
Nyimbo haichoshi kwakweli bado naiskliza 2021
I miss Magufuli so terribly. This man will ever live in our thoughts.. He was the right man for Tz and never ever we will get a man like him. He was so special.
For sure!!!
Pas seulement à la Tanzanie mais à toute l'Afrique. Pour moi il est le meilleur président de toute l'histoire africaine.
@@moratwaya8923 fw
MF l
Magufuri wangu masikini 😭😭😭😭😭 daaah ad machoz
Tulishaanza kupanda basi la makabila......hatuwezi kurudi hoko!
Huyu dada nazani aliongozwa na mungu kutunga nyimbo zinazoleta tiba ya kuondoa mastles mungu amlinde
The best!
Mayu ulinmhola napenda sana nyimbo zako mungu akujalie mwanamaliganya
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mwana maliganya
Hahahaaaààaaaaaaaaaaa Yaani Elizabeth sikuwezi uko vizuri mnooo, havieleweki. Big up mummy.
Ni mgumu sana kusahau JEMBE, Mungu alitoa na ndie aliyetwaa. Kalale pema daima Watanzania tutakukumbuka.
Elizabeth hongera sana wew ni kati yawaliojifikiria kiburudisho cha watanzania na kujitoa kwa ajil ya uchaguzi hakika umeweza
Huu wimbo nlkuwa naupenda
Ongopa ni Hatari 🚨🚨🚨🚨🚨🚨 kanyimbo kanzr mno Madam hongera san@🎉🎉🎉🎉
😭😭😭 tunabaki kulia tu pumnzika jpm
Mwaka 2015 kulikuwa na wimbo unafanana na huu alikuwa anasema ccm chama kubwa ngombe mwenye pembe kubwa katikati ya wengine daaaaah nilikuwa naucheza bila kujua mwimbaji sasa hivi nimefurahi kumwona live
Aksante sana. CCM ni bomber siku zote kidumu Chama cha Mapinduzi.ccm safi sana
Dah! Dada unapiga , nyimbo zako ziko bomba Asante sana
I love it
❤ pamoja Sana msukuma mwezangu
Wabeja Sana Elizabeth
Fafanua au imba kwa Kiswahili maana hizo lugha wengine hatuzijui kabisaa
Asante Tunalifanyia Kazi
Kweli
@@ElizabethMaliganya unanyimbo mzuri sana mamy hongera nitakuita kwenye harusi yangu mwezi wa kumi na moja kalibu sana
Tuko chisonga sana
Jamani nakupenda huu wimbo hadi basi
Uje ufanye show haya maeneo yetu ndagalu-magu. Upo vzuri sana
Ukabhyala igembe sanaaa Mungu akutunze huko uliko
Magufuli, shujaa wa Afrika, dume kweli.
Wasukuma motooooo
Upo vzr sana hongela dada
Wabeja Eliza❤️
.
Itapendeza
Yaani jamani kazi mungu Ha
Nagubali mwanakwetu elizabeth p1🙏 mwimbo mzuri 💚💛
Namkumbuka sana simba,wajina wa babangu, we kifo turudishie magufuli wetu tunalia bila matumaini
Nyangurunguru kukaya hayati magufuli lalanga mola baba😢😢😢😢😢
Huu unaushawishi nimeupenda
Mwenyezi Mungu mlaze mahali pema peponi rais Magufuli 😭😭😭
Safi
Hongera sana dadangu
Wimbo mzuri sana
Nabaki kuwa na huzunu tuuuuu kweli kipind cha jpm ccm ilikua inavutia jaman
Congratulations keep it up good job ❤🎉
Huu wimbo unaweza kusuluhisha mgogoro wowote wa kisiasa daaah hapa pembeni mwangu kuna mwanachadema anacheza kimyakimya hadi ameshindwa kujizuia kasema kweli awamu hii mnavutia kila idara mmejipanga
Sahviii baba amelala jamniii naumia mie tongelaga baba
You voice for milele na milele😭😭 joni pombe unatutia kiwewe
Baba amka uone ulivyokuwa unapendwa
Pumzika salama Rais Magufuli nimekumbuka Kasi yako na Mhe Majaliwa tulikuwa tunasikia Raha kuwaona piga kazi Mhe Majaliwa Mungu akufiche kwenye Damuni mwake
Magufuli alikuwa ni mwanadamu sio Malaika tusimhukumu RIP JPM
Nyimbo nzuri
R.I.P MY president
Daa pumzika kwa amani baba
Walasile munomo mayu
Pumzika kwa amani.baba
magufuli kipenzi chetu pumzika Baba yetu
Nataka nyimbo za
Mwaba magu
Nimelia Sana MAGUFURI uko wapi baba
Kaz nzur dada
Inapendeza Sanaa ❤️❤️❤️❤️
One in a million
Mlitamba saaana miak 5 😭 mtalia milele
❤❤❤❤
Huu wimbo utabaki milele
ELIZABETH ULIIMBA WIMBO MZURI SANA NAUPENDA SANA NIKISIKILIZA NAHISI MAUMIVU YA ANKO JPM PUMZIKA KWA AMANI BABA TULIKUPENDA SANA ILA MUNGU ALIKUPENDA ZAIDI AMINA
Definitely yes!!!was the great Hero
🌹🌹🌹🌹pga kelele kwa msukuma oyeeeeee
Kigogo akiona hii atasema mtunzi ana Corona🤣🤣🤣 jamaa anawivu sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂Kweli aise
Ni machozi na huzuni nyingi kwa hizi kumbukizi. Mungu uikumbuke TZ
Nakubali ,