MAGUFULI-OMKAYA-(Official music video) By Elizabeth Maliganya

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 พ.ย. 2020
  • Music video by Elizabeth Maliganya song titled ''MAGUFULI-OMKAYA '' Video directed by doyer Maziwa please share,comment and subscribe our channel thank you
  • เพลง

ความคิดเห็น • 282

  • @annalucas2430
    @annalucas2430 3 ปีที่แล้ว +40

    Nakueleawa sanaa dadaake wap like kwamsukuma🌹🌹🌹

  • @rezegerezege691
    @rezegerezege691 2 ปีที่แล้ว +14

    Kila nisikiliza najikuta nalia R.I.P BABA ANGU😭😭😭😭😭

    • @geey7893
      @geey7893 26 วันที่ผ่านมา

      mimi huwa machozi yanatoka na roho inauma sana

  • @shumbusho8579
    @shumbusho8579 3 ปีที่แล้ว +29

    Nimekuja hapa baada ya msiba wa Magufuli! Naamini Magufuli atadumu katika mioyo yetu!

    • @dannynsajigwa4661
      @dannynsajigwa4661 3 ปีที่แล้ว

      Fikra zake zitadumu milele katika taifa hili

    • @calvinmwasambili4080
      @calvinmwasambili4080 2 ปีที่แล้ว

      Sana nilikuwa nampenda sana magu

    • @mosesmjahas7778
      @mosesmjahas7778 2 ปีที่แล้ว

      Nilikupenda Rais wangu Shujaa wa Tanzania na Afrika utaishi ktk mioyo yetu pumzika Baba..! 😭😭😭😭

  • @MathaJustin
    @MathaJustin หลายเดือนก่อน

    Nakupenda Sana mtani wangu mungu akupe nguvu zamilele

  • @lydiakatunguti8051
    @lydiakatunguti8051 2 ปีที่แล้ว +16

    so nice song though we lost him 💔 but forever in our hearts 💕

  • @evelynebwire7684
    @evelynebwire7684 3 ปีที่แล้ว +13

    Waooooh wasukuma mpo vizurii

  • @officalmsafijunior1031
    @officalmsafijunior1031 3 ปีที่แล้ว +36

    Huu wimbo unatibu ugonjwa wa Msongo wa Mawazo 👏👏👏

    • @francismigongwa6112
      @francismigongwa6112 3 ปีที่แล้ว +1

      Sala na Kazi

    • @veryfridackzm8493
      @veryfridackzm8493 3 ปีที่แล้ว +1

      Dada Yuko vizuri kapambana sana

    • @zaitunirajabu9671
      @zaitunirajabu9671 3 ปีที่แล้ว +2

      Hahahahaha uwiiiiiii nmecheka mpk watu wameniangalia ata mm kichwa kilikuwa kinauma hapa kimepona

    • @nicemwasumbi8922
      @nicemwasumbi8922 3 ปีที่แล้ว

      😄👍

    • @gracejulius3966
      @gracejulius3966 2 ปีที่แล้ว +1

      JPM alikuwa Jembe kweli Kweli ukimfikiria lazima upate msongo wa mawazo

  • @wanzueni
    @wanzueni 3 ปีที่แล้ว +7

    baba alifia Tanganyika 1943 mimi ni mKenya mjerumanihata mimi nataka kuzikwa Tanzania, Tanzania naipnda sana

  • @jacklinemashaka9027
    @jacklinemashaka9027 3 ปีที่แล้ว +12

    Elizabeth maliganya pambeeeee wa simiyu tujuane apa

  • @ricksonlyimo5594
    @ricksonlyimo5594 3 ปีที่แล้ว +7

    Nashukuru sana mama angu kuolewa usukumani na nikapata damu ya chaga and sukuma nakukubali sana dada angu japo uncle magu atupo nae ila nyimbo hii itaendelea kuishi daima mioyoni mwetu,,,kisukuma raha sana

    • @user-xm2mf1ch3h
      @user-xm2mf1ch3h 9 หลายเดือนก่อน

      Nakumbuka mbali enzi za baba yetu mpedwa pumzika Kwa Amani kipenzi chetu

  • @danstanpanga8490
    @danstanpanga8490 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika wimbo mzuri kwa hisia kali hadi unahisi kutokwa na machozi..Kiongozi aliyewahi kukubalika sana mchapakazi ..Ama kweli ardhi haishibi imemeza wengi wazuri tuwapendao

  • @bahatimohamedi720
    @bahatimohamedi720 2 ปีที่แล้ว +8

    Shunja wetu pumuzika kwa Aman 😭 😭😭😭😭

  • @mossymtwana6422
    @mossymtwana6422 3 ปีที่แล้ว +6

    Huu wimbo ni mzuri mno naupenda nampenda Rais wangu Lisu alivyokua akimtukana nilikuwa Nalia sikutaka tena kumsikiliza Lisu Moyo ulikuwa unaniuma niliumia saana mwimbo huu lugha Mama yangu usikiliza natoa chozi namkumbuka mama yangu Misuka Souz Mwana Masanja Mwenyeezimungu amrehe Mama yangu akipenda saana kuimba nyimbo za kisukuma na kinyamwezi maneno ni mamoja tofauti utamkaji.

    • @makobamasawemangu4122
      @makobamasawemangu4122 10 หลายเดือนก่อน

      Lissu kumtukana alikua sahihi kwa sababu maguful nae alikua na mavisas ya hovyo sana

  • @boniphacenyamhanga9395
    @boniphacenyamhanga9395 3 ปีที่แล้ว +18

    Wimbo wa kutibu maradhi ya Moyo big up ELIZA

  • @salambalukali216
    @salambalukali216 3 ปีที่แล้ว +15

    Wimbo umetulia sana hongera mnooo!!!!

  • @nusra2574
    @nusra2574 3 ปีที่แล้ว +16

    Mwimbo wangu saaana🇧🇮🇧🇮

  • @danielbukwimba6149
    @danielbukwimba6149 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekumbuka mbali sana! Pumzika kwa Amani Baba yetu mkombozi wa Tanzania ya Magufuli. Hongera pia Elizabeth kwa kujaliwa kutunga wimbo mzuri .... Mungu akubariki sana!

  • @rehemamagulwa8143
    @rehemamagulwa8143 3 ปีที่แล้ว +9

    Amen mubarikiwe kwakweli Magufuli ni Rais pekee wa Tanzania yani kila kitu handi Raha

  • @menradazakaria311
    @menradazakaria311 3 ปีที่แล้ว +4

    Mimi. Cyo msukuma ila sichoki kisikiliza hii nyimbo kazi nzuri Dada lizy

  • @josephatkiliko2546
    @josephatkiliko2546 2 ปีที่แล้ว +2

    Africa we need MAGUFULIFICATION for change and brings prosperity for citizens.
    His greatest Leader of Africa.
    Rest in perfect peace my late president Dr JPM.

  • @fridamulinda5693
    @fridamulinda5693 2 ปีที่แล้ว +4

    The man will be missed forever..It is hard to believe Magufuli has gone and will never come back. Life isn't fair.

  • @NesphorycharlesMalando-dq2qc
    @NesphorycharlesMalando-dq2qc 5 หลายเดือนก่อน

    Dah bx tu jmn,!!

  • @officalmsafijunior1031
    @officalmsafijunior1031 3 ปีที่แล้ว +44

    WASUKUMA wenzangu naombeni like hata zenu kwa Wimbo huu Pendwa.

    • @ElizabethMaliganya
      @ElizabethMaliganya  3 ปีที่แล้ว +2

      tupo pamoja

    • @kennedyngungu1220
      @kennedyngungu1220 3 ปีที่แล้ว +2

      bro hata wale ambao sio waskuma tumpenda kama mm niko kenya lkn napnda xna huyo mzee

    • @anethmbwaga8814
      @anethmbwaga8814 3 ปีที่แล้ว

      @@ElizabethMaliganya mm

    • @elimuvisioncenter
      @elimuvisioncenter ปีที่แล้ว

      ​@@ElizabethMaliganyaunifundishe kisukuma bas jmn ?

  • @ibrahimjohn8314
    @ibrahimjohn8314 2 ปีที่แล้ว +1

    Sister Maliganya wa moto sana unaimba mpaka sichoki kurudia kutizama nyimbo zako

  • @lydiasamwelmaige8270
    @lydiasamwelmaige8270 ปีที่แล้ว

    Hongera mama

  • @luhanyamipawantobi6888
    @luhanyamipawantobi6888 3 ปีที่แล้ว +11

    Wimbo wangu pendwa,,,tumempata komba mwingine kutoka usukumani👏👏👏👏👏👏👏

  • @daviddotto3529
    @daviddotto3529 3 ปีที่แล้ว +6

    Nilichelewa kuupata huu wimbo...hii ni passport hata nje ya nchi unasafiri kabisa ...john pombe omkaya ghedogatolele

    • @shaniabdul8866
      @shaniabdul8866 2 ปีที่แล้ว

      Kila nikiutizama wimbo roho inaniuma jamani magufuri wetu

  • @abellutonja4589
    @abellutonja4589 2 ปีที่แล้ว +1

    , mwanga wa milele umwangazie eeee bwana 😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿 Iko katka wingu ziti baada ya mungu kumchukua mja wake RIP Jpm

  • @chollejr_
    @chollejr_ 2 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭kama yupo t JPM jaman ...mungu akuongeezee Eliza

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamani nimekupenda kwa wimbo huu jamani

  • @annadotto2429
    @annadotto2429 ปีที่แล้ว +1

    Pumzika kwa Amani baba yetu lakn mioyon mwetu utadumu milele, ahsante dada Elizabeth kwa wimbo mzur.

  • @allenpeter5298
    @allenpeter5298 3 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ngoma kwl iliandikwa na ikandikika n bonge la ngoma

  • @twerkentertainment6362
    @twerkentertainment6362 3 ปีที่แล้ว +21

    Likes from kenya

  • @michaelmayunga9747
    @michaelmayunga9747 ปีที่แล้ว

    Hongera Sana dada sina cha kukupa mngu akuzidishie Kwa nyimbo za kisukuma unatupa furaha wasukuma

  • @ntobolomasanja9564
    @ntobolomasanja9564 3 ปีที่แล้ว +1

    yaàn huwa nipiga picha enzi hizo ,,Magufuri,,Mama Samia ,,Majaliwa,, Mangula,,,Bashuru,,Polepole na Janeth Magufuri,,,na team yake ilinipa raha sanaaa,,,lakin Leo yamegeuka maumivu makali 🙆🙆🙆🙆🙅🙅💔💔💔💔💔💔🤐🤐🤐🤐🤐🤐

  • @ashamakwaiya8749
    @ashamakwaiya8749 2 ปีที่แล้ว

    Wallàh nahuzunikaga sana mie,ila mungu yupo tunapita wote,yaani hakiyamungu namachungu sana,mungu nisamehe tu

  • @marysteward6203
    @marysteward6203 3 ปีที่แล้ว +2

    Nyimbo haichoshi kwakweli bado naiskliza 2021

  • @fridathomassen5898
    @fridathomassen5898 2 ปีที่แล้ว +9

    I miss Magufuli so terribly. This man will ever live in our thoughts.. He was the right man for Tz and never ever we will get a man like him. He was so special.

    • @moratwaya8923
      @moratwaya8923 2 ปีที่แล้ว +1

      For sure!!!

    • @armelngondet2619
      @armelngondet2619 2 ปีที่แล้ว +1

      Pas seulement à la Tanzanie mais à toute l'Afrique. Pour moi il est le meilleur président de toute l'histoire africaine.

    • @hemessolitei8571
      @hemessolitei8571 2 ปีที่แล้ว

      @@moratwaya8923 fw
      MF l

  • @khadijajacobo627
    @khadijajacobo627 ปีที่แล้ว

    Magufuri wangu masikini 😭😭😭😭😭 daaah ad machoz

  • @bonifacechengula6117
    @bonifacechengula6117 2 ปีที่แล้ว

    Tulishaanza kupanda basi la makabila......hatuwezi kurudi hoko!

  • @sylvesterjohn1493
    @sylvesterjohn1493 ปีที่แล้ว

    Huyu dada nazani aliongozwa na mungu kutunga nyimbo zinazoleta tiba ya kuondoa mastles mungu amlinde

  • @zenapembe3170
    @zenapembe3170 3 ปีที่แล้ว +9

    The best!

  • @MichaelJames-qe5nz
    @MichaelJames-qe5nz ปีที่แล้ว

    Mayu ulinmhola napenda sana nyimbo zako mungu akujalie mwanamaliganya

    • @MichaelJames-qe5nz
      @MichaelJames-qe5nz ปีที่แล้ว

      ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mwana maliganya

  • @margarethorgenes4874
    @margarethorgenes4874 3 ปีที่แล้ว +5

    Hahahaaaààaaaaaaaaaaa Yaani Elizabeth sikuwezi uko vizuri mnooo, havieleweki. Big up mummy.

  • @gavanaluyagwah1405
    @gavanaluyagwah1405 2 ปีที่แล้ว

    Ni mgumu sana kusahau JEMBE, Mungu alitoa na ndie aliyetwaa. Kalale pema daima Watanzania tutakukumbuka.

  • @julianasamwel6469
    @julianasamwel6469 3 ปีที่แล้ว +1

    Elizabeth hongera sana wew ni kati yawaliojifikiria kiburudisho cha watanzania na kujitoa kwa ajil ya uchaguzi hakika umeweza

  • @faithmapondo7370
    @faithmapondo7370 ปีที่แล้ว

    Huu wimbo nlkuwa naupenda

  • @AnthonyNyanda
    @AnthonyNyanda 3 หลายเดือนก่อน

    Ongopa ni Hatari 🚨🚨🚨🚨🚨🚨 kanyimbo kanzr mno Madam hongera san@🎉🎉🎉🎉

  • @edimalankohapanakungojaleo5619
    @edimalankohapanakungojaleo5619 3 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭 tunabaki kulia tu pumnzika jpm

  • @danstanpanga8490
    @danstanpanga8490 3 ปีที่แล้ว +1

    Mwaka 2015 kulikuwa na wimbo unafanana na huu alikuwa anasema ccm chama kubwa ngombe mwenye pembe kubwa katikati ya wengine daaaaah nilikuwa naucheza bila kujua mwimbaji sasa hivi nimefurahi kumwona live

  • @charleselijah-vq3hq
    @charleselijah-vq3hq 5 หลายเดือนก่อน

    Aksante sana. CCM ni bomber siku zote kidumu Chama cha Mapinduzi.ccm safi sana

    • @saimonmasalu
      @saimonmasalu 3 หลายเดือนก่อน

      Dah! Dada unapiga , nyimbo zako ziko bomba Asante sana

  • @saidmwayoyo9247
    @saidmwayoyo9247 3 ปีที่แล้ว +4

    I love it

  • @user-rm4rh6le2x
    @user-rm4rh6le2x ปีที่แล้ว

    ❤ pamoja Sana msukuma mwezangu

  • @JacksonNovatM
    @JacksonNovatM 3 ปีที่แล้ว +1

    Wabeja Sana Elizabeth

  • @chiefmtoto1365
    @chiefmtoto1365 3 ปีที่แล้ว +2

    Fafanua au imba kwa Kiswahili maana hizo lugha wengine hatuzijui kabisaa

    • @ElizabethMaliganya
      @ElizabethMaliganya  3 ปีที่แล้ว

      Asante Tunalifanyia Kazi

    • @presseg.6362
      @presseg.6362 3 ปีที่แล้ว +1

      Kweli

    • @mariamubonifac3775
      @mariamubonifac3775 3 ปีที่แล้ว

      @@ElizabethMaliganya unanyimbo mzuri sana mamy hongera nitakuita kwenye harusi yangu mwezi wa kumi na moja kalibu sana

  • @ilmeldaliwanga-5772
    @ilmeldaliwanga-5772 6 หลายเดือนก่อน

    Tuko chisonga sana

  • @salamanauthar480
    @salamanauthar480 2 ปีที่แล้ว

    Jamani nakupenda huu wimbo hadi basi

  • @mauthamani
    @mauthamani 3 ปีที่แล้ว +1

    Uje ufanye show haya maeneo yetu ndagalu-magu. Upo vzuri sana

  • @ezekielenock8249
    @ezekielenock8249 2 ปีที่แล้ว

    Ukabhyala igembe sanaaa Mungu akutunze huko uliko

  • @Crabtree1844
    @Crabtree1844 2 ปีที่แล้ว

    Magufuli, shujaa wa Afrika, dume kweli.

  • @teddylameck21
    @teddylameck21 3 ปีที่แล้ว +3

    Wasukuma motooooo

  • @SikudhaniRama-ye6be
    @SikudhaniRama-ye6be ปีที่แล้ว

    Upo vzr sana hongela dada

  • @alexkabeho5609
    @alexkabeho5609 3 ปีที่แล้ว +13

    Wabeja Eliza❤️

  • @mwajumajumanne6206
    @mwajumajumanne6206 2 ปีที่แล้ว

    Yaani jamani kazi mungu Ha

  • @yohananjilemagembe8104
    @yohananjilemagembe8104 3 ปีที่แล้ว +1

    Nagubali mwanakwetu elizabeth p1🙏 mwimbo mzuri 💚💛

  • @victorjohn2723
    @victorjohn2723 3 ปีที่แล้ว

    Namkumbuka sana simba,wajina wa babangu, we kifo turudishie magufuli wetu tunalia bila matumaini

  • @MarcoBulenganija-xr7uf
    @MarcoBulenganija-xr7uf ปีที่แล้ว

    Nyangurunguru kukaya hayati magufuli lalanga mola baba😢😢😢😢😢

  • @estamichoromichoro5634
    @estamichoromichoro5634 2 ปีที่แล้ว

    Huu unaushawishi nimeupenda

  • @estamichoromichoro5634
    @estamichoromichoro5634 2 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi Mungu mlaze mahali pema peponi rais Magufuli 😭😭😭

  • @stevenlugalila3635
    @stevenlugalila3635 2 ปีที่แล้ว

    Safi

  • @BarakaEkingo-gm8mq
    @BarakaEkingo-gm8mq ปีที่แล้ว

    Hongera sana dadangu

  • @bethuelkonyuniofficial7930
    @bethuelkonyuniofficial7930 ปีที่แล้ว

    Wimbo mzuri sana

  • @mengifrank7238
    @mengifrank7238 2 ปีที่แล้ว

    Nabaki kuwa na huzunu tuuuuu kweli kipind cha jpm ccm ilikua inavutia jaman

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 8 หลายเดือนก่อน

    Congratulations keep it up good job ❤🎉

  • @danstanpanga8490
    @danstanpanga8490 3 ปีที่แล้ว

    Huu wimbo unaweza kusuluhisha mgogoro wowote wa kisiasa daaah hapa pembeni mwangu kuna mwanachadema anacheza kimyakimya hadi ameshindwa kujizuia kasema kweli awamu hii mnavutia kila idara mmejipanga

  • @happinessmichael817
    @happinessmichael817 3 ปีที่แล้ว

    Sahviii baba amelala jamniii naumia mie tongelaga baba

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 2 ปีที่แล้ว

    You voice for milele na milele😭😭 joni pombe unatutia kiwewe

  • @samsonkazimoto856
    @samsonkazimoto856 3 ปีที่แล้ว +1

    Baba amka uone ulivyokuwa unapendwa

  • @joycesamweli1219
    @joycesamweli1219 3 ปีที่แล้ว

    Pumzika salama Rais Magufuli nimekumbuka Kasi yako na Mhe Majaliwa tulikuwa tunasikia Raha kuwaona piga kazi Mhe Majaliwa Mungu akufiche kwenye Damuni mwake
    Magufuli alikuwa ni mwanadamu sio Malaika tusimhukumu RIP JPM

  • @user-ii4ys2nz7n
    @user-ii4ys2nz7n 9 หลายเดือนก่อน

    Nyimbo nzuri

  • @vicentelias491
    @vicentelias491 ปีที่แล้ว

    R.I.P MY president

  • @marrymarco4455
    @marrymarco4455 2 ปีที่แล้ว

    Daa pumzika kwa amani baba

  • @francismigongwa6112
    @francismigongwa6112 3 ปีที่แล้ว +4

    Walasile munomo mayu

  • @silviashirima3917
    @silviashirima3917 5 หลายเดือนก่อน

    Pumzika kwa amani.baba

  • @magdalenaadam1149
    @magdalenaadam1149 3 ปีที่แล้ว

    magufuli kipenzi chetu pumzika Baba yetu

  • @user-ii4ys2nz7n
    @user-ii4ys2nz7n 9 หลายเดือนก่อน

    Nataka nyimbo za

  • @jeremiamalima9112
    @jeremiamalima9112 ปีที่แล้ว

    Mwaba magu

  • @tausiathumani9408
    @tausiathumani9408 2 ปีที่แล้ว

    Nimelia Sana MAGUFURI uko wapi baba

  • @samwelnzumbi284
    @samwelnzumbi284 2 ปีที่แล้ว

    Kaz nzur dada

  • @bahatimohamedi2945
    @bahatimohamedi2945 3 ปีที่แล้ว +2

    Inapendeza Sanaa ❤️❤️❤️❤️

  • @kenjoseph3337
    @kenjoseph3337 ปีที่แล้ว

    One in a million

  • @haruniaisha5905
    @haruniaisha5905 11 หลายเดือนก่อน

    Mlitamba saaana miak 5 😭 mtalia milele

  • @user-oj1dv7ci1v
    @user-oj1dv7ci1v ปีที่แล้ว

    ❤❤❤❤

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 3 ปีที่แล้ว +5

    Huu wimbo utabaki milele

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 2 ปีที่แล้ว

    ELIZABETH ULIIMBA WIMBO MZURI SANA NAUPENDA SANA NIKISIKILIZA NAHISI MAUMIVU YA ANKO JPM PUMZIKA KWA AMANI BABA TULIKUPENDA SANA ILA MUNGU ALIKUPENDA ZAIDI AMINA

  • @gervaskachana5062
    @gervaskachana5062 2 ปีที่แล้ว

    Definitely yes!!!was the great Hero

  • @zawadikuliga9658
    @zawadikuliga9658 3 ปีที่แล้ว

    🌹🌹🌹🌹pga kelele kwa msukuma oyeeeeee

  • @BongoCryptos
    @BongoCryptos 3 ปีที่แล้ว +9

    Kigogo akiona hii atasema mtunzi ana Corona🤣🤣🤣 jamaa anawivu sana

    • @marwachacha7168
      @marwachacha7168 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @rosemary3816
      @rosemary3816 3 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂😂Kweli aise

  • @rafikiwildlife4263
    @rafikiwildlife4263 2 ปีที่แล้ว

    Ni machozi na huzuni nyingi kwa hizi kumbukizi. Mungu uikumbuke TZ

  • @user-pj1tk7zj9v
    @user-pj1tk7zj9v ปีที่แล้ว

    Nakubali ,