Mie Mkenya ila huu wimbo sitausahau, ikicheza na kumbuka 25 mwezi wa Tatu mwaka wa ishirini na mbili nilipo enda kutoa mahari huko kabila wilaya ya magu kulee mwanza kwao mke Wangu mariamu, Akina mama walivyo imba na kucheza kwa furaha
Mimi ni mkenya sielewi hii lugha, natamani nijue anachosema kwasababu nime watch huu mziki zaidi ya mara tano wavutia umepangwa ukapangika na unapendeza sana
Niko Kenya lakini nikisikia hizi nyimbo najiona Niko nyumbani basukuma tole bachagamku
Bhasukuma mle halee 🔥❤️👋
Najivunia Sana kuzaliwa usukumani maana Raha sana
Waskuma mpooo!😂
Hongera Sana wimbo mzuri najivunia kuwa msukuma
Same
Wasukuma ooooyeeeee 😁😀✋✋✋✋
Oooooooooooye
Wasukuma tuko moto sana kwa vipaji piga kazi mama
Napenda sana nyimbo zako❤
Ibu Magic afunguka nakusema kwamba hakuna mwana dada shupavu kama Eriza SIMIYU
Naipenda sana hii nyimbo
Mie Mkenya ila huu wimbo sitausahau, ikicheza na kumbuka 25 mwezi wa Tatu mwaka wa ishirini na mbili nilipo enda kutoa mahari huko kabila wilaya ya magu kulee mwanza kwao mke Wangu mariamu, Akina mama walivyo imba na kucheza kwa furaha
Hongera wasukuma wapo vizur
Hii imekaa vyema xana
Hongera
Hahahahaha❤❤❤❤
Niko dar nafurah sana kuona nyimbo ja kaya
Uyiiiiii uyiiiii naanzaje toka usukumani😂😂😂😂
Najivunia kuwa msukumaa ❤❤❤
Dada unaimba hongera sanaa
Wawooo wajina ,wasukuma oyeeeeeee!
Maliganya nakukubali sana
Bhebhe mbina jabhasukuma jawiza
Jamani hii nyimbo Niko zanzibar naona kama nipo usukumani kwetu
Eliza nakotogilwe❤️
Pongezi nyingi sana kwako asante kwa kuendelea kutoa elimu na burudani nakutakia kila lakheri.
Eliza unakioaji Sana Allah akusaudie, Nakupenda sana
Hiiii nyimbo nmeisubili sana yaaaan niiliiissikiaa laini bariad nikaichukua kwa frash baaadae nikaipoteza asantee
Oooh ni nzuri mno
Elizabeth unajua kuimba Hongera sana
Huyu Dada nampenda bure kabisa anajuwa Sana
Elizabeth kwa kuimba uko vizuli. mbina ya mwana one imenikamata
Mimi ni mkenya sielewi hii lugha, natamani nijue anachosema kwasababu nime watch huu mziki zaidi ya mara tano wavutia umepangwa ukapangika na unapendeza sana
Karibu usukumani
Maudhui nzima ya wimbo (mbina ya bhusungu)kamaanisha ngoma ya uchungu...so ngoma ya mwanaee hawezi acha kucheza
Hongera Dada nyimbo zako nzur Sana
Unaokosha moyo wangu Eliza
Hongera sana dada Elizabeth,uko vzr.ka wimbo katamu na kazuri
Obeza mayo natogelwahobole
Mbina ya bhusungu+duniya shimumu mukonitogishago no nakunimaji irundu.mwabeja noh mahavir jaana
Mama jmn xchok kuangalia wmbo huu nauludia ad mara kumi na duuh xukuma jmn unanifuraxha xana jmn kipaji nono
Hongera sana🙏🙏
naupenda sana
Www n fundi mama utakuja kweny ndoa yangu et
Hongera sana kwa wimbo
Jaman nimeupenda wimbo lakini naombeni tafsiri
Mambo ni moto
Vizuri sana
Najivunia usukuma
Mwananyanzara
Nice video
Hongera sana dada kwa nyimbo nzuri
Mambo
❤❤❤❤🎉
Jaman nimeupend mwimb
❤❤❤❤❤
Ni Kama uko simiyu
Mwa gishepo bado hujaieka
Aseee nyimbo tamu sana
Naipend sana hii nyimbo
Pure traditional music. I realy like it.
Hongera dadaangu kwanyimbo nzuri
Wewee3eeeeeeeee
Nd la rakp
😅😅😅😅 mbina ya nani eti
Giririririririririiiiiiiiii
usukuma rahaaaaaaaaa jamaniii😜
Amani saana waskuma wananifrahisha na kunkumbsha kihome home
Rahaaaa sana
Naomba unitumie huo wimbo
0743742324 no ya wsp
🔥🔥🔥🔥💪
Good
Mamaushauli
Yani giki umanie
❤❤❤❤
Nisaidie namba yako
Nimeupenda
Kazi nzuri
Naomba namba yako tafadhali tuliongea na wewe
🥰🥰
Oooo
😂😂 1
Makini sana
Mbina ya busungu
Itv
Audio bc Elizabeth
Piga kazi
Wasukuma tuko moto sana kwa vipaji
Najivunia kuwa msukuma
Tamu sana tamu sana huyo Dada awekewe ulinzi
Vzr xana dada ang kpenz, ,