Yanga 3-3 Coastal Union (Pen: 4-1) | Highlights | Fainali ASFC 02/07/2022
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- Yanga SC wamebeba Kombe la Shirikisho la Azam Sports #ASFC kwa kuitandika Coastal Union penati 4-1 kufuatia sare ya mabao 3-3 katika dakika 120.
Magoli ya Yanga kwenye mchezo huo yamefungwa na Feisal Salum dakika ya 57, Heritier Makambo dakika 82 na Denis Nkane dakika ya 113 huku magoli yote ya Coastal Union yakifungwa na Abdul Suleiman Sopu ambaye amefunga #Hattrick dakika ya 11, 88 na 98.
Katika mikwaju ya penati, Yanga wamefunga penati zote nne walizopiga kupitia kwa Yanick Bangala, Heritier Makambo, Dickson Job na Khalid Aucho huku Coastal wakipoteza penati mbili na kufunga moja kupitia kwa Victor Akpan.
Fainali hii imepigwa kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha......
Kutazama magoli na penati pekee ingia hapa • Magoli na penati | Yan...
YANGA OYEEEE💚💛💚💛💚💛ila hivi vitoto vya coastal Union vimejua kunipa tumbo la kuhara mpira wa leo ulikuwa ni 🔥🔥🔥YANGA BINGWA 🏆💚💛💚💛💚
Dah hii chuma ulikuw ya moto!; 2024 tuliorud hapa kuichek 2juane
Nipo +@Hapa
Tupogo
Anayeangalia hii mpk saiv mwez wa 9/2022 tujuanee💛💛💚
🙋🙋🙋🙋
Mimi hapaa
Huwa nkiwa naianglia mpka natetemekaga
Huwa nkiwa naianglia mpka natetemekaga
Tupooooo
Yaan uchawi upo ila Mungu ndiye mwamuzi wa yote ongera Yanga 💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚
2024 tujuane hapa
14/04/2024
Congratulations to my young 👏❤🙌, najivunia kuwa na young 🥰🥰😍❤
⚔️⚔️⚔️⚔️⚔️
Sija wai jua kam nina presha lakn kwa jan ndo nika jua.kumbe presha iko vip daaa asante mungu💚💚💚🙏
Aloooo km roho ndogo huwez
Jamn Makambo abaki tu,,,anatusaidiaga Sana huyu,,, Congratulations 😍😍
Jana wachezaji walirogwa sanaaaaa sanaaa hawa wagosi washenzi sanaa wanacheza nakuroga
Kweli kbs
Kibingwa yes
Aende tuu
wachawi wakubwa hao na wameshindwa😁
Daa hakuna mechi nilio pata presha kama hii yan mmmh mpaka Sasa nahis ndoto huu ushindi 💚💛🥱🥱⚽⚽ Kweli kama mungu kapanga hakuna wakupangua kwenye hii fainal kuna mung wallah daaa kama Leo sikupata ugonjwa wa moyo never ever.........çongratration my team
Ata mm mazee hahahah 😅😅😅😅😅
Mi mwenyewe nimepata shida saana
@@dokasalim943 🤣🙏
😃😃😃😃
Mmh mm mwnyew ciamn
Hii siku kidogo nizimie wallah🙏🙏🙏🙏 Alhamdulillah tulishinda mechi na kuwa MABINGWA
sitasahu hii siku ilikua ngumu kwangu
Hawa coast wallahi ni wachawi yaani sema tuu yanga ni boraa saana thus y i love it💛💛💛💫💫
Hongereni yanga Africa
da mayelee aliruka kupisha feisali afunge safi sana wanaushiriki💚💛💚💛ano
Yanganiwabovu kimataif achawawageivyoivyo
Mungu mkubwa kwetu 🙏💛💚🏆
YANGA4LIFE 💛💚💛💚💛💚💪🏻🏆🏆🏆
Tumecheza na timu 2 leo coastal na makolo ila ALHAMDULILLAH tumeibuka na ubingwa🙏🙏
Kama upo hapa leo tareh 12 mwezi wa sita jumatatu mwaka2023 like hapa😅😅😅
Mimi nipo baada ya documentary tar 07 August 😂😂😂
Hii siku ndyo nilijua naipenda yanga kiasi gani looo
tunao angalia may19 2024 tujuane naleo nusu fainali yanga vs ihefu
Young,young,young ✅🏆✅🔥🔥🔥🔥
Hii siku nd niliamini presha inaua😌😂
Ilikuwa mechi ngum sana hii yan me ad kuhalsha dah nashukuru mungu tumeshnda hii mechi
Mayele alikuwa anakosa sana magoli😢
Kibwana magoli mawili yalipita kwake
Siku ya kufa nyani, miti yote hutereza. Simba mzee kapigwa mbele za wanawe, kasingizia uzee.Basi kamtuma mwanaye mpendwa costal union aokoe jahazi,naye kapigwa fimbo nyingi zaidi kuliko alizopigwa baba yake simba mzee."Wamekoma"
I'm
Azam tv zamani mlikua mnaonesha vizuli mpaka wachezaji wakiingia mlikua mnaonesha ila sasa mnakata sana jamani 😢
Hii Fainal Jamani Acheni Tuitwe Mabingwa Tu🤔🤔
Hii siku nilijua kuteseka sana jmn yanga itakuja kuniuwa
N do utamu wa Match huu. Yanga juuuuuuuu kweli, Mume tufurahisha.. Finale nzuri saaana..
Daima mbele congratulation
Yanga tam jamani
Duuu kam ligi lijalo timi zote zitacheza hivii başı nna uhakika ligi itakuwa ngumu saana
Nilijuwa nimearisha pekeyang kumbe nawenzang mpo nyieacheni mpila waleo mmmh
Trh 18 Leo naangalia ata mimi
Daaa!siwez kuisahau hii mechi nilichoka sku hyo
mm sikuamin kma tungepita
Ikumbukwe🎉
Ilikua taamu saana
Uchawi upo fiston mayele sio wa kukosa magoli hivo
Kabisa
Wachawi sanaaaa.. Lakini kwastaili hii vikombe watavisikia
Big final
Anayeangalia hii mechi moake leo mwezi wa 9 tarehe 21 😂😂Yanga tulihangaika kwakweli agonge like
Leo tareh 22/09/22 saa sita na dakika 53 siku ya Alhamis naangalia
Mm pia leo 24/9/2022,🤣🤣🤣
Mm tar 30😂
@@maryammwashuya4955 😂📌
Mimi leo tarehe 7/4/2024
Nabi anauwezo mkubwa sana wa kumsoma mpinzani ndomana mara nyingi sub zake zina matokeo mazuri🤣🤣.Game ilikuwa ngumu sana
Huy refa alikuwa anawabeba sana coastal Hadi wanacheza kwa Mkono daah, Mungu mkubwa
😂😂😂Atari sana ngoma kali hiii yanga raha jmn
Hili goli la makambo limefanana Sana na la aziz ki zidi ya club African..
Exactly,tofauti ni angle tu.
Hii game miongon mwa game zetu Bora kabisa kuwa kutokea da game nililia wakati inachezwa live na nalia Tena leo nikiangalia highlits da bonge la mechi
Fainali ya kihistoria, km una roho nyepesi inaweza kutoka kbs
Fainali ngumu sana hii
Watu wanamzungumzia sana Sopu lkn kazi kubwa ilifanywa na Vincent Abubakar
💛💚
Hii mechi hii sitaki kukumbuka niliumwa na tumbo lakuhara gafula aseeeeeee hii siku apana
huyu feisal ni hatari aisee
Nipo hapa tarehe 21/02/2024 😂😂😂🙌🙌🙌
Hii ndio ilikua final
Wan nch lek zenu kam mn amin yang tuna timu
Sanatu
My team
A mad game oh wow,
Intense and emotional,
And this boy Sopu oh that is another level🔥
These are games you rewatch and still give you cocktail emotions😴
And how about the commentator and his mate, oh my word, I thought it is only under 17 and the other guy, but oh my wow, so accurately, timely and vibrating through out the whole game🤩..!
You will not see such esperanza perfomances on this planet more often, so insane🤪🤟
Diarra alizingua sana hii game, the gud news was that we won the title
nimekuja tena kuangalia
@@wardasamwel6243 vip kiwango cha Diarra kwenye game hii??
Hii ni moto Kal san
Narudia ten kuangaria 24.6.2024
Natazama tu mpka leo lakini hamu hainiishi hii leo ni tarehe 11/02/2024
Mimi naicheck leo 26/10/2023.
Sitokaa nisahau hii mechi hakika
Hivi vitoto vilitung'angania kama vle vimekula mbwa 😀😀😀
Atar we ach2 mm mpk nili kimbh kuangalia mpl
😀😀😀😀😀ni hatari
Walipewa hela na simba wakaze 😂.
@@jumahamis227 🤣🤣🤣🤣🤣
Ndyo mtulie mda wa kusajili
Hii mechi hilikua Kama Vita ya mlusi na mwisrael
Hahhaa😂😂😂😂
Mpaka Leo naiangalia sichokii😳😳
Yanga
Makolooo. Na. Cost. Kwa. Pamoja. Kahareni. Mujuwee. Mkubwaa. Ni. Mkubwaaa. Tuu
Mwamnyeto ulifeli sana hii mechi
Mwaka unaisha ila Mimi ninacho ona yanga kipa siomzuri kivile, ambao Wanaofuatilia michezo ya yanga mtakuwa mnakubaliana na mimi. Daima mbele nyuma mwiko 🇹🇿🇹🇿💪
Ni ngum kukubalians na ww, vle makosa wanafanya Mabeki na c tatzo la golie
Sema anayeangalia sahizi 22/1/2023
Nakubari yanga
💚💚
Mmmmh mpak nilikuw natetem mwil mzima duuuh
Nabi aongezwe mshahara
Swadakta ametutoa mbali sana
Hii mechi sijawah kutoa chozi nilichemka mpaka maini wallah doooh!
Mechi iliniweka moyo juu hii
Ihi ni kali ata ukiingalia 2050
Bado ni 2023, utafikiri mchezo ume pigwa ma saa machache tu, yani, bonge la gemu🔥
Nani hakujionea mwenyewe, hii Kali kuliko??
Yanga ndo team pekee Duniani kuwaitokea ilio chukua makombe yote bila kufungwa
2 substitution has borne fruits for the winner
😂😂hii match nilikuw naenda choon kuharisha kila muda, nikisikia kelele nakatisha nakimbia kuangalia🤣🤣🤣🤣🤣
Mkojo si mkojo Mavi si mavi😂😂
@@abuuajmal1467 Weeee yule mtoto sopu alaaniwe khaaaa🤣
kabisaa yani
Kote uko mm apa leo25/3/2024
😂😂😂😂 nimekuja kuungana na wewe
@@habibahmuhammed3534 daaah😂😂😂
Tupo pmj
Cpati picha waliokuwa uwanjani walikuwa na hali gani😢😢💛
Acha tuu
😀😀😀
Aisee
Acha tuu duhh😂😂😂
Hii siku sintokaa niisahau😢😢
Hii ndo gem iliyo nifanya nikaanza kuumwa na vidonda va tumbo sitakaa nikasahau 😢
Nmekuja kuangalia Tena🚀
Manara hawezi isahau hii mechi😂
makambo baki chiko jikatae
Is not over until is over
Reo tarehe19,7,2024 naangaria
Nimkubali
Hili game nizaid ya daby
Katika dabi siji kuisahau pamoja na hii ilikuwa bonge la mechi
Coastal union hii game walitaka wenyewe kufungwa
Nipo
Mm mpk mwez wa kumi na moja sas 😂😂
Safi
16/9/2024 nimeirudia
Nimeicheki Tena trh 10 mwez wa pili 2024
Hiii mechi mayele angekuwaga mtulivu angepga atrick
Mm pia nairudia mara kibao