CLEMENT MZIZE AMWAGA UKWELI | KUBADILI DINI | "NILIKATA TAMAA YA MAISHA" | MAMA MKALI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 เม.ย. 2023
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Hakika umekuja kwenye dini sahihi mungu atakusaidia mdogo wangu
Mdogo wangu Mzize kipenzi cha Wananchi.. Imani yako ndo Mtaji wako Mtegemee Mungu ili ugike Mbali. Tamaa ilimpoza Fisi hadi sasa kabaki hana la kufanya au Sungura sizitaki mbichi hizi kumbe anazitaka. Sasa me nimekuona unajiamini na unajitambua pambania Namba yako kwenye kikosi cha Wananchi ili Mama asie kua pia na Tamaa anaekushauri mazuri afurahie matunda ya Wananchi.
mnajifanyaga washauuuri,ya kwenu yanawashinda
@@wilfredelimeleki4543
Acha roho mbaya ndugu yangu
Ushauri ni bure hatulipii
@@wilfredelimeleki4543 1
So humble
Mzize nakushauri kitu kijana walikuja vijana wengi wenye vipaji hapo yanga kina kamagi fei nk wakapotezwa na tamaa za madalali walaghai ili wapate kujaza matumbo yao wewe ni kijana makini nakuomba kua makini na kipaji chako mdogo wangu tuliza akili cheza mpira utafika mbali please usilewe sifa Pamabana kila siku kama ndio unaanza
Hata yesu hakushushiwa injili KWA lugha ya kiswahili nikiarabu tu na yeye pia alikua muarabu
Hongera sana bwana mdogo
Start
Pole sana kijana Kwa kuiacha kwelii ukafuata Giza Huwa nawaza km biblia imeandikwa kiswahili hujaielewa vpii hiyo ya kutoka kulia kwenda kushoto,,yesu mrehemu nitafute nikupe maandiko ya icho kitabu Chao ama trh 17 Kuna shughul pahala kubwa pole Kwa kumwacha yesu aiseeee lait ungejua moh alikabidhi roho yake Kwa yesu ukibahatisha kukutana na bi aisha mkee MDOGO WA moh jaribu kumuuliza
Pumba tupu pumbavu ww vp hicho kiarabu unakijuwa unaetaka kumuonesha ukweli? Huna ukweli ww ni mfuata mkumbo kama wakristo wote duniani
Kafuata wanawake 72 wenye makalio makubwa, Dar hadi Dodoma. Anataka akienda akhera akapewe dhakari ndefu isiyo na mwishoni. Wakiwa wanahudumiwa na watoto wadogo wa kiume wakiwa uchi. Kungonoka mwanzo mwishoni! 😂😂
Ukipenda na wew badili to hujakatazwa
Mzize hana shida ,..sy feisali huyo
Pambana shee waridi
Wasikukatishe tamaa, chamsingi hujashawishiwa.🤝
Kumbe ndio maana umebadili imani shauri ya ushauri.
mzize Rudi dini ya wazazi wako utapotea huyo wakala kama hataki kukusaidia basi Mungu atakupa wakala mwingine sio huo anaye taka umpe rushwa ya kubadili dini
wewe hujielewi ukijielewa uta acha huo uvundo wako
Priva walid anatakiwa ajifunze dini yake aspecial kusoma Quran Ali Kamwe msaidie dogo huyo is agood guy anaonekana
Eeh na mikato mikubw asipendlee inawez ikamueka mbal na vazi lke la kiislam..akate kiistarab Ata akichong isiwe kiviile cz yy saiv ni kioo baad ya kuslimu Kuna watu wengn nyuma yke wanamuangalia ambao na wao pia wanataman waslimu
Mnamhari u huyu mtoto
Andika vizuri basi
Kijana Rudi kwa Yesu,kuhamia huko kwingne ni kumkana Yesu.Naamini ipo siku utarudi kwa Yesu
Hajamkana yesu
Hajamkana Bali ndio amenfuata
Tunategemea na wewe utakuja huku.
Mungu akuongoze. Ameen.
Unamlazimisha??
Kabisa,huu ndo ukweli
Walid hapana labda eden,nasri,Abdullah nk
Njaa ni mbaya sana mtu asikufiche
Najua pesa imemshawishi amkane Mungu wake but zitaisha atakumbuka Ukristo tu
Mpuuzi sana ww na Manabii wenu wakipumbavu freemason nyie
@@twahazakumba8449sawa na nyie wauwaji wakubwa
Mungu wake yupi kamkana?? Yesu au ??😂😂😂
Yesu uliyemkana ipo siku atakukana
Ongea kitu chenye maana we. Unaongea utopolo gani??
Mwanamke ndo kambadilisha dini😁😁😁😁😁😁
Mtafute mwanaume akubadilishe dini na ww😂😂😂
Yan mm mwanamke tu ety aje atokee aniambie nibadilishe dini yng ya ukristo ntamuona ni shetani kabixaaa, hata nipewe jumba kubwa kama meri magari sio gari moja magariiiii siwez kuacha dini yng leo hii ije kua mwanamke tu thubutun muoneeeee najitambua xana xana
@@rashmaissac480 hio kwangu ni ndoto my friend 😀😀😀
@@nestarnestar4520 kavutiwa sura yake😀😀
@@nestarnestar4520 Kwani ukristo nao ni dini? 😂😂
Why copy and paste other people work
Which?
Huo upumbavu ndo sitokuja kuufanya maishani
Sasa unataka na sisi tufate upumbavu wako wakuwa mkristo?
@@kassimrajabu56 kila mtu Abaki kwenye dini yake aliyozaliwa ila kuja kubadili dini bora uniuwe sitokuja kufanya huo upumbavu
Ndo maana mungu kaumba moto
@@Alexanderlyimo sawa baki na ukristo wako.
🤣🤣🤣🤣🤣na kama utatrace kizazi chako nyuma kidogo basi walikuwa wapumbavu pia au wew mpumbavu tayari maana wazazi wa wazazi wako au wazazi wao hawakuwa WAKRISTO pia sasa usimalize maneno kama hujaitafuta historia yako.
Tanganyika UKRISTO ulianza 1886 sasa anza kutafuta asili yako wew mpumbavu(mjinga) tafadhali ingia GOOGLE 🤣🤣🤣🤣🤣