UHURU BILA MIPAKA KATIKA NDOA NI FUJO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Jaman kipind kizuri❤elimu nzuri mnatupa❤ mashallah❤ila nakpendeni kwa ajili ya Allah (sw)❤❤❤❤❤❤❤
Well said mwalim❤❤
Asanteni kwakutuelimisha Allah atuhifadhi naatusaidie
Mola awabarikie muzidi kutoa mafunzo watu wazidi kuelimika INSHAALLAH
Sheh Rashid icho kipindi nikizur mno kinafundisha Sana mw mungu azid kuwapa nguvu walim wetu natuwaskilize kwaumakini sana
Duuh Allah awape Afya. Njema najifunza sana mashallah ,,, wa mipango mpoooo😂😂
kipindi kizur mashallah m.naomba namb ya madam hap
Manshaallah 💖💖💖
Samahan mm swali, ktk haya yanayozungumwa ktk hichi kipind ndio yanayo fanyika huko majumban ?
Jaman vp mbona mlke huyu anafhihirisha mapambo yk vp apoo
😂😂kazi ipo hapa malofa wana mipango
😂😂😂😂hoodi weee
Mwanamke yupo uchi huyu na kadhihishisha mapambo yake hina inaonekana hio. Musihafilike enyi mnaojinasibisha na uislam
Ustadh RASHID VIPI HIYO HINA NA SOMO MTOTO SI PAMBO HILO AU
Wewe sikiliza kauli na maneno matamu usiangalie hina na mapambo, angalia na uskilize elimu usjipumbaze buree
@@nahlahassan-fd6le cjauliza kwa ubaya ustadh wangu mm nimeuliza kwa wema tu na huyo mke wa mtu jee inafaa na hina cjatizama inajionesha yenyewe hpo ulamaa wangu mm cpo ktk watu wale unazani wanapenda mijadala ya ovyo hpn nimeuliza kwa nia njema tu
Mm nasoma mambo mengi hapo na hicho kipindi nakipenda sana mana najifunza mengi kwa sababu mwana ndoa pia ila nimeuliza kwa wema sana