Mgogo anajua sana ,hilo la ndoa ambazo zilishakufa ila watu wanaishi kwa sababu ya watoto na mimi ni mmoja wapo ,pengine mwenzangu anajua kuna ndoa ila moyoni hakika kama sio watoto wangu sitaki wateseke ningeshamuacha kitambo sana
Kama media mnadhani mtaweza kuleta chukizo baina ya dini zetu Kwa kuuliza maswali kama hayo basi sio Kwa nchi yetu dogo umefeli hapo ishu ya kutokula nyama IJUMAA KUU Fanya interview na kamati husika ya WAKATOLIKI UTAPATA majibu mazuri zaidi
Imani ya kufunga ni imani ya kujikana. Ni kuishinda hisia ya kunusa, kuonja, kuona, kugusa na kusikia chakula kikipikwa. Na si kutotaka kuona mtu anakula na wewe huli, kisha unataka anayekula asile mbele yako. Huo huitwa uoga wa kufunga. Na hapo siyo funga ya imani inayopaswa kujaribiwa, bali ni kujilazimisha kufunga au kulazimishwa kufunga wakati moyo wako hauna imani hiyo.
japo umechapia (ashakum si matusi)ila nilikua naitafuta coment kama yako aisee umeona kama mm jamaa swaga zimepitiliza khaa hyo simu sasa inavyowekwa juu mara imewekwa huku mara kulee ili mradi tujue na yy ana macho ma3🤣🤣🤣
Umejibu vizuri sana tunahitaji vijana waje kwa Yesu wamjue Yesu katika umri walionao yeyote aliyeona Diamond kufika kwenye mtoko wa Pasaka ni vibaya hajui maana ya injili ...Yesu hakuwafukuza bali aliwakumbatia. Tujifunze neno la Mungu tumjue Mungu kwenye neno lake tusikurupuke ukristo sio wa mtu binafsi. Yesu alikufa kwa ajili ya ulimwengu mzima plsss😊
@@woah.africa99 karibu kwenye kazi ya Mungu uje kuvuna sadaka uone kama ni rahisi. Na ukishaona watu wa alia kuwa wanaibiwa sadaka ujue katika mwaka mzima sadaka yake haizidi hata elfu kumi acheni porojo
Mimi hilo kwangu nalitaman sana aokoke...ila shida iko kwa anaenwalika na vijineno anavyosemasema maana hatumskii nasib akisema kitu ila ndg yetu shusho sasa😢
Acheni usenge mjue msigusi imani za watu mbona ngulue analiwa lakini wengine wanaita alamu kwahiyo wanaokula ijumaa waache wale ukiona hivyo sio imani yao
Il était ici chez nous à Bukavu précisément à mon église sayuni il nous à manqué vrema, et nous prépare comment réussir à entré dans le royaume de Dieu Jésus Christ nous l'aimons bcp
Watu niwashamba,waimbaji wakubwa kabisa wa Gospel wanavaa heleni wananyoa panki kali.Msanii mfano travis green,the guy looks roughly but vp kuhusu presentations? Wakosoaji na wanazuoni wanaopenda kuhukumu sana kuliko kufundisha wanamatatizo ya ki psychology
MUNGU Wetu hakuja kwa ajili ya mwenye haki bali alikuja kwa ajili ya sisi wenye dhambi.hata alimwambie yule mwanamke kahaba kuwa alifanya vema kuliko hata wale waliokuwa wakimjua YESU. So MUNGU wetu yupo kazini.MUNGU Wetu ni MUNGU mwenye rehema na hurusa na msamehevu.msiwe mahakim hakim ni mmoja tu MUNGU.
Lakufunga nimekuelewa sana kwenye swala la kuchukiana et huyu anakula mimi nimefunga tunapenda tu kila jambo liwe jepesi matokeo yake. Mtu anafuturu sigara na vitu halam Kwa Mungu haipo hivyo
Nafikiri umeuliza swali lakini la uchonganishi sababu wapo ambao hawatumiii icho ktu siku hiyo kama vile waroma so ulitakiwa uliulize swali kwa padri au paroko co pastor acha ucjonganishi mtangazaji
Mchungaji Mgongo yuko vizuri sana.🙏
Hongera sana Mchungaji kwa majibu mazuri👏
Hakika huyu nimutumishi wa Mungu amekuja kutuhudumia Butembo DRC tume barikiwa sana Daniel Mungu akulinde
Kumbe nawe ushaona ?
Daniel namukubali. Na Mimi
Alikuwa bitembo sikugani?
Pastor Mgogo yuko sawa sana. Anahubiri true facts za maisha na dini. Nimefundishika sana na Pastor Mgogo.
Mchungaji amejibu vyema sana, ana jitambua sana..
Mchungaji mgogo ni genius 🔥 umejibu vyema sana
Kabisa 🤝🏼
😂😂😂😂 huyu mchungaji kiboko eti tunafungisha ndoa kumbe wenzio washamaliza kila kitu wachungaji tunakuwa kama tunapasha kipolo 😂😂 kuna ukweli lakini
ALICHOFANYA MAANA YAKE KILA GOTI LITAPIGWA NA KILA ULIMI UTAKIRI KUWA YESU NI BWANA
Amen
NAPENDA EAST AFRICA RADIO , KENYA 🇰🇪 Nairobi.
Tunao soma comment tujuane
Ok ❤
Kindly do research African was not created on religion but on spirituality
Mgogo anajua sana ,hilo la ndoa ambazo zilishakufa ila watu wanaishi kwa sababu ya watoto na mimi ni mmoja wapo ,pengine mwenzangu anajua kuna ndoa ila moyoni hakika kama sio watoto wangu sitaki wateseke ningeshamuacha kitambo sana
Mm nawasikilisa tu na mm nikisoma text yenu😂😂😂 mugogo umeongea ukweli tulianza hotelini
Kama media mnadhani mtaweza kuleta chukizo baina ya dini zetu Kwa kuuliza maswali kama hayo basi sio Kwa nchi yetu dogo umefeli hapo ishu ya kutokula nyama IJUMAA KUU Fanya interview na kamati husika ya WAKATOLIKI UTAPATA majibu mazuri zaidi
Kwani kakosea wapi?Na Dini hapo imetokea wap ndugu? KWANI PASAKA NI KWAAJILI YA KAMATI YA WAKATOLIKI?
Imani ya kufunga ni imani ya kujikana. Ni kuishinda hisia ya kunusa, kuonja, kuona, kugusa na kusikia chakula kikipikwa. Na si kutotaka kuona mtu anakula na wewe huli, kisha unataka anayekula asile mbele yako. Huo huitwa uoga wa kufunga. Na hapo siyo funga ya imani inayopaswa kujaribiwa, bali ni kujilazimisha kufunga au kulazimishwa kufunga wakati moyo wako hauna imani hiyo.
Nakubar
L
Iyo ni funga ya kikristo ,
Mchungaji yuko vizuri sana Kila swali ana majibu
Nyama hazina uhusiano na yesu,nyama zinaliwa tu hahahahaha
Nyama hazina shinda ni kula tu🎉🎉🎉🎉
Baba mchungaji barikiwa sana kwa majibu mazuri❤
Safi sana. Naseeb. Mungu akubariki
Mgogo yuko vizuri MUNGU hahitaji pesa anakuhitaji wewe ujitoe kwake kama sadaka.
Kwanza mwili wa yesu hauna nyama za ng'ombe,Yesu alikuja Duniani kama binadamu na si Kama Ng'ombe
I love this studio thank u for beautiful programs keep up we re following u guys.
Uchi kijamaa kunazidisha swaga adi kinaboa sasa kwani kuongea kawaida uwezi
japo umechapia (ashakum si matusi)ila nilikua naitafuta coment kama yako aisee umeona kama mm jamaa swaga zimepitiliza khaa hyo simu sasa inavyowekwa juu mara imewekwa huku mara kulee ili mradi tujue na yy ana macho ma3🤣🤣🤣
Asnte pastor Mungu akubariki kwa maneno mazur ya kujenga kwa kila mtu🙏🏼🙏🏼
Thank you so much pastor its very true what pastor is talking about May GOD guide you all the time and be blessed 🙏🏽🙏🏽🙏🏽❤️❤️
Hapo kwenye watoto ndoa nyingi ndo zinashikilia mchungaji anamajibu ya point
Yes hata mm n hvo tu
Mucungaji ameongea Sawa kabisa nimemu penda sana afu pale ameongelea diamond
Kweli nimependa majibu yote
Yesu alisema ,tuule mwili wake , tunao uzima WA milele harafu nyie mnambiwa msile ,kuna Kitu kizito apo mmepigwa msiotambua hayaa
Mtumishi wa Mungu. Huwaga nabarikiwa sana.nauwepo wako upo makini sana naimani ya kwel
Asante sana kwa maelezo ya sadaka. Makanisa mengi hayatoi maelezo kuhusu sadaka. Ubarikiwe sana
Kabisa Diamond amekaribia 😊
Ongera sana Mtumishi wa Bwana,kwamajibu mazuri Mungu akulinde
This is really man of God humble pastor he speaks with everybody I like this👍👍👍
Mm nimekuja hapa kwasbb ya simba tu maisha marefu kwake 🤝
Huyu mchungaji yupo vzr🎉🎉🎉🎉 mwenyezi mungu Akulinde wewe na Familia nzima usiku na mchana.🙌🙌🙏
Kulalana kabla ya ndoa ni kwamba baada ya ndoa utafanya kitu kama unapasha cabbages 😂🔥🔥🔥🙌
Ni kwel kabsa huyu pastar hakika mungu ambaliki sana Yuko vizur sana
Namtabilia msafi kwenda wasafi🤗
akili zako2
Usiaze uchaw hapa naww
Hakika.Ili ujipime umakini wako unapofunga waache wanaokula waendelee wewe ukijizuia.
Maelezo pekee hayatoshi, tuelezee pamoja na reference ya biblia na sio maneno ya kujitungia
This guy is handsome DARK SKIN ❤️
Uyu mchungaji Yuko wazi kabisa kama vile mwanga gizani.
Naomba namba yake mutumishi huyu jamani please 🙏🙏🙏
😂😂😂 Suruali hazina ushirikiano na viuno Mungu atupe maadili mema
Yule diamond anakalibia kufa pale siku zake anazijuwa ndio maana anamusogelea bwana awe nguzo yake😂
Nimejiskia vibaya watu kumshambulia vibaya Diamond mtu anakaribia mnamkatisha tamaa😢
Mchungaji mgogo ni comedian tu Wala sio pastor
Nimependa ana ubaguzi wakidini apo moyo wangu kautengeneza
Maneno ya busara kweli. Nawa fata toka Congo DR
Vizuri sana
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu ❤❤
Mzee wa upako anamwita Comedian 😅
Umejibu vizuri sana tunahitaji vijana waje kwa Yesu wamjue Yesu katika umri walionao yeyote aliyeona Diamond kufika kwenye mtoko wa Pasaka ni vibaya hajui maana ya injili ...Yesu hakuwafukuza bali aliwakumbatia. Tujifunze neno la Mungu tumjue Mungu kwenye neno lake tusikurupuke ukristo sio wa mtu binafsi. Yesu alikufa kwa ajili ya ulimwengu mzima plsss😊
Duh msimzingizie yesu kila mtu na dhambi zake na pastor anataka sadaka ndio mana kila mtu pastor unataka pesa
@@woah.africa99 karibu kwenye kazi ya Mungu uje kuvuna sadaka uone kama ni rahisi. Na ukishaona watu wa alia kuwa wanaibiwa sadaka ujue katika mwaka mzima sadaka yake haizidi hata elfu kumi acheni porojo
Mimi hilo kwangu nalitaman sana aokoke...ila shida iko kwa anaenwalika na vijineno anavyosemasema maana hatumskii nasib akisema kitu ila ndg yetu shusho sasa😢
Hapo kwa mfungo umenena vizuri sana ❤❤
Mtu anapookaoka utamkuta anajikwaa na kuanguka lakn Mungu anamtengeneza siku had siku. Ni jambo la kumshukur Mungu mtu Kama Diamond kumtaja Yesu.😅😅😅
Mchangani hapo kwenye nyama. Nenda ukachimbe vizuri mambo ya Imani angalia chanzo cha Kila kitu
Nyama zinaliwa tu wewe
Ni mapokeo ndugu nothing else
Sasa mnafata bibilia ama manafanya mambo kulingana na misimamo
🫡
Mchungaji mgogo mbinguni kabisa
Ata kuwa na hekima ya maneno ni bonge la ZAWADI kutoka Kwa mungu ubarikiwe mtumishi 🙏
Mchungaj mungu akabarki Sana Kwa ufafanuz mzur ubarkiwe Sana tunakupenda Sana sis vjana
Acheni usenge mjue msigusi imani za watu mbona ngulue analiwa lakini wengine wanaita alamu kwahiyo wanaokula ijumaa waache wale ukiona hivyo sio imani yao
Mbona kajibu sawa tu, mimi mwenyewe ni miongoni mwa wasiokula nyama lakini naona kajibu safi tu.
Mchungaji amejibu vzr Hilo ni swala la kiimani lkn ingempasa afanye interview na wenye hiyo Imani husika
Sasa tusi la nini hapo?
@@Le_pastor_ORONGAI siunajua huyo ni shabiki wa Simba hawanagaakili matusi ndio akiliyao ilipokomea.
Il était ici chez nous à Bukavu précisément à mon église sayuni il nous à manqué vrema, et nous prépare comment réussir à entré dans le royaume de Dieu Jésus Christ nous l'aimons bcp
Vraiment la parole de Dieu est nouvelle chaque jour. Felicitation d'avoir ce serviteur de Dieu
Hivi mmeshindwa kufuatilia mambo mengine mpka mnaingilia imani ya mtu.Huo ujinga
Amen Mtumishi wa Bwana
What’s the name of the guy in white shirt
pastor kamaliza kila kitu
Ndio sisi hatujawahi kula nyama ijumaa ndivyo tulivyofundishwa
Watoliki hatuna ubaguzi
KIJANA anaongea midomo anaiweka kama mwanamke
Ni Mathias Ngabo Uganda Nashukuru sana Mchungaji Daniel Mugogo Kwa Mafasiriyo Mazuri
Diamond yupo vizuri anahitaji kuombewa ili aokoke pia hongerasana Christina shushu hongera sana Rozimuhando.
Na aje tu mazima maana hajawahi kua ktk mila za Ibrahim na Is-haka wala Ismail..hakuwahi kua muislamu
Hta Yesu alisema fata maneno yangu na sio matendo yangu ,Simba hapo Hana baya Ani
@@JacksonMsumiAmna akuna andiko ilo
Kweli kabisa wajina hiyo umesema kweli naunga mkono💪💪💪
Mimi ni jino la mbele la mungu
😂😂😂😂😂khaaa
Watu niwashamba,waimbaji wakubwa kabisa wa Gospel wanavaa heleni wananyoa panki kali.Msanii mfano travis green,the guy looks roughly but vp kuhusu presentations?
Wakosoaji na wanazuoni wanaopenda kuhukumu sana kuliko kufundisha wanamatatizo ya ki psychology
Ubarikiwe san Mchungaji hekima ni kitu Bora san majibu mazuri🔥🔥🙏
Safii kabisa majibu mazuri Mutumishi
Wasafi hawawezi kuchukua takataka kama hiyo labda wachafu media
MUNGU Wetu hakuja kwa ajili ya mwenye haki bali alikuja kwa ajili ya sisi wenye dhambi.hata alimwambie yule mwanamke kahaba kuwa alifanya vema kuliko hata wale waliokuwa wakimjua YESU. So MUNGU wetu yupo kazini.MUNGU Wetu ni MUNGU mwenye rehema na hurusa na msamehevu.msiwe mahakim hakim ni mmoja tu MUNGU.
❤ Umeongea point pastor unajibu kwa hekima tujihadhari waimbaji wa mziki wa gospel Pesa isitutoe kwenye uwepo wa Mungu
👍👍
Mtumishi umeongea vizur sana ubarikiwe sana❤
Namungu anakupenda ivyoulivyo tenahanakubadilisha yeye mwenyewe
Pastor mgogo umejibu vyema Sana
Umesema vema baba
Lakufunga nimekuelewa sana kwenye swala la kuchukiana et huyu anakula mimi nimefunga tunapenda tu kila jambo liwe jepesi matokeo yake. Mtu anafuturu sigara na vitu halam Kwa Mungu haipo hivyo
😂😂😂😂😂ndio hawa jamaa wakifuturu wanakula na sigara hii ikoje jaman😂😂😂😂
Ubarikiwe sana daniel mgogo kwamajibu yako mazuli
Hata mimi kwa kweli nyama sikuacha nilikula na kama ni kwa ajili ya Yesu imakaa sawa nimemla Yesu niko sawa
SANAAA. ANAKARIBIA KARIBU BA BWANA. MUNGU AMZIDISHIE IMANI NA UPENDO.
Jitahid unapoongea na watumishi chagua maneno sio unaongea kama unavoongea na vijana wenzako huyo ni baba yako
Na Mimi nimemshangaa kama wewe halina adabu hili 😂😂
Vijana wa sasa hivi ni mtihani sheikh wangu! Lugha za mtaani kila kona! Adabu zero!
Ameeen 🙏🙏🙏barikiwa MGOGO,usiusemee moyo🙏🙏
Mchungaji ubarikiwe sana😂😂❤
Nafikiri umeuliza swali lakini la uchonganishi sababu wapo ambao hawatumiii icho ktu siku hiyo kama vile waroma so ulitakiwa uliulize swali kwa padri au paroko co pastor acha ucjonganishi mtangazaji
Huo ndiyo ukweli,adui atumia njia hiyo kuharibu kusudi la Mungu.Amen
Pastor 🎉🎉🎉❤
Yesu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Pastor Mgogo ni mwamba sana has wauza mafuta wangekua kama huyu asee kwel ingependeza mno
Kwann
Nyama haina uhusiano na Yesu 😂😂 Daniel nakupenda bure from kenya❤
All done pastor mgogo This is very really God bless you pastor❤