VITUKO VYA TID NA QCHIEF, DIAMOND ANILIPE MILIONI 500 / ALIKIBA HAWEZI KULA NAZI 25

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 มี.ค. 2024
  • Facebook: / earadio
    Twitter: / earadiofm
    Subscribes: / @eastafricaradio
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 32

  • @maroajames2580
    @maroajames2580 3 หลายเดือนก่อน +1

    Im from Kenya We love this guys🤣🤣Their Ego is on the top notch

  • @mohamedsudi6032
    @mohamedsudi6032 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mombasa here we go

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 3 หลายเดือนก่อน +1

    Omg give this two radio section like wakiwa watangazaji itakuwa lit sana

  • @joyk3075
    @joyk3075 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tid EA Chris Tucker very hilarious

  • @mwakirenjeomary1486
    @mwakirenjeomary1486 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kenga 🇰🇪 tunawajali sana😊😊 hatubagui

  • @user-cw7xw9cu6m
    @user-cw7xw9cu6m 4 หลายเดือนก่อน +1

    mung anawasaidia wazeee vigogooo nawakubali sana nawapenda sana sana sana

  • @mahadabuu2647
    @mahadabuu2647 4 หลายเดือนก่อน +1

    Family nakubali kazi zenu

  • @ndevuemcee3000
    @ndevuemcee3000 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hii ndio tafsiri halisi nilio sikia kwenye wimbo ulio kua kwenye album ya Macho ni Ngumu Kuona ilio fanya na Dambwe La Hip Hop mwaka 2016 kuna wimbo unaitwa Baraka za wakongwe ukipata muda sikiliza utaelewa nini Q chief anasema.

  • @barakaekuro
    @barakaekuro 4 หลายเดือนก่อน +3

    Uncle grandpa 😅😅😅😂🙌🏼

  • @eddiebilly3475
    @eddiebilly3475 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mnajisifu sana mpka mnaboa

  • @pitbullfamily4499
    @pitbullfamily4499 4 หลายเดือนก่อน

    😈😈😁💯💯💯🔥🔥🚀🚀🚀Real talk-show

  • @kotongomunkupahlombe8169
    @kotongomunkupahlombe8169 4 หลายเดือนก่อน

    💥🐘❤️❤️❤️

  • @dismasjerome1658
    @dismasjerome1658 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe mnajua game inataka nini halafu mnaleta madharau

  • @giztony2009
    @giztony2009 4 หลายเดือนก่อน

    Mm nadhani wangekubali waandikiwe nyimbo kwanza maana style yao ni ya zamani

    • @danielmwita2136
      @danielmwita2136 3 หลายเดือนก่อน

      Hao bila hata kuandikiwa wakiamua kufanya mziki rahisi kama Amapiano wanafanya, sasa ngoma kama Tshwala Bami kuna ufundi gani, pale producer tu atoe dundo kali na dancers wabunifu, promo kali baas.Wanaweza bana

  • @zuberijuma8543
    @zuberijuma8543 4 หลายเดือนก่อน

    Nimejikuta narudia pale kwenye toa T & C ibaki N😂😂😂

  • @sapatdiary1238
    @sapatdiary1238 4 หลายเดือนก่อน

    Halloi how can i send music to eastafrica radio?salimia hao wasanii wakali

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango9385 4 หลายเดือนก่อน

    Kama umeangalia hii alafu haukucheka basi we ni yule

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 4 หลายเดือนก่อน

    Kwani chila sio muislam

  • @maitharobert6833
    @maitharobert6833 4 หลายเดือนก่อน

    Malindi all the way

  • @user-cw7xw9cu6m
    @user-cw7xw9cu6m 4 หลายเดือนก่อน

    harmo fanya kitu nahawa mabroo

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 3 หลายเดือนก่อน

      Aachane nao maana alishafanya kwa chilah lakini akaja kuleta madharau na maneno kibao.

  • @dismasjerome1658
    @dismasjerome1658 4 หลายเดือนก่อน

    Inahitajika pesa na muda ili nyie wazee mrudi mjini tena

  • @hassankhamis7380
    @hassankhamis7380 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hawana akili unga mwingi kichwani mlipata pesa mka shindwa kufanya maendeleo ss leo Diamond maendeleo yake mnaya chukia tajiri ni tajiri tu kueni na akili

    • @jaybroza8684
      @jaybroza8684 4 หลายเดือนก่อน +1

      Wacha chuki brother ushawai waona wakila unga

    • @Shokolokobango9385
      @Shokolokobango9385 4 หลายเดือนก่อน

      Mbona ww unakula mchele na watu hawasemi

    • @DonDesdery
      @DonDesdery 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kipind kile mziki wa tz ulikua burudan na sio biashara,hvyo hawakuwa wanapata pesa km sasa,maana hata platform hazikuwa km hz walikua wakiuza kwa kusambaza maeneo yote lkn leo mtu akiwa geto anasambaza worldwide

    • @Dekingalba
      @Dekingalba 4 หลายเดือนก่อน +1

      Unakosea bro

    • @danielmwita2136
      @danielmwita2136 3 หลายเดือนก่อน

      Unajua wamedhulumiwa kiasi gani?Usiskilize watu wanavyopakwa matope. Wana makosa yao,lakini waliibiwa sana

  • @gwantadibusta
    @gwantadibusta 4 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂

  • @mahadabuu2647
    @mahadabuu2647 4 หลายเดือนก่อน

    Family nakubali kazi zenu