Makonda wangu baba...soma hii coment...kuna watu wamekufa awajui nani anapendwa na nani...wala ajui mmbaya wake nani...mungu wako makonda baba ni waajabu sana chini ya mama yetu samia..mungu anakuonyesha mengi makuu unayaona uko hai..wewe nani baba mshukuru mungu sana na sara za watanzania na mama yetu samia kuto wasikiliza wanafk wanao kunafk lakini mungu wa mama samia unaishi na watu wanakuombea na tunalia sana kwa kukupenda juu ya wanafki wanao kutafuta kiuwadui watapambana na simba wakabira la yuda Usiogope...jeshi lisilo onekana lipo na wewe...nakupenda sana sana mtumishi wa mungu.
Siku mungu akipenda naomba nikushike TU mkono na mke wako...nazidi kumwomba mungu atukutanishe nakupenda sana makonda mpaka mama yangu...tunaishi mbeya mjini..karibu mtumishi wa mungu.
Well-done Mhe Mkonda you are Great leader. Many foolish things happening tortouring local people. My Nigerian Tenant not paid 600 m rent contract expired in Feb but in Dar our people Helping Him na ka weka Bouncers kwenye Main entrance ku Block landlord.
Muheshimiws makonda upo vizuri, sisi wenzio tumetapeliwa na tanescoo mradi wasomanga kinyerezi, tangu ulipokuwa mkuu wa mkoa kipindi kile ulitupambania sana, tumedhurumiwa ndugu yetu, mungu akupe maisha marefu, mtetezi wawanyonge.
Asili ya @makonda nimtu mwenye nyota ya utetezi ila siyo mbaya kunasiku atalitumikia TAIFA ZIMA MUNGU MLINDE MAKONDA AJE AWE RAIS ATUSAIDIE TANZANIA 🇹🇿 YA SASA NA YA BADAE
Yaaani Kaka ww ni wa pekee Kuna watu wanateseka Sanaa huku mtaani, haki hakuna Mungu azidi kukutumia ili watu Wapate haki. Sio kila Mt anaweza kuku elewa lazima wawepo wa kukubeza ila wananchi tuko nyuma yako
Nampongeza Sana MH Rais kwa kuona mbali ,kumchaguwa MH makonda kuwa kiongozi yupo vizuri,nashauri mama mtu mwingne atakae kusaidia mama ni Ndgu Ally Happi pia ni jembe
😂😂 Subra kila kitu na Wakti wake. Bado kijana na anafursa ya kufika mbali sana. Hivi sasa kila mmoja amuongelea yeye kwa kazi nzuri sana. Mwamba iko siku atafika huko. Insha Allah
Makonda mungu akulinde mweshimiwa wew ni magufuli wa pili
Kwan hii nchi MKUU WA MKOA ni m1 tu ...km makonda anaweza hao wengine wanashindwa Nin kusikiliza kero za wananchi wao daah!! God bless you Mh.makonda🙏
Utazani inch nzima mkuu wa mkoa ni mmoja voice of people keep it up
Wale wanaomsema vibaya mh, wamenyamanzishwa na MUNGU 😊😊😊😊YESU ahsante
Wasiopenda haki hawapendi unayoongelea, piga kazi Mungu akulipe kheri
Tumbo lililo mzaa magufuri na makondo yabalikiwe
Kabisaa ❤❤❤❤
🙏🙏🙏🙏
Na Mama Samia kwa kumteua mhshmw Makonda.
Ameen
MH MAKONDA Wewe ni baraka sana sana sana!❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏👊👊👊👊💪💪💪💪💪
Mama samia hakukosea kukuchagua ww uende ukawe msimamizi wa haki za wanyonge mama samia anamaono na imani juu yako mheshimiwa makonda
Paul CHRISTIAN makonda on top headlines
Makondaa namuona mbali saana..!
GOD BLESS BROO 🙌
Mbali wap?
Mafisadi lazima wakupige vita tu.
Usijali mh Pm'
Mungu atakulinda na utaishinda vita hiyo👏
Makonda ni kiongozi ambaye anatetea haki
Millard ayo naomba niunganishe na mama nimpe hongera zake anajua.
Mungu akulinde mkuu
AMEEN
Kuna haja ya kuwa na makonda kama 50 hivi ili wawekwe kila mkoa. Hii nchi kuna baadhi ya watu wanaipiga sana.
Mkuu wet makonda mungu akupe maisha malefu ya kuish. Ili utuokowe sisi watuwako njoo na mwanz tunakuhitaji baba
Anafnya kazi nzuri sana huyu Poul
Makonda ni kiongozi mfatiliaji sana Tena mtenda haki atapaweza Arusha mungu ampe maisha marefu
Hongera mweshimiwa makonda kwa kazi jema unayoifanya kaka yangu
MAMA SAMIA MUNGU AKUBARIKI SANA SANA KWA KUMTEUA MAKONDA KWENDA MKOA WA ARUSHA.
TUNAOMBA WA DAR ES SALAAM AWE KAMA MAKONDA.
Damu ya Yesu Kristo Ikulinde Paul Makonda,kwa kazi Unazofanya.
Makonda sijawai acha kukufuatilia na kufurahidhwa na utendaji wako na kukuombea, Mungu akulinde.
Mama Samia amejua sana, khs Makonda na Slaa, raia wamejaa machozi machoni na simanzi mioyoni.
Mungu amjalie umri mrefu na afya njema.
Nakubali piga Kaz mwenetyu
MUNGUakuwekee Mkono WAKE WASIKUWEZE NA WANAOJARIBU WAPIGWE KWA MKONO WA YESU KRISTO BWANA MUNGU WA MAJESHI. WAFE WASIISHI. Amen.
God bless you sir. My all respect to you.
Next time plz visit Ngorongoro, thank you so much.
Nakukubali sanaaa
Nimesikia kulia
Mungu Akumbariki Rc kaka yangu Makonda.❤
Safi sana makonda mungu akubariki na akulinde kila unapokuwa akuongezee malaika wakukuongoza na wakukulinda daima
Makonda anafanya kazi ya Mungu,kutoa haki na Mama atabarikiwa kumpa nafasi afanye hiyo kazi.
JESUS DO IT ❤
Makonda ana moyo wa mungu viongozi wengine hawana huruma na binadam wanzao
AMEN. I HAVE NOTICED YOUR T-SHIRT AND CAP. CONGRATS FOR NOT BEING ASHAMED OF THE GOSPEL OF JESUS CHRIST.
Exactly 💯 powerful
Moja ya teuzi makini ni uteuzi wa makonda
Safi sana nimeipenda
Mashine tata we mwamba. Unaeleweka sana!
Uko vizuri Sana broo
Hawa viongozi Mungu awalinde na kuwafunua zaidi na zaidi
Mungu akulinde mh. Makonda.
Nakukubali sana Makonda piga kazi kaka
ARUSHA PIA UENDESHAJE WAGARI NI MBAYA SANA😊
Makonda wangu baba...soma hii coment...kuna watu wamekufa awajui nani anapendwa na nani...wala ajui mmbaya wake nani...mungu wako makonda baba ni waajabu sana chini ya mama yetu samia..mungu anakuonyesha mengi makuu unayaona uko hai..wewe nani baba mshukuru mungu sana na sara za watanzania na mama yetu samia kuto wasikiliza wanafk wanao kunafk lakini mungu wa mama samia unaishi na watu wanakuombea na tunalia sana kwa kukupenda juu ya wanafki wanao kutafuta kiuwadui watapambana na simba wakabira la yuda Usiogope...jeshi lisilo onekana lipo na wewe...nakupenda sana sana mtumishi wa mungu.
Siku mungu akipenda naomba nikushike TU mkono na mke wako...nazidi kumwomba mungu atukutanishe nakupenda sana makonda mpaka mama yangu...tunaishi mbeya mjini..karibu mtumishi wa mungu.
Mweshimiwa fungua App
MAKONDA PEKEE YAKE ANA POWER KULIKO MAWAZIRI WAKIWA WOTE, WABUNGE Wakiwa WOTE kuliko HADI RAISI 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Tumuombee sana jemedali wetu Paul makonda mungu akubariki saaana tunakuombee jemedali wetu.
Well-done Mhe Mkonda you are Great leader. Many foolish things happening tortouring local people. My Nigerian Tenant not paid 600 m rent contract expired in Feb but in Dar our people Helping Him na ka weka Bouncers kwenye Main entrance ku Block landlord.
Hivi nyie wakuu wa mikoa mingine hamjifunzi kitu kwa Makonda au hamuna kelo mikoani kwenu
Hadi machozi yamenitoka, makonda Mungu akurinde na wauni.
Mungu akubariki Makonda
Tunakuhtaj utuongoze kama raisi tunakupenda
Yes JESUS DID IT
Big up kwake long live the clan🎉
Huyu Jamaa Ukuu wa mkoa haumtoshi,
Viatu vinambana sana apewe nchi ndo size yake..
Au wampe aongoze mikoa 10 walau..
Mabosi wake wanamuona watafanya kitu siku zijazo.
Hongera sana mama Samia kwa teuzi yako magufuli alimbania sana huyu jamaa
Kwel mkuu huyu ni Raisi
MAGUFULI NDIYE ALIYEFANYA HUYO AONEKANE KAMA HUJUI@@sleifikhajjir262
May GOD Bless you Comrade!!
makondà wewe mungu Akujaliee
Mungu akuepushe na maadui wanaopinga kazi zako mkuu upo vizuri sana
Mh-Makonda upo vzuri sana,MTU akifanya vzuri mpeni maua yake,makonda kw sasa kaja upya kazi yetu sisi nikumuombea tu.
Mungu atende miujiza makonda awe rahisi tuna kuomba mungu tukumbuke watanza utukabizi kwa makonda
Tunaimani ns Samia. Tunaimani na Makonda jeshi la mtu mmoja 🇹🇿❤🇹🇿❤🇹🇿❤.
👍👍🙏🙏🙏💪💪💪Mungu akupe nguvu zaidi makonda
Rais samia bilaubaguzi akuangalie kwakukupa nafasi nzurizaidi iliuweze kuwafikia wanaichiwotee kaka
Arusha ilioza jamaniiii
Sio arusha ni tatizo liko nchi mzima. Wakati wa uchaguzi tunachagua vibaya. Bible kitabu kutoka Sura18:17-26.
Makonda unauwezo wa kipekee sana songa mbele mwamba
You're the best makonda may Allah protect you ❤❤
Mkuu hengera sana uko vizurii
Muheshimiws makonda upo vizuri, sisi wenzio tumetapeliwa na tanescoo mradi wasomanga kinyerezi, tangu ulipokuwa mkuu wa mkoa kipindi kile ulitupambania sana, tumedhurumiwa ndugu yetu, mungu akupe maisha marefu, mtetezi wawanyonge.
Mungu akulinde
MAKONDA PIGA KAZI MUNGU AZIDI KUKUPIGANIA.👋👋👋👋
Hongera ni ushujaa
Keep it up The Great Paul Makonda
Asili ya @makonda nimtu mwenye nyota ya utetezi ila siyo mbaya kunasiku atalitumikia TAIFA ZIMA MUNGU MLINDE MAKONDA AJE AWE RAIS ATUSAIDIE TANZANIA 🇹🇿 YA SASA NA YA BADAE
Mungu akubambanie mpaka ushike nafasi ya urais
Mh.Mungu akulinde
God blesss your
Kazi ya Mungu itasimama
Mungu wa mbinguni akulinde
Vizuri sana mkuu, kazi njema sana
Mungu amewashushia neema wananchi wa arusha kwa maombi ya mungu kinywa chako kimebarikiwa sana kiongozi wa watu wanyonge
👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥
Kazi njema hujitangaza yenyewe. Hongera sana mkuu wa mkoa wa Arusha.
Huyu mwamba
Yaaani Kaka ww ni wa pekee Kuna watu wanateseka Sanaa huku mtaani, haki hakuna Mungu azidi kukutumia ili watu Wapate haki. Sio kila Mt anaweza kuku elewa lazima wawepo wa kukubeza ila wananchi tuko nyuma yako
Kazi ienndelee safi Mungu akulinde
Asante Yesu unamuinua umtakae na kumshusha umtakae
Nakukubali sana baba
mUNGU akupe afya njema pia akulinde popote ulipo
hallelujah! nilikua TH-cam nilikua siielewi, lakini kupitia huyu mwamba nimemkubali Mungu amtunze, Kwa ajili anatenda haki
Nampongeza Sana MH Rais kwa kuona mbali ,kumchaguwa MH makonda kuwa kiongozi yupo vizuri,nashauri mama mtu mwingne atakae kusaidia mama ni Ndgu Ally Happi pia ni jembe
🎉🎉
Asante mkuhu
Ubarikiwe na MUNGU Baba Wa Mbinguni YESU KRISTO
God bless you Comrade🙏🙏🙏
Mungu akuongezee baba makonda
Tajiriii huna baya
Ipo siku utaliendesha taifa 🇹🇿 akuna mkamilifu dunia hii
May God continue to protect you in Jesus's name.
CHUKUA FOMU URAISI TUNAKUPA TUU MZEE
Ivi awezi kugombea uraisi uyu mwamba
😂😂 Subra kila kitu na Wakti wake. Bado kijana na anafursa ya kufika mbali sana. Hivi sasa kila mmoja amuongelea yeye kwa kazi nzuri sana. Mwamba iko siku atafika huko. Insha Allah
@@aaa64sa13😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@aaa64sa13 Miaka 42 bado kijana ??
Ata waziri mkuuu unamfaaaaaa
Pongezi nyingi kwa mama yetu na Rais wetu mama Samia kumpa kibali huyu jembe hakika mama umeona mbali sana 🌼🌼🌼🌼
Njoon na huku unguja kuna mzee anaitwa ali mchawi anadhulumu maeneo ya watu anadunda mtaani😢
MH Makonda mungu akulinde.