MADALALI WAFANYA MAKONDA AVUE KOTI, AWASHUKIA KISAWASAWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 283

  • @miriamamiri641
    @miriamamiri641 4 หลายเดือนก่อน +49

    Makonda mungu akulinde mweshimiwa wew ni magufuli wa pili

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um 4 หลายเดือนก่อน +32

    Kwan hii nchi MKUU WA MKOA ni m1 tu ...km makonda anaweza hao wengine wanashindwa Nin kusikiliza kero za wananchi wao daah!! God bless you Mh.makonda🙏

  • @sirkomba
    @sirkomba 4 หลายเดือนก่อน +11

    Utazani inch nzima mkuu wa mkoa ni mmoja voice of people keep it up

  • @BenardZephaniah
    @BenardZephaniah 4 หลายเดือนก่อน +40

    Wale wanaomsema vibaya mh, wamenyamanzishwa na MUNGU 😊😊😊😊YESU ahsante

  • @hamzaabdallah8637
    @hamzaabdallah8637 4 หลายเดือนก่อน +37

    Wasiopenda haki hawapendi unayoongelea, piga kazi Mungu akulipe kheri

  • @franciscojohn5751
    @franciscojohn5751 4 หลายเดือนก่อน +110

    Tumbo lililo mzaa magufuri na makondo yabalikiwe

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisaa ❤❤❤❤

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 4 หลายเดือนก่อน +1

      🙏🙏🙏🙏

    • @dorahmushi-we6ts
      @dorahmushi-we6ts 4 หลายเดือนก่อน +4

      Na Mama Samia kwa kumteua mhshmw Makonda.

    • @kibabysaid6692
      @kibabysaid6692 3 หลายเดือนก่อน

      Ameen

  • @kristofuraha3369
    @kristofuraha3369 4 หลายเดือนก่อน +21

    MH MAKONDA Wewe ni baraka sana sana sana!❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏👊👊👊👊💪💪💪💪💪

  • @HashimuHashboy-bo2wl
    @HashimuHashboy-bo2wl 4 หลายเดือนก่อน +33

    Mama samia hakukosea kukuchagua ww uende ukawe msimamizi wa haki za wanyonge mama samia anamaono na imani juu yako mheshimiwa makonda

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 4 หลายเดือนก่อน +34

    Paul CHRISTIAN makonda on top headlines

  • @iemsunnah5517
    @iemsunnah5517 4 หลายเดือนก่อน +41

    Makondaa namuona mbali saana..!
    GOD BLESS BROO 🙌

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mafisadi lazima wakupige vita tu.
    Usijali mh Pm'
    Mungu atakulinda na utaishinda vita hiyo👏

    • @shabanmramba4840
      @shabanmramba4840 3 หลายเดือนก่อน

      Makonda ni kiongozi ambaye anatetea haki

  • @wadauwasizoni
    @wadauwasizoni 4 หลายเดือนก่อน +13

    Millard ayo naomba niunganishe na mama nimpe hongera zake anajua.

  • @ElishiliaLoth
    @ElishiliaLoth 4 หลายเดือนก่อน +25

    Mungu akulinde mkuu

    • @thedon8467
      @thedon8467 4 หลายเดือนก่อน

      AMEEN

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie 4 หลายเดือนก่อน +21

    Kuna haja ya kuwa na makonda kama 50 hivi ili wawekwe kila mkoa. Hii nchi kuna baadhi ya watu wanaipiga sana.

  • @user-kn6bd2ep8m
    @user-kn6bd2ep8m 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mkuu wet makonda mungu akupe maisha malefu ya kuish. Ili utuokowe sisi watuwako njoo na mwanz tunakuhitaji baba

  • @elgardgration6504
    @elgardgration6504 4 หลายเดือนก่อน +9

    Anafnya kazi nzuri sana huyu Poul

  • @MDUYARAMAMduyarama
    @MDUYARAMAMduyarama 3 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda ni kiongozi mfatiliaji sana Tena mtenda haki atapaweza Arusha mungu ampe maisha marefu

  • @joshuamaginga1499
    @joshuamaginga1499 4 หลายเดือนก่อน +21

    Hongera mweshimiwa makonda kwa kazi jema unayoifanya kaka yangu

  • @bibianakiwali1969
    @bibianakiwali1969 3 หลายเดือนก่อน +1

    MAMA SAMIA MUNGU AKUBARIKI SANA SANA KWA KUMTEUA MAKONDA KWENDA MKOA WA ARUSHA.
    TUNAOMBA WA DAR ES SALAAM AWE KAMA MAKONDA.

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 4 หลายเดือนก่อน +10

    Damu ya Yesu Kristo Ikulinde Paul Makonda,kwa kazi Unazofanya.

  • @ekisuka1
    @ekisuka1 3 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda sijawai acha kukufuatilia na kufurahidhwa na utendaji wako na kukuombea, Mungu akulinde.

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mama Samia amejua sana, khs Makonda na Slaa, raia wamejaa machozi machoni na simanzi mioyoni.
    Mungu amjalie umri mrefu na afya njema.

  • @MansuliSelemani
    @MansuliSelemani 4 หลายเดือนก่อน +20

    Nakubali piga Kaz mwenetyu

  • @bibianakiwali1969
    @bibianakiwali1969 3 หลายเดือนก่อน +1

    MUNGUakuwekee Mkono WAKE WASIKUWEZE NA WANAOJARIBU WAPIGWE KWA MKONO WA YESU KRISTO BWANA MUNGU WA MAJESHI. WAFE WASIISHI. Amen.

  • @elijahnkoidela4262
    @elijahnkoidela4262 3 หลายเดือนก่อน +1

    God bless you sir. My all respect to you.
    Next time plz visit Ngorongoro, thank you so much.

  • @nurumohamed7225
    @nurumohamed7225 4 หลายเดือนก่อน +12

    Nakukubali sanaaa

  • @humphreybilly7437
    @humphreybilly7437 4 หลายเดือนก่อน +3

    Nimesikia kulia
    Mungu Akumbariki Rc kaka yangu Makonda.❤

  • @yessesamsom961
    @yessesamsom961 4 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana makonda mungu akubariki na akulinde kila unapokuwa akuongezee malaika wakukuongoza na wakukulinda daima

  • @mthiaspaul
    @mthiaspaul 4 หลายเดือนก่อน +5

    Makonda anafanya kazi ya Mungu,kutoa haki na Mama atabarikiwa kumpa nafasi afanye hiyo kazi.

  • @bennytech8483
    @bennytech8483 3 หลายเดือนก่อน +3

    JESUS DO IT ❤

  • @user-tm3dx2ey7j
    @user-tm3dx2ey7j 4 หลายเดือนก่อน +6

    Makonda ana moyo wa mungu viongozi wengine hawana huruma na binadam wanzao

  • @colkiwale4973
    @colkiwale4973 4 หลายเดือนก่อน +4

    AMEN. I HAVE NOTICED YOUR T-SHIRT AND CAP. CONGRATS FOR NOT BEING ASHAMED OF THE GOSPEL OF JESUS CHRIST.

  • @emmanuelqaday6949
    @emmanuelqaday6949 4 หลายเดือนก่อน +5

    Moja ya teuzi makini ni uteuzi wa makonda

  • @StewartTemu-fu4ej
    @StewartTemu-fu4ej 3 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana nimeipenda

  • @BenethRwekaza-yv1gl
    @BenethRwekaza-yv1gl 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mashine tata we mwamba. Unaeleweka sana!

  • @ezramartin3948
    @ezramartin3948 4 หลายเดือนก่อน +18

    Uko vizuri Sana broo

  • @jamessumuni1364
    @jamessumuni1364 4 หลายเดือนก่อน +5

    Hawa viongozi Mungu awalinde na kuwafunua zaidi na zaidi

  • @paulm.kaponda2300
    @paulm.kaponda2300 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde mh. Makonda.

  • @ephraimmakaranga1795
    @ephraimmakaranga1795 4 หลายเดือนก่อน +15

    Nakukubali sana Makonda piga kazi kaka

  • @kaltumsharif9547
    @kaltumsharif9547 4 หลายเดือนก่อน +10

    ARUSHA PIA UENDESHAJE WAGARI NI MBAYA SANA😊

  • @user-kr2qr8vx1x
    @user-kr2qr8vx1x 3 วันที่ผ่านมา

    Makonda wangu baba...soma hii coment...kuna watu wamekufa awajui nani anapendwa na nani...wala ajui mmbaya wake nani...mungu wako makonda baba ni waajabu sana chini ya mama yetu samia..mungu anakuonyesha mengi makuu unayaona uko hai..wewe nani baba mshukuru mungu sana na sara za watanzania na mama yetu samia kuto wasikiliza wanafk wanao kunafk lakini mungu wa mama samia unaishi na watu wanakuombea na tunalia sana kwa kukupenda juu ya wanafki wanao kutafuta kiuwadui watapambana na simba wakabira la yuda Usiogope...jeshi lisilo onekana lipo na wewe...nakupenda sana sana mtumishi wa mungu.

    • @user-kr2qr8vx1x
      @user-kr2qr8vx1x 3 วันที่ผ่านมา

      Siku mungu akipenda naomba nikushike TU mkono na mke wako...nazidi kumwomba mungu atukutanishe nakupenda sana makonda mpaka mama yangu...tunaishi mbeya mjini..karibu mtumishi wa mungu.

  • @juchaonline4084
    @juchaonline4084 4 หลายเดือนก่อน +8

    Mweshimiwa fungua App

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u 4 หลายเดือนก่อน +7

    MAKONDA PEKEE YAKE ANA POWER KULIKO MAWAZIRI WAKIWA WOTE, WABUNGE Wakiwa WOTE kuliko HADI RAISI 😂😂

    • @imranijuma6955
      @imranijuma6955 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 4 หลายเดือนก่อน +6

    Tumuombee sana jemedali wetu Paul makonda mungu akubariki saaana tunakuombee jemedali wetu.

  • @bharyasarbjit1187
    @bharyasarbjit1187 4 หลายเดือนก่อน

    Well-done Mhe Mkonda you are Great leader. Many foolish things happening tortouring local people. My Nigerian Tenant not paid 600 m rent contract expired in Feb but in Dar our people Helping Him na ka weka Bouncers kwenye Main entrance ku Block landlord.

  • @PillyItuka
    @PillyItuka 4 หลายเดือนก่อน +9

    Hivi nyie wakuu wa mikoa mingine hamjifunzi kitu kwa Makonda au hamuna kelo mikoani kwenu

  • @paulstephen8317
    @paulstephen8317 4 หลายเดือนก่อน +6

    Hadi machozi yamenitoka, makonda Mungu akurinde na wauni.

  • @shabanmramba4840
    @shabanmramba4840 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki Makonda

  • @FrolahRimo-cm3tu
    @FrolahRimo-cm3tu 4 หลายเดือนก่อน +13

    Tunakuhtaj utuongoze kama raisi tunakupenda

  • @shammhagama2527
    @shammhagama2527 4 หลายเดือนก่อน +5

    Yes JESUS DID IT

  • @adammsenga2793
    @adammsenga2793 4 หลายเดือนก่อน +7

    Big up kwake long live the clan🎉

  • @jameswissa9981
    @jameswissa9981 4 หลายเดือนก่อน +15

    Huyu Jamaa Ukuu wa mkoa haumtoshi,
    Viatu vinambana sana apewe nchi ndo size yake..
    Au wampe aongoze mikoa 10 walau..

    • @joachimgolola62
      @joachimgolola62 4 หลายเดือนก่อน

      Mabosi wake wanamuona watafanya kitu siku zijazo.

    • @sleifikhajjir262
      @sleifikhajjir262 4 หลายเดือนก่อน

      Hongera sana mama Samia kwa teuzi yako magufuli alimbania sana huyu jamaa

    • @Samwelmagita-jb1so
      @Samwelmagita-jb1so 3 หลายเดือนก่อน

      Kwel mkuu huyu ni Raisi

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa 3 หลายเดือนก่อน

      MAGUFULI NDIYE ALIYEFANYA HUYO AONEKANE KAMA HUJUI​@@sleifikhajjir262

  • @godsonmolla1594
    @godsonmolla1594 4 หลายเดือนก่อน +3

    May GOD Bless you Comrade!!

  • @user-gm5dk2tj6i
    @user-gm5dk2tj6i 3 หลายเดือนก่อน +2

    makondà wewe mungu Akujaliee

  • @mtambogh6843
    @mtambogh6843 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akuepushe na maadui wanaopinga kazi zako mkuu upo vizuri sana

  • @bahatimwawende5187
    @bahatimwawende5187 4 หลายเดือนก่อน +6

    Mh-Makonda upo vzuri sana,MTU akifanya vzuri mpeni maua yake,makonda kw sasa kaja upya kazi yetu sisi nikumuombea tu.

  • @MudhiriMbogoli
    @MudhiriMbogoli 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu atende miujiza makonda awe rahisi tuna kuomba mungu tukumbuke watanza utukabizi kwa makonda

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tunaimani ns Samia. Tunaimani na Makonda jeshi la mtu mmoja 🇹🇿❤🇹🇿❤🇹🇿❤.

  • @mariasafari1004
    @mariasafari1004 3 หลายเดือนก่อน +1

    👍👍🙏🙏🙏💪💪💪Mungu akupe nguvu zaidi makonda

  • @user-ui1cj5re9k
    @user-ui1cj5re9k 4 หลายเดือนก่อน +8

    Rais samia bilaubaguzi akuangalie kwakukupa nafasi nzurizaidi iliuweze kuwafikia wanaichiwotee kaka

  • @methodoscar2982
    @methodoscar2982 4 หลายเดือนก่อน +11

    Arusha ilioza jamaniiii

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 4 หลายเดือนก่อน

      Sio arusha ni tatizo liko nchi mzima. Wakati wa uchaguzi tunachagua vibaya. Bible kitabu kutoka Sura18:17-26.

  • @martinegeorge4696
    @martinegeorge4696 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda unauwezo wa kipekee sana songa mbele mwamba

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k 4 หลายเดือนก่อน +1

    You're the best makonda may Allah protect you ❤❤

  • @eliamanimfinanga3957
    @eliamanimfinanga3957 3 หลายเดือนก่อน

    Mkuu hengera sana uko vizurii

  • @OscarFabian-uu3rs
    @OscarFabian-uu3rs 3 หลายเดือนก่อน

    Muheshimiws makonda upo vizuri, sisi wenzio tumetapeliwa na tanescoo mradi wasomanga kinyerezi, tangu ulipokuwa mkuu wa mkoa kipindi kile ulitupambania sana, tumedhurumiwa ndugu yetu, mungu akupe maisha marefu, mtetezi wawanyonge.

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu akulinde

  • @jeremiamwakilimaji8284
    @jeremiamwakilimaji8284 4 หลายเดือนก่อน +3

    MAKONDA PIGA KAZI MUNGU AZIDI KUKUPIGANIA.👋👋👋👋

  • @joachimgolola62
    @joachimgolola62 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera ni ushujaa

  • @petergembe5528
    @petergembe5528 3 หลายเดือนก่อน

    Keep it up The Great Paul Makonda

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 4 หลายเดือนก่อน +3

    Asili ya @makonda nimtu mwenye nyota ya utetezi ila siyo mbaya kunasiku atalitumikia TAIFA ZIMA MUNGU MLINDE MAKONDA AJE AWE RAIS ATUSAIDIE TANZANIA 🇹🇿 YA SASA NA YA BADAE

  • @BONIFASISICHONDE
    @BONIFASISICHONDE 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubambanie mpaka ushike nafasi ya urais

  • @YamunguMuha
    @YamunguMuha 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mh.Mungu akulinde

  • @rehemakabogo1992
    @rehemakabogo1992 3 หลายเดือนก่อน

    God blesss your

  • @martinsimtenda5990
    @martinsimtenda5990 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kazi ya Mungu itasimama

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga5197 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu wa mbinguni akulinde

  • @patricksebastian3593
    @patricksebastian3593 3 หลายเดือนก่อน

    Vizuri sana mkuu, kazi njema sana

  • @sophiamsangi9763
    @sophiamsangi9763 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu amewashushia neema wananchi wa arusha kwa maombi ya mungu kinywa chako kimebarikiwa sana kiongozi wa watu wanyonge

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 3 หลายเดือนก่อน

    👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥

  • @mashakambugi6730
    @mashakambugi6730 3 หลายเดือนก่อน

    Kazi njema hujitangaza yenyewe. Hongera sana mkuu wa mkoa wa Arusha.

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 4 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu mwamba

  • @asajileraphael1951
    @asajileraphael1951 4 หลายเดือนก่อน +2

    Yaaani Kaka ww ni wa pekee Kuna watu wanateseka Sanaa huku mtaani, haki hakuna Mungu azidi kukutumia ili watu Wapate haki. Sio kila Mt anaweza kuku elewa lazima wawepo wa kukubeza ila wananchi tuko nyuma yako

  • @beatricemunisi7891
    @beatricemunisi7891 4 หลายเดือนก่อน

    Kazi ienndelee safi Mungu akulinde

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asante Yesu unamuinua umtakae na kumshusha umtakae

  • @vickykwembe5842
    @vickykwembe5842 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubali sana baba

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu 4 หลายเดือนก่อน +10

    mUNGU akupe afya njema pia akulinde popote ulipo

  • @mrhekimasuleiman3884
    @mrhekimasuleiman3884 4 หลายเดือนก่อน +2

    hallelujah! nilikua TH-cam nilikua siielewi, lakini kupitia huyu mwamba nimemkubali Mungu amtunze, Kwa ajili anatenda haki

  • @mtambogh6843
    @mtambogh6843 4 หลายเดือนก่อน

    Nampongeza Sana MH Rais kwa kuona mbali ,kumchaguwa MH makonda kuwa kiongozi yupo vizuri,nashauri mama mtu mwingne atakae kusaidia mama ni Ndgu Ally Happi pia ni jembe

  • @mabitiofficial5497
    @mabitiofficial5497 3 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉

  • @BoniphaseJoseph-mb4qu
    @BoniphaseJoseph-mb4qu 2 หลายเดือนก่อน

    Asante mkuhu

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3w 4 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe na MUNGU Baba Wa Mbinguni YESU KRISTO

  • @johnkatindasa5286
    @johnkatindasa5286 4 หลายเดือนก่อน

    God bless you Comrade🙏🙏🙏

  • @user-ow7pl6tz2c
    @user-ow7pl6tz2c 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuongezee baba makonda

  • @aureusnchimbi7243
    @aureusnchimbi7243 3 หลายเดือนก่อน

    Tajiriii huna baya

  • @johnmgalla7377
    @johnmgalla7377 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ipo siku utaliendesha taifa 🇹🇿 akuna mkamilifu dunia hii

  • @StellaWaillu
    @StellaWaillu 4 หลายเดือนก่อน

    May God continue to protect you in Jesus's name.

  • @julianmsele3880
    @julianmsele3880 4 หลายเดือนก่อน +4

    CHUKUA FOMU URAISI TUNAKUPA TUU MZEE

  • @mo7funny
    @mo7funny 4 หลายเดือนก่อน +9

    Ivi awezi kugombea uraisi uyu mwamba

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 4 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂 Subra kila kitu na Wakti wake. Bado kijana na anafursa ya kufika mbali sana. Hivi sasa kila mmoja amuongelea yeye kwa kazi nzuri sana. Mwamba iko siku atafika huko. Insha Allah

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@aaa64sa13😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @Soon815
      @Soon815 4 หลายเดือนก่อน

      @@aaa64sa13 Miaka 42 bado kijana ??

    • @imranijuma6955
      @imranijuma6955 4 หลายเดือนก่อน

      Ata waziri mkuuu unamfaaaaaa

  • @linahmacha370
    @linahmacha370 4 หลายเดือนก่อน

    Pongezi nyingi kwa mama yetu na Rais wetu mama Samia kumpa kibali huyu jembe hakika mama umeona mbali sana 🌼🌼🌼🌼

  • @salehjuma5242
    @salehjuma5242 4 หลายเดือนก่อน +2

    Njoon na huku unguja kuna mzee anaitwa ali mchawi anadhulumu maeneo ya watu anadunda mtaani😢

  • @user-hp3sd6de2o
    @user-hp3sd6de2o 4 หลายเดือนก่อน

    MH Makonda mungu akulinde.