MRISHO GAMBO ANAHUSIKA KUMPA SUMU RC MAKONDA? - HAJAITWA KUHOJIWA POPOTE - UKWELI UPO HIVI...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
  • MRISHO GAMBO ANAHUSIKA KUMPA SUMU RC MAKONDA? - HAJAITWA KUHOJIWA POPOTE - UKWELI UPO HIVI...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 112

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 หลายเดือนก่อน +10

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @RACHAELMALALE
    @RACHAELMALALE 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu atakuponya boldozer makonda
    0:00

  • @isamoo736TV
    @isamoo736TV 2 หลายเดือนก่อน +2

    KICHWA CHA HABARI CHAKO KINATIA HATARUKI BRO

  • @simonkaaya1220
    @simonkaaya1220 2 หลายเดือนก่อน +6

    Naomba tuombe kila mtu kwa IMANI yake amuombee kwa MWENYEZI MUNGU AMPONYE. Bado Taifa linamuitaji. Mapungufu yapo kwa kila binadamu ata YESU alituhumiwa na Kusalitiwa.

  • @Allyhujjat
    @Allyhujjat 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kila jambo lina mwisho wake kama rizki yetu kwa makonda imeisha tutashukuru mungu na kama bado pia tutashukuru mungu akuna atakae ishi milele cha msingi ni kwamba kama kiongozi wetu yuko likizo apumzike vema arudi kwa nguvu kutumikia wana arusha mungu akubariki mdogo wangu makonda

  • @RACHAELMALALE
    @RACHAELMALALE 2 หลายเดือนก่อน

    Pole rc makonda

  • @RACHAELMALALE
    @RACHAELMALALE 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu atakuponya boldozer makonda
    0:00

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 2 หลายเดือนก่อน +22

    Unatuletea story!!! Tunamtaka Makonda!!!

  • @ZainaJuma-t5g
    @ZainaJuma-t5g 2 หลายเดือนก่อน

    Ee mungu amnusuru makonda wetu na mabalaa hayo, amjaalie awe kiongozi mkubwa zaidi ya hapo❤❤

  • @Pixxmoleli
    @Pixxmoleli 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu husika

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu mnusuru Makonda. Maelezo yako ni pumba tu. Rafiki wa karibu ananafasi ya kukufanyia chochote kuliko hata adui. Makonda akidhurika, wanaotuhumiwa wachunguzwe

  • @nickb3289
    @nickb3289 2 หลายเดือนก่อน +8

    Mwenyez Mungu amponye 🙏

  • @SesiliaYustini
    @SesiliaYustini 2 หลายเดือนก่อน

    Eee mungu Kwa nn tukipata chapa kazi Wana yeyuka Kuna nn? Kwani tusadie tuu mungu wambingu na araz 🙏🙏🙏

  • @bmajesky63
    @bmajesky63 2 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda will not die watakufa wapuuzi wengine mpaka Mungu atakaporuhusu Makonda kufa

  • @Mutako-ig1ik
    @Mutako-ig1ik 2 หลายเดือนก่อน +8

    Huyo baba wawatu makonda akifa aiseee watanzania mutakuwa watu wa ajabu sana nitawachukia milele japo wanaangu pia ni wa Tanzania iweje kila kiongozi imala na mwenyekujali masirahi ya nchi na mupambaniq haki tzd anadhulikq

    • @FadhiliMgalla
      @FadhiliMgalla 2 หลายเดือนก่อน

      Nduguyangu mimi kila ninavyo angalia hizi kilipu nazidi kuto kuelewa kabisa Yani ngoja tusiongee kwanza

    • @Mutako-ig1ik
      @Mutako-ig1ik 2 หลายเดือนก่อน

      @@FadhiliMgalla Mungu amulinde huyo baba wawatu namupenda sana jamanii mie siyo mutanzania ila wanaangu ni wa Tanzania wakipataga kiongozi mzuri najikuta namupenda sana kuliko maelezo nilimupenda Magufuri wakamuondoa nikamupenda Majaliwa wakamukalisha kimya saa hivi hana kauri amekuja Makonda wanataka kumupoteza aiseee sjui wana Mashetani gani ila kabla Kikwete na Mwiguru hawajaondoka duniani hii nchi haitakaa ipate kiongozi bola ata siku moja

  • @tomsijohni
    @tomsijohni 2 หลายเดือนก่อน +16

    Wachunguzeni hao wote waliousika kumpa sumu Makonda kama ni Watanzania wa kweli na kama sio wafukuze wote

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 2 หลายเดือนก่อน

      Wafukuzwe Nanani usinichekeshe

  • @DAVIDJOSEPH-u8r
    @DAVIDJOSEPH-u8r 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hii inch imewekwa . kwaajiri ya watu wachche. Ndiomaana akiwepo kiongoz mwenyewe haiba na uchungu wawatu wachin..anapotezwa.

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa hii story ndo ya kuichunguza why global ndo mnamsafisha?amewatuma au?

  • @ALBERTMWEMEZIBATAMUZI
    @ALBERTMWEMEZIBATAMUZI 2 หลายเดือนก่อน +2

    hao ni marafiki mungu awabariki

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 2 หลายเดือนก่อน

    Sema alipo Makonda acha Mboyoyo 😂😂🎉🎉

  • @Nandymsophe
    @Nandymsophe 2 หลายเดือนก่อน

    Kaka hatutak maneno meng sis tunamtaka makond. Wet tu akiwa mzim wa afya

  • @Richforever66
    @Richforever66 2 หลายเดือนก่อน

    Yani Rais jamaniii amsaidie makonda coz daaaa

  • @mazongeshomari8032
    @mazongeshomari8032 2 หลายเดือนก่อน

    Hatamimi naamini maneno yamsimuliaji

  • @VailethVee
    @VailethVee 2 หลายเดือนก่อน +9

    Hatutaki maneno mengi kaka waambie tunamtaka makondaa wetu akiwa na afya

  • @philomenastephen3364
    @philomenastephen3364 2 หลายเดือนก่อน

    YUDA ISKARIOTE HAKUWA MBALI NA YESU. NAYE ANGEPEWA NGUVU ZA KIROHO ANGEJUA ATAKAYE MSALITI.

  • @novatusmakunga3030
    @novatusmakunga3030 2 หลายเดือนก่อน

    Superb 👍👍👍

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 2 หลายเดือนก่อน +1

    Na ole wenu iwe kweli tunamtaka Makondaaaa😢

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 2 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢😢😢

  • @emmanuelqaday6949
    @emmanuelqaday6949 2 หลายเดือนก่อน +11

    Wahuni wanataka kumchonganisha gambo na makonda

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 2 หลายเดือนก่อน

      WATU WANAONGEA UJINGA SANA KITU KAMA HIPO HAKIPO

  • @MatidoniFasitini
    @MatidoniFasitini 2 หลายเดือนก่อน

    Hii mitandao na yenyewe inachangia kuvuruga aman ya nchi yetu mamlaka ya mawasiliano ifanye kaz yake tunataka taarifa zinazoeleweka

  • @ashakomba8034
    @ashakomba8034 2 หลายเดือนก่อน

    Mnachokitafta mtakipata 😢😢

  • @ramadhanchonya9497
    @ramadhanchonya9497 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tunamtaka makonda

  • @adolftimanywa2709
    @adolftimanywa2709 2 หลายเดือนก่อน

    Ameñ

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani hii ni Inchi ya ajabu kwanini wasituambie tujue yupo wapi kuliko hizi taharuki Mungu Mwenyezi tunaomba utusaidie ili mja wako arudi kutupambania

  • @AmosSija
    @AmosSija 2 หลายเดือนก่อน

    Haya mambo yanasikitisha kusikia viongozi wanawekewa sumu ukweli si jambo jema

  • @AyubuMsindo
    @AyubuMsindo 2 หลายเดือนก่อน

    Daaaaaaaa jamani 1:31

  • @TeddyDickson-w5p
    @TeddyDickson-w5p 2 หลายเดือนก่อน

    Kama mke anaweza muwekea sumu mumewe itakuwa rafiki ?

  • @EdwardYohana-nj9ky
    @EdwardYohana-nj9ky 2 หลายเดือนก่อน

    Acheni kuchafua jina la gambo nnacho taka kujua mkonda yuko wapi basi

  • @linusmmassy9730
    @linusmmassy9730 2 หลายเดือนก่อน

    Siasa za Arusha ni ngumu MNO mno

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 2 หลายเดือนก่อน +4

    Ninyi mbwa wakubwa mrisho Gambo atahusikaji wakati makonda na mrisho Gambi nimarafiki wa siku nyingi

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kikuracho Kiko ndani mwako

    • @isacksimonmahungilo
      @isacksimonmahungilo 2 หลายเดือนก่อน

      Rafiki yako ndo adui yako

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477 2 หลายเดือนก่อน

    Tunamtaka mtoa uzushi ,huyo ndio anajua alipo makonda , sisi tunamtka makonda kamata huyo aje aseme ukweli.

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 2 หลายเดือนก่อน +1

    akiludi aachane na hio kazi

  • @bnztechnologies2676
    @bnztechnologies2676 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmhhhh gambo huyuuuu sio

  • @gilbertmchai2490
    @gilbertmchai2490 2 หลายเดือนก่อน

    Akujuae ndio akumalizae

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ni zaid ya upuuzi kabisa

  • @RukiaTanzania
    @RukiaTanzania 2 หลายเดือนก่อน

    UNaesema hawezi ndie rahis kuweza

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona mnaleta makelele msituletee izo habari mlizusha kuhusu makamu wa rais kafa ikawa uzushi msituletee uzushi wenu mmeshajibiwa kuwa yupo likizo

  • @IssaMsangi-ro7qr
    @IssaMsangi-ro7qr 2 หลายเดือนก่อน

    Jmn

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 2 หลายเดือนก่อน +6

    Ila wabongo tuache uzushi jamani

  • @jameskilasi5131
    @jameskilasi5131 2 หลายเดือนก่อน

    Hujatoa jibu bdo yupo wapi makonda

  • @nickb3289
    @nickb3289 2 หลายเดือนก่อน +1

    Waiting

  • @jonasimwanzi
    @jonasimwanzi 2 หลายเดือนก่อน

    Kinana kajiuzuru CCM kuna kitu kinaendelea jamani vijana 2000 tuamuke maana awa wasitucheze

    • @gigoyrn4394
      @gigoyrn4394 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂 Sasa kujiuzulu Kwa kinana sisi tuingie mtaani

  • @jumanyanda9740
    @jumanyanda9740 2 หลายเดือนก่อน

    Nani mwenye ushaidi wa hilo na je ni nani mwenye ushaidi kuhusu makonda alipo na je nani mwenye ushaidi wa kweli makonda kapewa sumu?

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 2 หลายเดือนก่อน

    Heeee

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 2 หลายเดือนก่อน +6

    Huo ni uwongo gambo na makonda ni marafiki sana tangu enzi za magufuli na ni marafiki sana hawana shida hao wawili hizo ni mbinu za watu wachache kumtengenezea gambo ubaya but gambo yuko vzur hanashida

    • @Sweetnaah
      @Sweetnaah 2 หลายเดือนก่อน +3

      Je wajua kwamba kikulacho kinguoni mwako?

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@Sweetnaahhajui mtu wakwanza mwenye kukudhuru ni mtu wako wa karibu

  • @SirajiAbdalah
    @SirajiAbdalah 2 หลายเดือนก่อน +1

    Raha na shida vinalingana

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 2 หลายเดือนก่อน +2

    Uzushi kila kukicha! Mnamzulia Makonda kupewa sumu, mbona hamji na ushahidi na uthibutisho? Mnamzulia Gambo kumpa sumu makonda, tupe ushahidi na uthibitisho. Tunachoka na waandishi makasuku na makanjanja wasitofanya juhudi utafiti kutafuta facts wanabaki kuwaaminisha watu uvumi na uzushi! Acheni uhasidi!

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 หลายเดือนก่อน

      Wanaozusha wanataka wasidhaniwe ni wao😣😣

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 หลายเดือนก่อน

    Lisemwalo lipo mbona atajwe yeye tu

  • @elinurukitomali6008
    @elinurukitomali6008 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi jamani wanao toa taharifa za uongo c, wachukuliwe hatua

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yuko WAPI mkuu wa mkoa Paulo Christian Makonda4

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 2 หลายเดือนก่อน

    Makondakana watamuuwa kama magufuri nitahama nchi hii

  • @kibemassao6478
    @kibemassao6478 2 หลายเดือนก่อน

    Acha mbwembwe

  • @jacklinakinabo6479
    @jacklinakinabo6479 2 หลายเดือนก่อน

    Trust nobody

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 2 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda mzima bwana mnataka kusema kikulacho au nini😮

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 2 หลายเดือนก่อน

    Leteni majibu sahihi yuko wapi Makonda acha maneno mengi

  • @emmanuelmasatu
    @emmanuelmasatu 2 หลายเดือนก่อน

    Hawa watu wanao waua viongozi vipenzi vya Watanzania ni kinanani.? Na wanatuchukuliaje watanzania.!

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ole wako gambo awe ndio yeye maana rafiki anaweza kuwa adui mkubwa

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg 2 หลายเดือนก่อน +1

    😢

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 2 หลายเดือนก่อน

    MBONA NI KAMA UNARUSHA UTETEZI?

  • @ClementMmuru
    @ClementMmuru 2 หลายเดือนก่อน +5

    Jamani watanzania ninani aliewaloga?kila kiongozi shupavu anatafutiwa mauti je hiiitakua ninchi ya kidicteta au huo ndio uzalendo watanzania? Duh hii Sasa ningumu kumeza jamani

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt 2 หลายเดือนก่อน

      Yani inaumiza mno mwisho watu wataogopa kutusaidia Raia

    • @ReginaSimkonda-vb7pz
      @ReginaSimkonda-vb7pz 2 หลายเดือนก่อน

      Q11 is

  • @edrickniwamanya5665
    @edrickniwamanya5665 2 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢😢😢😢😢😢

  • @BarakaRwegoshora
    @BarakaRwegoshora 2 หลายเดือนก่อน

    Tuombe subira kwa kila mtu tusitaarukishe taarifa na lawama. Tuamini lile tunalolipokea kutoka kwa serikali ndo kuna taarifa sahihi

  • @jennifersirikwa7449
    @jennifersirikwa7449 2 หลายเดือนก่อน

    BIASHARA ya kuamini rafiki inatoka wapi. Rafiki Ndio snitch mkubwa

  • @JudyUrio-zy7ri
    @JudyUrio-zy7ri 2 หลายเดือนก่อน

    Tutampa ubunge Arusha anatufaa

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 2 หลายเดือนก่อน

    Mmm

  • @SelijusMalambo
    @SelijusMalambo 2 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba mtuambie amelazwa hospital gani 2 inchi gani alikopelekwa ,leo siku yangapi tangu amelishwa sumu na niaina gani ya sumu ,3 chakula alichokula kikiwa na sumu nichakula gani

  • @RukiaTanzania
    @RukiaTanzania 2 หลายเดือนก่อน

    Anekudhuru ni wako

  • @FrankSamson-r6s
    @FrankSamson-r6s 2 หลายเดือนก่อน

    😁😁😁😁me nachekaga tu na siasa za tz

  • @WilfredKuyonza-jz2nj
    @WilfredKuyonza-jz2nj 2 หลายเดือนก่อน

    Tunachotaka sisi ni kumuona makonda akipiga kazi basi

  • @JustinMkumbwa
    @JustinMkumbwa 2 หลายเดือนก่อน

    Tunakuoma kama mmbeatu watu wanatakakujua Hali ya MAKONDA na alipo acha kutuletea mboyoyo kwani gambo hawezikuongea mpaka wewe

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya3814 2 หลายเดือนก่อน

    Never trust anyone.Tena mtu wako wa Karibu ndo anakudhuru kirahisi kabisa.

  • @MiriamJoel-z2w
    @MiriamJoel-z2w 2 หลายเดือนก่อน

    Acheni uongo kumchuria mtiu kifo shindwa

  • @athanaswilliam6940
    @athanaswilliam6940 2 หลายเดือนก่อน

    Hamna akili nyie,... Mnaleta taharuki kwa kivuli Cha uzushi.... Kama uzushi kwanini muiweke tusikie. Mbaafu

  • @nickb3289
    @nickb3289 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kama n kwel

  • @naqiahmad26
    @naqiahmad26 2 หลายเดือนก่อน

    kikulacho...

  • @oswardjaphal-cd6np
    @oswardjaphal-cd6np 2 หลายเดือนก่อน

    Kikulacho kiko nguoni mwako. Wajuwakwamba. Baba ana weza kuwua mwanae wakumuzaa. Atashindwaje. Kwarafiki yake. Lisemwalo lipo fanya ucunguzi

  • @OmaryRamadan-m8v
    @OmaryRamadan-m8v 2 หลายเดือนก่อน

    Shida yetu sisi so maelezo shida yetu ni makonda tumuone basi😢😢😢😢

  • @MastarKuntuabaharia
    @MastarKuntuabaharia 2 หลายเดือนก่อน +2

    Rafiki yako mkubwa ndio adui wako mkubwa chukua hiyo usiwe bwege

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 2 หลายเดือนก่อน

      Kumbe nyinyi macha-demu ndiyo mlioandika uzushi huo...

    • @section8ight174
      @section8ight174 2 หลายเดือนก่อน

      Huwezi kuwa panda zote mbili, haiwezekani! Ni eidha rafiki ama adui

  • @GeorgeJusto-y4v
    @GeorgeJusto-y4v 2 หลายเดือนก่อน +1

    Unaongea vitu vya uongo wewe umelewa nini

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 2 หลายเดือนก่อน

    Sawa, umejitahidi kukanusha kwa niaba ya mtuhumiwa labda kakutuma.

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 2 หลายเดือนก่อน

    Yote ni yote tuombe Mungu ampe uponyaji popote alipo arudi akiwa hai bado tunamhitaji sana sana.

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 2 หลายเดือนก่อน +1

    AENDEE TU...KAMA ALIUAWA KINA BEN SAANANE HIYO SUMU ITAMUONDOA...

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI 2 หลายเดือนก่อน

      Mhmhmhm 😮😮😮😮

    • @SelijusMalambo
      @SelijusMalambo 2 หลายเดือนก่อน

      Ok ukiitwa ushahidi unao au nimkurupukaji

  • @WilfredKuyonza-jz2nj
    @WilfredKuyonza-jz2nj 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sikuhuzi watu wanaweza kufanya jambo kisha wakakaa kimya na kuziacha media walizozilipa pesa ziwasemee ili wao waendelee kubakia kwenye safe zone. Ni mtazamo wangu kwa uelewa wangu wa mambo tumia akili kulitafakari jambo linaloongelewa au uvumi wa namna yoyote ile.

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona mnaleta makelele msituletee izo habari mlizusha kuhusu makamu wa rais kafa ikawa uzushi msituletee uzushi wenu mmeshajibiwa kuwa yupo likizo

  • @SirajiAbdalah
    @SirajiAbdalah 2 หลายเดือนก่อน

    Raha na shida vinalingana