🔴
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- 🔴#Live: MAKONDA AKASIRIKA - MTUMISHI ALIYEMPA MAELEKEZO HAJAYATEKELEZA - ''LETA HELA HARAKA''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mh. Makonda Mungu akubariki sana. Chapa kazi mkuu, tuko pamoja na wewe
Duh masikini mama Tz.
Hii nchi inatisha,wababaishaji na wezi,ni wengi.
Hongera Makonda!
Makonda ogera San na kazi unayo fanya
Makonda oyeee Mungu akubarik kwa kutenda haki Akupe umri wa kher na ww tunakuombea hakika unayakomoa ma dudu
Haya semeni kazalilishwa raisi Makonda kumwambia mimi si mtani wako piga spana
Alafu mnaenda kuomba mikopo china na Korea wkt hela zipo na watu wanazila bure🙄
Tunajua tairi ya gari au bodaboda ndo imebasti
Yaani hawa watu wabaya wameumiza watu sasa kesho hiyo pesa inatoka wapi yaani wanadhambi
Piga spana mwamba fukuza hao wanaiba sana hela za wananchi.pigaaaa spana
😊
P
SUPANA ZIENDELEHE PEMBE ZOTE ARUSHA 😂😂😂😂
,,😂😂😂😂😂 eti kubasti puuui
Kupatwa kwa juaaaaa
Hahahhah
Makonda ni mwalimu wa viongozi wa Tanzania viongozi mjifunze kupitia kwake
Nina rudi tena kuhangalia tena nwes za Tanzania .
Nili hacha kwa muda baada ya Rais Magufuli kufa na Paul Makonda kuondoka kwa muda .
Hivi nina fuata habari mpaka usiku
safi sana
Makonda tumbuwa madudu komesha wezi waache kudhalilisha wananchi
baba wa pambanie wana nchii usikate taama kazi kazibaba
Kujibu maswali ni kazi ngumu kweli kweli! hasa kama kuna jambo unataka kulificha na halifichiki
ni kama "PEMBE LA NG'OMBE"
Daaaah