Ni taarifa kutoka Kijiji cha Ihela wilayani Makete mkoani Njombe ambapo wananchi wamewaweka "mtu kati" watuhumiwa wawili kuhusu kujihusisha na vitendo vya ushirikina.
Mwee vakinga mtengue ndeti uvuhavi? Binafsi nashauri waliomtuhumu huyo mama kuwa mchawi na wao ni wachawi kama sio wachawi wamemjuaje mchawi huku wao sio wachawi? Haiwezekani ulipo gizani kuona aliyepo gizani bila Nyale tochi
Watu wakichoka huondoa hofu huamua kupambana bila kujali lolote; serikali inapinga eti hakuna uchawi ujue Viongozi kama hao huenda nao wanatoka katika familia za uchawi
Mweee...Ndikhubadova sid'zo..Msiende kwa waganga wa kienyeji,Nendeni kwa nabii Dominic pale Buza Kwa Lulenge,wapelekeni na hao wagonjwa wote wakapate maombi maalumu na huko mtapata suluhisho la matatizo yenu...kule nawaambia kuwa mbivu na mbichi zitajulikana.Biblia inasema "usimwache mchawi aishi"
Wamemuonaje? .watanzania kueni na akili,watanzania wengi fyatu kweli kweli ,walitakiwa kujita wao kwanza , kumbuka wamemuonaje , wabaya muda mwingine huungana kupambana na mwema,kumkufulisha Kama alivyokufulu huyo mama kwa kumhitaji mganga ya yani mchawi ili amnasue kwenye shida yake,wachungaji lindeni waumini wenu
Mganga na mchawi lao mmoja MUNGU pekeyeke Ndo Anaweza kutamka Kwa unabii
Huo ni uwongo uwongo huoooooooo
Huyo mchawi.sura inaonyesha
Usiombe ya kukuta kusingiziwa hivyo
Happy Hanna mungu wala yesu washirikina woooote hapo aiiibu
Tubuni dhambi zote na kumufuata YESU TU. BILA HIVYO NI SHIDA
Yesu yupi huyo daadeki zake
Ukibisha uchawi haupo ujazulika na Hao bado usibishe,
😂😂hawoo ni panga tyu mchawi analudisha mambo nyum
Siyo kukosa elimu watu wamechoka ndugu zao kufa ,,,kama mbaya naiwe mbaya ,,wanyongweeee..
Sasa wamejuaje kuwa mchawi, presha mnapima? Maana wengi wanakufa kisa plesha, ila uchawi upo pia
Nashangaa presha unalogwa????
WANAWAKE WA KITANZANIA NI WACHAWI SANAA.
😂😂😂
Namama yako??
Uchawi upo mazee... Hao watu sio kua wamekurupuka tu
Mch. Nae ovyo badala ya kuomba Mungu anaita Mtu heri mwenye kiti anaongea vizuri alafu peleka watu hosp.
Mchawi ata akiamishwa bado atakujatu fanyenimaombi mtafanikiwa
Wagonjwa wote wapone warudi kwenye hali yao ya kawaida tunaomba na kuamini wote tuseme Amina 🙏🙏
Acha imendikwa wap atubu kwa wanadamu wambie watoe, ushahidi nahakuna mganga watakuja wezi wachonganishi mwenyekiti acha acha ujinga usimtwishe mama wawatu mzigo wakijinga utawala sio wawenye akili ndogo kama ww
Yani ulifanywa bubu uache kuongea na Leo umeongea mtakutana jioni 🤣🤣🤣
Walimuonaje kmna wao hawakukutana huko ucgawini
Apo wanatafutwa watu wenye umri mkubwa wauwawe bila hatia.
Mungu yupo atafanya
Mtendaji nae ameingia kwenye mtego wa kuamini huyo mama ni mchawi
Hvi unapajua vizuri njombe iringa au unaskia,,,tena hizo tabia za kujigeuza Simba ndo michezo yao
Miteni mtumishi jembe kutoka iringa kiboko ya wachawi aje awasaidie
Siku ukisingiziwa uchawi ndipo utajua nasema nini
Awezi kubali kamwe adi umkute na kisibiti labda labd
uwaga awakubali ila kusema sijijui ndio zao
Siku mkiitwa wachawi ndipo mtajua
Utamjuaje mchawi wew kama sio mchawi aceni ujinga 10:31
Wewe nimchawi
Acheni ujinga niwapi ukuu c muombee mungu awabadilishe dawa ni ndogo tuu yesu atosha kubalisha anga ilo
Ndio upate mchungaji alie na nguvu ya mungu kuja kuishi kijijini .wachungaji wote wanakimbilia mjini wamesahau vijijini kama kuna watu😂😂😂😂
Mmmmmh kumbe bado kunashida wakemia wapo
Mtambuzi wa mchawi naye ni mchawi
Pelekeni watu hosptali
Anaebadlika kuwa simba c wewe mamaaaaaa
Mambo yote haya yanasababushwa na serikali kutwastarabisha watu.kwa shule.na kuleta maendeleo ndipo hizo tabia zinapotea
Uchawi ni sehemu ya ushirikina
Mmmh hatar sana
Wangehama wote wamwache pekee yake.
Mliosali iombeeni hii jamiiib😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 naombeni like
wachawi na waganga ni kitu kimoja
Jamani njombe kuna uchawi niliteswa balaaa unaletewa usingizi mkali balaa wafanye kazi yao
😂😂😂😂
Hawa wamama waliovaa kilemba cheusi anaonekana mchanga
Icho kijiji mbona km wote wachawi
Jamanii watumishi pelekeni mikutano ya injili huko 🙏🙏🙏
@@geofreysimon1 Wana Loga spika
😂😂
Good solution
Wote wako gizani
Duh vyuma vime umana !! Iyela""
Xamzmtxxm 9kd
Okokeni mwaminini Yesu
mchungaji yoooooo 😂😂😂
Tafute pesa hapo wote niwachawi unajuaje wote niwachawi
Wakinga hoye
Mkinga huyooooo mapembelo
Mkoa Gani?
Mwee vakinga mtengue ndeti uvuhavi? Binafsi nashauri waliomtuhumu huyo mama kuwa mchawi na wao ni wachawi kama sio wachawi wamemjuaje mchawi huku wao sio wachawi? Haiwezekani ulipo gizani kuona aliyepo gizani bila Nyale tochi
K
Ni tz au?
🤔🤔Nahoyo mzee pia nmchawi
Mchawi lazima amfahamu mchawi mwenzake
Ok kwshyo ukimjua mwiz na wewe ni mwiz
Uchawi upo wapingwe hao
WAKINGA WENZANGU ACHENI UCHAWI UCHAWI NI MZIGO YESU KRISTO NI JIBU TOSHA YESU KRISTO ANAWAPENDA ALIKUFA KWA AJILI YETU WOTE
Okokeni Yesu nikiboko ya wachawi je niwapi huko tuje tumlete Yesu hao wachawi wasipookoka kufa na wanakufa wapi huko
Duuh Hawa wananchi wote akili zao mbovu imagen wote wanaamini wanarogwa
Hayaja wahi kukukuta ndugu yangu
@@MwamvitaKassim-x8b Nipe experience ya kurogwa uliyokutana nayo wewe.
HUYU BIBI SULA YAKE NI MCHAWI WA KULUKA USIKU MCHUKULIENI SHELIA MKONONI MPIGENI MOTO HUYO BIBI 😂😂😂
Ndugu zangu wakinga mvoleke uvohavi YESU KIRISTI avaganile mwokoke
Watu wakichoka huondoa hofu huamua kupambana bila kujali lolote; serikali inapinga eti hakuna uchawi ujue Viongozi kama hao huenda nao wanatoka katika familia za uchawi
anafanya uchawi na Bado uko maskini wakutupa nchini kama alivo sema marehemu magufuli
Huyo mamaa si mlete huku bariadi mbona ataacha tu mapema jmn? Huku ndiko Kuna tiba ya kukomesha wachawi kama hao
Kama wewe sio mchawi unajuaje huyo mama nim chawi hapo hakuna mchawi hapo nichukitu
Uchawi nikelo watafute wakuwatowa uchawi msihukumu nyinyi nibinaadam
Toeni Namba Za Simu Tuwaombee
Ataua mmoja mmoja hapo
Mtendaji kijiji nae kwa akili zake finyu eti anaamrisha wagonjwa wapone 😂😂😂😂pumbavu
Mweee...Ndikhubadova sid'zo..Msiende kwa waganga wa kienyeji,Nendeni kwa nabii Dominic pale Buza Kwa Lulenge,wapelekeni na hao wagonjwa wote wakapate maombi maalumu na huko mtapata suluhisho la matatizo yenu...kule nawaambia kuwa mbivu na mbichi zitajulikana.Biblia inasema "usimwache mchawi aishi"
Dominic mwenyewe mchawi
Acheni mambo yenu pressure mtu unalogwa kwendeni sana
Wachawi wote mungu anawaona wanatumia sura za watu kwaajir yamambo yao wafe tyu
Nilifikiri mtendaji atasema wagonjwa waende hospitl
Hizo ni Chukitu
Bibi.kamajweri jilekebishe Acha watakuchoma moto hapokijijini
Mnatuaibisha waache uchawi wamrudie Mungu
10:20 10:23
Wamemuonaje? .watanzania kueni na akili,watanzania wengi fyatu kweli kweli ,walitakiwa kujita wao kwanza , kumbuka wamemuonaje , wabaya muda mwingine huungana kupambana na mwema,kumkufulisha Kama alivyokufulu huyo mama kwa kumhitaji mganga ya yani mchawi ili amnasue kwenye shida yake,wachungaji lindeni waumini wenu
Yaan kama mm nikimjua mchawi wangu bahat hana yaan kimya kimya tuu na kwenye mazishi naenda
Wote wachawi hapo mnashindana tu kijiji kizima hawezi kuwa mchawi mmoja tu
Waende kawe kwamwamposa wa kachukuwe mafutayaupako
Bibi alikuwa ananena kwa lugha😂😂 jmn naomba Mungu anipe uzee mwema
Mungu awasaidie saana jamanj wachawi wapo jamani msikatae nyie watu wanauwliwa na wachawi wanugua magojwa yasiyoonekana hospitali usiombe yakukute uchawi upo
😂
Elimu + umaskini
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Mapembelo ndugu zangu. Mbona hii ni aibu?
Huyu mama huenda siyo ila Hawa wenye kujua vifungo ndie wachawi
Mbona mwenye kilemba cheusi nae kama au basi tuuu
Daaaah kina sanga ni ndugu zangu ujue😂😂😂😂
ATAWEZA KUACHA HUYO, MPAKA ATOLEWE HUO UCHAWI. LAKINI ETI AACHE TUU HAWEZI. ETI ANANE KWA NENO.
Waache ujinga ! We are living science and lawa
Huyu Asha sio mchawi amevikwa kivuli tu na wachawi
Elimu elimu elimu #katibampyanisasa!😂😂
Umenikumbusha , Edward Lowasa.
Mmmmh pope ASHA SANGA AAA TUBU DHAMBI XAKO ZOTE UOMBE SANA
Apo wanatafutwa watu wenye umri mkubwa wauwawe bila hatia.
Wapelekeni hospital hao wagonjwa
Muokoke jmn uchawi sio wakuuogopa kbs ukiwa na Yesu
Biblia inasema usiache mchawi aashi
Huko wapi kwakisengee@sanga Kinga tribal
Huyu mama so mchawi ila wale wawili walio anza kuongeya hao ndo wachawi
😂😂😂
😂😂
Hakuna cha kusaini dawa yake inajulikana ipo wazi wanapoteza mda