Mzee Mwinyikai | Nina miaka 106 | wadigo, wakikuyu na wabajuni

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ธ.ค. 2019

ความคิดเห็น • 59

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 4 ปีที่แล้ว +5

    Masha Allah, elimu nzuri Sheik Mwakidudu na Mzee wetu awazidishie elimu na maisha marefu na mema apa duniani na kesho akhera Amiin Thumma Amiin

  • @chotaramswahili2835
    @chotaramswahili2835 3 ปีที่แล้ว +10

    Nina shaka sana na historia ya wadigo namna anavyoeleza huyu mzee..namweshimu ila sikubaliani naye ..hususan kipengele cha Mombasa..sikweli kwamba mtu mweupe alimtangulia mdigo mombasa..nitafteni kwa majadiliano zaidi

    • @mhmd-bn-asdllah
      @mhmd-bn-asdllah 2 ปีที่แล้ว +2

      Assalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh 🙏🏽

    • @chotaramswahili2835
      @chotaramswahili2835 2 ปีที่แล้ว +1

      @@mhmd-bn-asdllah walikumussalam

    • @mhmd-bn-asdllah
      @mhmd-bn-asdllah 2 ปีที่แล้ว +2

      Ningependa kujadiliana na wewe kuhusu historia ya mdigo sijui tutawasilianaje?

    • @saidomar1882
      @saidomar1882 2 ปีที่แล้ว +2

      Hapo bro uko sawa coz watu weupe walichakachua historia ili waonekane wao walikuja kabla mtu mweusi

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 10 หลายเดือนก่อน

      Mdigo walikuja nyuma wadigo walikuja wakati walipokua na vita wao na waorma ama wagala kwa hio wadigo walikuja wakawakuta waswahili na mwarabu pia alivo kuja walikuta waswali

  • @ayushachidau6758
    @ayushachidau6758 4 ปีที่แล้ว +4

    Assalam alaikum 😍nakupenda kwa ajili ya Allah mungu awazidishie inshaallah

  • @kombogambare3574
    @kombogambare3574 3 ปีที่แล้ว +3

    Mimi ni mkina Ngome Natizama nikiwa Kuliko toka Wadigo (Gulf)

  • @hemedmraba6326
    @hemedmraba6326 3 ปีที่แล้ว +3

    MASHALLAH Father kazi nzuri DIGO NI TRIBE KUBWA NA IKO INAISTORIA KUBWA SANA..WADIGO WALIINGIA MOMBASA MWAKA WA 1573

  • @jumamraba5391
    @jumamraba5391 หลายเดือนก่อน

    Mashallah mzee, mwinyi mm mdido fuko langu mdziriphe,bt swali langu mbona wadigo nasikia walitoka tanga?na hali wasema wanatoka makkah

  • @zainabumwagiroabdallamwagi97
    @zainabumwagiroabdallamwagi97 3 ปีที่แล้ว +3

    Babu ametuchanganya japo kuna mengine ni sahihi lkn hili la mdigo ametoka uarabuni ,ni stori ndefu sana ,hapo kamamtu hajasoma histry nivigumu kimuelewa ,

  • @fikafikan8484
    @fikafikan8484 10 หลายเดือนก่อน

    Mzee hapo wakikuyu na wabajuni ni urongo mbajuni yuko kitambo tangu wareno hawajifika mzee story yako yakirongo

  • @hassanmatano3567
    @hassanmatano3567 3 ปีที่แล้ว +3

    Do hapo shaka kubwa mzee babu historia hamna mdigo alitoka makkah) Mtangazaji unaongea sana

  • @kvfihf6324
    @kvfihf6324 3 ปีที่แล้ว +2

    Imenigusa sana wadigo walikua kama watumwa

  • @kenyantech9728
    @kenyantech9728 3 หลายเดือนก่อน

    Mzee u mrongo tsona sana kaya ya adigo ni kongo. Ichikala wagomba adigo atuluka mecca hara amidzichenda anjina ni wa kulaphi? Maan lugha ya amidzichenda ni hiyo mwenga ni variation kidogo tu.

  • @salimmohamedsalim4448
    @salimmohamedsalim4448 3 ปีที่แล้ว +2

    Ndivyo sheikh

  • @gomakuu
    @gomakuu 2 ปีที่แล้ว

    Shukran sana kwa taarifa hii mashallah

  • @moramtanga-dar7372
    @moramtanga-dar7372 2 ปีที่แล้ว +2

    Swali ivi wagunya ndio hao hao wabaajun

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 10 หลายเดือนก่อน

      Hakuna wagunya wale ni wabajuni ila mzee kadanganya mbajuni wako zaidi ya mika elfu na makabila yote walipokuja waliwakuja wabajuni na watikuu

  • @nurdinathuman478
    @nurdinathuman478 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah shukran niukweli kabisa mzee wetu kaongea ukweli wadigo watoka Maka ndio chimbuko yuwaijua istoria kweli coz simara yakwanza kusikia huyu mzee akiongea hivo Kuna mwalimu wetu mmoja mbajun mashallah na yeye pia ni mtu wa reach aliwahi kutuambia ivyo ivyo wadigo chimbuko lao ni makkah

  • @iky183
    @iky183 3 ปีที่แล้ว +2

    Aya na Mimi baba ndo mdigo wa msambweni .niko kundi lipi?

  • @sellamwani7300
    @sellamwani7300 2 ปีที่แล้ว

    Hawa watu wa makah,inakuaje lugha Yao ni sawa na wgiriama,wachonyi,waswahili,waduruma!huyu jamaa msanii.nyele ngumu hizo ataka dandia!wadigo wabantu waafrika.

  • @aishasalimaishasalim1323
    @aishasalimaishasalim1323 3 ปีที่แล้ว +1

    Jamani nisaidieni
    Mmsijielewi kabilagan
    Ila mamayangu mganda
    Babayangu I uohukoowamzeemwansimba inamaana wadigo sasammnitakuwawap.. 😢
    Kwa anayejuwa sokwaubaya.. 😢

  • @muonlinetv1879
    @muonlinetv1879 ปีที่แล้ว

    Mbona una haraka kuhoji unaohoji uambiwe ama tiyari ulikua unajua sijapenda interview yake

  • @Wastara001
    @Wastara001 3 ปีที่แล้ว +2

    Mtangazaji unaongea sanaaaaaa

  • @halimaramadhan2975
    @halimaramadhan2975 4 ปีที่แล้ว +2

    Shukran kwa kutuelimisha mi cjui fuko langu mpaka nimuulize mama😂😂

    • @chambukomedia153
      @chambukomedia153 4 ปีที่แล้ว

      Fuko lako n mwachinyavu

    • @yusufrajab6082
      @yusufrajab6082 3 ปีที่แล้ว

      @@chambukomedia153 pkwanza uwe mwana uwe teh, Adi iku!!!

  • @allymadunda7931
    @allymadunda7931 3 ปีที่แล้ว +1

    Mkimbizi mdigo kumbe

  • @colonelghadafi.4806
    @colonelghadafi.4806 3 ปีที่แล้ว +1

    Wacha kutu potosha mdigo n mu bantu chimbuko lake Congo

    • @michaelmwakibo
      @michaelmwakibo 3 ปีที่แล้ว

      Nashangaa eti mdigo alitoka Makka !

    • @habelchome1680
      @habelchome1680 ปีที่แล้ว

      Na ni mijikenda hadithi za mekha ni za abunuwasi

  • @anthonymwathi839
    @anthonymwathi839 3 ปีที่แล้ว +3

    Hahaha...uongo mtupu mzee..wadigo wametoka Congo..wadigo ni wabantu...wadigo ati walitoka Mecca...huo uwongo mzee...wadigo ni miji Kenda

    • @mhmd-bn-asdllah
      @mhmd-bn-asdllah 2 ปีที่แล้ว

      Shungwaya n kwa mbajuni

    • @anthonymwathi839
      @anthonymwathi839 2 ปีที่แล้ว

      @@mhmd-bn-asdllah Mbajuni ni nani...hawa asilia ya waarabu...kwa arabuni..Africa ni ya watu weusi..nywele ngumu...zako porojo

    • @mhmd-bn-asdllah
      @mhmd-bn-asdllah 2 ปีที่แล้ว

      Muarabu ni muarabu mbajuni ni mbajuni

    • @anthonymwathi839
      @anthonymwathi839 2 ปีที่แล้ว

      @@mhmd-bn-asdllah Haya maandishi yako si kiarabu...remnants wa kiarabu

    • @mhmd-bn-asdllah
      @mhmd-bn-asdllah 2 ปีที่แล้ว +1

      Kiarabu lugha tu hata wewe weza jisomesha

  • @nyembomajid1262
    @nyembomajid1262 8 หลายเดือนก่อน

    nasikia mzee anasema mambasa sio mombasa nyinyi mnaeita mombasa na huyo mzee anaeita mambasa nani mkweli?

    • @maryamsaid1307
      @maryamsaid1307 หลายเดือนก่อน

      Kitambo ilikuwa inaitwa hyvyo

  • @nyembomajid1262
    @nyembomajid1262 8 หลายเดือนก่อน

    mwarab ni mtu wakwanza kufika Africa baadae mzungu akatuweka fikra mbovu eti mwarab mtu mbaya

  • @onemanshow1851
    @onemanshow1851 3 ปีที่แล้ว +4

    "Mdigo alitoka Makka ndio akaja shungwaya"Babu😂😂😂😂😂😂😂..Salaaaalah!!!!..Sio kilamzee anabusara hata wajinga huzeeka.

    • @colonelghadafi.4806
      @colonelghadafi.4806 3 ปีที่แล้ว

      Duuh ati wadigo wali toka makka😁😁

    • @zolongOne
      @zolongOne 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂

    • @mrjarso
      @mrjarso 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂 duh! Makkah? hekaya!

  • @muonlinetv1879
    @muonlinetv1879 ปีที่แล้ว

    Unaongea sana

  • @gomakuu
    @gomakuu 2 ปีที่แล้ว

    Nina habari nzuri hapa ya Wasegeju;th-cam.com/video/BUDcnuZjsR0/w-d-xo.html

  • @shaloboy3861
    @shaloboy3861 4 ปีที่แล้ว +1

    Langu ni mdziriphe