Najiita Msegeju: Sehemu ya pili, Safari ya Chongoleani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
  • Katika sehemu ya pili tunamwona Babu Ali akielekea Chongoleani kutaka kujua zaidi kuhusu hawa Wasegeju ni kina nani na lugha yao ikowapi? Huku Chongoleani alikutana na wazee kama yeye na badala ya kupata majibu alikumbana na maswali mengi na mitihani. Jee haya maswala ni yepi? Na Jee Babu atapata alitakalo Chongoleani?

ความคิดเห็น • 33

  • @hadiyahaboubakar4206
    @hadiyahaboubakar4206 2 ปีที่แล้ว +2

    big up broh😍💪💪

  • @MonaJuma-cp3jg
    @MonaJuma-cp3jg 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani kisegeju kipo bwiti njoo bwiti maramba

  • @katartizo77
    @katartizo77 2 ปีที่แล้ว +2

    1234

  • @mauricekitana6587
    @mauricekitana6587 ปีที่แล้ว +2

    Wasegeju na Dhaiso wana uhusiano wa karibu sana na Wakamba Kutoka kenya.

    • @gomakuu
      @gomakuu  ปีที่แล้ว

      Hakika, Maurice hili jambo ni la kweli na mada ambayo naiangaza kwenye kitabu changu kipya

    • @mauricekitana6587
      @mauricekitana6587 ปีที่แล้ว

      @@gomakuu Mimi natoka kabila la wakamba wanaojulikana kama Athaiso kwa lugha yetu.

    • @gomakuu
      @gomakuu  ปีที่แล้ว

      @@mauricekitana6587 Nashukuru mno. Jee mna historia kwamba watu wenu waliondoka kwenda mbali?

    • @mauricekitana6587
      @mauricekitana6587 ปีที่แล้ว +1

      @@gomakuu Hakuna historia inayosimuliwa kuashiria asili ya watu wetu (Wakamba) isipokuwa hekaya(myth) lakini wanahistoria wengi kenya wanaamini kuwa makabilla ya kibantu ya pwani mwa kenya na yale yanoishi karibu na mlima kenya walitokea upande wa mlima kilimanjaro.

    • @gomakuu
      @gomakuu  ปีที่แล้ว

      @@mauricekitana6587 Kweli? Unaweza kunipa marejeo ya hao wanahistoria?

  • @francismuiruri9064
    @francismuiruri9064 ปีที่แล้ว +2

    Hapa Kenya 🇰🇪 wasegeju, Wakamba,Wakikuyu,Wameru na Waembu walikua kabila moja kitambo kama 1000 years ago.

    • @gomakuu
      @gomakuu  ปีที่แล้ว

      Shukran sana.Jee unaweza kuelezea zaidi.

    • @francismuiruri9064
      @francismuiruri9064 ปีที่แล้ว +1

      @@gomakuu Ni hadithi za kitambo lakini hao hutaja 'Thagicu'. Wakamba toka Kitui zamani walikua wanaitwa Wathaiso.

  • @MonaJuma-cp3jg
    @MonaJuma-cp3jg 3 หลายเดือนก่อน +1

    Bwiti kwetu huko wamamata

  • @user-uu6wt8pp2j
    @user-uu6wt8pp2j 10 หลายเดือนก่อน +1

    Twaomba muendelezo wa bwiti jamn kiseguju kipo mwaderwataaa

    • @MonaJuma-cp3jg
      @MonaJuma-cp3jg 3 หลายเดือนก่อน

      Kutana semenyeuwe

  • @jumahamisi9328
    @jumahamisi9328 ปีที่แล้ว +1

    Kisegeju tunacho uku Kenya

    • @gomakuu
      @gomakuu  ปีที่แล้ว

      Tuambie zaidi sheikh. Tupe mifano ya sentensi na misemo.

  • @mariamsaid9947
    @mariamsaid9947 ปีที่แล้ว +1

    hicho mukiongeacho si kisegeju ni kimtangata ambacho kinaongelewa tambarani na visiwa vingine cha fanana kabisa hata hiyo nyimbo ya tambarani tungeuya twaogopa jumbe na mwinyi akida

    • @gomakuu
      @gomakuu  ปีที่แล้ว

      Shukran sana Mariam. Hebu tuelezee zaidi tafadhali. Tupe mifano ya misemo, vietndawili, ama sentensi.

  • @bakarisaid2023
    @bakarisaid2023 ปีที่แล้ว +1

    Wasegeju kwao ni bwiti

    • @gomakuu
      @gomakuu  ปีที่แล้ว

      Lakini hata wa Bwiti na Daluni wanasema na ndugu zao pwani na pia wanakoo zilizofanana kama vile Mwaita.

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 2 ปีที่แล้ว +1

    Hiyo_beshamv_,iko_wapi_tukijua_tu_ni_wapi_tutakuwa_tumejua_Asili_na_je_ealikuwa_wakikimbia_nini_huko_kwao_Tusaidien_tujue_asili_yetu

  • @anwarsaid9579
    @anwarsaid9579 2 ปีที่แล้ว +1

    Nlunga nifate hicho ni kidigo xaxa

  • @ahmadabdallah6641
    @ahmadabdallah6641 2 ปีที่แล้ว +1

    Kweli Wasegeju walikaa sehemu za mlima Kenya. Wanaume ndio waluovuka mto. Wanawake waliobaki wakaolewa na wadigo.

    • @gomakuu
      @gomakuu  2 ปีที่แล้ว +1

      Ahmad shukran sana tupe zaidi tafadhali

    • @gomakuu
      @gomakuu  2 ปีที่แล้ว

      Asante sana Ndugu Ahmad. Jee kwanini waliamua kuondoka? Na huko milimani walikuwa wakifanya nini?

  • @wemakashushura9161
    @wemakashushura9161 2 ปีที่แล้ว +1

    Real life kila kitu niukweli hakuna janja janja itanibidi asili yangu haswa muhaya anatokea wapi kihakika kabisa

  • @bakarisaid2023
    @bakarisaid2023 ปีที่แล้ว +1

    Wasegeju wanaongea kidaiso kwao bwiti Hao wengine ni waswahili

    • @gomakuu
      @gomakuu  ปีที่แล้ว

      Mbona watu wa Bwiti wanasema Wasegeju wa pwani ndugu zao?

  • @gomakuu
    @gomakuu  ปีที่แล้ว

    Kama mmeipenda hii tumewatayarishia kazi nyingine kuhusu hazina na siri za mji wa Kimbiji: th-cam.com/video/I-nTbQinsk8/w-d-xo.html