Kidogo Kuna mushkil mahali,historia ya 1330 ibn batutta a morrocan explorer alitembea east Africa wakati ikiitwa Swahili land sultan akiwa based in kilwa alikuta waswahili,wabajuni na wabarawa na waarabu(Persians,Turks),it's said Digore came with his brother father and mother,na mamake wa Kambo na nduguze watatu walipotoroka shungwaya baada ya kushambuliwa na wa Orma,inasemekana Waliingia coast in 1630's wakati wa Reno (Portuguese) walikua watawala, Portuguese waliweza kuwaua wa falme wa pate,Lamu na Mombasa (bw. Sheikh mvita) ndiposa waswahili wakashikana mikono na mwana wa Digore na kwenda safari Hadi Oman kuomba msaada kwa kunyanyaswa na wareno
Congratulation jimbo TV.... But I have arequest.... Ebu jimbo TV go back to Mr Mwinyikai... And interview him over this mzee jomo kenyatta allegation, I heard he was also a digo
Mzee akovizuri sana,ila napinga na nakataa kwamba waswahili ni zalio la ndoa mseto kati ya mijikenda na mwarabu..nitafteni niwape ukweli kuhusu Mswahili
Ndio ukweli huo muarabu na mijikenda ndio zao la waswahili...haya tuelezee waswahili hasili yao ni..maana kwanza yakupasa ujue maana ya neno SWAHIL nini maana yake.ni neno la KIARABU likiwa na maana ya UFUO AU FUKWE
@@hassanjuma2688 hahaha,ama kweli weye umelipiga juu..mm nadhani ingekuwa bora tuandae mkutano wa ana kwa ana tuelimishane mengi..maana hatasijui nikuanzie moo wa kitwa..yaani nashindwa pakukuanzia mpaka ufike katika barabara ya ukweli..naomba andaeni mkao kwa ajili ya ASILI YA LUGHA ADHIMU YA KISWAHILI 🙏
@@hassanjuma2688 kwakweli nakupinga ww na babu kitaalamu..naomba hili tulifanyie kazi tutafutane ana kwa ana tuelimishane..maana tumezidi kuwapwekesha weupe..kila jambo zuri lenye maendeleo Afrika mwalipa weupe paka lugha zenu wenyewe jamani?!NITAFTENI NIWAPE ASILI YA MSWAHILI KWA USHAHIDI WA KITAALAM NA KIMAZINGIRA
@@kombomwakaribu8252 ni kweli unacho kisema,ila elimu haipimwi kwa kigezo cha umri.Kumbuka sio kila mzee ana elimu hata wajinga huzeeka.Ashakum sio matusi.
Sawa ntsawee wangu nkakuelewaa sanaaa
Maa Shaa Allah Miaka 105 Allah akuzidishie ln Shaa Allah,Bado uko sawa.
Proud of u uncle,ww ndiwe tunakutegemea katika familia yetu,Allah akuifadhi na akupe umri mrefu zaidi na akuepushe na hasad na vijicho vya waja.
Aamiin.
Amiin,to our uncle
Mungu akuzidishe umri sana
Babu mwenyeezi mingu akuzidishie umri inshaallah
Amiin inshaallah
I like the person who translated the content, he did it perfectly
Unajalishwa nini na tafsiri...kwani huelewi Kiswahili....
Mashaallah,, mungu akuzidishire umri tsawe na akuongoze na ibada
Masha Allah, mzee miaka 105 na bado ako na afya zake
Mashaallh mungu akuzidishie zaidi na zaidi🙏🙏🙏
105 years!!...Masha Allah
Nimeipenda hii lete zaidi Kama hizi bro👏👏
Mashaallah tsawe mwenyezimungu akupe nguvu zaid inshaallah
Masha Allah tabarakallah Mungu akuzidishie umri babu yangu
Somu njoo muhaka hapa kuwaitwa mtsangatifu
@@aishamohammed3547 ni muhaka zengwa somu yangu si mtsangatifu
@@ayshaayush8539 kumekaa kama hapa kwa mwayanga dukani
Mzee yupo sahihi 100% mashallah ALLAH Amjaalie umri na afya.
Kaya pharaa pha yanga. Mwinyikai nakuona vzr sana.
Masha Allah tabaraka Allah mungu akupa uzima na umri babu
inshaa
Kalii
Chidigo chimtswano mino ni muungu wa msambweni achinondo niano aphu 😃😃😃😃
Hhhhhhhh
My sons namesake long live babu
Ave watched till the end and the research i have the Mzee is speaking the truth ... May he live long
Kidogo Kuna mushkil mahali,historia ya 1330 ibn batutta a morrocan explorer alitembea east Africa wakati ikiitwa Swahili land sultan akiwa based in kilwa alikuta waswahili,wabajuni na wabarawa na waarabu(Persians,Turks),it's said Digore came with his brother father and mother,na mamake wa Kambo na nduguze watatu walipotoroka shungwaya baada ya kushambuliwa na wa Orma,inasemekana Waliingia coast in 1630's wakati wa Reno (Portuguese) walikua watawala, Portuguese waliweza kuwaua wa falme wa pate,Lamu na Mombasa (bw. Sheikh mvita) ndiposa waswahili wakashikana mikono na mwana wa Digore na kwenda safari Hadi Oman kuomba msaada kwa kunyanyaswa na wareno
Safari za ibn batuta ziliegemea sana visiwani, ambapo kulikuwa na mataifa...jamii za nyika hazokutembelewa wala kujulikana
Mungu akupe umri zaidi babu❤
Hivi ndio vitu vya kutuletea Sasa madini kama yote
Congratulation jimbo TV.... But I have arequest.... Ebu jimbo TV go back to Mr Mwinyikai... And interview him over this mzee jomo kenyatta allegation, I heard he was also a digo
He isn't a digo iko wazi... hahahah
I heard this too among my family
Kama huyu mzee asema wadigo watoka macca,mecca, Kenyatta atakua mdigo!
Tulitoka Makkah sisi kumbe... Alhamdhulillah nitarudi Gulf home sweet home
wow this mzee is speaking wisdom. anaongea ukweli. mdigo mzigoooo😅
Perfect fact..💯
Hehee... Utsai wa chidigo ni upuzi kpweli tsawe
Kali
eti,,,mdigo ni mzigo...jamani?
Hahaha
Nambwa
Wakina mwansimba tujuwane
Ilakujuwakabilayako raha
Leo nimeelewa siri yawadigo
Hasante sana mwinyi kai
Mungu akupe hafyanauzima...
🤲🤲🤲
@ShutterDe DON mm Niko tanga
@ShutterDe DON hoooo Sawa karibu
To be continued
Hadisi na ngano ikasirira iphoo
Mashallah yani babu miaka 105 bado HB
waduruma asili yao wakamba,wamakua na wadigo
Mlungu akusengeze mbere tsona
Mduruma kana aphu.... Aphuye ni mdigo ....
Mimi mdigo sijui kuongea kidigo,lakini natamani sana kukiongea. Naomba mtu ajitolele kua mwalimu...
Kuna groups za kidigo
Njoo nikufunze
Usawa mzee
Mdiqo ni mziqo
Adigo Ramkani.
Mbavi sino mijikenda tuna Lana ya kurogana duuu
Nadzivunira kuvyarwa mdigo
Mzeee azingua huyu.
Mzee akovizuri sana,ila napinga na nakataa kwamba waswahili ni zalio la ndoa mseto kati ya mijikenda na mwarabu..nitafteni niwape ukweli kuhusu Mswahili
Ndio ukweli huo muarabu na mijikenda ndio zao la waswahili...haya tuelezee waswahili hasili yao ni..maana kwanza yakupasa ujue maana ya neno SWAHIL nini maana yake.ni neno la KIARABU likiwa na maana ya UFUO AU FUKWE
@@hassanjuma2688 hahaha,ama kweli weye umelipiga juu..mm nadhani ingekuwa bora tuandae mkutano wa ana kwa ana tuelimishane mengi..maana hatasijui nikuanzie moo wa kitwa..yaani nashindwa pakukuanzia mpaka ufike katika barabara ya ukweli..naomba andaeni mkao kwa ajili ya ASILI YA LUGHA ADHIMU YA KISWAHILI 🙏
@@hassanjuma2688 kwakweli nakupinga ww na babu kitaalamu..naomba hili tulifanyie kazi tutafutane ana kwa ana tuelimishane..maana tumezidi kuwapwekesha weupe..kila jambo zuri lenye maendeleo Afrika mwalipa weupe paka lugha zenu wenyewe jamani?!NITAFTENI NIWAPE ASILI YA MSWAHILI KWA USHAHIDI WA KITAALAM NA KIMAZINGIRA
Mtoto ulizaliwa juzi tu wajua lipi kuhusiana na asili ya mambo...kama hukusoma kwenye vitabu, vilivyoandikwa na watu kupoteza asili ya mambo.
@@kombomwakaribu8252 ni kweli unacho kisema,ila elimu haipimwi kwa kigezo cha umri.Kumbuka sio kila mzee ana elimu hata wajinga huzeeka.Ashakum sio matusi.
Mm nilisema sisi wadigo n warabu watu wakanipingaa mm mwenyewe nko n hasili y kiarabu