ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Mkuu vipi kivunge hospitali.yameenda sawa
Napenda serikali hii, mwaka jana Waziri Mazurui alisema ndani ya baraza la wawakilishi kuwa hakuna ajira wizara katika wizara ya Afya, Mwaka huu CCM imeajiri madokta na manasi. Hii kweli Serikali ya Umoja wa Ki taifa.
Baba vp wizara ya Afya na ile kampuni ya mazuri engeniaring
Halisemi hiloo 😂😂😂Siasa mchezo mchafu kaka, kila mtu anatafuta nafasi ya kujaza tumbo lake..
kuhusu wizara yko na cag mkuu
Story ndio izo izo kila siku kma haikupatikana katiba mpya ya serekali 3 ccm itaendelea kutawala mpka dunia itaisha
Nikweli maneno yako kaka katiba mpya ndio mpango mzima la siivyo ccm haitaondoka madarakani
Mkuu vipi kivunge hospitali.yameenda sawa
Napenda serikali hii, mwaka jana Waziri Mazurui alisema ndani ya baraza la wawakilishi kuwa hakuna ajira wizara katika wizara ya Afya, Mwaka huu CCM imeajiri madokta na manasi. Hii kweli Serikali ya Umoja wa Ki taifa.
Baba vp wizara ya Afya na ile kampuni ya mazuri engeniaring
Halisemi hiloo 😂😂😂
Siasa mchezo mchafu kaka, kila mtu anatafuta nafasi ya kujaza tumbo lake..
kuhusu wizara yko na cag mkuu
Story ndio izo izo kila siku kma haikupatikana katiba mpya ya serekali 3 ccm itaendelea kutawala mpka dunia itaisha
Nikweli maneno yako kaka katiba mpya ndio mpango mzima la siivyo ccm haitaondoka madarakani