Mawakili safari hii wameamka sana jamani hadi raha. Wameuvaa uzalendo hasa. Mungu asimame Kati ya kila jambo linaloganyika kwa now njema na awaumbue wote wanaoenda kinyume na ukweli na haki. Mungu asiwaache waongo waendelee kudanganya watu wa Mungu.
Mbona wako wengine wanaendelea na kesi mbalimbali? Utakuwa hufuatilii umepitwa na wakati. Naona ungejaribu ku update taarifa zako kabla ya kutoa comment.
@@marieconnect6389Hata wakuu wa Mikoa wengi..Tunasikia habari za makonda, hata huko kwenye mpira kuna mtu anaitwa mayele. Hata kwenye siasa, Tunasikia Tundulisu, Rais Samia.
Asanteni sana mawakili kwa kutetea haki. Mungu awalinde na awazidishie afya njema na ujasiri.
Ukiritimba
Mawakili safari hii wameamka sana jamani hadi raha. Wameuvaa uzalendo hasa.
Mungu asimame Kati ya kila jambo linaloganyika kwa now njema na awaumbue wote wanaoenda kinyume na ukweli na haki. Mungu asiwaache waongo waendelee kudanganya watu wa Mungu.
Amen
Huyu Mpina, namsikitikia sana.Sidhani kama atarudi kwenye ubunge 2025.
Huyu wakili jaman kila kesi ni yeye tu hivi hakuna mawakili wasomi zaidi ya huyu
Mbona wako wengine wanaendelea na kesi mbalimbali? Utakuwa hufuatilii umepitwa na wakati. Naona ungejaribu ku update taarifa zako kabla ya kutoa comment.
Si kweli. Wakp wengi Labda hujafuatilia.
@@marieconnect6389Hata wakuu wa Mikoa wengi..Tunasikia habari za makonda, hata huko kwenye mpira kuna mtu anaitwa mayele. Hata kwenye siasa, Tunasikia Tundulisu, Rais Samia.