Hongera sana timu ya Dr Nkya na wenzio wawili, ongezeni bidii, ikiwa mahakama ina mahakimu wenye nia njema na nchi, hapo wamepata pa kuanzia. Nyinyi mmefanya sehemu yenu, hamtalaumiwa, tuone na mahakamani kama tupo na watu wa kusaidia kuikomboa nchi. Kaiza neno sahihi si sandwich bali sideline, yaani wananchi wamekuwa 'sidelined' katika mfumo wetu wa uchaguzi, hawana sehemu inayowahakikishia haki, wao wanatumika katika kuhalalisha uhalifu wa watawala.
Kwanini msibadiri ukomo wa mwenyekiti wa chama kwanza maana naona kama katiba ya chama chenu Cha vidole viwili kinaboa mwenyekiti hataki kuachia kiti wenzake wagombeee😂😂😂
Sisi tuko nyuma yenu na hatutakubali TAMISEMI isimamie hizi chaguzi. Lengo Lao hawa ni kuwaibia tu wananchi HAKI yao ya kumchagua mtu wanayemtaka. Hii Serikali haina hata aibu wizi wao hata mtoto mdogo anajua. Serikali isiyojali wananchi wake wao wako kwenye wizi tu wa kukaa madarakani na kuwanyonya wananchi. Tunasema HATUTAKI HATUTAKI kabisa TAMISEMI isimamie afadhali uchaguzi usifanyike.
Kambole mbona mnajichanganya sana ? Polis na mahakama zote hizo ni taasisi za CCM hamtawine hiyo kesi hatamfanye nini hayo mambo mnataka kuiiga kenya hamuwezi ,kenya mahakama na polisi na serekali ni tasisi zinazo jitegemea. 😂😂😂
Hakuna uhalali wowote TAMISEMI kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,Uchaguzi unashirikisha Vyama vingi;TAMISEMI wanakuwaje na uhalali wa kusimamia huo Uchaguzi?Waziri atakayesimamia mchakato wote wa Uchaguzi ni mwanasiasa na ni Mwanachama wa CCM,wkurugenzi wa Halmashauri,Manispaa na Majiji yote yanaongozwa na Makada wa CCM na Watendaji wote wa Mitaa,Vitongoji na Vijiji ni Makada wa CCM,mpaka hapo Haki na Uhuru kwa Vyama vingine itapatikanaje?Wakati mwingine Rais na Mwenyekiti wa CCM aone Aibu mambo haya yanapofanyika mbele yake na kwa Baraka zake.Huu hautakuwa Uchaguzi huru na haki kwa Vyama vingine yanaenda kutokea yaleyale ya mwaka 2019 na 2020
Hongera sana timu ya Dr Nkya na wenzio wawili, ongezeni bidii, ikiwa mahakama ina mahakimu wenye nia njema na nchi, hapo wamepata pa kuanzia. Nyinyi mmefanya sehemu yenu, hamtalaumiwa, tuone na mahakamani kama tupo na watu wa kusaidia kuikomboa nchi. Kaiza neno sahihi si sandwich bali sideline, yaani wananchi wamekuwa 'sidelined' katika mfumo wetu wa uchaguzi, hawana sehemu inayowahakikishia haki, wao wanatumika katika kuhalalisha uhalifu wa watawala.
Tume huru ya uchaguzi iko wapi mpaka tamisemi wawe na kiherehere😂😂😂😂
Hata Mimi sikujiandikisha kwa kuwa chombo kinachotaka kusimamia uchaguzi sio mamlaka yake😂😂😂
Ma-wakili waliosimama katika taifa letu kwa haki asanteni saaana
MAMLAKA YA WANANCHI 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Wawakilishie wetu tuko nyuma yenu na Mungu awabariki.
Inasikitisha sana kwa nchi yangu Tanzania watu tuliowaamini kusimamia sheria zitakazolinda haki za raia wake wamegeuka kuwa mawakala wa shetani.
❤🎉
Nchi tunachezewa sana kwa sababu wananchi wamenyimwa Elimu kiasi cha kutojua kuwa siasa na kura ni wajibu wa msingi wa wote
HONGERENI MAWAKILI WATETEZI WA TAIFA HILI
Mwisho wa siku tutaambiwa kuwa kwa sababu ya gharama hakuna namna. Mark my words
Kwanini msibadiri ukomo wa mwenyekiti wa chama kwanza maana naona kama katiba ya chama chenu Cha vidole viwili kinaboa mwenyekiti hataki kuachia kiti wenzake wagombeee😂😂😂
Sisi tuko nyuma yenu na hatutakubali TAMISEMI isimamie hizi chaguzi. Lengo Lao hawa ni kuwaibia tu wananchi HAKI yao ya kumchagua mtu wanayemtaka. Hii Serikali haina hata aibu wizi wao hata mtoto mdogo anajua. Serikali isiyojali wananchi wake wao wako kwenye wizi tu wa kukaa madarakani na kuwanyonya wananchi. Tunasema HATUTAKI HATUTAKI kabisa TAMISEMI isimamie afadhali uchaguzi usifanyike.
Kambole mbona mnajichanganya sana ? Polis na mahakama zote hizo ni taasisi za CCM hamtawine hiyo kesi hatamfanye nini hayo mambo mnataka kuiiga kenya hamuwezi ,kenya mahakama na polisi na serekali ni tasisi zinazo jitegemea. 😂😂😂
Wape ushauri siyo kuwakatisha tamaa
Mungu ibariki Tanzania. There is so much going on, but justice will prevail one day
Kwanini wasishinde
ETI NINIII😮😮😮😮😮
Hakuna uhalali wowote TAMISEMI kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,Uchaguzi unashirikisha Vyama vingi;TAMISEMI wanakuwaje na uhalali wa kusimamia huo Uchaguzi?Waziri atakayesimamia mchakato wote wa Uchaguzi ni mwanasiasa na ni Mwanachama wa CCM,wkurugenzi wa Halmashauri,Manispaa na Majiji yote yanaongozwa na Makada wa CCM na Watendaji wote wa Mitaa,Vitongoji na Vijiji ni Makada wa CCM,mpaka hapo Haki na Uhuru kwa Vyama vingine itapatikanaje?Wakati mwingine Rais na Mwenyekiti wa CCM aone Aibu mambo haya yanapofanyika mbele yake na kwa Baraka zake.Huu hautakuwa Uchaguzi huru na haki kwa Vyama vingine yanaenda kutokea yaleyale ya mwaka 2019 na 2020
Ma-wakili waliosimama katika taifa letu kwa haki asanteni saaana
Ma-wakili waliosimama katika taifa letu kwa haki asanteni saaana