Kwa hiyo mh Mpina angekuwa ndiyo Tulia yeye pamoja na kukosewa heshima angeomba radhi Duuh watanzania wakihisi dharauliwa wakiwa njee vile ndivyo walivyo unabaguliwaje Kwa nchi na rangi yako halafu unakuwa mpole no Tulia alipaswa afanye alichokifanya Kwa maslahi mapana ya nchi yake na Kwa utu wake pia
Sasa mnamlaumu tulia kwa lipi kama wao wanaleta umagharibi wao wakati kile kikao cha mabunge yote duniani sasa walitaka asiende urusi ili iweje wakati pia wamo ktk mabunge duniani Sawa Sawa alivyo wapa usidharau mtu kwa rangi wala nchi nadhani hawato rudia tena
Mama yetu Tulia uko vzr sana siku zote katika usu WA Duniaukifanya mema utaraumiwa ukifanya mabaya utaraumiwa kiufupi umewakomesha wanazidi sana kutudharau watu weusi chukulia move zote wanazoigiza watu weupe kipindi Cha kuweka shetani au mwizi lazima aekti.mtu.mweusi wametuzarau ACHA uoga baba yetu muache tulia awambie ukweli wao
Yaani , mpina ujajitambua bado, unafkiri wazungu ndio Maisha ndo mfano . Hamna watu maskini kama hao wazungu . Tulia ana shida zake lakini Kwa kusimama kinyume na hao mabeberu ni ushujaa tunaoutaka katika kizazi hiki. Wewe ni adui wa ukombozi katika level ya kimataifa. Baki uko uko bungeni usipotoshe ukombozi WA kimataifa . Uwelewi na kama unaelewa wewe Unachuki binafsi
Jamaa anataka nafasi na wivu wew mtanzania baada ya kumtetea mwananchi wako kutoka inchi yako unatetea utumwa na kujiona wew ndio unaweza kuliko wote wew c ulikuwa wazir wa mali ya asili na ulikuwa mzee.. acha awanyooshe ngozi nyeupe huwa wanatuzarau sana wa ndani hivi wew mbunge au cjui uko wapi kenya wenyew hawataki aondoke vice president wew unawapongeza akina nan
Hatuwezi kuogopa kusumbuliwa kwa sababu hatujaamua kuachana na hao wazungu kwa tamaa na uvivu wetu. Tumewabembeleza kwa miaka mingi na bafo wanataka tuendelee kuwa lambalamba kwa tabia zao za kutunyanyasa. Hakuna kosa alilofanya Tulia zaidi ya kiwaeleza ukweli juu ya dhana mbovu walizonazo baadhi ya nchi za magharibi na wadau wao.kwa waafrika. Kama wajumbe wa mkutano ule walimpigia makofu ya kutosha Dr Tulia ina maana hawana akili au pengine una kisasi naye kwa mambo yenu ya Bungeni ? Kwa maswali ya kizembe kama yale wewe ungewajibu nini ? Anaulizwa kwa nini aanzie ziara Urusi badala ya Ukraine na eti mamlaka hiyo alipewa na nani. Basi tufundishe angejibu vipi. .
Nchi hii machawa wanataka kuiharibu nchi watu wanatoa maoni ya maana yenyewe yana kejeli. Hawa watu wataturudisha nyuma serikali tumieni big brains. Jiepusheni na failures.
Mh.Mpina Acha Kujichanganya Ongelea Kesi Yako Tu.Kuhusu Dr Tulia Kama Raisi Wa Bunge La Dunia,Alizungumza Vizuri Sana Na Kwa Akili Sana.Anastahili Kupongezwa Na Ameshapongezwa Na Nchi Nyingi Tu.Ndugu Mpina Kwa Hayo Unayoyasimamia Ni Sawa Kwa Nchi Ila Nawe Ujifunze Siasa Za Dunia.
Kauli ya Dr. Tulia kwa IPU ni kauli ilivyo jaa hekma na hofu ya Mungu kwa wabaguzi.... Anastahili pongezi SI kubezwa....ameiinua Afrika na Waafrika. Mpina adui akifanya vizuri mpongeze ndo anaanza kumfukuza shetani ili awe mtu Mwema na kwako
Yaani spika tulia alichemka sana.Anaulizwa maswali ya msingi badala ya kujibu kwa busara yeye anagomba na kuwafokea wengine.yaani pale kaonyesha kuwa ni spika wa hovyo sana.yaani yy bado ana fikra za kitumwa.ana kinyongo.kichwani mwake kabeba chuki.
Huyu naye eti alikuwa waziri ! Kweli tuliishiwa ! Kwa hiyo lengo lako la kutufananisha na Kenya ,ulitaka na wewe ulipotimuliwa uwaziri wabunge wakae walijadili wapige kura za ndio au hapana ! Wee kaa kushoto muda wako umeisha
Hii kesi ni mutihani mkubwa kwa serikali. Tanzania ni tajiri, kama serikali Ingęchunga kikamilifu mali za watanzania, na Kuwaadhibu wapigaji wa fedha za wananchi, kila mtanzania angekuwa na hali ya kuridhisha. Kuna watanzania wanaishi maisha mabaya sana kushinda Sudani Kałamoja wakati wa vita. Na kuna watanzania wanaishi maisha ya kufuru kwa pesa walizo waibia wengi. Pesa hizo zimęwafanya wawe juu ya sheria. Tanzania ya Mwalimu Nyerere ya watu wote Sawa si Tanzania ya leo. Tanzania ya leo ni ya mapepari wachache waliojitajirisha bila ya kuwa na viwanda. Mungu tusaidie hatujuwi nchi inaelekea wapi. Bunge limeshindwa kutusaidia. Wabunge wetu duni kwa woga. Tunategemea MAHAKAMA. EH MUNGU TUSAIDIE.
Huyu kiongoz akili hana kabisa ebu elezea hizo kauli zenye kuleta migogoro wakt ameeleza vizur na yupo sahihi ila mpina unaonekana una tatz la kisaikolojia pasipo ww mwenyew kujijua
Suala la Tulia, liwacheni kuzungumza kishabiki, kichuki na kisiasa. Mwenye uelewa mzuri, Tulia hajafoka foka, karibu vzr maswali yote na kaonyesha kuwa yeye ni kiongozi aheshimiwe na aogopwe bila kujali wapi anakotoka. Kaonyesha msimamo vipi kiongozi uwe na kujali matatizo yote yanayotokea duniani kuyapa umuhimu sawa, tofauti na Wazungu wanajijali wao tu. Yaani yanayotokea Somalia, Sudan, Rdc, nk, si lolote matatizo ni ya Ukrain tu. Jithamini, uthaminiwe. Mpina mpumbavu fulani, anatafuta kiki ya kisiasa, huyu ni kufukuza tu. Anatafuta huruma ya wananchi ktk uovu alioufanya kutia wavuvi umasikini, nk. Mpina Hafai
Spika Tulia alichemka sana.Badala ya kujibu hoja kwa utulivu na busara ,yeye anafoka foka tu kama mwehu.yaani nilishangaa sana kwa spika kukosa weledi wa kiuongozi.yaani kichwani mwake kumejaa fikra mbaya kwa kudhani kila anayemuuliza swali anaendekeza ukoloni.
Tanzania sijui kwa Nini watu wakitoa mawazo Yao wanakosolewa, wewe Shauri ya kwako Kama unaona hayuko sawa na sio mtu unasema tu ili uonekane. Kwani amefanya kosa gani kutoa maoni yake?.
@@musakutenga9848 amekuwa dhaifu wa nafsi lkn pia ata wana sheria wake wanajua anakosea ila sabab ya pesa wanatetea tu kaz ya sheria inataka dini sana bila hivyo utakuwa kama mbwa mroho akimuona mtu mwenye mnofu ndio bwana ake
msi mtukane mpina nimaoni yake na nyinyi tonight ya kwenu Tulia amevutana na wawakilishi wa nchi za magharibi kwa msio jua NATO kutakuwa na shida baadae kwa nchi yetu ill nivigumu sn kufahamu hili ukifikilia haraka haraka fikirieni kwa undani mtajua anayoyaongea mpina (Elimu yetu nayo hii ndy maana wabongo ukiambiwa uchague Demokrasia na miundobinu mtachagua nn wasomi wetu?)
@@reginaldmapunda6702 wanasiasa hivi huwa mnatabia ya kutunza kumbukumbu? Mungu anawaona kwa jicho pevu hasa ushirikina na dhulma kinda. Kabla ya kumnyooshea mwenzio kidole tathmini matendo yako.
Ukombozi WA kwanza au Uhuru WA kwanza ni fikra . Big up tulia Kwa hili, .mambo ya kimataifa mpina umechemsha ,.
Mpina ana tatizo fulani la kisaikolojia ambalo bado hajaligundua.
Akiwa mnyenyekevu na na kuenda clinic ya saikolojia atasaidiwa
Mpina ana akili sana apa anaongelea masilai mapana ya tz
Apo spika kazingua anaweza sababisha taifa kuingia kweny migogolo kama mataifa mengine mfano niger .burknafaso mengine
Mwanzo nilikuwa nakuona nimtu makini sana kumbe boga's Sasa Spika kafanyaje ulitaka awalambe miguu hao wazungu kumbe yawezekana umetunwa kuharibu nchi
Huyu Mpina namtilia mashaka, huenda nyuma yake wapo mabeberu.
Huyu atakuja kuishia pabaya sana
@@VeryMnyakiwele-j1p akili tope
@@temuemanuel4671 akili tope
@@humphreymkony8915 oooh
Kabisa tuna mashaka naye
Kwa hiyo mh Mpina angekuwa ndiyo Tulia yeye pamoja na kukosewa heshima angeomba radhi Duuh watanzania wakihisi dharauliwa wakiwa njee vile ndivyo walivyo unabaguliwaje Kwa nchi na rangi yako halafu unakuwa mpole no Tulia alipaswa afanye alichokifanya Kwa maslahi mapana ya nchi yake na Kwa utu wake pia
Mpina ni mjinga kweli ndio maana alingia otelini kupima samaki na rula
Nilikuwa nakuelewa na kukufuatilia sana,nimegundua kuwa ww unachuki na vivu tu. Bora ungekaa kimya kwa hili
Mpina hajielewi
Amekuwa wa kukosoa kila jambo hata visivyokosolewa
Ni kweli ni chuki hasa kwa spika Dr Tulia
Mpina uache chuki , Tulia amejibu vizuri sana
We mjinga kweli huna hoja unarukia kila kitu, nenda kagombee ubunge kenya
We nini ujitambui kaa kimya hayo mambo yamsing
Afya ya akili hufai kuwa kiongozi nani kakupa uwaziri na ubunge
Msimchanguwe tena mkorofi
Usikie kwa jicho lakoooo???? Duh,!! Mpina umetisha.
Sasa mnamlaumu tulia kwa lipi kama wao wanaleta umagharibi wao wakati kile kikao cha mabunge yote duniani sasa walitaka asiende urusi ili iweje wakati pia wamo ktk mabunge duniani Sawa Sawa alivyo wapa usidharau mtu kwa rangi wala nchi nadhani hawato rudia tena
Huyu jamaa ni chizi hivi uwaziri alipataje? Maana wala sielewi anaongea nini.
Mama yetu Tulia uko vzr sana siku zote katika usu WA Duniaukifanya mema utaraumiwa ukifanya mabaya utaraumiwa kiufupi umewakomesha wanazidi sana kutudharau watu weusi chukulia move zote wanazoigiza watu weupe kipindi Cha kuweka shetani au mwizi lazima aekti.mtu.mweusi wametuzarau ACHA uoga baba yetu muache tulia awambie ukweli wao
Mpina unaonekana una agenda ya utengano kumsema Tulia na kumbeza tunakushangaa
Wewe ndiye utakayosababisha machafuko kwa kauli zako
Yaani , mpina ujajitambua bado, unafkiri wazungu ndio Maisha ndo mfano . Hamna watu maskini kama hao wazungu . Tulia ana shida zake lakini Kwa kusimama kinyume na hao mabeberu ni ushujaa tunaoutaka katika kizazi hiki. Wewe ni adui wa ukombozi katika level ya kimataifa. Baki uko uko bungeni usipotoshe ukombozi WA kimataifa . Uwelewi na kama unaelewa wewe Unachuki binafsi
Unaharibu mambo mengine hayakuhusu ipu inakuhusu nini?tutafute maridhiano tafadhali, ukweli usisemwe?haki huinua Taifa.
Mpina unapoteza dira Sasa kuwa objective focus on issues siyo personalities.
Kumbe huyu hana akili,,,
Up bigger up
Jamaa anataka nafasi na wivu wew mtanzania baada ya kumtetea mwananchi wako kutoka inchi yako unatetea utumwa na kujiona wew ndio unaweza kuliko wote wew c ulikuwa wazir wa mali ya asili na ulikuwa mzee.. acha awanyooshe ngozi nyeupe huwa wanatuzarau sana wa ndani hivi wew mbunge au cjui uko wapi kenya wenyew hawataki aondoke vice president wew unawapongeza akina nan
Hatuwezi kuogopa kusumbuliwa kwa sababu hatujaamua kuachana na hao wazungu kwa tamaa na uvivu wetu. Tumewabembeleza kwa miaka mingi na bafo wanataka tuendelee kuwa lambalamba kwa tabia zao za kutunyanyasa. Hakuna kosa alilofanya Tulia zaidi ya kiwaeleza ukweli juu ya dhana mbovu walizonazo baadhi ya nchi za magharibi na wadau wao.kwa waafrika. Kama wajumbe wa mkutano ule walimpigia makofu ya kutosha Dr Tulia ina maana hawana akili au pengine una kisasi naye kwa mambo yenu ya Bungeni ? Kwa maswali ya kizembe kama yale wewe ungewajibu nini ? Anaulizwa kwa nini aanzie ziara Urusi badala ya Ukraine na eti mamlaka hiyo alipewa na nani. Basi tufundishe angejibu vipi. .
Mpendwa Dada Tulia Akson! Pokea shada la Maua. Safi
Na safar hihi unabaki home mnafikivmkubwa weee
Mungu atusaidie mpina
Nimecheka sana yani unataka kusema tulia alikosea kusema ukweli kaka naomba ukalime bhna mahna una unacho sema
Hana busara hata kidogo! Yeye ni mtawala wala sio kiongozi!
Alitaka wajibiweje? Huo ni upumbavu wa mpina tu😊
Eti wanaume na akili sao wamesimama wanamsikiluza chiz😢😢😢😢😢😢
Kweli ni bwege ndiooo maana wazungu wanatuita nyani
Shameless
KUMBE HUYU JAMAA NA YEYE SOMETIME N OVYO SANA KIAS HIKI 😢😢😢
Nchi hii machawa wanataka kuiharibu nchi watu wanatoa maoni ya maana yenyewe yana kejeli. Hawa watu wataturudisha nyuma serikali tumieni big brains. Jiepusheni na failures.
Kujusu swala la Tulia umechemsha... toka kwenye fikra za mzungu aabudiwe
Jamaa kaishiwa huyu
Mh.Mpina Acha Kujichanganya Ongelea Kesi Yako Tu.Kuhusu Dr Tulia Kama Raisi Wa Bunge La Dunia,Alizungumza Vizuri Sana Na Kwa Akili Sana.Anastahili Kupongezwa Na Ameshapongezwa Na Nchi Nyingi Tu.Ndugu Mpina Kwa Hayo Unayoyasimamia Ni Sawa Kwa Nchi Ila Nawe Ujifunze Siasa Za Dunia.
Kauli ya Dr. Tulia kwa IPU ni kauli ilivyo jaa hekma na hofu ya Mungu kwa wabaguzi.... Anastahili pongezi SI kubezwa....ameiinua Afrika na Waafrika.
Mpina adui akifanya vizuri mpongeze ndo anaanza kumfukuza shetani ili awe mtu Mwema na kwako
Nongwa mbaya sana
CCM WAMFUKUZE HUYU JAMAA N MNAFIKI SANA
Hana akili kabisa anaona wazungu wanamaana sana zaidi ya kutuua tu
Wadanganye wasukuma wenzio,watu wenye akili duniani wamemwelewa spika,ww tu ndio hujamwelewa
Mpina unataka nini
Huyu mwehu
Hata mimi nilishangaa sana kwa kauli kama “baadhi yenu Bado mna mawazo ya kikoloni akilini mwenu “ hii sio kauli ya kiungwana.
Yaani spika tulia alichemka sana.Anaulizwa maswali ya msingi badala ya kujibu kwa busara yeye anagomba na kuwafokea wengine.yaani pale kaonyesha kuwa ni spika wa hovyo sana.yaani yy bado ana fikra za kitumwa.ana kinyongo.kichwani mwake kabeba chuki.
Jikumbushe swali alilo ulizwa tumeulizwa warz kwanini tunaongea na mrusi na sio ukrein. Tunataka kupangiwa tena.
Kwakweri duniani Kuna mbuzi nawewe unae SEMA alikosea wewe ni mbuzi kweli acha uoga mpina Acha uoga ukiwa muoga utachukuliwa hata mkeo wewe nilijua unaelimu kumbe kiazi
@@jumamustapha8254 ww acha uwongo wako.Usipotoshe.
@@vitusjackson1354 Alikosea punguza ujinga japo kidogo tu
Ivi hiyo ipu inakuhusu we sijui ni kabila gan
We umechanganyikiwa karibu utaanza kuokota makopo
Mpina punguza kiherehere sio kila kitu lazima ukisemee. Kuchamba kwingi mwisho wake utashika kinyesi
Credibility yake kainyea tayari...alikua pazuri sana.
Uyu kapachikwa kazi kwasababu Tanzania 🇹🇿 wanaekana wasomi wa darasa la 7
Wachana na wakenya pls
Kumbe mpina naye n njaa tu Hana uzalendo wowote ndan yake
Duh mh mambo mengine achana nayo
Hapo naona kama umetoka nje ya key,kimataifa mie Tulia nampa maua yake kaonyesha msimamo as a leader.wewe baki kwenye jambo lako
uyu jamaa kweli ndio leo naona fala ss ya tulia kule yanamhusu nn
Huyu naye eti alikuwa waziri ! Kweli tuliishiwa ! Kwa hiyo lengo lako la kutufananisha na Kenya ,ulitaka na wewe ulipotimuliwa uwaziri wabunge wakae walijadili wapige kura za ndio au hapana ! Wee kaa kushoto muda wako umeisha
Hii kesi ni mutihani mkubwa kwa serikali. Tanzania ni tajiri, kama serikali Ingęchunga kikamilifu mali za watanzania, na Kuwaadhibu wapigaji wa fedha za wananchi, kila mtanzania angekuwa na hali ya kuridhisha. Kuna watanzania wanaishi maisha mabaya sana kushinda Sudani Kałamoja wakati wa vita. Na kuna watanzania wanaishi maisha ya kufuru kwa pesa walizo waibia wengi. Pesa hizo zimęwafanya wawe juu ya sheria. Tanzania ya Mwalimu Nyerere ya watu wote Sawa si Tanzania ya leo. Tanzania ya leo ni ya mapepari wachache waliojitajirisha bila ya kuwa na viwanda. Mungu tusaidie hatujuwi nchi inaelekea wapi. Bunge limeshindwa kutusaidia. Wabunge wetu duni kwa woga. Tunategemea MAHAKAMA. EH MUNGU TUSAIDIE.
We mpina Una local mind na mwoga , unachuki binafsi
Local mind , . Uko vizuri Kwa mambo ya haki lakini na ubinafsi ndo unanukia katika misemo yako
Wewe Huna mpya umezoea mabishano tu
Huyu kiongoz akili hana kabisa ebu elezea hizo kauli zenye kuleta migogoro wakt ameeleza vizur na yupo sahihi ila mpina unaonekana una tatz la kisaikolojia pasipo ww mwenyew kujijua
Hata mimi niliwaza hivyo. Nimekuwa nikimfuatilia.. lkn baadaye nikagundua huenda ana tatizo kubwa la kisaikolojia
@@temuemanuel4671 ni kwel maana anataka labda kaul wazungumze wazungu tu ndio akili yake anahic mtu mweupe yupo sahihi ata akikosea
@@maulidimpili698 hujui kimombo
Mpina kweli ana shida kichwani na chuki binafsi
Mpina mpipwe akili
Yeye kama anafoka afokeye machawa siyo watu wenye akilizao
Chukua na ulafi wa madaraka na kuwakosea waafrika na watanzania
Nimekosa chakumufananisha naco ila siku tunzo zawapumbavu zikitolewa huyu akapewe Tano mufululizo
Duuh mpina mpaka umeamua kumfuata tulia uswisi kumekucha kweli
Yaaani mahakamani unaleta siasa
Suala la Tulia, liwacheni kuzungumza kishabiki, kichuki na kisiasa. Mwenye uelewa mzuri, Tulia hajafoka foka, karibu vzr maswali yote na kaonyesha kuwa yeye ni kiongozi aheshimiwe na aogopwe bila kujali wapi anakotoka. Kaonyesha msimamo vipi kiongozi uwe na kujali matatizo yote yanayotokea duniani kuyapa umuhimu sawa, tofauti na Wazungu wanajijali wao tu. Yaani yanayotokea Somalia, Sudan, Rdc, nk, si lolote matatizo ni ya Ukrain tu.
Jithamini, uthaminiwe.
Mpina mpumbavu fulani, anatafuta kiki ya kisiasa, huyu ni kufukuza tu.
Anatafuta huruma ya wananchi ktk uovu alioufanya kutia wavuvi umasikini, nk.
Mpina Hafai
Aise we K kweli, hivo anavyoviongea havina maana kwa nchi? Kwani hao wengine wanawakilisha nn sasa?
Ovyo kabisa Hawa tukiwasikiliza tuta kua hatuna akili hivi alitaka majibu yapi zaidi ya Yale migogoro duniani Nani anae ileta
Spika Tulia alichemka sana.Badala ya kujibu hoja kwa utulivu na busara ,yeye anafoka foka tu kama mwehu.yaani nilishangaa sana kwa spika kukosa weledi wa kiuongozi.yaani kichwani mwake kumejaa fikra mbaya kwa kudhani kila anayemuuliza swali anaendekeza ukoloni.
Hili sio sukuma la kwetu hili ni li jogoli kabisa
Huyu mpina ni bonge la mjinga unataka awa bembeleze wazungu.
Hongela sana mpina SEMA usikike 💯✔️
Wewe mpina mbona unakuwa msenge wa hali ya juu. Tulia ametuwakilisha na kutusimamia ipaswavyo. Acha kumlaumu. Kwa jambo hili wewe ni kilaza.
Ww kibalaka mnyenye kevu Wawa zungu una swaga nenda uko uko kosalake nn kuwajibu kuwa ambia ukweli una maana
Uko vizuri kukosowa mpina
Spika Tulia kawaida sawasawa
Hana hoja kenge huyu 😂
Kumbe unavyooona wewe,dudu hamna mtu hapo.Unarukia mambo mengi.
Tanzania sijui kwa Nini watu wakitoa mawazo Yao wanakosolewa, wewe Shauri ya kwako Kama unaona hayuko sawa na sio mtu unasema tu ili uonekane. Kwani amefanya kosa gani kutoa maoni yake?.
Mpina napenda sana kukusikiliza ila kumfata tulia ulaya umechemka ww ni mtumwa au wazili wa mashoga mwache tulia afanye majukumu yake
@@SurprisedCamel-ow6md9 jiongeze la sivyo akili tope
Kuna vitu Unaweza mtete mwenzako kisa chama tu ,ukweli unauma lakini pale panapojulikana Kuna tatizo
Wewe nashangaa hata uwaziri wake uliupataje hafai kuwa kiongozi unatutia aibu Watanzania kuwa na mbunge wa ovyo
@@musakutenga9848 amekuwa dhaifu wa nafsi lkn pia ata wana sheria wake wanajua anakosea ila sabab ya pesa wanatetea tu kaz ya sheria inataka dini sana bila hivyo utakuwa kama mbwa mroho akimuona mtu mwenye mnofu ndio bwana ake
Hapa umebugi
Mpina unapipidiwa wewe.. huna akili wewe msukuma.... magufuli alikuwa anawapinga wazungu mbona hukuthubutu kufungua huo mkundu wako .
Mwanzo nilikua nahisi umeonewa ila kwa sasa nimejua kumbe auna akili
Yaani hata Mimi nilikuwa nawaza hivyo,,
raisi mjinga wa wasukuma!!kila kitu anajuwa!!
@@hamzakimaro3764 akili tope
Wewe..ni.kumbavu.sana.pamoja.huyo.tundu.wako.hamna.akili.hata.kidoqo.hata.ufai.kuwa.kionqozi.ww.ni.mshuzi.unonqea.mambo.ya.kenya.unasifu.ujinqa.unabweza.inchi.yetu.na.vionqozi.mashuri.si.ukwende.kenya.uchaquliwe.nqombe.kabisaa
Zungumzia TANZANIA achana na mataifa ya watu hamia uko bas
Kwani wewe ni msemaji wa Tanzania?
Kumbe hata wewe kuondolewa kwako ni demokrasia
Mpumbavu tu
Mpina kumbwe wewe ni bwabwa kweli ni matatizo gani Tulia Ackson alete Tanzania au Africa
Nenda wewe ukafanye kazi uwe kibaraka yeye kakataa kudharauliwa
msi mtukane mpina nimaoni yake na nyinyi tonight ya kwenu Tulia amevutana na wawakilishi wa nchi za magharibi kwa msio jua NATO kutakuwa na shida baadae kwa nchi yetu ill nivigumu sn kufahamu hili ukifikilia haraka haraka fikirieni kwa undani mtajua anayoyaongea mpina (Elimu yetu nayo hii ndy maana wabongo ukiambiwa uchague Demokrasia na miundobinu mtachagua nn wasomi wetu?)
Mnao mtukana mpina nendeni mkapimwe akili.tusubiri yajao
Samia atakuchukia sana sababu unaongelea haki na demokrasia
Kwahiyo hata mama yako au baba yako akikaa vibaya unyamaza tu ili uendelee kuchungulia siyo? Acha ubwenge wewe. Sema ukweli kama kipo kipo tu
Sidhani kama ni vyema kuzungumzia kila kitu, alichokifanya Dr. Tulia kule IPU ni sawa tu sababu kuna wakati kiongozi unapaswa kuonesha nguvu zako.
Sio sawa hata kidogo
Ni sahihi kabisa na hawarudii tena ujinga ule.
@@reginaldmapunda6702 wanasiasa hivi huwa mnatabia ya kutunza kumbukumbu? Mungu anawaona kwa jicho pevu hasa ushirikina na dhulma kinda. Kabla ya kumnyooshea mwenzio kidole tathmini matendo yako.
Uyu fikra fake aende zake anadhani bado tuna tawaliwa kifikra
Wewe lakini umefahamu yani wewe unateteya wazunguu wanaleta zarau kaka amka ile kazi yake na chao chake
Mpiana nilitarajia unakili kumbe wewe mnafiki unamlaumu spika kwa lipi acha uchuki wa kijinga nilikuwa na kuona miwanasiasa mziri kumbe akili zako kama chadema watu wamatukio
Mpina anaongea kwa masilai mapana ya taifa huwez elewa kwa haraka
Peleka ujinga uko boya wewe
Achakutuchanganywa ww umefata kesimahakamani au umefata kukosoa hoja yasipika aliyotoa akiwa ulaya tukusikilize lipi mbona umekua natamaa ww
Anawafumbua macho watanzania wajinga wanaomsifu Tulia kwa kudhani kuwa kafanya jambo jema kumbe kakosea sana.
@@ProperMwashiwawa nenda shule ukasome kiswahili
@@humphreymkony8915kimusaidie nini
Wewe ni mjinga sana