Mungu baba wa mbingini mwenye mamlaka hapa chini na juu mbingini jina lako lihimidiwe na ufulume wako utukuzwe tunakushukuru kwa ulinzi wako mkubwa na kuturejeshea mtu alieshika dhamana yetu madarakani mungu mrinde na umukinge kati ya maadui wake amina
Bwana yesu wewe uko karibu sana na mtumishi wako makonda mlinde mtumishi wako mpe afya ya Roho na mwili aweze kufanya kazi uliyo muitia bado kazi ajaikamilisha baba wa mbinguni uyu niwako yelemia 33:3
Asante Mungu kwa yote Tunamweka Makonda mikononi mwako umlinde kwa Kila baya zaidi umjaze ujasili Hekima na Busara katika utenfaji wake Hilo awe mtetezi was wanyonge wanaoonewa
Yaani mungu yuko makini na kiongozi wetu mzuri na mungu wetu ulie hai tunakuomba endelea kuwa makini na makonda wetu wachawi wasijaribu wabaya wasijaribu kumutafuta mungu yule yeyote atakae jaribu kumutafuta mtetezi wa wanyongo mutangulize yeye mungu na nasema Asante mungu kwa kuitikia Ombi hilo
Ashukuriwe Mungu asikiae maombi yetu watanzania3umerudi salama kiongozi wetu ulindwe na ulinzi wa mbinguni na ulinzi wa duniani Damu ya Yesu ikuzingire pande zote ❤
Ee mwenyezi mungu mlinde sana Mh . Makonda kiukweli ni msaidizi wa watu wanaonyanyaswa Arusha watu waliteseka sana mungu ukamleta baba wakugomboa Arusha yetu
Huu ulofa wenu unavunja heshima na ustaarabu wetu watanzania.vichwa vya habari na clip mnazoonesha havina uhusiano,uhalisia Wala ukweli.Watu wanashukuru Mungu kwa taarifa zisizo za kweli
Da asate mungu kama kiogozi wetu yu hai asate mungu kwa awamu nyingine tena baba tunakupenda sana sisi wanaichi wa hali ya chini kumbuka baba hata yona alitumwa na mungu kwenda kwenye mji wa ninawi na mungu kwenda kuwaponya wana wapotevu lakini wengi walimkatisha tamaa ila mungu wake akamkubusha tena kwa hiyo hata wewe ajaribu ni mengi sana kwako ila mungu yuko pamoja na wewe
Mungu ni mkubwa aendelee KUKULINDA na bado tunakihitaji sana si kwa nafasi ya uliopo kwa sasa tunamuomba mwenyezi Mungu upandishwe na uinuliwe juu zaidi mara mbili zaidi Amin
Hii sio ya kweli ya siku nyingi hapa kwenye msiba wa mkapa alikua katumbuliwa na magufuli hapa alikua raia wa kawaida kashaondolewa kwenye ukuu wa mkoa dar
mimi najiuliza kwann tunafikiri makonda hapendwi na wakubwa wenzake? Na watu wa chini wanyonge wanampenda? shida nini ? uongozi wake unatekeleza Iman za chama gani? Na wasio mpenda wapo chama gani ?
Hallelujah hallelujah hallelujah Mungu yumwema Pole makonda tunakupenda Saana ❤❤❤ God protect U ❤ God bless you 🙏
th-cam.com/video/4QZ1UuNkcQI/w-d-xo.htmlsi=poppSkgAYlYhkwLB
Nimefurahi ninalia kwafurahaa niliyonayo mm mungu anajua ❤❤❤❤❤
Mungu baba wa mbingini mwenye mamlaka hapa chini na juu mbingini jina lako lihimidiwe na ufulume wako utukuzwe tunakushukuru kwa ulinzi wako mkubwa na kuturejeshea mtu alieshika dhamana yetu madarakani mungu mrinde na umukinge kati ya maadui wake amina
Love my brother wangu sana mungu akudumishe na akupe umli mrefu
Mungu akupe maisha marefu makonda ww Jerry silaa,na majaliwa kwakwel mnajua majukumu yenu
Asante mungu kwa kumuona makonda wetu na mungu muekee ulinzi mukubwa mtetezi wetu wanyonge
Hallelujah hallelujah hallelujah 🙏 mungu akubariki akulinde Mh Makonda ❤❤❤✅💪💯🤲🇹🇿👍
Alhamdulillah ,makonda mungu akulinde na husud za walimwengu
mimi ni Moses from Kenya kweli makoda amepatikana asant mungu
Mungu Akulinde sana naomba ugombee urais tunakuomba
Mungu n mwema kila wakat dam y yesu ikufunike
Nakukubdlii mungu akulinde jamsni
Asante sana mungu wetu kwa kupatikana makonda
Asante mungu Amlinde amtunze zaidi
Tunakupenda baba mungu akulinde
Bwana yesu wewe uko karibu sana na mtumishi wako makonda mlinde mtumishi wako mpe afya ya Roho na mwili aweze kufanya kazi uliyo muitia bado kazi ajaikamilisha baba wa mbinguni uyu niwako yelemia 33:3
Asante Mungu kwa yote Tunamweka Makonda mikononi mwako umlinde kwa Kila baya zaidi umjaze ujasili Hekima na Busara katika utenfaji wake Hilo awe mtetezi was wanyonge wanaoonewa
Wow, NAMPA MUNGU UTUKUFU , KWA KUMREJESHEA UHAI MAKONDA. AMINA. AMINA ❤
Duuuuu mungu mkubwa
Yaani mungu yuko makini na kiongozi wetu mzuri na mungu wetu ulie hai tunakuomba endelea kuwa makini na makonda wetu wachawi wasijaribu wabaya wasijaribu kumutafuta mungu yule yeyote atakae jaribu kumutafuta mtetezi wa wanyongo mutangulize yeye mungu na nasema Asante mungu kwa kuitikia Ombi hilo
Channel ya habari ya kuaminika ni Millard Ayo tu wew ni tapeli
Sasa kama unaiamini hiyo hapa umekuja kufanya nini
@@danielimeshack3712Ni kweli kabisa,hii ni channel ya mataahira wala hakuna habari ya maana ila majungu,umbea na fitina
Hasaaaaa, huyu ni shetani kabisa maana anongea uongo,
Sauti yenyewe ya mtangazazi ni kama ya yule wa ubaya ubwela Wana Simbaaaa
Ashukuriwe Mungu asikiae maombi yetu watanzania3umerudi salama kiongozi wetu ulindwe na ulinzi wa mbinguni na ulinzi wa duniani Damu ya Yesu ikuzingire pande zote ❤
th-cam.com/video/4QZ1UuNkcQI/w-d-xo.htmlsi=poppSkgAYlYhkwLB
Mwenyezimungu akulinde bro❤❤❤❤❤
Baba umerufi mungu akusaidie bab
Asante mungu wewe ni mwema umesikia maombi yetu
Ee mwenyezi mungu mlinde sana Mh . Makonda kiukweli ni msaidizi wa watu wanaonyanyaswa Arusha watu waliteseka sana mungu ukamleta baba wakugomboa Arusha yetu
th-cam.com/video/4QZ1UuNkcQI/w-d-xo.htmlsi=poppSkgAYlYhkwLB
Umetupooza machungu mwamba, tunakuhitaji na usubiri urais hakuui mtu. Asante mungu Kwa kumlinda huyu mwamba wetu
th-cam.com/video/4QZ1UuNkcQI/w-d-xo.htmlsi=poppSkgAYlYhkwLB
Sifa na utukufu ni heshima na adhama zimrudie Mungu muumba, na Damu ya Yesu kristo iendelee kunena mema juu ya yake,
Jamn mwamba wetu mungu amjalie afya nzuri kila kukicha
Yaaan mimi jumatatu niko ofisini kwa jambo langu asante mungu
Naomba tu kwamba afanye kazi yamungu sio yasiyasa Bola awe pastor ❤❤❤
Asante mungu
Majungu yenu ni bule kama mungu hakupenda ni kazi bule allaah akulinde kipenzi
Huu ulofa wenu unavunja heshima na ustaarabu wetu watanzania.vichwa vya habari na clip mnazoonesha havina uhusiano,uhalisia Wala ukweli.Watu wanashukuru Mungu kwa taarifa zisizo za kweli
Makonda Kaka Mungu hatakuacha Kila atendaye haki jicho la Bwana litamfurahia Bali mwovu na fisadi ataaibika wakati wa Bwana umjiapo.
Mimi mkenya.nimefurahi kukuona ndugu yangu mungu anakupenda
Pole sana mh
I love you makonda from zanzibar
mungu nimwema tuna kuona mwamba shujaa.
Na Mimi nimefurahi Sana Mungu azidi kukupa ulinzi
Da asate mungu kama kiogozi wetu yu hai asate mungu kwa awamu nyingine tena baba tunakupenda sana sisi wanaichi wa hali ya chini kumbuka baba hata yona alitumwa na mungu kwenda kwenye mji wa ninawi na mungu kwenda kuwaponya wana wapotevu lakini wengi walimkatisha tamaa ila mungu wake akamkubusha tena kwa hiyo hata wewe ajaribu ni mengi sana kwako ila mungu yuko pamoja na wewe
Mbona haongeii
th-cam.com/video/4QZ1UuNkcQI/w-d-xo.htmlsi=poppSkgAYlYhkwLB
Sa ulikuwa wapi
Pole kamanda
❤❤makonda❤❤
Mungu ni mwema
Eee mungu muepuxhie matatizo aya makonda
Asante Yesuuuuu
I'm very happy thank you Jesus 😊🙏
Sijui ni kweli mi yeye yupo hai au nisiendelee kutoamini.Mungu mlinde kijana wetu.
waandishi tumechoka namyi wakati wote makonda makonda makonda...hamna lingine
Hakika mungu akupiganie rc makonda nimefarijika sana binafsi kukuona mwamba
Mungu ni mkubwa aendelee KUKULINDA na bado tunakihitaji sana si kwa nafasi ya uliopo kwa sasa tunamuomba mwenyezi Mungu upandishwe na uinuliwe juu zaidi mara mbili zaidi Amin
Tunakuomba ,,,,umlinde. Makonda,,,,,,yy nafamily ,,yake. Eeeemungu,,,s'kiya kilio,,chet❤
Kwendaaaaaaaaa! Acha uwongo! Hajaonekana na haijulikani aliko!
Mwenyezi mungu atakulinda RAIS WETU UNAE FATA
Wanaomtafuta kwa mabaya hayo mabaya iwarudie wao kwa jina la yesu
Tunamshukuru MUNGU Sana kama ni KWELI kiongozi makonda ni mzima, maana wametuchanganya na kutuhuzunisha Kwa taarifa mbaya
Mungu ndiyo kilakitu akuweke na baado siamini tena siamini jamani
Ahimidiwe Mungu Amina
ALLAH AKUPE SHUFAA. AMMIN.
Tunataka kumsikia mwenyewe imani imepotea😢
Mungu mkumbuke baba huyu umlinde na maadui zake
Nchi ya tanzania inamungu siku zote, na wapo watu wengi wenye loho nzuli kama makonda wanakuja. Na mtaisoma namba
❤❤❤❤
Mwamba huyu apa mungu nimwema
Utukuzwe mungu wawanyonge tuna furaha. Tumemuona makonda
Ya mda mrefu Sana iyo clip
Mwandish sis siyo watoto. Tunataka makonda aongee mwenyewe. Hii vodeo ya zaman
th-cam.com/video/4QZ1UuNkcQI/w-d-xo.htmlsi=poppSkgAYlYhkwLB
Tafadhali mwandishi u😮situtanie, sisi sio watoto wa kudanganywa
Waooooh!!
Waooooooooooo baba uyooo
Jina la Bwana libarikiwe.
Jamani kama kweli umeludi mkuu wa mkoa wa Arusha bc mungu yupo na anakupenda
Daa
Daaah mwamba uyu apa karudi mzigoni tunamkubali mheshimiwa
alhamdulillah
Amen.
Asantu mungu.
Hii sio ya kweli ya siku nyingi hapa kwenye msiba wa mkapa alikua katumbuliwa na magufuli hapa alikua raia wa kawaida kashaondolewa kwenye ukuu wa mkoa dar
Mmmmh
Ameeeeeeeeeeeeeeeen jamani
Makonda nikama zahabu ili iwe zahabu lazima ipite kwenye Moto Mimi ninaimani ndio raisi wa 2030 hongela Sana makonda
Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mh ni kweli?
Mbona pole nyingi halafu kakonda
Mimi mwenyewe Tomaso hadi nimshike mkono ndo nitaamini kuwa ni kweli. Wewe ni tumaini jipya kwa watu wa Arusha. Mungu akutunze.
Baba jamani
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
somewhere na usemi ni wapi
Kwa furaha machozi yananitoka makonda kweli upo hongera kwa ujasiri wako ktk kutimiza wajibu katka jukumu lako😂.
Jamani I picha iwe kweli awepo,aibu aibu kwa walio tenda.miko ya pole yote asiiyamini
Ninacho yanguuuu auuu.siamini
Mic you moreee
Siamin nitaamini nikisikia sauti yake 😢😢😢
Damu ya Yesu ikufunike
Mbona hatukuelewi..nawewe? usituchanganye
Mungu,,,anajuwa,,,,kilakitu,, tusubir,,,,,,tumiombee,,,,,afiya,,,,yake ,,,,,iimarike. ,,,aridi,,,,kazini,Salama,,,,, eeeemungu,,,,,wetu. ,unatumiwa,,,,vema. Hakuna,,,,tuchoweza,,,kufacha,, ,
wahuni wamejaa tasnia ya habari watu wanamawazo ya kiongozi wao wee unaleta habari za uongo ili ufaidike nini
Hii ni yazamani msitudanganye mbwa nyinyi sii ni yazamani
Waongo picha ya zamani
Hiii ya zamani hapo ni karimjee.
Old clip niamini but namuombea mema
mimi najiuliza kwann tunafikiri makonda hapendwi na wakubwa wenzake?
Na watu wa chini wanyonge wanampenda? shida nini ? uongozi wake unatekeleza Iman za chama gani? Na wasio mpenda wapo chama gani ?
Hapa Makonda alihudhuria msibani dar kipindi akiwa ameondolewa ukuu wa mkoa wa Dar ndio maana washirika wake wanamuambia tulikumisi