🎉😂😂❤Demu wangu ashazoea hip-hop sababu Kila akija geto playlist yangu ningoma za Roma round Moja naanza na mathematic, viva Roma, 2030 alafu nakojoa kwa Zimbabwe dk kama 20 Sasa naongeza albam my jmoc tare 8/6/2024 njoo ujipakulie pumbu na albam kama kifungashio😂😂😂
Team Roma fan, Mwaka wa tatu now since niombe tukutane tupate ata dinner na lol model wangu MKATORIKI na mimi nipo American but ni mtanzania from Mikocheni.
Roma nakubali sana ngoma zako pia unaacha ujumbe mzito ktk jamii sio kuburudisha t ila km ungelikuwa shekh au padri ungelitisha zaid kwasbb unakemea maovu na unaongelea uhalisia wa jambo mungu akupe umri wenye kheri na ww kaka
....mmmh umezidisha dawa amekuwa mjinga umemfanya zezeta.... Neno zezeta limenishughulisha sana kulielewa, nilidhani la kiingereza... We APPY unajua kuyachezea maneno, hiiiiiiiiiii🎉🎉🎉🎉🎉
Huyu binti ni msanii tena video vixin anatengeza pesa vizuri tengeza pesa mtunze mama na familiya kijijini.hakuna mbaya kama mkokwenye mahaba mnaendana wote vijana tena watafutaji.
Kaka hii nyimbo imenifanya nilie namuomba mungu baba angu arudi home yanii km umesikia kilio Cha mama angu I like 😢😢
😢😢😢
Hizi like sijui mnapelekaga wap? Jaman nimbieni na mm nikaziuze❤
😂😂😂
😂
❤❤❤ namuachia mungu tuu team roma like nyingi 🎉
YAANI WAO WAOKOTE KUNI WE UJE TUU UOTE MOTO UNACHOFANYA NI UHUNI NA UKAHABA WA KITOTO ❤❤❤
From DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 naomba like zangu iyi ndo ngoma yangu pendwa kwenye album
Hii imenigusa zaidi😢😢 huyu dada kwenye corus ni zahabu aise❤❤❤❤
Sauti tamu
Sauti ya kipekee
Kaimba vizur sana
huu ndo wimbo wang pendwa , huyu dada kwa corus n nyoko
Hiyo Chorus Kiswahili kimepodolewa kama sio kiswahili, ila mwanetu hujawahi kutuangusha, Chorus huyo bi dada kaua Sana.
appy huwa mtu mbaya sana🔥🔥
Yaaani huyu dada kafanya nasikiliza hii nyimbo Toka juzi asubuhi mpaka jion
Appy katisha
Duh! Huu wimbo ni Injili kamili kabisa!! Uweza na mkono wa Mungu ukutane na kila anayeyafanya haya!!🙏
Tumuachie Mungu Roma Mungu àkubariki sana 😢❤ nyimbo imegusa ndoa zawengi wanao pitia magumu
Daah ila huyu dada kaonesha kitu cha kipekee kwa hii chorus💪
🎉😂😂❤Demu wangu ashazoea hip-hop sababu Kila akija geto playlist yangu ningoma za Roma round Moja naanza na mathematic, viva Roma, 2030 alafu nakojoa kwa Zimbabwe dk kama 20 Sasa naongeza albam my jmoc tare 8/6/2024 njoo ujipakulie pumbu na albam kama kifungashio😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Owa acha usela😂😂
daaah!,kwel umepinda😂😂😂
Napenda ngoma zenye kugasa maisha Kama za kwenye album hii big up mkatoriki
Appy kaua sanaaaaa
One of my favorites
Bonge la track
Sending all our love from Kenya, +254
Appy brougth me here🎉🎉🎉❤
Nyimbo ninazo penda nihizi❤❤
Appy vocalist🙌🙌🙌 Album amna ngoma mbovu
Team Roma fan,
Mwaka wa tatu now since niombe tukutane tupate ata dinner na lol model wangu MKATORIKI na mimi nipo American but ni mtanzania from Mikocheni.
No song to skip in this album
💯 nyimbo zote kali
Appy Unajuwa sana dada 🔥🔥🔥
Goddamn! Appy🔥Chorus ni kali kias kwamba sja concentrate na verses tena
Uyu jamaaa Appy ana juwa sanaa 🔥🇦🇺🇦🇺
Roma nakubali sana ngoma zako pia unaacha ujumbe mzito ktk jamii sio kuburudisha t ila km ungelikuwa shekh au padri ungelitisha zaid kwasbb unakemea maovu na unaongelea uhalisia wa jambo mungu akupe umri wenye kheri na ww kaka
Chorus imetulia sana
Hyu Appy nimtafute sasa😊😊😊 ndo nimejua hapa
Anaimba sana huyu dada
Nimekubal maua yake🎉🎉🎉🎉@@MudaOg
Kwa skio la mziki kwa mbali naskia kama running to you ya chike hv
Nilidhani Mimi tu
Imetosha kaka umewachoma watu huku mtaani sio pow
Aise hii kali saaaana mazeee I salute 🫡 you my soldier wa Zimbabwe ni motooooooo
Appy nakupenda bila liba❤❤
Appy🔥🔥🔥
Swadakta Bro Roma ❤❤❤❤❤❤❤
Appy is unique
ALIYE SOMA VIZURU KAONA "NAMUACHA MUNGU" KUMBE #NAMUACHIA-MUNGU... SEMA PEACE ❤
....mmmh umezidisha dawa amekuwa mjinga umemfanya zezeta.... Neno zezeta limenishughulisha sana kulielewa, nilidhani la kiingereza... We APPY unajua kuyachezea maneno, hiiiiiiiiiii🎉🎉🎉🎉🎉
Appy is another level🔥
Big up bro big fire iliye piga korasi noma sana kali.
Appy 🔥
Bonge moja la ngoma hili kali sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Appy 🙌🙌🙌🙌 nasikiliza hii nyimbo siku tatu mfululizo none stop umeua sana
wajua sanaaa kakaa mkubwa aisee daah!! ww kichwa kaka hii ndo hip hop tunayoitaka
Legend who never disappoint,
Bigup Roma
Appy kaua
nimeusikiliza huu wimbo siku nne mfullulizo, si ujumbe bali melody .Tamu.
@appy always making it sound world class
Roma ney fid q wrud pro jay ndo Wana hip hop Bora wa mda wt tz
Ngoma kali sana Kaka ila alieitikia kwenye ile promo alitisha sana bro
Mkatolika amerundi na moto 2024 Tanzania jipageni
Dah appy
Tulie mjua mtoto wa kambo gonga like
wimbo mzuri sana aisee, madundisho matupu.
Roma fireee dada wa corus kafanya niemke sauti yakeeeeeee duuuuuu
Kumbe kwenye hiii albam kunanyimbo inaitwa narudi
Hii ngoma nakumbuka zaman sana bongofleva ila uyu dada sauti yake b dhahabu adim sanaaa imenisimua sanaa
Daah Ngoma Kali
Uyu dada noma
Pale kwenye cover photo wamekosea wameandika namuacha Mungu
Roma hujawai kukosea kaka
VIVA ROMA VIVA😮😮😮😮
Nampenda appy🇨🇩
My brother kiukweli umeni gusa yemeni kuta piya😥
Hii album mwanetu 🔥🔥🔥🔥
Wow ❤🎉🎉🎉 very touching I wish all men could listen to his hit 🎯
What about women? cause its adressing a woman!
Appy umetisha sana dada yangu 🎉🎉🎉❤❤
Una changanya DAWA kawa MFAMASIA 🤣🤣🤣🔥🔥🔥 huyu Dada phina wa moto
Sio phina huyoo
Hapo kwenye kava mmeandika namuacha Mungu😢😢😢
Appy Killed it!
Msanii ukimuongelea marehem vibaya kwa vyovyote vile nakuona wa hovyo
jamani dada zangu acheni waume za watu jamanii🤫🤫🤫😪😪
Anakumwagia noti... yaani ni "Annakummwagia Nnnotti" Ooyaaaa...😅😅 Appy mmk Appy... Mwizi sana 😂😂
After listening to all of his bangers I approve this ad my favorite💯💯💪. Wewe gani imekubamba🙌?
Hakukubali sana
Appy from Dingi to hapa mwamba wa lusakaaa
Iyo kali bro nipo congo 🇨🇩
Hiyo chorus imepikwa ikapikika yaani
Roma umetisha sana big up bro
Amekuaa zezeetaah... ahah ilo Korac kmmk....😂😂🙌🙌
Mmmmmmm mbona huu ni moto
Daah hii albamu mbona kama yote mawe sasa
Aliemteka Roma ndo alieteka mawingu😂😂😂
Daaah hii ngoma inafikilsha sana
huyo sister kwenye chorus KAMALIZA KABISAAAA
mwenzako anasali novena ya mktifu rita wa kashia😂😂🙌🙌
Ulbum naipataje
Happy 🔥🔥🔥
Nimekubali sana imesomaaa kaka
😢 sema nini hiyo Mungu angeniachia mimi nipambane
HONGERA KAKA IBRAH 🇧🇮
Dada anasauti nzuri san
🍄🍄 mkali wa hipapu
Chorus demu kaua kwa style yake
Appy mnoma wallah
Appy 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
home boy roma kama roma👏👏👏👏
Goma kali sanaaaaaaa🔥
Huyu binti ni msanii tena video vixin anatengeza pesa vizuri tengeza pesa mtunze mama na familiya kijijini.hakuna mbaya kama mkokwenye mahaba mnaendana wote vijana tena watafutaji.
Ngoma kali sana hii
Bro umetisha sana
Big UP Mr Roma❤️
Respect bro
I love this song ❤
Kwamba anafunga na kusali novena ya nami vile😂😂🙌🤏
mtakatifu Rita cashia