ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Wanaosema hii album ROMA katisha like zenu apa ❤
Mashabiki wa ROMA tukutane hapa ❤❤❤❤❤
Mtu mwenye ushawishi mkubwa wa mabadiriko kupitia mziki hujawahi tuangusha hakika kwa kipaji chako mungu akupe maisha marefu zaidi🙏🙏
ONE SIX 🙌🙌
TULIO IKUBALI CHORUS 🔥 🔥 🔥 like apa twende sawa
ROMA UKO KWENYEE DUA ZANGU MPAKA PUMZI YANGU YAMWISHOO.. MUNGU AZIDI KUKUPA UJASIRI💯
One six ninaemjua mimi sio huyu leo kaja mdogo wake ndio maana sijasikia ile mipando na mishuko ya sauti 🎉🎉😂😂
Mimi naona award zote zitakazo tolewa zipewe ROMA maana I can see there's no one we can campsites with him big Shar out bro
Award labda zitolewe na nchi jirani
Kabisa
He deserve
Ila ONE SIX kwa CHORUS 🙌🙌🔥🔥🔥
Kama unamkubali huyu mwamba ngonga like
Kazi ina anza sasa gonga likes apo tujuwane kama ww una mukubali roma vivo ❤❤❤❤❤
namkubali sana @Roma..from Kenya
Utakuwa msanii wa kwanza kuachia hits kila ngoma kwenye Albamu
Aki ya Mungu dah!!!
Truth 💯
Roma ukiwa na huyu mshkaji lazima iwe trend mnaenda mwambie bin laden ndio favorite wangu
Alishafariki 😢😢😢
Duh nani tena alofariki
huyo bin laden kaka
Unyama sana one six 254 all the way!!
Wapi wanaharakati like hapa
pw razma tumpe support mwanetu roma maana yeye na sisi rabda kifoo kitutenganishe😊😊
HII ALBUM🔥🔥🔥🔥Kila nyimbo ni balaaa......Let's Gooooooo budaah
Baada ya kukosea baba kwako narud naomba unipokee amin
huyu one six na roma wajengewe sanamu lao
One six kapagawa sana oyaaaa
@Stamina... Njo Hapa kwenye vesi mzee...❤❤❤❤Roma... Viva
One six never disappoint 💯Mungu baba tusamee
One six huna akili maanina😄😄 🔥🔥🔥
Ukiona one6 yupo ujue kunaunyama wakutosha
roma akitowag Ngoma uwa najiskia rahaa sana 😊😊😊 jamaa anajuwa tz nzima tu
ROMA KOMAA MWANANGU 🇧🇮 HARAKATI KWENDA MBELE ..
Dhaaah ..Nita Rudi kusema , acha nisikilize kwanza ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊
Roma music world wide 🌎 hit like Kama unakubali❤❤
One six never miss chorous
Ckiliza vzr kiitikio. One six his Badest guys!!!!!!
uuunatumia mda kumuelewa
From Nairobi Kenya. ROMA FOREVERRRRRRRR❤❤❤❤
Nipo Alrington Virginia apa USA 🇺🇸 👏👏👏 this is my favorite jam🎉🎉
Huarithia wako umeuweka open,,Safi sana, utapata mwisho mzur 🎉
"Uhalisia"
🔥🔥🔥🔥🌹hatari sana Roma huna baya
Mungu awabariki kwa kazi nzur 💚💚💚💚💚
Wanayanga utawajuatu kwa makipa yao😂😂😂😂😂💚💚💚💚💛💛💛💛
This duo never disappoints 🎉❤
One six😂😂 noma sana
Roma mtu na nusu huyu mwamba apewe mauwa yake 🌺
Umetisha roma wew nikaka wa mziki
Ila all in all NDIYO STORI ITAKAYOBAKIA.❤❤❤❤❤
Uyu jamaa anakupatiaga sana chorus zake❤
nami nimeachia nyimb yang mpy dulla baisa ft one six..tam ipo you tube
❤❤❤❤ utawala king 👑
Dangerous viva 🔥🔥🔥🔥🔥
One six umeua
Viva Roma chukua kaka maua yakoh 🥀🌹💐🌺🌷🙌🙌
Bonge ra gospel ira gospel raper ❤❤
One six ni 🔥 kwenye kiitikio
One six killer of choras
Chorus🔥🔥🔥 one six.
Mmmmh kaka hii umeua🔥🔥🔥💯💯💯 nipeni maua yangu
asee roma ww hatariiiiiii na nusuuuuuuuu
Hii inatakiaa kuwa no 1 on trendings
Romaa mkatoliki ni balaa
Duuh mbn sioni ngoma ambayo haichoshi kila ngoma ni fire mzee.... Harafu hongera umeamua kumrudia muumba wako😊
duu nimbaya 2 🇹🇿🗡️🎵🎵🎵🎵🎵🎵🎵💯💯💙💛💛💙💛🧡❤️💘💖💜🤎💙💚💛💛❤️💝💙💛🧡💛💙💙💜💙💚💛💛
Daaah mwanangu we hatali
Balaaaa na nusu yake mwana harakati
Roma umeamua sasa kuachia vitu nakukubal saan broo😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉😂
Ngoma ya 13 yamoto sana one six hajawahi kukuangusha pamoja na bin laden #ALBUM OF THE YEAR NIPENI MAUA YANGU
🎉🎉🎉king is back
You killed it Ninjaaa🥶🙌
Nili expect hii collaboration ❤🙌
Now this is Roma
Msanii alobaki kama kioo cha jamiii🙌
Roma mkato mmoja tu ❤👬🇨🇩🇨🇩
Mimi niko mutoto wa burundi naishii zambia kama unamukubali kama nilivomupenda nigonge like aone kama tunamukubali
From the beginning ✨️
NILI HASI KANISA NIKA HASI MSIKITI ET KWAKUWA MWANA MZIKI NIKO BUSY NATAFUTA HIT KUMBE NATAFUTA ZIKI NIEPUSHE KIKOMBE HIKI MAANA MKE NILI MSALITI WATOTO NIKAWALAWITI G.O.A.T
You killed it mkatoliki
No comment Just reading comments ❤❤❤
Hataree! Moto ajab
Nzurii chukua. Maua yako🎉🎉
Appreciate my brother roma
Roma Roma Roma brother daaaaaa Haya magoma tuliyamiss kinoma mzee nimepakuwa album nzima geto ni Roma Roma Roma
Appreciate you bro big up
Hii album tamu
Onesix 🔥
Daaah fantastic
Any Kenyan here tap my comment💥💥💥💥💥💥
naomba support yako ipo you tube dulla baisa ft one six ..tamu
Hii imeenda
Ngoma kali sana🔥🔥
Twende kazi mzee baba
Kweli nakubali sana 🎉🎉🎉
Duuuuh hi noma❤😂😂
Jamaa katissha humu
Kudadek Hii Chorus ni noma mamaeeee, One six ni mbadest
Hariiiiiii hongera ROM
Anaitwa Roma hakuna wa kumstopisha Roma wanangu wa Roma tujuane
Ujumbe umefika mwamba💪
Ckupingi ndungu
Mzee baba unajua
The best tanzanian hiphop artiste after prof jay❤
Shikamoo kaka RomaaMsalimie mjomba one six🤣🤣
Ila wasiopenda ukweli watakufunga basi
Ngoma kaliiii sana
Anaekubali hawa watu wawili wakikutana ni moto!tujuane hapa!
Really man🇲🇼🇹🇿 sana bro
1 6 NUMBER.
Twende kazi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Tulio irudia mara mbili tujuane hapa 👇🏻
Wanaosema hii album ROMA katisha like zenu apa ❤
Mashabiki wa ROMA tukutane hapa ❤❤❤❤❤
Mtu mwenye ushawishi mkubwa wa mabadiriko kupitia mziki hujawahi tuangusha hakika kwa kipaji chako mungu akupe maisha marefu zaidi🙏🙏
ONE SIX 🙌🙌
TULIO IKUBALI CHORUS 🔥 🔥 🔥 like apa twende sawa
ROMA UKO KWENYEE DUA ZANGU MPAKA PUMZI YANGU YAMWISHOO.. MUNGU AZIDI KUKUPA UJASIRI💯
One six ninaemjua mimi sio huyu leo kaja mdogo wake ndio maana sijasikia ile mipando na mishuko ya sauti 🎉🎉😂😂
Mimi naona award zote zitakazo tolewa zipewe ROMA maana I can see there's no one we can campsites with him big Shar out bro
Award labda zitolewe na nchi jirani
Kabisa
He deserve
Ila ONE SIX kwa CHORUS 🙌🙌🔥🔥🔥
Kama unamkubali huyu mwamba ngonga like
Kazi ina anza sasa gonga likes apo tujuwane kama ww una mukubali roma vivo ❤❤❤❤❤
namkubali sana @Roma..from Kenya
Utakuwa msanii wa kwanza kuachia hits kila ngoma kwenye Albamu
Aki ya Mungu dah!!!
Truth 💯
Roma ukiwa na huyu mshkaji lazima iwe trend mnaenda mwambie bin laden ndio favorite wangu
Alishafariki 😢😢😢
Duh nani tena alofariki
huyo bin laden kaka
Unyama sana one six 254 all the way!!
Wapi wanaharakati like hapa
pw razma tumpe support mwanetu roma maana yeye na sisi rabda kifoo kitutenganishe😊😊
HII ALBUM🔥🔥🔥🔥Kila nyimbo ni balaaa......Let's Gooooooo budaah
Baada ya kukosea baba kwako narud naomba unipokee amin
huyu one six na roma wajengewe sanamu lao
One six kapagawa sana oyaaaa
@Stamina... Njo Hapa kwenye vesi mzee...❤❤❤❤
Roma... Viva
One six never disappoint 💯
Mungu baba tusamee
One six huna akili maanina😄😄 🔥🔥🔥
Ukiona one6 yupo ujue kunaunyama wakutosha
roma akitowag Ngoma uwa najiskia rahaa sana 😊😊😊 jamaa anajuwa tz nzima tu
ROMA KOMAA MWANANGU 🇧🇮 HARAKATI KWENDA MBELE ..
Dhaaah ..
Nita Rudi kusema , acha nisikilize kwanza ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊
Roma music world wide 🌎 hit like Kama unakubali❤❤
One six never miss chorous
Ckiliza vzr kiitikio. One six his Badest guys!!!!!!
uuunatumia mda kumuelewa
From Nairobi Kenya. ROMA FOREVERRRRRRRR❤❤❤❤
Nipo Alrington Virginia apa USA 🇺🇸 👏👏👏 this is my favorite jam🎉🎉
Huarithia wako umeuweka open,,Safi sana, utapata mwisho mzur 🎉
"Uhalisia"
🔥🔥🔥🔥🌹hatari sana Roma huna baya
Mungu awabariki kwa kazi nzur 💚💚💚💚💚
Wanayanga utawajuatu kwa makipa yao😂😂😂😂😂💚💚💚💚💛💛💛💛
This duo never disappoints 🎉❤
One six😂😂 noma sana
Roma mtu na nusu huyu mwamba apewe mauwa yake 🌺
Umetisha roma wew nikaka wa mziki
Ila all in all NDIYO STORI ITAKAYOBAKIA.❤❤❤❤❤
Uyu jamaa anakupatiaga sana chorus zake❤
nami nimeachia nyimb yang mpy dulla baisa ft one six..tam ipo you tube
❤❤❤❤ utawala king 👑
Dangerous viva 🔥🔥🔥🔥🔥
One six umeua
Viva Roma chukua kaka maua yakoh 🥀🌹💐🌺🌷🙌🙌
Bonge ra gospel ira gospel raper ❤❤
One six ni 🔥 kwenye kiitikio
One six killer of choras
Chorus🔥🔥🔥 one six.
Mmmmh kaka hii umeua🔥🔥🔥💯💯💯 nipeni maua yangu
asee roma ww hatariiiiiii na nusuuuuuuuu
Hii inatakiaa kuwa no 1 on trendings
Romaa mkatoliki ni balaa
Duuh mbn sioni ngoma ambayo haichoshi kila ngoma ni fire mzee.... Harafu hongera umeamua kumrudia muumba wako😊
duu nimbaya 2 🇹🇿🗡️🎵🎵🎵🎵🎵🎵🎵💯💯💙💛💛💙💛🧡❤️💘💖💜🤎💙💚💛💛❤️💝💙💛🧡💛💙💙💜💙💚💛💛
Daaah mwanangu we hatali
Balaaaa na nusu yake mwana harakati
Roma umeamua sasa kuachia vitu nakukubal saan broo😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉😂
Ngoma ya 13 yamoto sana one six hajawahi kukuangusha pamoja na bin laden #ALBUM OF THE YEAR NIPENI MAUA YANGU
🎉🎉🎉king is back
You killed it Ninjaaa🥶🙌
Nili expect hii collaboration ❤🙌
Now this is Roma
Msanii alobaki kama kioo cha jamiii🙌
Roma mkato mmoja tu ❤👬🇨🇩🇨🇩
Mimi niko mutoto wa burundi naishii zambia kama unamukubali kama nilivomupenda nigonge like aone kama tunamukubali
From the beginning ✨️
NILI HASI KANISA NIKA HASI MSIKITI ET KWAKUWA MWANA MZIKI NIKO BUSY NATAFUTA HIT KUMBE NATAFUTA ZIKI NIEPUSHE KIKOMBE HIKI MAANA MKE NILI MSALITI WATOTO NIKAWALAWITI
G.O.A.T
You killed it mkatoliki
No comment
Just reading comments ❤❤❤
Hataree! Moto ajab
Nzurii chukua. Maua yako🎉🎉
Appreciate my brother roma
Roma Roma Roma brother daaaaaa Haya magoma tuliyamiss kinoma mzee nimepakuwa album nzima geto ni Roma Roma Roma
Appreciate you bro big up
Hii album tamu
Onesix 🔥
Daaah fantastic
Any Kenyan here tap my comment💥💥💥💥💥💥
naomba support yako ipo you tube dulla baisa ft one six ..tamu
Hii imeenda
Ngoma kali sana🔥🔥
Twende kazi mzee baba
Kweli nakubali sana 🎉🎉🎉
Duuuuh hi noma❤😂😂
Jamaa katissha humu
Kudadek Hii Chorus ni noma mamaeeee, One six ni mbadest
Hariiiiiii hongera ROM
Anaitwa Roma hakuna wa kumstopisha Roma wanangu wa Roma tujuane
Ujumbe umefika mwamba💪
Ckupingi ndungu
Mzee baba unajua
The best tanzanian hiphop artiste after prof jay❤
Shikamoo kaka Romaa
Msalimie mjomba one six🤣🤣
Ila wasiopenda ukweli watakufunga basi
Ngoma kaliiii sana
Anaekubali hawa watu wawili wakikutana ni moto!tujuane hapa!
Really man🇲🇼🇹🇿 sana bro
1 6 NUMBER.
Twende kazi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Tulio irudia mara mbili tujuane hapa
👇🏻