SAYANSI YA MUNGU UTAIKUFURU KISA NJAA, ILA HUWEZ CHAGUA AINA YA MZAZI ATAE KUZAA, JILAN KAZALIWA NA WAZIRI WEWE MAMAKO KICHAA BABA MLEVI ALAFU KOND WA DALDALA KIBAHA. LIKE NYINGI SANA KWA LINE HII
Roma mupendwa WANGU jana niriona picha yako yakifo yasamba mitandaoni wana habari waki urizana vip roma amekufa NIKAWA NAHOFU 😢😢😢KUMBE IRIKUWA CONTENT yahii ngoma big up Roma and more love❤❤❤❤❤
bigup kaka ngoma nikali kaka roma heshima sana ila abiud usimuache kaka muinue na yeye atoke ata kidg maan hiphop ninguma sana kwa underground kutoka muwek kwenye chati asaidie familia yeka na yeye ajiinue kaka maisha mema
Huu wimbo umenigusa Sana mimi niliezaliwa katika familiar ya kimasikini. Lakini Leo Mungu kanijaalia riziki nimekuwa mkombozi na WA familia kiuchumi
🙏🙏
🙏🙏
🙏🙏🙏🙏
Ina uma kweli 🎉
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
SAYANSI YA MUNGU UTAIKUFURU KISA NJAA, ILA HUWEZ CHAGUA AINA YA MZAZI ATAE KUZAA, JILAN KAZALIWA NA WAZIRI WEWE MAMAKO KICHAA BABA MLEVI ALAFU KOND WA DALDALA KIBAHA. LIKE NYINGI SANA KWA LINE HII
"huwezi chagua mzazi wa kukuzaa" nimependa hiyo nipen like sayansi ya Mungu🇹🇿🇹🇿
Kama umeguswa na hii kazi like nyingi team romaaa❤❤❤😢
❤❤❤❤❤
Album ina madini yote mpaka inakera .Wanangu wa VIVA ROMA Njooni kwa like mzigo ukae on TREND.ROMA fans From Zurich 🇨🇭
From Kenya I love this song.. nipeni likes za Roma kindly
Hakuna rapa anayemzidi Roma kwa hapa bongo 🎉🎉🎉🎉🎉
Huyu Mwana!!!jamani anafanya kazi nzuri sana..Tukianguka lazma turudishe mpira kwa kipa na tutaanza tena,ntasimama tena nina imani sana..🇰🇪🇰🇪🇹🇿
Wanaosikiliza hii nyimbo tena 2065,Huu Wimbo Ulibadili mtazamo wa vijana Wengi Sana Kupambana Kwa ajili ya ndoto zao na familia zao..
Wakwanza kutoka kenya ...Roma big up ...moto sana
Hii ngoma special kwa mahasira tuliotekea maisha Fulani ya kimasikini nyumbani hakuna hata kiti Cha kukalia
Kama wewe ni team rostam tumpeleke trending #1
Boy from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏🙏🙏
🎉🎉
Roma mupendwa WANGU jana niriona picha yako yakifo yasamba mitandaoni wana habari waki urizana vip roma amekufa NIKAWA NAHOFU 😢😢😢KUMBE IRIKUWA CONTENT yahii ngoma big up Roma and more love❤❤❤❤❤
from Burundi❤ Malawi heshima kwako roma
Sante kaka wimbo mzuri hujawai kosea endelea hadi wale vichwa ngumu watingushe vichwa japo watakua wamechelewa kukuelewa one love
Yaani huyu mwamba ndio soldier alobaki wa kuimba ukweli pekee. Much respect all the way from Mombasa Ke.
Kweli ila mpe sikio DIZASTA VINA NI🔥🔥🔥
Bado huyo dizasta na ndugu yake wa oh mahii
Twendeni nae mpaka mwisho..... Jamani hatari.... Kwa vizazi chipukizi.... Huyu jamaa funga kazo❤❤❤❤
Ni hatari sana bonge la ujumbe
bigup kaka ngoma nikali kaka roma
heshima sana ila abiud usimuache kaka muinue na yeye atoke ata kidg maan hiphop ninguma sana kwa underground kutoka muwek kwenye chati asaidie familia yeka na yeye ajiinue kaka maisha mema
Daaaaaah kumamake jmn jmn, hii ngoma daaaaaah, eeeeeh Allah niongoze jmn
Ningeshangaa Roma asimame na Abiud af waharibu 🔥🔥🔥🔥
mwanetu ROMA chukua maua yako na vikonyo, chukua matawi na miti ya maua na mizizi yake
🔥🔥🔥🔥🔥 Kama unaamini Roma Mkatoliki anajua like nyingi....
🎉🎉 tutasimama tena Kila mipango inajamba 🤝🤝🤸
Sawa mwanangu Roma minakupa mauwa yako chukua Aya apa💐🌹🥀🌺🌷🌸💮🏵️🌻🌼💪nisubilie kidogo naenda kuleta mengine
Kama hii ngoma imekugusa basi nipe japo like 🎉🎉🎉❤
Oya mwanangu Abiud yumo na anajua sana VIVA ROMA
Big up sana ROMA wewe siyo mwanamziki tu;! Hata katika maisha wewe ni mwalimu;!.ubalikiwe sana
Kijana anayeaso ludia ii goma mala 5 utamshklu roma kuludisha mpira kw kipa so ushamba
Yani mtaji wa maskini nguvu zake mwenyewe..
Tambua sanh mwambah #254...
Naona kama hii ndio Ngoma inayogusa wengi zaidi 🔥🔥🔥
Dadeq Roma wewe ndo msanii wangu pedwa for revar
jamani Roma.umenigusa sana kweli huwezi kuchagua mzazi atakae kuzaa goddess❤❤❤🙏🙏🙏🙏
Kweliih mwamba upewee maua yakooh ❤️❤️
Roma hajawai kosea hata kidg bc kama unakubaliana na mm gonga dondosha like apa
Kutoka Bujumbura Burundi, kaka hongela sana kabisa, nyimbo zako zinanijenga
mimi na roma mpka kifoo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Usimtegemee ndugu atakupa msalaa 🙌🏾🙌🏾 ...hii ni ukweli mtupu
Mwamba anachana msamba kwenye dili 😂😂😂😂😂 album ni nzuri mno Hats off bro
huyu jamaa ana best chorus kila siku achana na mashairi ambayo ni motoo
Roma Asante kwanyimbo nzuri sana ❤❤
Kama kuna rapa mi namkubali east africa basi huyu mwamba❤❤tumpeni maua yake🎉
Hili goma ni nomaaaaaaaaa Roma ni. Mkali kweli fire🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 nitasimama tena
Kaka mm nakupa mauwa yako 🎉🎉 upo nchi ya ugenini lakini bado unatowa hit song 🎵 bro mm 🙌🙌 alafu wewe ni ✍️mnzuri sana oneday i will meet you ❤
Kaka hii nyimbo imenifanya nilie namuomba mungu baba angu arudi home yanii km umesikia kilio Cha mama angu I like
kama una mkubali roma gonga likee hapa
Napenda the way Roma anaendelea kuwapa shavu Fresh Artist #NIPENIMAUAYANGUTHEALBUM❤🙌
JIWE TENA JIWE HASWAA...ISHI SANA HOME-BOY
Umaskin nitabu, nilishindwa kuendelea namasomo ya chuo kisa karo, lakin Mungu nimwema naona Mwanga japo kwambali,
Safi sana, nyimbo hizi ndo vijana wasikilize wachape kazi
Naiman kwel kaka ❤❤❤Ngoma imenigusa xan Yan Inanihusu
Mwamba unajua sana huwimbo hakika umenigusa sana pia unatufundisha kua na confidence grade ya taifa
Jaman huyu abiudy xio mtu mzuri kabxa maana yangu anajua xana
kaka ume tema fact yaaani duuu hiii mistar imekaaa vzur yaan 🙏🙏 nitasimama Tena na Imani kwa MUNGU
Umetisha sana broh
Roma wa kwanza nitasimama tena toka 🇨🇩🇨🇩 congo 🎉🎉
Baba Roma babaaaa nimepata nguvu ya kupambana balaaaa❤❤❤
Nipen like zangu kama umekubali hii ngoma ya mkatoliki
Tunaoamin tutasimama milele na milele hatutaanguka gonga like hapa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Abyun hajawahi fanya nyimbo mbovu nawewe💯💯💯
Hakuna artist kama wewe roma, u'r the perfect one ,,I love u bro and God bless u more.
Hii ngoma Kali yenye mafunzo makubwa Kwa watoto wa ghetto ❤❤❤
Rafiki zangu ujue tabia zangu😢😢😢😢 acha nibaki peke yangu
kama unaamini utasimama tena like nyingi
Kaka unajua mpaka unakera nakukubali sana miongoni mwa wasanii ninao wakubali ww namba moja kaka hongera sana
Wewe jamani unajua mbaka unakela mungu awe nawewe Mzee unaweza unatapika dar
Nice kaka ❤❤❤❤❤❤ kabisaaa
Roma MUNGU akutunze sana jamaa unatugusa wengi mno Abiud ana voko aisee ipo siku tutamuona mbali
Kama Maua Yangu Nishakupatia 🙌🙌🙌
Hii ngoma verse ya kwanza imewahusu wanawake verse ya pili imehusu wanaume 🔥
Tafuta chako haina furaha hiyo pesa ya manyanyaso# kazi Good
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮MKATO UMEUA SAANA...BEST OF BESTIES 🎉
Hii nyimbo inanigusa mahali kwakweli nampa💯💯💯
Rudisha MPIRA kwa kipaaa (Sio Dhambi)✅
Much respect brother Roma 🎶✍️👍💕♥️♥️✊💪
Mungi mi nakosea wapi,, 😭😭
Namkubar sana mwamba huyu 🔥
WAPO PANYA NA PAKA. PANYA NAO WALA KEKI YA TAIFA ,PAKA NAO WANAJIONA SIMBA WA TAIFA
Dah,Abiud mtu💪
Shukran jazeelan Kwa kumshika mkono
Nguvu Ndy mtaji wa akili! My NO 1 Tanzania artist nakubali sana ROMA! Naimani Unanafasi yako kwenye Taifa hili
Hii sasa ndio ngoma 🔥🔥🔥💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾🔥🔥🔥🔥🔥
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mziki akili🎉🎉
Kama una mkubar roma gonga like
Roma Kama ROMA MUNGU AKUPEMAISHA MAREFU KAKA
Wakwanza toka Congo 🇨🇩 ebu nipeni likes zangu ✌️
Roma na Abiud umetusanua sana tusikate tamaaa tuwe naimani kesho yetu ni Bora ngoma kali🙏
Sana kaka unetisha
In case you feel demotivated sikiliza hii mbupu,💪
Unyama mwingi Sanaa romaa💯💯💯🚀
💣💣💣💣💣💣💣boom odd 1000
Album romaaaaa MOTOOOO🔥🔥🔥
Daaaaah hii Ngoma nimeirudia mara 15 viva Roma hakika ni bonge la wimbo
Kichwa cha Tanzania kimeximama tena 2024🎉
👊👊👊nomah xana pongezi kwako👏👏👏👏👏
Roma siku zoteeeeee🎉❤
Daaha wewe bwege unajua bhana❤❤
Tunaakili kuliko wao ila wa nguvu zaidi yetu…… noted 🫡🫡🫡🫡
ngoma kali kama auna D mbili auwezi kuelewa mpumbavu ww
Viva roma mkatoliki 🎉🎉 hit song 🎵 bro +254 🇰🇪 tunakuwakilisha wanao .
Kakangu Roma unatisha huu mchezo kweli unaujua #ako wapi Khali graph Jones mkatoliki ashainuka
Unyamaaaa team KILWA BOY Roma take your flowers