ROMA - Nitasimama Tena Feat Abiud

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 มิ.ย. 2024
  • เพลง

ความคิดเห็น • 476

  • @edwinntabwa5451
    @edwinntabwa5451 29 วันที่ผ่านมา +217

    Huu wimbo umenigusa Sana mimi niliezaliwa katika familiar ya kimasikini. Lakini Leo Mungu kanijaalia riziki nimekuwa mkombozi na WA familia kiuchumi

  • @user-sv1ow8ti3g
    @user-sv1ow8ti3g 28 วันที่ผ่านมา +31

    SAYANSI YA MUNGU UTAIKUFURU KISA NJAA, ILA HUWEZ CHAGUA AINA YA MZAZI ATAE KUZAA, JILAN KAZALIWA NA WAZIRI WEWE MAMAKO KICHAA BABA MLEVI ALAFU KOND WA DALDALA KIBAHA. LIKE NYINGI SANA KWA LINE HII

  • @davidmwandalima2389
    @davidmwandalima2389 29 วันที่ผ่านมา +59

    "huwezi chagua mzazi wa kukuzaa" nimependa hiyo nipen like sayansi ya Mungu🇹🇿🇹🇿

  • @Manjalino
    @Manjalino 29 วันที่ผ่านมา +128

    Kama umeguswa na hii kazi like nyingi team romaaa❤❤❤😢

  • @chumkhamis8924
    @chumkhamis8924 29 วันที่ผ่านมา +87

    Album ina madini yote mpaka inakera .Wanangu wa VIVA ROMA Njooni kwa like mzigo ukae on TREND.ROMA fans From Zurich 🇨🇭

  • @RissMoh
    @RissMoh 29 วันที่ผ่านมา +46

    From Kenya I love this song.. nipeni likes za Roma kindly

  • @dallasmusic6465
    @dallasmusic6465 28 วันที่ผ่านมา +18

    Hakuna rapa anayemzidi Roma kwa hapa bongo 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Danny254
    @Danny254 29 วันที่ผ่านมา +27

    Huyu Mwana!!!jamani anafanya kazi nzuri sana..Tukianguka lazma turudishe mpira kwa kipa na tutaanza tena,ntasimama tena nina imani sana..🇰🇪🇰🇪🇹🇿

  • @ferdinandlazaro15
    @ferdinandlazaro15 29 วันที่ผ่านมา +20

    Wanaosikiliza hii nyimbo tena 2065,Huu Wimbo Ulibadili mtazamo wa vijana Wengi Sana Kupambana Kwa ajili ya ndoto zao na familia zao..

  • @user-ou6ek9ri6l
    @user-ou6ek9ri6l 29 วันที่ผ่านมา +14

    Wakwanza kutoka kenya ...Roma big up ...moto sana

  • @user-jt3yw1gz2j
    @user-jt3yw1gz2j 28 วันที่ผ่านมา +5

    Hii ngoma special kwa mahasira tuliotekea maisha Fulani ya kimasikini nyumbani hakuna hata kiti Cha kukalia

  • @mboscinho
    @mboscinho 28 วันที่ผ่านมา +16

    Kama wewe ni team rostam tumpeleke trending #1
    Boy from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏🙏🙏

    • @abduladinane
      @abduladinane 27 วันที่ผ่านมา +1

      🎉🎉

  • @besteva499
    @besteva499 28 วันที่ผ่านมา +9

    Roma mupendwa WANGU jana niriona picha yako yakifo yasamba mitandaoni wana habari waki urizana vip roma amekufa NIKAWA NAHOFU 😢😢😢KUMBE IRIKUWA CONTENT yahii ngoma big up Roma and more love❤❤❤❤❤

  • @frankub8107
    @frankub8107 25 วันที่ผ่านมา +6

    from Burundi❤ Malawi heshima kwako roma

  • @eliahswai1607
    @eliahswai1607 25 วันที่ผ่านมา +9

    Sante kaka wimbo mzuri hujawai kosea endelea hadi wale vichwa ngumu watingushe vichwa japo watakua wamechelewa kukuelewa one love

  • @carl-donald
    @carl-donald 26 วันที่ผ่านมา +8

    Yaani huyu mwamba ndio soldier alobaki wa kuimba ukweli pekee. Much respect all the way from Mombasa Ke.

    • @DismasPhidason-vu6bt
      @DismasPhidason-vu6bt 25 วันที่ผ่านมา +1

      Kweli ila mpe sikio DIZASTA VINA NI🔥🔥🔥

    • @serengetimediacentre
      @serengetimediacentre 25 วันที่ผ่านมา

      Bado huyo dizasta na ndugu yake wa oh mahii

  • @herrynkinda6589
    @herrynkinda6589 26 วันที่ผ่านมา +8

    Twendeni nae mpaka mwisho..... Jamani hatari.... Kwa vizazi chipukizi.... Huyu jamaa funga kazo❤❤❤❤

    • @user-vr1ly3rw4h
      @user-vr1ly3rw4h 26 วันที่ผ่านมา

      Ni hatari sana bonge la ujumbe

  • @mathiasfrancis8047
    @mathiasfrancis8047 29 วันที่ผ่านมา +12

    bigup kaka ngoma nikali kaka roma
    heshima sana ila abiud usimuache kaka muinue na yeye atoke ata kidg maan hiphop ninguma sana kwa underground kutoka muwek kwenye chati asaidie familia yeka na yeye ajiinue kaka maisha mema

  • @sharifuahmed8340
    @sharifuahmed8340 29 วันที่ผ่านมา +11

    Daaaaaah kumamake jmn jmn, hii ngoma daaaaaah, eeeeeh Allah niongoze jmn

  • @AngelstarBen-nv8bp
    @AngelstarBen-nv8bp 29 วันที่ผ่านมา +10

    Ningeshangaa Roma asimame na Abiud af waharibu 🔥🔥🔥🔥

  • @VenanceGilbert
    @VenanceGilbert 23 วันที่ผ่านมา +2

    mwanetu ROMA chukua maua yako na vikonyo, chukua matawi na miti ya maua na mizizi yake

  • @Manoni693
    @Manoni693 29 วันที่ผ่านมา +79

    🔥🔥🔥🔥🔥 Kama unaamini Roma Mkatoliki anajua like nyingi....

  • @WiliamuNjimbwi-yr4xu
    @WiliamuNjimbwi-yr4xu 28 วันที่ผ่านมา +4

    🎉🎉 tutasimama tena Kila mipango inajamba 🤝🤝🤸

  • @EliasLukas-xc1bo
    @EliasLukas-xc1bo 25 วันที่ผ่านมา +5

    Sawa mwanangu Roma minakupa mauwa yako chukua Aya apa💐🌹🥀🌺🌷🌸💮🏵️🌻🌼💪nisubilie kidogo naenda kuleta mengine

  • @penueldjuma2845
    @penueldjuma2845 29 วันที่ผ่านมา +33

    Kama hii ngoma imekugusa basi nipe japo like 🎉🎉🎉❤

  • @saidbakari2408
    @saidbakari2408 29 วันที่ผ่านมา +9

    Oya mwanangu Abiud yumo na anajua sana VIVA ROMA

  • @johnmalale3860
    @johnmalale3860 23 วันที่ผ่านมา +2

    Big up sana ROMA wewe siyo mwanamziki tu;! Hata katika maisha wewe ni mwalimu;!.ubalikiwe sana

  • @mwamposaa65
    @mwamposaa65 29 วันที่ผ่านมา +22

    Kijana anayeaso ludia ii goma mala 5 utamshklu roma kuludisha mpira kw kipa so ushamba

  • @kiawambui606
    @kiawambui606 25 วันที่ผ่านมา +6

    Yani mtaji wa maskini nguvu zake mwenyewe..
    Tambua sanh mwambah #254...

  • @fra_nyuki
    @fra_nyuki 27 วันที่ผ่านมา +4

    Naona kama hii ndio Ngoma inayogusa wengi zaidi 🔥🔥🔥

  • @OmmyMtaita
    @OmmyMtaita 27 วันที่ผ่านมา +2

    Dadeq Roma wewe ndo msanii wangu pedwa for revar

  • @JamesRichard-jk4he
    @JamesRichard-jk4he 21 วันที่ผ่านมา +2

    jamani Roma.umenigusa sana kweli huwezi kuchagua mzazi atakae kuzaa goddess❤❤❤🙏🙏🙏🙏

  • @johnjohnjoseph9728
    @johnjohnjoseph9728 29 วันที่ผ่านมา +9

    Kweliih mwamba upewee maua yakooh ❤️❤️

  • @piasonNicholas-us1wh
    @piasonNicholas-us1wh 28 วันที่ผ่านมา +10

    Roma hajawai kosea hata kidg bc kama unakubaliana na mm gonga dondosha like apa

  • @inkurushow2827
    @inkurushow2827 25 วันที่ผ่านมา +6

    Kutoka Bujumbura Burundi, kaka hongela sana kabisa, nyimbo zako zinanijenga

  • @benzoboytz
    @benzoboytz 28 วันที่ผ่านมา +2

    mimi na roma mpka kifoo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @animationtz5
    @animationtz5 29 วันที่ผ่านมา +2

    Usimtegemee ndugu atakupa msalaa 🙌🏾🙌🏾 ...hii ni ukweli mtupu

  • @johanesmachela
    @johanesmachela 29 วันที่ผ่านมา +12

    Mwamba anachana msamba kwenye dili 😂😂😂😂😂 album ni nzuri mno Hats off bro

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 29 วันที่ผ่านมา +6

    huyu jamaa ana best chorus kila siku achana na mashairi ambayo ni motoo

  • @neemavitalis9098
    @neemavitalis9098 29 วันที่ผ่านมา +6

    Roma Asante kwanyimbo nzuri sana ❤❤

  • @Tigerprocessworldwide
    @Tigerprocessworldwide 21 วันที่ผ่านมา +2

    Kama kuna rapa mi namkubali east africa basi huyu mwamba❤❤tumpeni maua yake🎉

  • @MisheckRanda
    @MisheckRanda 28 วันที่ผ่านมา +1

    Hili goma ni nomaaaaaaaaa Roma ni. Mkali kweli fire🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 nitasimama tena

  • @businessaccount1904
    @businessaccount1904 18 วันที่ผ่านมา +1

    Kaka mm nakupa mauwa yako 🎉🎉 upo nchi ya ugenini lakini bado unatowa hit song 🎵 bro mm 🙌🙌 alafu wewe ni ✍️mnzuri sana oneday i will meet you ❤

  • @FadhilaMuddy
    @FadhilaMuddy 28 วันที่ผ่านมา +2

    Kaka hii nyimbo imenifanya nilie namuomba mungu baba angu arudi home yanii km umesikia kilio Cha mama angu I like

  • @MICHAELEDWIN-fh5nq
    @MICHAELEDWIN-fh5nq 29 วันที่ผ่านมา +65

    kama una mkubali roma gonga likee hapa

  • @ricchjamez
    @ricchjamez 29 วันที่ผ่านมา +5

    Napenda the way Roma anaendelea kuwapa shavu Fresh Artist #NIPENIMAUAYANGUTHEALBUM❤🙌

  • @mosesmhina9980
    @mosesmhina9980 26 วันที่ผ่านมา +2

    JIWE TENA JIWE HASWAA...ISHI SANA HOME-BOY

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu 22 วันที่ผ่านมา +1

    Umaskin nitabu, nilishindwa kuendelea namasomo ya chuo kisa karo, lakin Mungu nimwema naona Mwanga japo kwambali,

  • @arnoldrwekaza2265
    @arnoldrwekaza2265 28 วันที่ผ่านมา +4

    Safi sana, nyimbo hizi ndo vijana wasikilize wachape kazi

  • @AshaBonifasi
    @AshaBonifasi 24 วันที่ผ่านมา +4

    Naiman kwel kaka ❤❤❤Ngoma imenigusa xan Yan Inanihusu

  • @AugustineokochaKifrebe-yd7cw
    @AugustineokochaKifrebe-yd7cw 28 วันที่ผ่านมา +2

    Mwamba unajua sana huwimbo hakika umenigusa sana pia unatufundisha kua na confidence grade ya taifa

  • @DeeDan-sj1mr
    @DeeDan-sj1mr 28 วันที่ผ่านมา +4

    Jaman huyu abiudy xio mtu mzuri kabxa maana yangu anajua xana

  • @PETERNSIKALI
    @PETERNSIKALI 2 วันที่ผ่านมา

    kaka ume tema fact yaaani duuu hiii mistar imekaaa vzur yaan 🙏🙏 nitasimama Tena na Imani kwa MUNGU

  • @abubakarsaid8509
    @abubakarsaid8509 28 วันที่ผ่านมา +3

    Umetisha sana broh

  • @PeterDanson-ps9iq
    @PeterDanson-ps9iq 29 วันที่ผ่านมา +4

    Roma wa kwanza nitasimama tena toka 🇨🇩🇨🇩 congo 🎉🎉

  • @emmanuelayall5029
    @emmanuelayall5029 27 วันที่ผ่านมา +1

    Baba Roma babaaaa nimepata nguvu ya kupambana balaaaa❤❤❤

  • @natashasaidy.
    @natashasaidy. 29 วันที่ผ่านมา +11

    Nipen like zangu kama umekubali hii ngoma ya mkatoliki

  • @johnsilima1629
    @johnsilima1629 29 วันที่ผ่านมา +38

    Tunaoamin tutasimama milele na milele hatutaanguka gonga like hapa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @norregaraper5383
    @norregaraper5383 28 วันที่ผ่านมา +3

    Abyun hajawahi fanya nyimbo mbovu nawewe💯💯💯

  • @musanyami285
    @musanyami285 28 วันที่ผ่านมา +1

    Hakuna artist kama wewe roma, u'r the perfect one ,,I love u bro and God bless u more.

  • @wingstarmsanii9862
    @wingstarmsanii9862 29 วันที่ผ่านมา +4

    Hii ngoma Kali yenye mafunzo makubwa Kwa watoto wa ghetto ❤❤❤

  • @Justinndalama01
    @Justinndalama01 24 วันที่ผ่านมา +2

    Rafiki zangu ujue tabia zangu😢😢😢😢 acha nibaki peke yangu

  • @mwc293
    @mwc293 29 วันที่ผ่านมา +21

    kama unaamini utasimama tena like nyingi

  • @Issamkwizu-bh3io
    @Issamkwizu-bh3io 27 วันที่ผ่านมา +3

    Kaka unajua mpaka unakera nakukubali sana miongoni mwa wasanii ninao wakubali ww namba moja kaka hongera sana

  • @FurahaNgomango-zr3bz
    @FurahaNgomango-zr3bz 27 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe jamani unajua mbaka unakela mungu awe nawewe Mzee unaweza unatapika dar

  • @ELIAMICHAEL46
    @ELIAMICHAEL46 27 วันที่ผ่านมา +2

    Nice kaka ❤❤❤❤❤❤ kabisaaa

  • @MashakaShobo-cs5wj
    @MashakaShobo-cs5wj 22 วันที่ผ่านมา +1

    Roma MUNGU akutunze sana jamaa unatugusa wengi mno Abiud ana voko aisee ipo siku tutamuona mbali

  • @ConsciousBNB
    @ConsciousBNB 29 วันที่ผ่านมา +4

    Kama Maua Yangu Nishakupatia 🙌🙌🙌

  • @DazlayanLukas
    @DazlayanLukas 27 วันที่ผ่านมา +1

    Hii ngoma verse ya kwanza imewahusu wanawake verse ya pili imehusu wanaume 🔥

  • @HusseinMbaya
    @HusseinMbaya 28 วันที่ผ่านมา +1

    Tafuta chako haina furaha hiyo pesa ya manyanyaso# kazi Good

  • @dinotv1099
    @dinotv1099 29 วันที่ผ่านมา +4

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮MKATO UMEUA SAANA...BEST OF BESTIES 🎉

  • @garamasaid6631
    @garamasaid6631 27 วันที่ผ่านมา +1

    Hii nyimbo inanigusa mahali kwakweli nampa💯💯💯

  • @feaklasty
    @feaklasty 28 วันที่ผ่านมา +1

    Rudisha MPIRA kwa kipaaa (Sio Dhambi)✅

  • @user-bp1jc7dt1x
    @user-bp1jc7dt1x 28 วันที่ผ่านมา +1

    Much respect brother Roma 🎶✍️👍💕♥️♥️✊💪

  • @hclever7731
    @hclever7731 27 วันที่ผ่านมา +1

    Mungi mi nakosea wapi,, 😭😭

  • @DionisKisinga
    @DionisKisinga 24 วันที่ผ่านมา +1

    Namkubar sana mwamba huyu 🔥

  • @chizcom4229
    @chizcom4229 29 วันที่ผ่านมา +5

    WAPO PANYA NA PAKA. PANYA NAO WALA KEKI YA TAIFA ,PAKA NAO WANAJIONA SIMBA WA TAIFA

  • @jay_mtamaduni6632
    @jay_mtamaduni6632 24 วันที่ผ่านมา

    Dah,Abiud mtu💪
    Shukran jazeelan Kwa kumshika mkono

  • @Delightson48
    @Delightson48 28 วันที่ผ่านมา +1

    Nguvu Ndy mtaji wa akili! My NO 1 Tanzania artist nakubali sana ROMA! Naimani Unanafasi yako kwenye Taifa hili

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 29 วันที่ผ่านมา +4

    Hii sasa ndio ngoma 🔥🔥🔥💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾🔥🔥🔥🔥🔥
    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 28 วันที่ผ่านมา +2

    Mziki akili🎉🎉

  • @waidarajabu6977
    @waidarajabu6977 29 วันที่ผ่านมา +12

    Kama una mkubar roma gonga like

  • @YAHYABRAND-cm2qn
    @YAHYABRAND-cm2qn 28 วันที่ผ่านมา +1

    Roma Kama ROMA MUNGU AKUPEMAISHA MAREFU KAKA

  • @RadjaboyKubita
    @RadjaboyKubita 29 วันที่ผ่านมา +44

    Wakwanza toka Congo 🇨🇩 ebu nipeni likes zangu ✌️

  • @hashkhantantrasiraji118
    @hashkhantantrasiraji118 24 วันที่ผ่านมา

    Roma na Abiud umetusanua sana tusikate tamaaa tuwe naimani kesho yetu ni Bora ngoma kali🙏

  • @Daud0000
    @Daud0000 26 วันที่ผ่านมา +4

    Sana kaka unetisha

  • @robyxoxo7342
    @robyxoxo7342 28 วันที่ผ่านมา +2

    In case you feel demotivated sikiliza hii mbupu,💪

  • @laxmajor
    @laxmajor 29 วันที่ผ่านมา +3

    Unyama mwingi Sanaa romaa💯💯💯🚀

  • @jumahumphrey3656
    @jumahumphrey3656 29 วันที่ผ่านมา +5

    💣💣💣💣💣💣💣boom odd 1000

  • @DAKTARI_PESAZOSI_TV
    @DAKTARI_PESAZOSI_TV 29 วันที่ผ่านมา +3

    Album romaaaaa MOTOOOO🔥🔥🔥

  • @elishatitus945
    @elishatitus945 29 วันที่ผ่านมา +1

    Daaaaah hii Ngoma nimeirudia mara 15 viva Roma hakika ni bonge la wimbo

  • @FelixMatiabo-cn9qm
    @FelixMatiabo-cn9qm 29 วันที่ผ่านมา +13

    Kichwa cha Tanzania kimeximama tena 2024🎉

  • @peterjoseph-mkoma
    @peterjoseph-mkoma 29 วันที่ผ่านมา +1

    👊👊👊nomah xana pongezi kwako👏👏👏👏👏

  • @TheOnlyKing798
    @TheOnlyKing798 29 วันที่ผ่านมา +2

    Roma siku zoteeeeee🎉❤

  • @prospermango6526
    @prospermango6526 29 วันที่ผ่านมา +1

    Daaha wewe bwege unajua bhana❤❤

  • @smarshtv423
    @smarshtv423 28 วันที่ผ่านมา +1

    Tunaakili kuliko wao ila wa nguvu zaidi yetu…… noted 🫡🫡🫡🫡

  • @hajimandisatz
    @hajimandisatz 29 วันที่ผ่านมา +3

    ngoma kali kama auna D mbili auwezi kuelewa mpumbavu ww

  • @katanakazungu3993
    @katanakazungu3993 28 วันที่ผ่านมา +1

    Viva roma mkatoliki 🎉🎉 hit song 🎵 bro +254 🇰🇪 tunakuwakilisha wanao .

  • @AbdulHakim-bt1wg
    @AbdulHakim-bt1wg 28 วันที่ผ่านมา +1

    Kakangu Roma unatisha huu mchezo kweli unaujua #ako wapi Khali graph Jones mkatoliki ashainuka

  • @officialhuntershery9085
    @officialhuntershery9085 28 วันที่ผ่านมา +1

    Unyamaaaa team KILWA BOY Roma take your flowers