Marko 5:9 inasema akamuuliza jina lako nani akajibu jina langu ni legion kwakuwa tu wengi point Yako ni ipi kwenye hii Aya? Hapa Yesu anamuuliza yule aliepagawa namapepo nae anajibu shida nn hapa sema tukusaidie
Ungeanzia Moja ndio ungepata majibu wanao ongelewa hapo ni wakina nani yeremia50:1 Neno hili alilolisema Bwana ktka habari zababeri naktk habari za wakaldayo kwakinywa chayeremia nabii. Hao ndio wanaongelewa hapo nayeremia baada yamungu kusema nae juu ya watu hao ukisoma 8:50 inasema wakimbia kutoka baber pamoja na nchi yawakalidayo coz kulikua nadhambi zinafanyika kwakipindi hicho namungu akachukizwa nadhambi hizo ndio Mungu akaongea na nabii yeremia habari za hizo nchi coz watu wake wamepotea kwahayo wayafanyayo
Daaaaaa kweli Nimecheka sana sana Daaaaaa Wasilamu Mko vizuri sana kwa Kitabu chao ja Majini na Vituko vyao kiko Vizuri sana daaaaa Waisilamu wako Vizuri sana Wacheni na Majini yao
Sasa wewe unajengea hoja kitabu cha juzi,, yaani qruan wakati vitabu vya mwanzo havisemi hivyo,, kwahio jini jhajaumbwa bali ni maraika waasi,, huo ndio ukweli wa torati, zabri na injili
Hakuna majini ya kikristo kwa kuwa hakuna dini hiyo hata yesu haitambu,Mungu anasema "sikuwaumba majini na wanadamu isipokuwa waniabudu" hivyo wapo watu wabaya na wazuri hivyohivyo na majini
Makundi ni zaid ya moja yaani mawili na kuendelea na ukiangalia kwenye Qurani kuna makundi mawili tu ya yale yalio amini yakasirimu ( mnayaita mema au mazuri na ni maislam haya) na kundi lingine ni yale makafiri ambayo siyo maislam ( mnayaita mabaya) sasa njoo utuambie wew kundi la tatu ni lipi uje na reference yake
Wapi aya inayosema KWAMBA majini ni malaika walioasi ?? Sasa aya uliyosema haisomeki kuwa majini asili YAKE ni malaika.sasa yesu kaja majini yameondoka?
NYAKATI 2 18:18-24 MUNGU ALIPOKUWA NA JESHI LAKE AKAULIZA NI MTUME NANI AKATOKA PEPO (JINI) AKASEMA NITUME MM NITAKWENDA KUWA JINI WA UONGO VINYWANI MWA MANABII WA AHABU.PITIA NYAKATI FAFANUA .
Kumbe na wakristo wanayo majini na nirafiki yao ulikuwa una kataa nn sasa kama hakuna majini ya kikristo nilidhani nyinyi hamna majini bwana yeyote anaye jitenga na amri za mungu lazima ashikwe na majini wabaya namajini wabaya wapo na wazuri wapo kamavile binadam wabaya wapo na wazuri wapo.na ndomana biblia inawataja wabaya kwann isitaje majini tu,na na malaika hawamuasi mungu
Hayo maelezo na hicho kitabu kwamba hakuna mtu aliepnda jini akasema yeye ni papa,..,..nk. kama utarejea huko nyuma amesema majini wanapenda kujinasibisha na majina mazuri, ujue basi hayo ya uikristo nk ni mabaya ndio maana majini hawajinasibishi nayo.
Wacha kusema Dr Sule kabanwa vibaya. kitabu hicho ni feki cha bible kimendikwa Rome,kapitia lugha ya kigiriki na kilatini kwa biashara zao na kufanya mengi katika mataifa ya Europe na kwa kukitumia katika biashara za utumwa missionari
KWA HIYO HAO MALAIKA WAOVU WALIUMBWA ILI WAWE WAOVU SIKU ZOTE? Je, kabla ya kukengeuka, walikuwa wema? Na kama walikuwa wema, hivi inawezekanaje wote wakengeuke Maadili mema?
Halafu mm nashindwa kabisa vipi wasaidiwe hawa watu biblia inasema yesu katumwa kwa wana wa israel vp mungu awapendelee wana wa israel na chaajabu walio pendelewa kupewa huyo yesu hawaitambui biblia wao wako na taurat aisee
Danel una maneno mengi nauongo mtupu. Bibilia haijaelezea suala la majini, hayo maelezo ni yako si ya bibilia, khabari huo ufunuo 12:7. ni ndoto si uhalisia. na hiyo unyozungumza wewe si tafasiri ya ndoto hiyo. wewe umeichukua kavukavu. Kwa mujibu wa quran majini ni viumbe tofauti na malaika. na Quran suratl jinn imethibitisha kuwa kuna majini wema na waovu. aya za suratl an'aam haionyehi kuwa majini wote ni waovu. Danel huijui Quran wala Bibilia acha uongo.
Hamna kitu, apo pumba tupu, cc waislam wenyewe tupo apa, unatusingixia mchana kweupe, Mnafiki wewe mzee, cc tunavaa nguo za ndani na za nje pia, ili mrad ziwe tohara, kama c tohara hata iwe kanzu huwez kuswalia, acha kusema uongo, Tubu kwa Allah.
Wewe lamda nimfuasi wa shetani eti waisilam hawruhusiwi kuvaa nguo za ndani wakienda msikitini kwanini unazusha unafiki kama huu wewe nibure kabisa hujui lolote kwenda
Hio Bibilia yako ni yakizushi sana majini hawakumuita yesu mwana wa mungu ndugu zangu hebu kasomeni wenyenyewe Luka 4:34 [34]akisema, Acha! Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Nakujua u nani, Mtakatifu wa Mungu.'' '' '' '' '' '' 'Kwahalihii kila mkristo atakuwa na bibilia yake
Mchungaji rudi darasan elim ime kukataa majini sio malaika malaika awa muasi mungu majini nimajini na malaika ni malaika majini wameumbwa kwa Moto na malaika wameumbwa kwa nuru umeona tofauti apo kasome tena ndugu yetu
Kwanini wakristo elimu ya dunia mnafuzu vizuri sana lakini ya kidoni nyinyi ni bongo lala? Majinni ni viumbe kama sisi, yaani theres the human kind and the jinn kind.
Nyinyi makafili wakiislam na mubakaji wenu muhamad ni vipi kila kitu munapinga wakati nyinyi ni mamuma na hakuna munachokijua zaidi ya ushirikina?😛😛😛😛😛😛
Kama majini ni Malaika basi wapo Majini wema nikimaanisha Malaika wanaotii amri za M/mungu kwa hiyo wapo majini wazuri.na majini waovu ni Malaika waliomuasi M/mungu.lakini majini hawana dini yeyote na wanazungumza kiarabu au kusalimia kiarabu sababu wana asili ya kiarabu kwani ndio lugha ya zamani zaidi.
@malikBakar-ni2gh majini walikua malaika kabla ya kuasi, walipoasi hawakua wema tena ndio maana walitupwa duniani. Hakuna malaika alietupwa duniani baada ya kuasi alikua mwema, majini wote ni wabaya tu, uislamu ni ushirikina ndio maana wanafosi majini yaonekane mazuri
Wewe sii mwalimu bali ni fundi wa waongo duniani ila wajinga wasio soma watakuamini na hizo propaganda zako pili hakuna waislamu wanaoingia mskitini uchi kwani ni haramu kwa mwanamume na mwanamke kukaa uchi.Uta wadanganya wakrito wenzio kwa kutumia kitabu cha biblia kilichoandikwa na watu na hadithi thaifu za kuokota lakini sii waislam wenye elim zao.
🤣🤣🤣🤣🤣Uyu mwalimu wenu nae bwabwa kweli unatafta weak point ili kudhoofish usilam nan ka kwambia Sulle na Elimu zake za uganga anazo zitoa ni mwislam nan kakwambia waislam wana iman za kishirkina kama alizonazo sulle, yule ni mwana mpotevu tu alie hadawa na dunia hawakilishi mwislam yyte ss waislam tunamtambua kama mpiga ramli ss na ww unatoka uko mabonde kwinama unataka utumie ako kachance kudhalilsh uislam na kuwapoteza watu, Uislam ndo dini pekee ya kukupeleka mbinguni sheikh au paradiso so take a brake tuliza povu🤣🤣🙌
Mwalimu D uko Vizuri sana Asante sana Mkuuu be blessed sana Baba wa Mbinguni akujaze Mema yake
Yesu Kristu ndiyo uzima wa milele..
Soma na Marko 5:9
Marko 5:9 inasema akamuuliza jina lako nani akajibu jina langu ni legion kwakuwa tu wengi point Yako ni ipi kwenye hii Aya? Hapa Yesu anamuuliza yule aliepagawa namapepo nae anajibu shida nn hapa sema tukusaidie
@@HamisAbdallah-cj2sc soma marko 5 :8 - 10 utapata majibu yako ya swali lako. Acha kusoma vitu nusu nusu utoelewa kijana
Amina kaka mtumishi wa Mungu Ubarikiwe Hawa waislamu Wana potosha na kumchafua Mungu
Huyu ndio mwalimu Daniel mwankemwa ninayemfahamu ....ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Huyu ni muongo hakukuwa na jini malaika jini ameumbwa kw moto na malaika ameumbwa kw Nuru
Wewe usitake kila mtu aamin unachoamin wewe ametoa Aya kwenye biblia sio Quran wewe Amin ulichoaminishwa kwenye Quran yako
50:6yeremia,56:10isaya mpuuzi ww kasome
Ungeanzia Moja ndio ungepata majibu wanao ongelewa hapo ni wakina nani yeremia50:1 Neno hili alilolisema Bwana ktka habari zababeri naktk habari za wakaldayo kwakinywa chayeremia nabii. Hao ndio wanaongelewa hapo nayeremia baada yamungu kusema nae juu ya watu hao ukisoma 8:50 inasema wakimbia kutoka baber pamoja na nchi yawakalidayo coz kulikua nadhambi zinafanyika kwakipindi hicho namungu akachukizwa nadhambi hizo ndio Mungu akaongea na nabii yeremia habari za hizo nchi coz watu wake wamepotea kwahayo wayafanyayo
Hallelujah ubarikiwe Sana mtumishi Daniel mwankemwa nakusikia Raha kuwa mkristo.
This gentleman (Mwalimu Daniel?) is so clever and coherent. God bless
I love your teaching may God bless you
Aleluya nimejifunza
Mwalim Daniel mwamkemba uko vzr kwamafundisho
Yesu ni Alfa na homega yeye ni muanzo na wa muisho
Munguakubariki mtumishi mana awonduguzetu shetanianawatumia kpoteza ndugu zetu.
Daaaaaa kweli Nimecheka sana sana Daaaaaa Wasilamu Mko vizuri sana kwa Kitabu chao ja Majini na Vituko vyao kiko Vizuri sana daaaaa Waisilamu wako Vizuri sana Wacheni na Majini yao
Mimi naona anataka kuongelelea roho mtakatifu mungu amufunulie kupitia nguvu zake
Hallelujah utukufu Kwa BWANA YESU
In Christianity majini are follen Engles. Malaika walioaasi.
Hongera Daniel sana
Swala za Majini , Sharif Majini yuko kimya anajuwa yeye ndio mwenyekiti wa majini
Ww ni mshenzi uliona nani mwisilam avai nguo ya ndan wakati wa swala😢😢😢 acha kupotosha watu
Si mnapulizwa na shetani matakoni mnaposujudu msikitini?
Kuswali na majin mbona hamuongei
@@FrankBella-qe4tj na nyinyi ndoa za jinsia moja mbona husemi kama baba yenu kasena mzibariki
Kwan uongo mnasali bila chupi hata demu wangu mislam aliniambia hua haendi na chupi akienda kuswaali
Mshenzi niww
Uko vizuri sana mwalimu
Facts tupu
Sheikh huna ilmu,jini alkua kiumbe wakwanza duniani ,walipopigana na kuharibu ulimwengu wakagharkishwa,kikabaki kitoto kimoja malaika wakakichkua waenda muomba mungu akisamehe wakilee.....mwishowe kilipoasi na kukataa kumsujudia adam,akafukuzwa akaja ardhini kuzaana.hawa ndio majini.
Uuuongooo
Sasa wewe unajengea hoja kitabu cha juzi,, yaani qruan wakati vitabu vya mwanzo havisemi hivyo,, kwahio jini jhajaumbwa bali ni maraika waasi,, huo ndio ukweli wa torati, zabri na injili
Hakuna majini ya kikristo kwa kuwa hakuna dini hiyo hata yesu haitambu,Mungu anasema "sikuwaumba majini na wanadamu isipokuwa waniabudu" hivyo wapo watu wabaya na wazuri hivyohivyo na majini
Makafiri waongo kazi kudanganyana tuuuu.
Wewe ni kafiri wa Kiislam
Kama unaona anaongea uwongo, nenda na hoja zako za kweli, ukapinge,
Yeye anainukuu Quran yenu, inavyo sema
Nini cha uongo alichoongea hapo? Hahhahaha mpokee Yesu awe mwokozi wa maisha yako uwe huru
Kwanza hauelewi maana ya makundi
Makundi ni zaid ya moja yaani mawili na kuendelea na ukiangalia kwenye Qurani kuna makundi mawili tu ya yale yalio amini yakasirimu ( mnayaita mema au mazuri na ni maislam haya) na kundi lingine ni yale makafiri ambayo siyo maislam ( mnayaita mabaya) sasa njoo utuambie wew kundi la tatu ni lipi uje na reference yake
Waislamu Kila mara nawaomba Aya ndani ya Biblia kuwa majini walisikia INJILI wakaiamini wakawa Wakristo!!
Wapi aya inayosema KWAMBA majini ni malaika walioasi ?? Sasa aya uliyosema haisomeki kuwa majini asili YAKE ni malaika.sasa yesu kaja majini yameondoka?
@@HamisAbdallah-cj2scHakuja kuyaangamiza la sivyo yangeangamia Sulle asingetajilika 😮😮😮
Lord have mercy on us🙏
Waache hao waabudu majini. Dini ya waganga.
Sawa na wewe muabudu ushoga
huyo mwalimu mwenyewe amesha washirikisha na miungu wa tatu nyie akili kisoda mumeona huyu nae mwalimu
@@badruseif1318 Dini yangu haiabudu ushoga. Hizo ni sababu zisizo za msingi. 😆😆
MAJINI WALIKUWA MALAIKA
Katika Uislamu Malaika hawamuasi Mwenyezi Mungu.
😂😂😂 Mwalimu umeniweza. Nimejifunza kitu kuhusu kitovu
Mungu baba,mungu mwana ,mungu roho, ndio nini et?
Ujanja nwingisana
Nguo za ndani, duh, umechemka
Mtumishi mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni majini wako wazuri na wabaya kama waislamu wanavyo sema ata biblia inajua ilo soma vizuri utajua
We ndugu yangi ni mkristo kweli kuna jini mzuri daaaa
Bro shetani ni bingwa wa kuigiza ili akupate na kukoseshana na Mungu wako basi atajifany kuwa ni mzuri ilimrad umwache Mungu
Bibilia imeandikwa nn?
Mwalimu ulikwepa swala lamwandishi,je mapepo wanajuwa siku yaukumu?
Kwani sasaivi hayo majini hayafanyi kazi tena wanaoshambuliwa na majini ni wakristo
Hahahahaha. Kwa hiyooo waislam hawavai chupi msikitini. 😂😂. Dunia hiii
Kabisa yani hii ni kweli kabisa,
Majini kwa nini ni waislam ?
Majini wakristo wapo.tena wapo na imani tofauti hawa viumbe.
Hakuna jini mkristo,kama yako toa aya bakarisaidi
@@JohnOuya-w7j mbona mkakingoa kitabu cha Solomon kwenye biblia manake hapo ndipo Sasa
Kama majini yalikufa ,Yale mnayoyatoa kanisani ni nini?
Suleiman nathani anataka kuongelelea roho mtakatifu
Mchungaji mbona unazidisha uongo nyingi ili kujipendezesha kuwakristo,aliekwambia mtu kusilimu anapata jini nani?
Suali hili naomba jibu Anae kili kwamba yesu ni mwana wamungu atakua Dini gani?
SASA HAYO TAYARI SI WAKIRISTO WAMEAMINI YESU NI MWANA WAMUNGU.
NYAKATI 2 18:18-24 MUNGU ALIPOKUWA NA JESHI LAKE AKAULIZA NI MTUME NANI AKATOKA PEPO (JINI) AKASEMA NITUME MM NITAKWENDA KUWA JINI WA UONGO VINYWANI MWA MANABII WA AHABU.PITIA NYAKATI FAFANUA .
Ata wanadam waliasi Mungu ndio wakashukishwa duniani Kama Majini pia wote walifanya makosa
Inamaana wanadamu walikua wanaishi mbingun walipokosea wakashushwa Dunia kwamujibu wa Quran?
@@joycedimoso8648 hawezi kukujibu,wamekalilishwa na mjinga mmoja anaitwa Muddy
Achana na uislamu huujui ata kidogo
Mtume wko kama hakuujua uislam wewe dio utajua. poleni waislamu mchanga wa macho pwaaa..njooni kwa yesu.
Kumbe na wakristo wanayo majini na nirafiki yao ulikuwa una kataa nn sasa kama hakuna majini ya kikristo nilidhani nyinyi hamna majini bwana yeyote anaye jitenga na amri za mungu lazima ashikwe na majini wabaya namajini wabaya wapo na wazuri wapo kamavile binadam wabaya wapo na wazuri wapo.na ndomana biblia inawataja wabaya kwann isitaje majini tu,na na malaika hawamuasi mungu
😂😂😂😂 unatuonea wivu Wakristo hatuna majini Wala hawa jaamini katika YESU KRISTO
Wacha shombo nyie mnasilimisha majini wakristo wanatoa majini..hapo vipi.
Andiko linalosema wakristo wanasilimiaha Majin toa hata gazetin kwenye Quran hata kwenye biblia nipo pale nasubiri andiko
Ndio maana waislam hawali nguruwe.
Wanaruhusiwa Kula nguruwe wakiwa na njaa bila kishiba😂😂
Ss we kafili hivi kaka yesu nimwana wa munguwenu na mama yake ni maliam me? Huyo mungu na Mali am wanaitanaje
Kwani mkojo ni dhambi
Sio kwamba mbogo ni mchache wa elim bali uwa anapinda ulimi tu makusudi kuwafurahisha maamuma
Wewe ni mshenzi tu hata katika ukristo humo
Kafili mkúbwa w duniani. Waliishi viumbe gani kabra ya binadam
Hayo maelezo na hicho kitabu kwamba hakuna mtu aliepnda jini akasema yeye ni papa,..,..nk. kama utarejea huko nyuma amesema majini wanapenda kujinasibisha na majina mazuri, ujue basi hayo ya uikristo nk ni mabaya ndio maana majini hawajinasibishi nayo.
Wacha kusema Dr Sule kabanwa vibaya. kitabu hicho ni feki cha bible kimendikwa Rome,kapitia lugha ya kigiriki na kilatini kwa biashara zao na kufanya mengi katika mataifa ya Europe na kwa kukitumia katika biashara za utumwa missionari
Huo ndio ufahamu wako...you have been deceived my friend.
KWA HIYO HAO MALAIKA WAOVU WALIUMBWA ILI WAWE WAOVU SIKU ZOTE?
Je, kabla ya kukengeuka, walikuwa wema? Na kama walikuwa wema, hivi inawezekanaje wote wakengeuke Maadili mema?
Huko kwenye Majini siwezi kwenda.
Haya yote yanatokana na Matamshi ya Dr. Sule. Kuhusu majini.
Na ndo maana nilisema kuwa majini yalikwisha hukumiwa jahannam wote.
Halafu mm nashindwa kabisa vipi wasaidiwe hawa watu biblia inasema yesu katumwa kwa wana wa israel vp mungu awapendelee wana wa israel na chaajabu walio pendelewa kupewa huyo yesu hawaitambui biblia wao wako na taurat aisee
Nabii hakubalik kwao
kwa akili yako unafikiria Israeli ni nchi tu
Yesu sio muana EA mungu bali ni nabi
Yesu ni mwana wa Mungu asilimia mia nani Mungu asilimia mia.
@@MiziziMti mama yake ninani? Jibu litakua Maria je mungu alimoa Maria? Ndugu yangu unakufuru . Yesu ni mtume kama watume wenguine tu!
Mi nawashangaa Sana wakristo kwani wakisema yesu ni nabii wanaona wanamshusha cheo au?@@pedropedroagira3980
Huyu nae ni taila kama mataila wengine tusivae nguo za ndani kwanini, aje siku moja atukagae ili ajishike na uongo wake
Waislamu wanazanga Kama majini ni malaika waliazi kwasababu mwamendi anasema majini yaliumbwa na Moto kwa mujibu wa Quran
Wewe Daniel aja uongo nyinyi wakristo mnafanya mapenzi na majini, nayo iweje
Nn maana ukisto.
hahahh huyu kuma nini yaan hatuvai nguo za ndan
Wislamu ni din ya majin sio ya Mungu ndia maana unakuta muhamad alimsimisha shetan njoon Kwa Yesu polen mlioslimu
Ww acha uwongo njoo kwenye mdahalo ukiitwa unakimbia kimbia njoo tukufundishe
Danel una maneno mengi nauongo mtupu. Bibilia haijaelezea suala la majini, hayo maelezo ni yako si ya bibilia, khabari huo ufunuo 12:7. ni ndoto si uhalisia. na hiyo unyozungumza wewe si tafasiri ya ndoto hiyo. wewe umeichukua kavukavu. Kwa mujibu wa quran majini ni viumbe tofauti na malaika. na Quran suratl jinn imethibitisha kuwa kuna majini wema na waovu. aya za suratl an'aam haionyehi kuwa majini wote ni waovu. Danel huijui Quran wala Bibilia acha uongo.
Bibiliya.siyo.kitabo.camungu
Mdomo haulipiwi kodi toa aya biblia cio kitabu cha mungu.
Ni kitabu chako
Hafadhari kwa kuwa hakinifundishai kuabudu majini
Ni chako,nyang'au wewe
Petero mwenyewe alikua shetani na hata si jini bali shetani math18:23
Nadini.yakikistu.nayo.mnaita.dini.nawakati.tu.mnapotoshwa.vp.mnamfwata.yesu.nawakati.yesu.nimuisilam.hAnna.aKilian.vp.mNathan.sadaka.zenu.mchungaji.aKitKat.kAnimaniacs.ananda.kulewa.ndomana.sadaka.zenu.inaitwa.zakuteketea.hapahapa.duniani.kuweni.maccording.sAna.yesu.alikuja.kuwaokoa.wAna.waizilaeli.sio.wOTE.muhamadi.ndokaja.kWA.ulimwengu.mzima
Kama nikufikiri kwakufunguliwa macho nileo hii mtu anayepatamafanikio kwajasholake harali hajitutumuli nakujitanuatatanua kama chura.
Taja majina ya malaika walioasi
Hamna kitu, apo pumba tupu, cc waislam wenyewe tupo apa, unatusingixia mchana kweupe, Mnafiki wewe mzee, cc tunavaa nguo za ndani na za nje pia, ili mrad ziwe tohara, kama c tohara hata iwe kanzu huwez kuswalia, acha kusema uongo, Tubu kwa Allah.
Wewe lamda nimfuasi wa shetani eti waisilam hawruhusiwi kuvaa nguo za ndani wakienda msikitini kwanini unazusha unafiki kama huu wewe nibure kabisa hujui lolote kwenda
Atoi kichwani ila vitabu vyenu
Acha uongo mtumishi sisi nani kakwambia hatuvai nguo za ndani?
Kama unavaa wewe unavaa kimakosa Qurani imekataza wakati wA sala
Nimekumbuka ile nyimbo ya mbosso milungi mishisha mibange seleman😂😂😂 selemani kawauza waislam
Johana 6:70
WEWE DANIELY MWANKEMWA ELIMU HIYO HUNA, JIBU SWALI HILI DOGO KWA MJIBU WA BIBLIA HAO MAJINI WALIUMBWA SIKU YA NGAPI??
wewe huna swali enda kalale
Kwenye biblia hakuna sura ya Majin rudi kwenye Quran utapatajibu lako coz ipo suratu jini maswali yote ya Majin iulize Quran yako
Mchungaji unaparamia Jambo lakuku zidi ilmu achakuparamia qur-ani na uislamu.
Ww nimtupu hunaelimu yakujua majin nini wala huwafahamu
Hoja za waislamu mii huà naishia kucheka😂😂maana hazina mashiko kabisaaaa hata kidogo.
Amen🙏🙏🙏 God bless you
Hio Bibilia yako ni yakizushi sana majini hawakumuita yesu mwana wa mungu ndugu zangu hebu kasomeni wenyenyewe Luka 4:34
[34]akisema, Acha! Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Nakujua u nani, Mtakatifu wa Mungu.'' '' '' '' '' '' 'Kwahalihii kila mkristo atakuwa na bibilia yake
Wewe uelewa wako ni ziro ,hapo uliposoma pana tofauti gani na hapo anapopaelezea?
Wewe nawe umetafuniwa unashindwa ata kumeza
Stop lying and misleading people, Nani kasema hawavai nguo za ndani? You lying and hujuichochote kuhusu Islam.
Wewe kama unavaa niwewe usiwasemee wengine wanao jua wanakuona hujui
@@joycedimoso8648 stop lying about Islam, you and you pastor don’t no anything about Islam.
@@joycedimoso8648 ignorant is bliss!
Huyu nae kumbe ana miungu wa tatu inalilah wainalilai lajuuni, elimu Yako finyo hata Mimi nakupita kwa elimu
Mchungaji rudi darasan elim ime kukataa majini sio malaika malaika awa muasi mungu majini nimajini na malaika ni malaika majini wameumbwa kwa Moto na malaika wameumbwa kwa nuru umeona tofauti apo kasome tena ndugu yetu
Ndoulivo aminishwa
waislam akili zenu ndogo sana
Majini ni mashetani..na shetani alikua malaika aitwaye lusifa Kwa mujibu wa maandiko ya Biblia.
Daniel acha uongo. Ni kitabu gani ulicho soma kinachosema waislaam hawaruhusiwi kwenda msikitini na nguo za ndani.
Ni hadith usiwe mbishii
Sule anatapata Washehe wenzio wamemkalia kubaya kwa kuaibisha dini ya uislamu
Unaongea mwenyewe hapo ukweli lazima uufiche kafiri mkubwa,omba mdahalo sasa kama wewe kidume
Kwanini wakristo elimu ya dunia mnafuzu vizuri sana lakini ya kidoni nyinyi ni bongo lala? Majinni ni viumbe kama sisi, yaani theres the human kind and the jinn kind.
wewe huna akili ata kidogo kama tu wenzako🤔🤔🤔
Natafuta comment za waislamu
Maneno mnatengenezewa mnaamin eti mwana wa mungu ingekuwa ni hivyo israel wote wangemtii yesu ni mtume kama walivyo mitume wengine
Ndivyo ulivokalilishwa na huyo msilimisha mashetani
Acha kutafuta umalufu kwa kuongea uwongo😮😮😮😮
Acha dawa iwaingie
Huyu mbona simuelewi anajichanganyaivi ati majini na malayka nikitukimoja eee halafu anamkosowa komando big Suleiman vip
Nyinyi makafili wakiislam na mubakaji wenu muhamad ni vipi kila kitu munapinga wakati nyinyi ni mamuma na hakuna munachokijua zaidi ya ushirikina?😛😛😛😛😛😛
Majini yatakaa kanisani na yapo kila siku toka hayatoki
Usipo Amin nakukiri Yesu ndio mokozi wamaisha Yako nakuacha dhambi nakuishi maisha yakumpendeza Mungu yatakaa nawewe mpaka yakunyonge
Ndo yanakaa kanisani mbona hayatoki
Acha kupotosha watu
ooooh kumbe nawewe mfuata Sulle
Unajuwa kukitafuta kijio😂😂😂😂
We mwalim acha kutuonyesha uzuzu wako nani aliekudanganya Waislam wakienda kuswali hawavai nguo za ndani!!!???
Nenda kasilimu uone
Mwehu huyu atakua mke wake ndo avai nguo za ndani
Wewe muongo
Kama majini ni Malaika basi wapo Majini wema nikimaanisha Malaika wanaotii amri za M/mungu kwa hiyo wapo majini wazuri.na majini waovu ni Malaika waliomuasi M/mungu.lakini majini hawana dini yeyote na wanazungumza kiarabu au kusalimia kiarabu sababu wana asili ya kiarabu kwani ndio lugha ya zamani zaidi.
@malikBakar-ni2gh majini walikua malaika kabla ya kuasi, walipoasi hawakua wema tena ndio maana walitupwa duniani. Hakuna malaika alietupwa duniani baada ya kuasi alikua mwema, majini wote ni wabaya tu, uislamu ni ushirikina ndio maana wanafosi majini yaonekane mazuri
Majini sio malaika malaika awa muasi mungu majini nimajini na malaika ni malaika
@@ibrahimmsuya993 Msikilize vizuri mchungaji wako kasema majini ni Malaika walio muasi M/mungu mbona.
@@igurusitv6553 Unaamini Kuna Malaika au hakuna Malaika duniani kwanza nataka kujua hili
@@MalikBakar-ni2ghwakishaasi wanabaki vipi kuwa malaika?
Wewe sii mwalimu bali ni fundi wa waongo duniani ila wajinga wasio soma watakuamini na hizo propaganda zako pili hakuna waislamu wanaoingia mskitini uchi kwani ni haramu kwa mwanamume na mwanamke kukaa uchi.Uta wadanganya wakrito wenzio kwa kutumia kitabu cha biblia kilichoandikwa na watu na hadithi thaifu za kuokota lakini sii waislam wenye elim zao.
🤣🤣🤣🤣🤣Uyu mwalimu wenu nae bwabwa kweli unatafta weak point ili kudhoofish usilam nan ka kwambia Sulle na Elimu zake za uganga anazo zitoa ni mwislam nan kakwambia waislam wana iman za kishirkina kama alizonazo sulle, yule ni mwana mpotevu tu alie hadawa na dunia hawakilishi mwislam yyte ss waislam tunamtambua kama mpiga ramli ss na ww unatoka uko mabonde kwinama unataka utumie ako kachance kudhalilsh uislam na kuwapoteza watu, Uislam ndo dini pekee ya kukupeleka mbinguni sheikh au paradiso so take a brake tuliza povu🤣🤣🙌
Unandika na unajichekesha mwenyewe huna hoja
@@AlabdbFoone Hzi mada za watu wenye Maarifa kichwani not every fool can participate so potea, kwa hoja yako tu nshaona kichwani hamna kitu apo
Ni hatari