Dizasta Vina - Fanani
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 ต.ค. 2024
- Official youtube Video of the record Fanani, Written and Perfomed by Dizasta Vina & Mr Public face.
Stream & Download Fanani audio
Boomplay www.boomplay.c...
Audiomack audiomack.com/...
Mdundo mdundo.com/son...
Connect with Dizasta on socials
heylink.me/dizastavina
Lyrics
"Talent and ability, can take you to the top of the mountain. Lakini, the moment you mess up with your character, everything goes back to zero. Unaanguka chini kabisa"
Natembea sehemu nyingi nakutana na
Watu wengi wananipa ushauri mwingi
Mwingi mwingi blah blah blah
Mbona hau-move hivi
Mbona sijui hau-force kingi
Mbona sijui hau-change hiki blah blah
Fanya collabo na flani na flani blah blah
Ule wimbo sijui ungemweka flani blah blah
Flani na flani sijui hawawezi fani, flani sijui hamjui flani
Flani sijui yuko kama flani blah blah
Mchumba anahisi nauza bangi
Anashangaa nimesoma sijatafuta kazi
Namwambia mistari yangu ni bidhaa
Nimelelewa vyema na sasa na sasa nailea hii mitaa
Mitaa inahisi nauza pakti
Nimechoka naunga waya naunga nyagi
Mwonekano nje hauonyeshi nina kisomo
Eti ubaya wa cover ndo' yaliyomo
Mama ana-wish nimwoe Tuntu
Anasema amesoma anamjua Mungu
Namwambia "Tuntu anawadharau ndugu"
"Na anaona mafanikio ni kupata bwana Mzungu"
Mama Tuntu anasema mi muhuni
Anahisi nipo ghetto nazienzi Kunguni
Haamini naheshimika kwa kuuenzi Utamaduni
Ana anahisi muziki dhambi kwahiyo siendi hata mbinguni
Hajui kuwa imani yake ni dau pana
La mchungaji, anahisi mi' mdhambi dharau sana
Nawa-overate watu nasahau kwamba
People with common sense mtaani are outnumbered
Mama anasema nabonga hanielewi
Nimezongwa siwezi kutoka na sihemi
Natembea na makaratasi utadhania Mkandarasi
Sina ganji utahisi nimerogwa na Washenzi
Namwambia "ujuzi power" nauhakiki
Nimenawa mpaka naenda sawa na Wahandisi
Wauguzi wanapagawa wakifika himaya hizi
Kuona Sina dawa utadhania mvuta kaya chizi
Mdogo wangu ana-doubt mi ni Star
Na anashangaa kwanini I don’t have a car
Washkaji daily wanataka tupige picha
Au short video Intro tukazitundike Insta
Chuki nikiwaambia niko busy
Hawaamini I have meetings to attend to
Wanahisi nawadanganya wakaulize
Kwani life is more than just Instagram and Facebook
Wanasema mi' kituko naruka luksi
Nishatengwa na milupo ila sikugeuka nuksi
Nilitishiwa hadi vifungo sikutupa ujuzi
Utotoni sikupewa maputo niliokota books
Sikupendwa na mazoba wakereketwa
Ni'shaibiwa na manyoka na ndio maana niko focus
Najua mikataba bogus inavyowateteresha
Ndo' maana huwezi kuona ninapelekeshwa
Naakutana na
Watu wengi wananipa ushauri mwingi
Mwingi mwingi blah blah blah
Mbona hau-move hivi
Mbona sijui hau-force kingi
Mbona sijui hau-change hiki blah blah
Fanya collabo na flani na flani blah blah
Ule wimbo sijui ungemweka flani blah blah
Flani na flani sijui hawawezi fani, flani sijui hamjui flani
Flani sijui yuko kama flani blah blah
Hauwezi ku-observe my position, my momentum
At the same time? that's cynical
I'm electron, I know how to move better, Kunidharau
Ni kuidharau Uncertainity principle
Naona wanaibuka Wanariadha
Wanafoka eti siongelei siasa
Sijabuma, najua mchezo, ni kwamba
Najua kukaa nyuma mbele masihara yakianza
Life is when things happen so, let it be
We learn how to behave from the same shit
Ninajua hizo struggle for revolution
And I knew it was time for change, so I change me
Masihara ni fashion ukihitaji ule
Hata vioo vya jamii vipo ndani mule
Wasanii wanatumia style yangu bure
Serikali hainitambui na ushairi wangu shule
Mitaani juu hela haishikiki
Nime-master mpaka school vyema hainishindi
Sina matatuu natembea kwa miguu wananishangaa
I'm getting too famous for this shit
I'm a big deal nasahau sahau bwana
Ila industry haiko real jau jau sana
Maudhui ni kitu wadau walikacha
Na maniga walisahau kuhusu culture
Kisa njaa kubwa
Mngekuwa wapi bila hiphop?
Mngeshika wapi hizo dough bila hiphop?
Mngekuwa wapi mapresenta wabovu
Makundi ya matozi na Hizi afternoon shows
Bila hiphop?
Ni vile ubishi nakazia
Hawaelewi kazi yangu maana dhiki imen'dandia
Mchumba n'nayembambia hasadiki nikimwambia
Mi' mwanamziki bado anahisi namtania
Anasema namletea msongo wa mawazo
Eti ooh! nimechoka na huo uongo wako
Ana hofu that we don't show off
Go out and hit a club like a normal couple
Kisa sija-fix my finances
She won’t fix her attitude
Anafungua fridge yangu na hajachangia kitu
Na anataka nimpeleke Summer Malibu
Namwambia I have real life sio sci-fi
Anahisi naishi honey boo boo lifestyle
Oohh she wanna dance in the car
40 degrees she wanna shake her ass in a Yatch
Natembea sehemu nyingi nakutana na watu wengi
Wananipa ushauri blah blah
Mbona haumove hivi sijui mbona hau force kingi
Mbona sijui hau.... blah blah blah
Blah blah blah
Blah blah
Ushauri mwingi blah blah
Man I'm outta here
🎉❤😢😂 GOAT
🐐🐐🐐
Kwa huu uwandishi wa Black Maradona anao ufanya sikutegemea kama nitakutana na watu wanaomba omba like, zaidi ya kusifia uwezo wa hiki kichwa, wazee mambo ya naomba like za Dizasta yapeleke kwa wabana pua huko hapa jivunie tu kuwa kwenye kizazi kimoja na THE GREAT THINKER
Amini Mkuu
HAPA HAWACHEZI HAO MAMUCH KNOW.
@@soudyruge-fi9xv mambo ya kuomba likes huwezi yakuta. Hapa unakuta expressions za mishangao tu.🔥
Amin
Fuvu limeshiba
Leo wa kwanza kwa VINA from songea town sam milles nipen like zanguuu FANANI big song 🎉🎉🎉
Nunueni album jaman muache kushangashangaa kila akitundika wimbo online ..hiz ngoma zote zipo kwenye album yako…utamu wote upo kweny album sio hamnunui album mnaishia Kupigapiga mayowe…mnapenda sana vya burebure huku mnatarajia msanii asonge mbele
@@Michael-r9q1k Album inauzawaje
Tuendelee kimusapot huyu mfalme wa rap tushere kulike kukoment ❤❤🔥🔥🔥
Ambao walinunua album tayari, weka like hapa 👍
❤❤❤ kamwe me mwenyewe singekujua nikiwa Nairobi Kenya kama si HipHop Salute to the culture🎉🎉
Huyu msela tishio kubwa Tanzania 🔥🔥🔥‼️⁉️💯🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Vinaaaa safi kwa utulivu , HII CHAKULA YA UBONGO TUNAKUELEWA WACHACHEE mnoo 🫴🫴
Natamani hii ngoma isogee kabisa ata top10 itakuwa unyama
Ata ifike 15 tu ni ngoma kali watu hawana upeo wa kuelewa haraka tuwajuze mtaani madini yapo huku, huyu jamaa amenitoa utumwani kitambo na focus na michongo inasogea kiboss🎉
Sijabuma najua mchezo ni kwamba najua kukaa nyuma, mbele masihara yakianza😅
Huyo jamaa mnamsifia bure tu badala ya kumchunguza vizuri pengne sio binadamu ni alien maana binadamu hawezi kuwa na akili hizi za kuandika namna hii
🎉🎉🎉noma sana
Bro "mi shenzi we nyoko mbili"___ENDELEA KUOKOA HIP HOP 🫡
😂😂😂😂😂😂😂 naubishoo wote unaitwa kosimas 😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Black maradona..the living Lengend
Wewe n definition ya hip hop sasa wewe n top top nimewashusha wakina one incredible, stereo, songa, p the mc na fid q sasa wewe n top namba moja hatari sana hiki kichwa
Hellow 2090s generation am here today it's 23 October 2024 this dude was one of our hip-hop icon we got respect him a lot so I want you to respect him too ❤❤
Hilo fanani ni jina langu halisi kabisa daaah
Tuzidi kucheki ngoma ya brother ipo 22 asubuhi hii
MFALME ni Mmoja tuh VINA🤴🏿 hii CROWN ni heavy kichwa Kitupu hakibebi 🔥🔥🔥
Mitaa Inahidi nauza....
Vina on this one
Hizi ngoma zinatakiwa zikae ata namba moja sema ndo ivo wengi bado tupo utumwani
Daaaaah hamna wa kulinganisha
Mama Ana wish Nimwoe Tuntu ….
I will leave this comment here so that if anyone likes it I can come back and listen to this jam again.
Sema nilikuelewa vinna D, R Alike nyingggh❤
Hujaŵai kufeli bro
Tuntu, kama unamkubali mwamba kuhusu tuntu gonga like hapa😂😂😂
Dah huyu Mwamba siku nikuonana nae Nampa maua yake
Appreciate 👍 Bro
Nagonga sana ngoma za huyu mjuba magetoni adi mchumba anabaki kucheka cheka tu....kichwa sana bro
Kama mm tu😂😂😂
Is Dizasta Vina a man in this planet???
Au yupo kwenye sayari nyingine???
Uyuu ndy wakupewa tuzo sasaaa
Hivi wanahip Hop hatuwezi kuwa na basata yetu tukawa tunaandaa tuzo zetu. Maana tuzo wanapewa waimba ngono na pombe.
Generalization ni mbaya sana, kuamini watu wa aina flan lazima wawe hivi, watu wanaamini msanii ni lazima awe na show off nyingi, but in reality EVERYONE HAS HIS/HER STANDS AND BELIEVES
Nimerudi darasani tena.... Blqck Mqradona
Tuendelee kuSubscribe, 100k ni yetu.
Najua mikataba bogaz inavyowatetelesha na ndo maana huwezi ona napelekeshwa 😂😂😂😂 Shawnee
Dizasta ni mmoja Tu Amin kwamba 💯
Hah the lucky me, nimeingia u tube nimekuta ngoma dizasta vina😂
Duh!! Kichwa chako kinakutosha mwenyewe bruh!!🎉 You the king of All. Love from Mbozi!!
Inshu sio wimbo ila angalia medulla ilo andika mashairi. Dizasta anaimba ukweli mtupu bila kufeki🔥
Napendaaa hip hop sanaaa
kwa jinsi DUNIA inavyosonga , tunazidi kufunguka macho , tunaelewa na ku appreciate wasanii wote ambao wanawika UNDERGROUND , kwani kama tunavyoona bei ya kupata u superstar kwenye dunia ya leo ilivyo ghali , wanachokipitia wasanii ili tu wapewe promo , inasikitisha. Inasikitisha tena sanaa , let's appreciate underground artists , wana ujumbe MZITO sanaaaaaa
Nafarijika na nnajivunia kuwa ni miongoni mwa wanaoishi kwenye ihi Dunia niliyepata bahati ya Kusikiliza madini kama haya, Hakika ihi ni Azina Adimu kuwai kutokea chini ya jua, DZSTVN🔥🧠
Professor tungo in the building this is hit
Kama mkenya halisi namtambua sana huyu mwamba.
Baada ya mzee mzima professional jay naamini dizasta ni kiumbe kamali katika hip-hop East Africa nzima
Waambieni hivi hii ndo ngoma boraaaa kwenye tuzo zao
Nataka kuielewa hii uncertainty principle. Vina fundi sana kwenye tungo
Soma General Chemistry kidogo tu ....utakutana nayo hyo
8 Miles, kichwa kikubwa💪🏿
Dizasta vina is the lyrical monster
Mchumba anahisi nauza bangi
Anashangaa nimesoma sijatafuta kazi
Mitaa inahisi nauza pakti
Nimechoka naunga waya naunga nyagi
Mwonekano nje hauonyeshi nina kisomo
Utotoni sikupewa Maputo niliokota books,,🎉🎉🎉
Am top two and am not second 🔥🔥
Au wenye maono ni wachache sana ngoma iende hii
Tumeshafika 600 🔥🔥💯🤣🎵🎶
❤❤❤ King wa uncertainty principle 😅🎉
Najua kukaa nyuma mbele masihala yakianza..🤔
" kunidharau ni kudharau Uncertainty Principle" 😂😂😂🙌🙌🙌
PEOPLE WITH COMMON SENSE TURN TO OUT NUMBER,,,,,,,💥💥💥 D ni mjenzi huru wa bars
WANGEKUWA WAP Ma prezenta wabovu na hizi afternoon showz BILA HIP HOP
Hakuna mwanga Wala mganga wa kuwanga hiki kichwaaa wimbo wa taifaaa
King of hiphop
Shabiki namba 1 wa Dizasta ni Mimi hapa
Nime lelewa vyema na sasa nalea hiii mitaaaa💌💌💌💌💌💌
Ngoma ni kali sna
wew! nimmoja1 akuna mwingne🎉
Dizasta wewe ndio mualimu wangu wa elimu dunia najiamini na najikubali toka nikombe elimu yako.
D kama Vinaaaaaa✊️✊️✊️
Legendary katika ubora wake🎉🎉
Mwambaa mwenyewee dizza star
Saa moja jioni ngoma ipo 19 on trending twendeni wanangu ngoma iende duniani
Dah.... Aisee mpanorama ni hatari kaka 😊😊
Fanya collabo na Fulani na Fulani bal bla
Bonge la songiii😅😅😅
Nakukubali
Tununueni alibam tuachenu blaa blaa
Vina umetisha bro 👊🏿👊🏿👊🏿
Mdogo wangu ana doubt me ni star na anashangaa kwanini i don't have a car🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👑👑
Elimu Iko hapa 💯
Nakubali sana dizasta no 1
Huyu jamaa anajua sana maana kwa uandishi huu atairudisha heshima ya hip hop
Kaa nyuma , mbele masikhara yakianza
Rudisha string theory spotify broski
Mwana Falsafa usiyetaka kuandikwa vitabuni🔥🔥🔥 hujawai feli 🔥🔥🔥 the black Maradona himself.
Uhhhh ni 🔥🔥🔥
Booooom 💥
The Black Maradona nakukubali sana bro una kitu cha maana sana you are AI broo una akili kibaooo❤❤😢😢
D LEGENDARY🔥🔥
Vina the real😅🎉
Hakika unaitendea haki fasihi brother, Appreciate sana unalinda maadili yako binafsi, ya lugha yetu na muziki kwa maadili yetu. Keep going brother 👏👏
Tuna elimika, tunatambua na tuna enjoy kwa namna mashair yanavyopangilika ,big up broo tuko nawe tuzo yako tunayo moyon mwetu
FANANI..... VINA DIZASTA🚦
VINA OUR GHOST
I have a real life.
Kaya, "you don't have to have dreadlocks to be Rasta, it's your Heart only".
Kunidharau ni kuidharau uncertainty principle
Dizasta Vina ni mmoja ase kwel✅💥✊⚠️
Kile dude linalodondoka linakuwa lamoto zaidi ya moto!!💥💥💥💥💥💥💥
Aibu inayokukuta ukwenii🔥🔥@dizastaa
maradona mweusi💪
......eti oooh nmechok na huo uwongo wako.....blah blah
Vina 🎉