Dizasta Vina - Fanani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ต.ค. 2024
  • Official youtube Video of the record Fanani, Written and Perfomed by Dizasta Vina & Mr Public face.
    Stream & Download Fanani audio
    Boomplay www.boomplay.c...
    Audiomack audiomack.com/...
    Mdundo mdundo.com/son...
    Connect with Dizasta on socials
    heylink.me/dizastavina
    Lyrics
    "Talent and ability, can take you to the top of the mountain. Lakini, the moment you mess up with your character, everything goes back to zero. Unaanguka chini kabisa"
    Natembea sehemu nyingi nakutana na
    Watu wengi wananipa ushauri mwingi
    Mwingi mwingi blah blah blah
    Mbona hau-move hivi
    Mbona sijui hau-force kingi
    Mbona sijui hau-change hiki blah blah
    Fanya collabo na flani na flani blah blah
    Ule wimbo sijui ungemweka flani blah blah
    Flani na flani sijui hawawezi fani, flani sijui hamjui flani
    Flani sijui yuko kama flani blah blah
    Mchumba anahisi nauza bangi
    Anashangaa nimesoma sijatafuta kazi
    Namwambia mistari yangu ni bidhaa
    Nimelelewa vyema na sasa na sasa nailea hii mitaa
    Mitaa inahisi nauza pakti
    Nimechoka naunga waya naunga nyagi
    Mwonekano nje hauonyeshi nina kisomo
    Eti ubaya wa cover ndo' yaliyomo
    Mama ana-wish nimwoe Tuntu
    Anasema amesoma anamjua Mungu
    Namwambia "Tuntu anawadharau ndugu"
    "Na anaona mafanikio ni kupata bwana Mzungu"
    Mama Tuntu anasema mi muhuni
    Anahisi nipo ghetto nazienzi Kunguni
    Haamini naheshimika kwa kuuenzi Utamaduni
    Ana anahisi muziki dhambi kwahiyo siendi hata mbinguni
    Hajui kuwa imani yake ni dau pana
    La mchungaji, anahisi mi' mdhambi dharau sana
    Nawa-overate watu nasahau kwamba
    People with common sense mtaani are outnumbered
    Mama anasema nabonga hanielewi
    Nimezongwa siwezi kutoka na sihemi
    Natembea na makaratasi utadhania Mkandarasi
    Sina ganji utahisi nimerogwa na Washenzi
    Namwambia "ujuzi power" nauhakiki
    Nimenawa mpaka naenda sawa na Wahandisi
    Wauguzi wanapagawa wakifika himaya hizi
    Kuona Sina dawa utadhania mvuta kaya chizi
    Mdogo wangu ana-doubt mi ni Star
    Na anashangaa kwanini I don’t have a car
    Washkaji daily wanataka tupige picha
    Au short video Intro tukazitundike Insta
    Chuki nikiwaambia niko busy
    Hawaamini I have meetings to attend to
    Wanahisi nawadanganya wakaulize
    Kwani life is more than just Instagram and Facebook
    Wanasema mi' kituko naruka luksi
    Nishatengwa na milupo ila sikugeuka nuksi
    Nilitishiwa hadi vifungo sikutupa ujuzi
    Utotoni sikupewa maputo niliokota books
    Sikupendwa na mazoba wakereketwa
    Ni'shaibiwa na manyoka na ndio maana niko focus
    Najua mikataba bogus inavyowateteresha
    Ndo' maana huwezi kuona ninapelekeshwa
    Naakutana na
    Watu wengi wananipa ushauri mwingi
    Mwingi mwingi blah blah blah
    Mbona hau-move hivi
    Mbona sijui hau-force kingi
    Mbona sijui hau-change hiki blah blah
    Fanya collabo na flani na flani blah blah
    Ule wimbo sijui ungemweka flani blah blah
    Flani na flani sijui hawawezi fani, flani sijui hamjui flani
    Flani sijui yuko kama flani blah blah
    Hauwezi ku-observe my position, my momentum
    At the same time? that's cynical
    I'm electron, I know how to move better, Kunidharau
    Ni kuidharau Uncertainity principle
    Naona wanaibuka Wanariadha
    Wanafoka eti siongelei siasa
    Sijabuma, najua mchezo, ni kwamba
    Najua kukaa nyuma mbele masihara yakianza
    Life is when things happen so, let it be
    We learn how to behave from the same shit
    Ninajua hizo struggle for revolution
    And I knew it was time for change, so I change me
    Masihara ni fashion ukihitaji ule
    Hata vioo vya jamii vipo ndani mule
    Wasanii wanatumia style yangu bure
    Serikali hainitambui na ushairi wangu shule
    Mitaani juu hela haishikiki
    Nime-master mpaka school vyema hainishindi
    Sina matatuu natembea kwa miguu wananishangaa
    I'm getting too famous for this shit
    I'm a big deal nasahau sahau bwana
    Ila industry haiko real jau jau sana
    Maudhui ni kitu wadau walikacha
    Na maniga walisahau kuhusu culture
    Kisa njaa kubwa
    Mngekuwa wapi bila hiphop?
    Mngeshika wapi hizo dough bila hiphop?
    Mngekuwa wapi mapresenta wabovu
    Makundi ya matozi na Hizi afternoon shows
    Bila hiphop?
    Ni vile ubishi nakazia
    Hawaelewi kazi yangu maana dhiki imen'dandia
    Mchumba n'nayembambia hasadiki nikimwambia
    Mi' mwanamziki bado anahisi namtania
    Anasema namletea msongo wa mawazo
    Eti ooh! nimechoka na huo uongo wako
    Ana hofu that we don't show off
    Go out and hit a club like a normal couple
    Kisa sija-fix my finances
    She won’t fix her attitude
    Anafungua fridge yangu na hajachangia kitu
    Na anataka nimpeleke Summer Malibu
    Namwambia I have real life sio sci-fi
    Anahisi naishi honey boo boo lifestyle
    Oohh she wanna dance in the car
    40 degrees she wanna shake her ass in a Yatch
    Natembea sehemu nyingi nakutana na watu wengi
    Wananipa ushauri blah blah
    Mbona haumove hivi sijui mbona hau force kingi
    Mbona sijui hau.... blah blah blah
    Blah blah blah
    Blah blah
    Ushauri mwingi blah blah
    Man I'm outta here

ความคิดเห็น • 374

  • @clintonlamwai3437
    @clintonlamwai3437 วันที่ผ่านมา +31

    🎉❤😢😂 GOAT

    • @johndady1371
      @johndady1371 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      🐐🐐🐐

  • @soudyruge-fi9xv
    @soudyruge-fi9xv วันที่ผ่านมา +104

    Kwa huu uwandishi wa Black Maradona anao ufanya sikutegemea kama nitakutana na watu wanaomba omba like, zaidi ya kusifia uwezo wa hiki kichwa, wazee mambo ya naomba like za Dizasta yapeleke kwa wabana pua huko hapa jivunie tu kuwa kwenye kizazi kimoja na THE GREAT THINKER

    • @KopsNown
      @KopsNown วันที่ผ่านมา +2

      Amini Mkuu

    • @diegolegend3691
      @diegolegend3691 วันที่ผ่านมา +2

      HAPA HAWACHEZI HAO MAMUCH KNOW.

    • @mkgorilla7200
      @mkgorilla7200 วันที่ผ่านมา +2

      @@soudyruge-fi9xv mambo ya kuomba likes huwezi yakuta. Hapa unakuta expressions za mishangao tu.🔥

    • @LighterOg-z2g
      @LighterOg-z2g วันที่ผ่านมา +1

      Amin

    • @MashakaAlfredy
      @MashakaAlfredy 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Fuvu limeshiba

  • @SamwellyMillinga-tu7xf
    @SamwellyMillinga-tu7xf วันที่ผ่านมา +18

    Leo wa kwanza kwa VINA from songea town sam milles nipen like zanguuu FANANI big song 🎉🎉🎉

  • @Michael-r9q1k
    @Michael-r9q1k วันที่ผ่านมา +15

    Nunueni album jaman muache kushangashangaa kila akitundika wimbo online ..hiz ngoma zote zipo kwenye album yako…utamu wote upo kweny album sio hamnunui album mnaishia Kupigapiga mayowe…mnapenda sana vya burebure huku mnatarajia msanii asonge mbele

  • @NestymmwampambaNestymmwampamba
    @NestymmwampambaNestymmwampamba วันที่ผ่านมา +8

    Tuendelee kimusapot huyu mfalme wa rap tushere kulike kukoment ❤❤🔥🔥🔥

  • @runtown____3587
    @runtown____3587 วันที่ผ่านมา +6

    Ambao walinunua album tayari, weka like hapa 👍

  • @Rickson-t8o
    @Rickson-t8o วันที่ผ่านมา +3

    ❤❤❤ kamwe me mwenyewe singekujua nikiwa Nairobi Kenya kama si HipHop Salute to the culture🎉🎉

  • @ensjopumalanga1518
    @ensjopumalanga1518 วันที่ผ่านมา +5

    Huyu msela tishio kubwa Tanzania 🔥🔥🔥‼️⁉️💯🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ayubukaduma1017
    @ayubukaduma1017 วันที่ผ่านมา +5

    Vinaaaa safi kwa utulivu , HII CHAKULA YA UBONGO TUNAKUELEWA WACHACHEE mnoo 🫴🫴

  • @Ashibutz
    @Ashibutz วันที่ผ่านมา +4

    Natamani hii ngoma isogee kabisa ata top10 itakuwa unyama

  • @Ashibutz
    @Ashibutz 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Ata ifike 15 tu ni ngoma kali watu hawana upeo wa kuelewa haraka tuwajuze mtaani madini yapo huku, huyu jamaa amenitoa utumwani kitambo na focus na michongo inasogea kiboss🎉

  • @edenchulla5663
    @edenchulla5663 วันที่ผ่านมา +4

    Sijabuma najua mchezo ni kwamba najua kukaa nyuma, mbele masihara yakianza😅

  • @liyombohassan4556
    @liyombohassan4556 วันที่ผ่านมา +5

    Huyo jamaa mnamsifia bure tu badala ya kumchunguza vizuri pengne sio binadamu ni alien maana binadamu hawezi kuwa na akili hizi za kuandika namna hii

  • @leonardmhagama5828
    @leonardmhagama5828 วันที่ผ่านมา +5

    Bro "mi shenzi we nyoko mbili"___ENDELEA KUOKOA HIP HOP 🫡

    • @devaxtz
      @devaxtz วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂 naubishoo wote unaitwa kosimas 😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @kingdyzo4516
    @kingdyzo4516 วันที่ผ่านมา +3

    Black maradona..the living Lengend

  • @clintonlamwai3437
    @clintonlamwai3437 วันที่ผ่านมา +3

    Wewe n definition ya hip hop sasa wewe n top top nimewashusha wakina one incredible, stereo, songa, p the mc na fid q sasa wewe n top namba moja hatari sana hiki kichwa

  • @ibni_H2TL6r
    @ibni_H2TL6r วันที่ผ่านมา +4

    Hellow 2090s generation am here today it's 23 October 2024 this dude was one of our hip-hop icon we got respect him a lot so I want you to respect him too ❤❤

  • @MasterwizzY
    @MasterwizzY วันที่ผ่านมา +3

    Hilo fanani ni jina langu halisi kabisa daaah

  • @Ashibutz
    @Ashibutz 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Tuzidi kucheki ngoma ya brother ipo 22 asubuhi hii

  • @valencepaul4604
    @valencepaul4604 วันที่ผ่านมา +2

    MFALME ni Mmoja tuh VINA🤴🏿 hii CROWN ni heavy kichwa Kitupu hakibebi 🔥🔥🔥

  • @elreina
    @elreina วันที่ผ่านมา +3

    Mitaa Inahidi nauza....

  • @mirajryder4216
    @mirajryder4216 วันที่ผ่านมา +3

    Vina on this one

  • @Ashibutz
    @Ashibutz 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Hizi ngoma zinatakiwa zikae ata namba moja sema ndo ivo wengi bado tupo utumwani

  • @justinmmbando5386
    @justinmmbando5386 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Daaaaah hamna wa kulinganisha

  • @andrewkilulu
    @andrewkilulu วันที่ผ่านมา +3

    Mama Ana wish Nimwoe Tuntu ….

  • @abdallahamisi3051
    @abdallahamisi3051 วันที่ผ่านมา +3

    I will leave this comment here so that if anyone likes it I can come back and listen to this jam again.

    • @khamisikhamisi7225
      @khamisikhamisi7225 วันที่ผ่านมา

      Sema nilikuelewa vinna D, R Alike nyingggh❤

  • @ommyclipper6765
    @ommyclipper6765 วันที่ผ่านมา +3

    Hujaŵai kufeli bro

  • @vitalisantony239
    @vitalisantony239 วันที่ผ่านมา +5

    Tuntu, kama unamkubali mwamba kuhusu tuntu gonga like hapa😂😂😂

  • @piofuturelifembago8168
    @piofuturelifembago8168 วันที่ผ่านมา +3

    Dah huyu Mwamba siku nikuonana nae Nampa maua yake
    Appreciate 👍 Bro

  • @GraceKikuo
    @GraceKikuo วันที่ผ่านมา +4

    Nagonga sana ngoma za huyu mjuba magetoni adi mchumba anabaki kucheka cheka tu....kichwa sana bro

    • @SaidMwamsema
      @SaidMwamsema 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kama mm tu😂😂😂

  • @invocavitmbise5296
    @invocavitmbise5296 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Is Dizasta Vina a man in this planet???
    Au yupo kwenye sayari nyingine???

  • @eryclassictz6011
    @eryclassictz6011 วันที่ผ่านมา +3

    Uyuu ndy wakupewa tuzo sasaaa

  • @kimodomsafitz
    @kimodomsafitz 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Hivi wanahip Hop hatuwezi kuwa na basata yetu tukawa tunaandaa tuzo zetu. Maana tuzo wanapewa waimba ngono na pombe.

  • @brunojewel45
    @brunojewel45 วันที่ผ่านมา +2

    Generalization ni mbaya sana, kuamini watu wa aina flan lazima wawe hivi, watu wanaamini msanii ni lazima awe na show off nyingi, but in reality EVERYONE HAS HIS/HER STANDS AND BELIEVES

  • @taojuma3277
    @taojuma3277 วันที่ผ่านมา +3

    Nimerudi darasani tena.... Blqck Mqradona

  • @fadhilykaduma3026
    @fadhilykaduma3026 วันที่ผ่านมา +4

    Tuendelee kuSubscribe, 100k ni yetu.

  • @josedorothea7939
    @josedorothea7939 วันที่ผ่านมา +3

    Najua mikataba bogaz inavyowatetelesha na ndo maana huwezi ona napelekeshwa 😂😂😂😂 Shawnee

  • @bonifacemeela5247
    @bonifacemeela5247 วันที่ผ่านมา +3

    Dizasta ni mmoja Tu Amin kwamba 💯

  • @onlinewinner8891
    @onlinewinner8891 วันที่ผ่านมา +2

    Hah the lucky me, nimeingia u tube nimekuta ngoma dizasta vina😂

  • @BerthaMichealPhiri
    @BerthaMichealPhiri วันที่ผ่านมา +2

    Duh!! Kichwa chako kinakutosha mwenyewe bruh!!🎉 You the king of All. Love from Mbozi!!

  • @renatusmartinshigi19
    @renatusmartinshigi19 วันที่ผ่านมา +2

    Inshu sio wimbo ila angalia medulla ilo andika mashairi. Dizasta anaimba ukweli mtupu bila kufeki🔥

  • @Moshi_klm
    @Moshi_klm วันที่ผ่านมา +3

    Napendaaa hip hop sanaaa

  • @Arapmisemo
    @Arapmisemo วันที่ผ่านมา +2

    kwa jinsi DUNIA inavyosonga , tunazidi kufunguka macho , tunaelewa na ku appreciate wasanii wote ambao wanawika UNDERGROUND , kwani kama tunavyoona bei ya kupata u superstar kwenye dunia ya leo ilivyo ghali , wanachokipitia wasanii ili tu wapewe promo , inasikitisha. Inasikitisha tena sanaa , let's appreciate underground artists , wana ujumbe MZITO sanaaaaaa

  • @habaripendwatv9651
    @habaripendwatv9651 วันที่ผ่านมา +2

    Nafarijika na nnajivunia kuwa ni miongoni mwa wanaoishi kwenye ihi Dunia niliyepata bahati ya Kusikiliza madini kama haya, Hakika ihi ni Azina Adimu kuwai kutokea chini ya jua, DZSTVN🔥🧠

  • @captainb.o.b568
    @captainb.o.b568 วันที่ผ่านมา +2

    Professor tungo in the building this is hit

  • @jibrilshukri8340
    @jibrilshukri8340 วันที่ผ่านมา +2

    Kama mkenya halisi namtambua sana huyu mwamba.
    Baada ya mzee mzima professional jay naamini dizasta ni kiumbe kamali katika hip-hop East Africa nzima

  • @SaluMaige-m1v
    @SaluMaige-m1v วันที่ผ่านมา +2

    Waambieni hivi hii ndo ngoma boraaaa kwenye tuzo zao

  • @mkolekulwa3090
    @mkolekulwa3090 วันที่ผ่านมา +4

    Nataka kuielewa hii uncertainty principle. Vina fundi sana kwenye tungo

    • @mtopazubery7083
      @mtopazubery7083 วันที่ผ่านมา

      Soma General Chemistry kidogo tu ....utakutana nayo hyo

  • @KelvinSarapi-bk1gr
    @KelvinSarapi-bk1gr วันที่ผ่านมา +2

    8 Miles, kichwa kikubwa💪🏿

  • @dannymbwana3863
    @dannymbwana3863 วันที่ผ่านมา +2

    Dizasta vina is the lyrical monster

  • @DeLeCEO
    @DeLeCEO วันที่ผ่านมา +2

    Mchumba anahisi nauza bangi
    Anashangaa nimesoma sijatafuta kazi
    Mitaa inahisi nauza pakti
    Nimechoka naunga waya naunga nyagi
    Mwonekano nje hauonyeshi nina kisomo

  • @petersimon2115
    @petersimon2115 วันที่ผ่านมา +2

    Utotoni sikupewa Maputo niliokota books,,🎉🎉🎉

  • @kengajoseph1665
    @kengajoseph1665 วันที่ผ่านมา +2

    Am top two and am not second 🔥🔥

  • @Ashibutz
    @Ashibutz วันที่ผ่านมา +2

    Au wenye maono ni wachache sana ngoma iende hii

  • @SamwelSteven-o7v
    @SamwelSteven-o7v วันที่ผ่านมา +2

    Tumeshafika 600 🔥🔥💯🤣🎵🎶

  • @rodgerzdangote8629
    @rodgerzdangote8629 วันที่ผ่านมา +2

    ❤❤❤ King wa uncertainty principle 😅🎉

  • @IsayavalentinoMasangula
    @IsayavalentinoMasangula 22 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Najua kukaa nyuma mbele masihala yakianza..🤔

  • @KornellyCosmassy
    @KornellyCosmassy 42 นาทีที่ผ่านมา

    " kunidharau ni kudharau Uncertainty Principle" 😂😂😂🙌🙌🙌

  • @adamc2311
    @adamc2311 วันที่ผ่านมา +2

    PEOPLE WITH COMMON SENSE TURN TO OUT NUMBER,,,,,,,💥💥💥 D ni mjenzi huru wa bars

  • @ericksunday689
    @ericksunday689 วันที่ผ่านมา +2

    WANGEKUWA WAP Ma prezenta wabovu na hizi afternoon showz BILA HIP HOP

  • @DavidmyJohnDavidmyJohn
    @DavidmyJohnDavidmyJohn วันที่ผ่านมา +2

    Hakuna mwanga Wala mganga wa kuwanga hiki kichwaaa wimbo wa taifaaa

  • @HaragitaPetro
    @HaragitaPetro วันที่ผ่านมา +3

    King of hiphop

  • @ChakuKALONDA
    @ChakuKALONDA ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Shabiki namba 1 wa Dizasta ni Mimi hapa

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx วันที่ผ่านมา +1

    Nime lelewa vyema na sasa nalea hiii mitaaaa💌💌💌💌💌💌

  • @ubwa_Artz4
    @ubwa_Artz4 วันที่ผ่านมา +2

    Ngoma ni kali sna

  • @ConstantinesafariHhayuma-es3ft
    @ConstantinesafariHhayuma-es3ft วันที่ผ่านมา +2

    wew! nimmoja1 akuna mwingne🎉

  • @abubakarsuleman1983
    @abubakarsuleman1983 วันที่ผ่านมา +1

    Dizasta wewe ndio mualimu wangu wa elimu dunia najiamini na najikubali toka nikombe elimu yako.

  • @YusufManzese
    @YusufManzese 22 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    D kama Vinaaaaaa✊️✊️✊️

  • @gimobakari6609
    @gimobakari6609 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Legendary katika ubora wake🎉🎉

  • @BarakaZakayo-w1p
    @BarakaZakayo-w1p วันที่ผ่านมา +2

    Mwambaa mwenyewee dizza star

  • @Ashibutz
    @Ashibutz 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Saa moja jioni ngoma ipo 19 on trending twendeni wanangu ngoma iende duniani

  • @JohnMabustar
    @JohnMabustar วันที่ผ่านมา +2

    Dah.... Aisee mpanorama ni hatari kaka 😊😊

  • @edenchulla5663
    @edenchulla5663 วันที่ผ่านมา +2

    Fanya collabo na Fulani na Fulani bal bla

  • @EliaStivin
    @EliaStivin วันที่ผ่านมา +2

    Bonge la songiii😅😅😅

  • @Davidpoul-t1h
    @Davidpoul-t1h วันที่ผ่านมา +2

    Nakukubali

  • @ahmedndodi2104
    @ahmedndodi2104 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Tununueni alibam tuachenu blaa blaa

  • @MJSports-16
    @MJSports-16 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Vina umetisha bro 👊🏿👊🏿👊🏿

  • @KelvinRemmy-hu8vn
    @KelvinRemmy-hu8vn วันที่ผ่านมา +2

    Mdogo wangu ana doubt me ni star na anashangaa kwanini i don't have a car🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👑👑

  • @barakamichael1487
    @barakamichael1487 วันที่ผ่านมา +2

    Elimu Iko hapa 💯

  • @KCc-zt3oj
    @KCc-zt3oj วันที่ผ่านมา +2

    Nakubali sana dizasta no 1

  • @ChakuKALONDA
    @ChakuKALONDA ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu jamaa anajua sana maana kwa uandishi huu atairudisha heshima ya hip hop

  • @josephnicolaus1705
    @josephnicolaus1705 วันที่ผ่านมา +2

    Kaa nyuma , mbele masikhara yakianza

  • @nutronic0226
    @nutronic0226 วันที่ผ่านมา +2

    Rudisha string theory spotify broski

  • @mkgorilla7200
    @mkgorilla7200 วันที่ผ่านมา +1

    Mwana Falsafa usiyetaka kuandikwa vitabuni🔥🔥🔥 hujawai feli 🔥🔥🔥 the black Maradona himself.

  • @HelenaOleseenga
    @HelenaOleseenga วันที่ผ่านมา +2

    Uhhhh ni 🔥🔥🔥

  • @evanceonesmo6480
    @evanceonesmo6480 วันที่ผ่านมา +2

    Booooom 💥

  • @AlphaxardMakongoro-dc3df
    @AlphaxardMakongoro-dc3df วันที่ผ่านมา +1

    The Black Maradona nakukubali sana bro una kitu cha maana sana you are AI broo una akili kibaooo❤❤😢😢

  • @diegolegend3691
    @diegolegend3691 วันที่ผ่านมา +2

    D LEGENDARY🔥🔥

  • @obbykicki
    @obbykicki วันที่ผ่านมา +2

    Vina the real😅🎉

  • @charleskitoki4648
    @charleskitoki4648 วันที่ผ่านมา +2

    Hakika unaitendea haki fasihi brother, Appreciate sana unalinda maadili yako binafsi, ya lugha yetu na muziki kwa maadili yetu. Keep going brother 👏👏

  • @kombakomba3854
    @kombakomba3854 วันที่ผ่านมา +1

    Tuna elimika, tunatambua na tuna enjoy kwa namna mashair yanavyopangilika ,big up broo tuko nawe tuzo yako tunayo moyon mwetu

  • @kimodomsafitz
    @kimodomsafitz 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    FANANI..... VINA DIZASTA🚦

  • @Billysign-li4qr
    @Billysign-li4qr วันที่ผ่านมา +2

    VINA OUR GHOST

  • @Maligisa12
    @Maligisa12 วันที่ผ่านมา +2

    I have a real life.
    Kaya, "you don't have to have dreadlocks to be Rasta, it's your Heart only".

  • @moosa4530
    @moosa4530 วันที่ผ่านมา +2

    Kunidharau ni kuidharau uncertainty principle

  • @KajeloTagawa
    @KajeloTagawa วันที่ผ่านมา +1

    Dizasta Vina ni mmoja ase kwel✅💥✊⚠️

  • @kelvinokelo7992
    @kelvinokelo7992 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kile dude linalodondoka linakuwa lamoto zaidi ya moto!!💥💥💥💥💥💥💥

  • @Denis-bc4rz
    @Denis-bc4rz 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Aibu inayokukuta ukwenii🔥🔥@dizastaa

  • @hashimswalehe1550
    @hashimswalehe1550 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    maradona mweusi💪
    ......eti oooh nmechok na huo uwongo wako.....blah blah

  • @JacobKakoko-t6g
    @JacobKakoko-t6g วันที่ผ่านมา +2

    Vina 🎉