Dizasta Vina - Fanani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • Official youtube Video of the record Fanani, Written and Perfomed by Dizasta Vina & Mr Public face.
    Stream & Download Fanani audio
    Boomplay www.boomplay.c...
    Audiomack audiomack.com/...
    Mdundo mdundo.com/son...
    Connect with Dizasta on socials
    heylink.me/dizastavina
    Lyrics
    "Talent and ability, can take you to the top of the mountain. Lakini, the moment you mess up with your character, everything goes back to zero. Unaanguka chini kabisa"
    Natembea sehemu nyingi nakutana na
    Watu wengi wananipa ushauri mwingi
    Mwingi mwingi blah blah blah
    Mbona hau-move hivi
    Mbona sijui hau-force kingi
    Mbona sijui hau-change hiki blah blah
    Fanya collabo na flani na flani blah blah
    Ule wimbo sijui ungemweka flani blah blah
    Flani na flani sijui hawawezi fani, flani sijui hamjui flani
    Flani sijui yuko kama flani blah blah
    Mchumba anahisi nauza bangi
    Anashangaa nimesoma sijatafuta kazi
    Namwambia mistari yangu ni bidhaa
    Nimelelewa vyema na sasa na sasa nailea hii mitaa
    Mitaa inahisi nauza pakti
    Nimechoka naunga waya naunga nyagi
    Mwonekano nje hauonyeshi nina kisomo
    Eti ubaya wa cover ndo' yaliyomo
    Mama ana-wish nimwoe Tuntu
    Anasema amesoma anamjua Mungu
    Namwambia "Tuntu anawadharau ndugu"
    "Na anaona mafanikio ni kupata bwana Mzungu"
    Mama Tuntu anasema mi muhuni
    Anahisi nipo ghetto nazienzi Kunguni
    Haamini naheshimika kwa kuuenzi Utamaduni
    Ana anahisi muziki dhambi kwahiyo siendi hata mbinguni
    Hajui kuwa imani yake ni dau pana
    La mchungaji, anahisi mi' mdhambi dharau sana
    Nawa-overate watu nasahau kwamba
    People with common sense mtaani are outnumbered
    Mama anasema nabonga hanielewi
    Nimezongwa siwezi kutoka na sihemi
    Natembea na makaratasi utadhania Mkandarasi
    Sina ganji utahisi nimerogwa na Washenzi
    Namwambia "ujuzi power" nauhakiki
    Nimenawa mpaka naenda sawa na Wahandisi
    Wauguzi wanapagawa wakifika himaya hizi
    Kuona Sina dawa utadhania mvuta kaya chizi
    Mdogo wangu ana-doubt mi ni Star
    Na anashangaa kwanini I don’t have a car
    Washkaji daily wanataka tupige picha
    Au short video Intro tukazitundike Insta
    Chuki nikiwaambia niko busy
    Hawaamini I have meetings to attend to
    Wanahisi nawadanganya wakaulize
    Kwani life is more than just Instagram and Facebook
    Wanasema mi' kituko naruka luksi
    Nishatengwa na milupo ila sikugeuka nuksi
    Nilitishiwa hadi vifungo sikutupa ujuzi
    Utotoni sikupewa maputo niliokota books
    Sikupendwa na mazoba wakereketwa
    Ni'shaibiwa na manyoka na ndio maana niko focus
    Najua mikataba bogus inavyowateteresha
    Ndo' maana huwezi kuona ninapelekeshwa
    Naakutana na
    Watu wengi wananipa ushauri mwingi
    Mwingi mwingi blah blah blah
    Mbona hau-move hivi
    Mbona sijui hau-force kingi
    Mbona sijui hau-change hiki blah blah
    Fanya collabo na flani na flani blah blah
    Ule wimbo sijui ungemweka flani blah blah
    Flani na flani sijui hawawezi fani, flani sijui hamjui flani
    Flani sijui yuko kama flani blah blah
    Hauwezi ku-observe my position, my momentum
    At the same time? that's cynical
    I'm electron, I know how to move better, Kunidharau
    Ni kuidharau Uncertainity principle
    Naona wanaibuka Wanariadha
    Wanafoka eti siongelei siasa
    Sijabuma, najua mchezo, ni kwamba
    Najua kukaa nyuma mbele masihara yakianza
    Life is when things happen so, let it be
    We learn how to behave from the same shit
    Ninajua hizo struggle for revolution
    And I knew it was time for change, so I change me
    Masihara ni fashion ukihitaji ule
    Hata vioo vya jamii vipo ndani mule
    Wasanii wanatumia style yangu bure
    Serikali hainitambui na ushairi wangu shule
    Mitaani juu hela haishikiki
    Nime-master mpaka school vyema hainishindi
    Sina matatuu natembea kwa miguu wananishangaa
    I'm getting too famous for this shit
    I'm a big deal nasahau sahau bwana
    Ila industry haiko real jau jau sana
    Maudhui ni kitu wadau walikacha
    Na maniga walisahau kuhusu culture
    Kisa njaa kubwa
    Mngekuwa wapi bila hiphop?
    Mngeshika wapi hizo dough bila hiphop?
    Mngekuwa wapi mapresenta wabovu
    Makundi ya matozi na Hizi afternoon shows
    Bila hiphop?
    Ni vile ubishi nakazia
    Hawaelewi kazi yangu maana dhiki imen'dandia
    Mchumba n'nayembambia hasadiki nikimwambia
    Mi' mwanamziki bado anahisi namtania
    Anasema namletea msongo wa mawazo
    Eti ooh! nimechoka na huo uongo wako
    Ana hofu that we don't show off
    Go out and hit a club like a normal couple
    Kisa sija-fix my finances
    She won’t fix her attitude
    Anafungua fridge yangu na hajachangia kitu
    Na anataka nimpeleke Summer Malibu
    Namwambia I have real life sio sci-fi
    Anahisi naishi honey boo boo lifestyle
    Oohh she wanna dance in the car
    40 degrees she wanna shake her ass in a Yatch
    Natembea sehemu nyingi nakutana na watu wengi
    Wananipa ushauri blah blah
    Mbona haumove hivi sijui mbona hau force kingi
    Mbona sijui hau.... blah blah blah
    Blah blah blah
    Blah blah
    Ushauri mwingi blah blah
    Man I'm outta here

ความคิดเห็น • 536