You got alot of wisdom with you ! And very articulated in your case your Haq will prevailed,be strong and keep on trust in Allah swt. There is always a challenge in life . Kudos Iron lady !!!
Pole sana dada ila tambua kabisa hakuna aliemsaliti Yesu akabaki salama Tubu dhambi hio kisha jikabidhi mbele za Mungu mazito atayarahisisha. Mwanaume amekuacha ila Yesu hatakuacha atakufanyia wepesi kwa unayoyapitia Yesu atakufuta machozi.
Chozi la mnyonge hulipwa na mwenyez Mungu mkabidhi nyumba yake mungu atakufunguria rizki nyingine kuliko kupitia manyanyaso makubwaa utajapata maradhi ya moyo bure
Pole Sana Hizi Ndoa za Kupostiana Mitandaoni Zina Changamoto Mno Tataizo Husda Watu Sio Wazuri Kabisa Hapo Wanafurahi. LEA WATOTO WAKO KM UNAHITAJI STARA MI NIPO.
USILIE MAMA KWANZA NI MZURI HARAFU UNAJITAMBUA .HARAFU NI MWANAMKE NA NUSU .KWA DUNIA HII YA LEO SIO RAHISI MWANAMKE KULEA WATOTO WA WAKE WENZA .NAKUPENDA BUREE♥️♥️
Pole Sanaa mungu akusimamie hata sisi tupo tunapambana na watoto wetu tushaterekezewa natujawai kupatwa hata huduma tunakomaa wenyewee mpaka watoto wanafikia umri wa miaka 17natunasonga mungu anasaidia
Pole saga dada , Be strong 💪🏿 it happen in life , usihuzunike …. U have to thanks for allah …. Tupo pamoja na wewe sister, everything it will be fine dada …. Don’t worry…. Tutaku saport inshalah 🙏🙏🙏🙏
clouds mbona hii story haijulikani imeanzia wap imeishia wap vipande vingi vingi havieleweki kama hii muendelezo wake mpaka ukabaatishe huko, viwekeni kwa mtiririko ili watu wanao weza kumsaidia waelewe stori yake,
Hio ndio tabia ya waganga ni watu wenye roho mbaya yule sio Dr bali ni mganga wa kienyeji kazi yake ni kuganga na kupiga ramuri na kuwadanganya wanawake sijuwi kwa nini watu huwa wanamuita dr Mwaka.. sio dokter bali ni mpiga ramuri. Dada nakuomba usitoke kwenye nyumba yako...
Kila siku mwanamke anajianika mtandaon anaongea vitu ambavyo havielewek huko ni kujidhalilisha mwanamke anashindwa kuita pande zote mbil wakae wamalizane wao kujianika mtandaon au kuwa na waandishi wa habar hiyo sio njia ya kusolve tatzo bali n kutafta umaaruf usio kua na maadili ya ndoa
Wanawake bana, mwanamke akifanya manyago yake atajilizaliza ili aaminiwe ila ukweli n kwmb wanawake n waongo na n matapeli tu hamna ukweli wowote hapa..
Hakuna mwaka ana tembelea nyota ya uyo dada ndio Mana ataki kumuacha tumien hakiri viumbe vya mungu ,akuna jambo likakosa nyisho wake na Hilo litapita tu
Sisi wanaume tuwe na upendo na mwanamke anaekujali huyo Dr Mwaka Mungu anamuona kabisa asimnyanyase Huyo Queen Mwanamke anataka kupambwa ili isianguke waziri wa haki za wanawake naomba hii iichukuliwe hatua
Pole Sana dada Queen. Naamini M/mungu atakulinda. Ndoa hakuna hapo.viongozi wa dini wakishindwa kuamua wanawake tutakutetea. Acha kulia kwasababu ya mtu asiyejua thamani yako.
Duuuuh!pole sanaaa tuko wanawake wengi tunaolea watoto peke yetu kwa mateso magumu,fikiria ulee watoto peke yako na yeye akusumbue mtihani sana ila usife moyo usilie futa machozi yupo Mungu atakusaidia sababu Mungu ndio kila kitu
Asalam alleikum warah matulahi wabarakatu...dadangu kwanza Masha Allah Kwa kumjua Allah.... Allah azidi kukuongoza Ameen...pili karibu Kwa club ya single mother's...watoto watakua Kwa nguvu za Allah ...
Sasa ndugu yangu kwan kuna mahali kasema anaikosa aman kwenye uislaam, dini na mahusiano ya ndoa havihusiani so imani yake ndo imempa nguvu ya kufika hapa alipo leo
Pole Sana aisee apo shida Mali tu anais Kam anaibiw achana nae Allah atakupa aliyesahihi na Bora kwako pambana n wanao mama bado u mzuri uso una Nuru mashallah Allah akujaalie wew na wanao na wakulinde zaid
nyumba kama amekupa n haki yako n akikupokonya itakuwa amekudhulumu na nimakosa hata kidini yeye kikubwa kadhi akuachishe aibu hii kaitaka mwenyewe mungekuwa mumemalizana chumbani ulimwengu usingejuwa sasa Dr.mwaka anaona haya
Hakuna kurudisha nyumba kuna jasho lako humo na alikupa kisheria mbele kwa mbele ushindi ni wako imekula kwake yaani nimekuelewa vizuri sana na nimegundua una akili sana na unamaono makali keep it up very good na ikawe fundisho kwa vidume wengine
@@stevenbushiri2291 ...mmmmh hujakutana na Mikasa wewee broo.!! inafikiaga mpk wale wenye roho ndogo wanauwa mtu anaona potelea mbali liwalo na liwe kutokana na adha ya Hawa viumbe wanawake achaa kabisa broo.!!
Usimpe Usiogope wala usilie, ushaamua kuachana nae aachane pia nawewe sio lazima Kwani angetaka yeye kukuacha ungemlazimisha ivi angekubali ..aende zake uko unavyomuogopa ndio anapata kichwa kuwa mgumu Akitaka mpigane pigana usimuogope yeye sio mungu, haliwi jambo bila idhini ya mungu unaogopa bure na kujistress bure.. Hali iyo umemzalia Vipi ungekua hujamzalia, au alivyokua anawapanga watatu watatu alikua anaona nanyie mnaenjoy ayo maisha kama yeye, kumbe mmekaza tu mioyo zamu yake imefika inamuuma nini sasa, liwalo na liwe Usiogope akiachwa aachike
Waombe radhi wazazi wako kwanza watanzania wanakuangalia wala hawaumii ila wazazi ndio wenye mtihani. Huko South ulikuwa umekwendaje alikupeleka yeye mumeo au uliondoka mwenyewe? Umeanza malumbano sasa unayandeleza mwenyewe fikiria athari zake.
Mungu akutiengu Dada inasikitisha kwakweli doctor Mwaka anajifanya mtu mzuri mbona anamuhangaisha hivi mwenziwe kwani ndoa vita mapenzi yashaisha kwanini analazimisha.
Mimi naona hata kama Watakufuata Waandishi wa Habari Ni Kunyamaza tu, Kwani Mwenyezi Mungu Mwenyewe anajua yaliyokupata Na atakusaidia Kwa njia zake, Kuliko kila Lililokutokea kuliweka mitandaoni. Lia na Mwenyezi Mungu, Usilie katika mitandao.
Dr huyu ni mkeo tu. Nikufumba macho na kujishusha hakuna aliye mkamilifu kwa hili. Na hii kuangalia bona kuna masingo mother wengi tu sio kauli zakuendekeza.
Pole Dada, lakini wajua kwamba wewe pia ulimwacha bwana yako na ukamfuata dr Mwaka..kwa hivo malipo ni hapa hapa duniani tu maana yule bwana uliomuacha pia alihisi vipaya na wewe ukaona pesa ndio muimu. Kwa hivyo dada usilie saana.
Jamani jamani hakikisheni mnalitumia Jiti vizuri, jiti ni sehemu ya amani ndani ya ndoa kama jiti hukulipiga vizuri na hukujua hisia za mwenzako zinataka nini matokeo yake ndio hayo.
Machozi ya uongo hayo. Ukitaka talaka wewe nenda kajivue ndoa, kitu anacho taka ni mali sio talaka. Hii sio mara ya kwanza alimfanyia hivyo hivyo mume wa kwanza akamla mali kibao
Sasa huko mtandaoni unatafuta nini tena au ndo kuendeleleza aibu umesababisha taharuki kubwa katika jamii Ina tosha tulia fuatilia jambo lako ktk vyombo husika mitandao Haina msaada na wewe
Jamani SERIKALI YETU iko wapi? Mtu anadhulumiwa haki zake mchana kweupe kila mtu akiona na serikali inatazama tu? Jamani hata mtu wa kukemea tu hayupo? Tumwogopeni Mungu.
Imeandikwa mwanamke n kiumbe dhaifu Kwan ulikuwa unamfanyia kaz yeye au ulikuwa unafanya kaz kwa ajili ya family yako au haujazaa nae? Au ulikuwa house girl?
Sakata la huyu mama tunaomba lishiishie njiani..Gadna na mwenzio..libebeni to the END POINT...Yaani Lina mafundisho mengi sana katika Dini, na ndoa kwa ujumla
Jamani pamoja na yote wanawake Wana vitimbi na mitihani,natumaini Kwa aliyepo ktk ndoa anajua vitimbi vya wanawake,tunaweza kusema kaonewa kumbe hatujui Siri ya ndoa yao
Mke mwema kakosa mume mwema. dada anza upya na Mungu atakulipa kwa mema yote uliyo mtendea.Pia una busara sana.
Kwenye miti hakuna wajenzi
You got alot of wisdom with you ! And very articulated in your case your Haq will prevailed,be strong and keep on trust in Allah swt. There is always a challenge in life . Kudos Iron lady !!!
Pole sana dada ila tambua kabisa hakuna aliemsaliti Yesu akabaki salama
Tubu dhambi hio kisha jikabidhi mbele za Mungu mazito atayarahisisha.
Mwanaume amekuacha ila Yesu hatakuacha atakufanyia wepesi kwa unayoyapitia Yesu atakufuta machozi.
Jaman huyu Dada n mzuri sana. Ndio maan doct Mwak hataki kumpa talaka.. pole Dada kwa misukosuk unayopitia.
Kabisa roho Ina muuma
Kuna kizuri zaidi ya pesa ktk Dunia ya sasaa.!? Mgongano hapo uko kwenye maslahi tuu ya Mali lkn si uzuri wa huyo dada no.!!
Chozi la mnyonge hulipwa na mwenyez Mungu mkabidhi nyumba yake mungu atakufunguria rizki nyingine kuliko kupitia manyanyaso makubwaa utajapata maradhi ya moyo bure
Huyu dada ndoa anaiweza SaaAAAN Allah ambariki apate mume kwenye kheri kwke😔🙏
Hata atakaempata bado atadai talaka tuu
Unamtetea mwanamke mwenzako? Unadhani huyu na zile faking love moments wanafanana??
Uyu ni mke sahihi
Dada umeniliza wewe mimi Mungu akujaalie riziki na ulee watoto wako.
Wanawake wapumbavu ndio wataona Queen kakosea lkn Ana haki ht mie machoz yamenitoka 😥
Jamani mie pia nimelia mpk bac....km vile dadangu anapitia hayo magumu
Wanawake ni mtihani sana...
Pole Sana Hizi Ndoa za Kupostiana Mitandaoni Zina Changamoto Mno
Tataizo Husda Watu Sio Wazuri Kabisa Hapo Wanafurahi.
LEA WATOTO WAKO KM UNAHITAJI STARA MI NIPO.
USILIE MAMA KWANZA NI MZURI HARAFU UNAJITAMBUA .HARAFU NI MWANAMKE NA NUSU .KWA DUNIA HII YA LEO SIO RAHISI MWANAMKE KULEA WATOTO WA WAKE WENZA .NAKUPENDA BUREE♥️♥️
Very sad this woman she’s too cute
Utadhani dada yake zari, mzuri huyu dada. Yani hapo bila makeup
huyu ni mzuri sio mrembo, warembo akiamka asubuhi ukikutana nae utakimbia
Ishi nae ndio utajua uzuri na ubaya wake.
Pole Sanaa mungu akusimamie hata sisi tupo tunapambana na watoto wetu tushaterekezewa natujawai kupatwa hata huduma tunakomaa wenyewee mpaka watoto wanafikia umri wa miaka 17natunasonga mungu anasaidia
Kabisa dada tunakomaa kwa kweli, 🙏
yr the best mama n GOD is going to take you through.
Pole saga dada ,
Be strong 💪🏿 it happen in life , usihuzunike …. U have to thanks for allah …. Tupo pamoja na wewe sister, everything it will be fine dada …. Don’t worry…. Tutaku saport inshalah 🙏🙏🙏🙏
clouds mbona hii story haijulikani imeanzia wap imeishia wap vipande vingi vingi havieleweki kama hii muendelezo wake mpaka ukabaatishe huko, viwekeni kwa mtiririko ili watu wanao weza kumsaidia waelewe stori yake,
Ndoa ya mke Zaid ya mmoja n changamoto sana🙆🏾♂️
Ila uzinzi hauna changamoto??
It depends on kind of husband that u have
@@TahilaRamadhan-hz3pd maybe
Hio ndio tabia ya waganga ni watu wenye roho mbaya yule sio Dr bali ni mganga wa kienyeji kazi yake ni kuganga na kupiga ramuri na kuwadanganya wanawake sijuwi kwa nini watu huwa wanamuita dr Mwaka.. sio dokter bali ni mpiga ramuri. Dada nakuomba usitoke kwenye nyumba yako...
😂😂🤸 ila watu nyie
Ramuri ndiyo nini?
We mwanaume wa aina gan unaanza kutoa shombo ambazo hazina Tija kw hyo anachokiongea huyo dada waona Yuko sahh sna acha izo zarau
Kila siku mwanamke anajianika mtandaon anaongea vitu ambavyo havielewek huko ni kujidhalilisha mwanamke anashindwa kuita pande zote mbil wakae wamalizane wao kujianika mtandaon au kuwa na waandishi wa habar hiyo sio njia ya kusolve tatzo bali n kutafta umaaruf usio kua na maadili ya ndoa
Njoo mwaya uwe wifi yangu Yan we Ni mzur jmn asiye kupenca achana naye njoo huku Kaka yangu yupo😍
Nakutakia ushindi my dear! Maneno yako ya busara mungu atakuondosha kwenye ndoa hiyo ya mateso
Dada nakuelewa sana MUNGU akutie nguvu Kwa hili na akupe nguvu ulee watoto wako
Na uwanaume wangu chozi limenitoka mungu yupo anakuona na anasikia, Amini atakusaidia
Wanawake bana, mwanamke akifanya manyago yake atajilizaliza ili aaminiwe ila ukweli n kwmb wanawake n waongo na n matapeli tu hamna ukweli wowote hapa..
Hakuna mwaka ana tembelea nyota ya uyo dada ndio Mana ataki kumuacha tumien hakiri viumbe vya mungu ,akuna jambo likakosa nyisho wake na Hilo litapita tu
Well said,Queen ananyota kali sana
Uyu dada anangara
Nikweli kbs jmn daa kuna watu mnaona mbali sana
Mrembo sana lazima atapitia matatizo hawezi kumwacha na atamtia kichaa
Pole sana Queen Sina neno ila neno Langu ni Moja mpe mahari zake bac akiitaji Mali pia mpe ni vya Dunia na vinatafutwa na mungu atakubariki
Hivi wanawake si muwe na nyie mnajenga nyumba za kwenu zenye majina yenu? Why utake vya mwenzio tu?
@@vintagemusicgroup9236 Hmh Mke pia anahaki mmali ya mume si mbaya
@@khadidjasuleiman8006 Na mume nae ana haki kwa mali ya nani?
Mama uso wako una Nuru. Mashallah Mungu muombe tu yatafunguka yote hayo hatakuacha mkono.
Sisi wanaume tuwe na upendo na mwanamke anaekujali huyo Dr Mwaka Mungu anamuona kabisa asimnyanyase Huyo Queen Mwanamke anataka kupambwa ili isianguke waziri wa haki za wanawake naomba hii iichukuliwe hatua
Kaka nyamaza huwezi jua Nini chanzo
Pole Sana dada Queen. Naamini M/mungu atakulinda. Ndoa hakuna hapo.viongozi wa dini wakishindwa kuamua wanawake tutakutetea. Acha kulia kwasababu ya mtu asiyejua thamani yako.
Mungu atakusimamia.zidi kumuomba Mungu
NENO MNATAFUTA MNACHUMA ILA WANATUMIA WENZIO LIMENITOA MACHOZI
😭😭😭😭
Duuuuh!pole sanaaa tuko wanawake wengi tunaolea watoto peke yetu kwa mateso magumu,fikiria ulee watoto peke yako na yeye akusumbue mtihani sana ila usife moyo usilie futa machozi yupo Mungu atakusaidia sababu Mungu ndio kila kitu
Asalam alleikum warah matulahi wabarakatu...dadangu kwanza Masha Allah Kwa kumjua Allah.... Allah azidi kukuongoza Ameen...pili karibu Kwa club ya single mother's...watoto watakua Kwa nguvu za Allah ...
😢😢😢 very sad kabisa how can i help her please please dada rudi kanisani utapata more amani more
Acha ushauri wa kijinga ww
Sasa ndugu yangu kwan kuna mahali kasema anaikosa aman kwenye uislaam, dini na mahusiano ya ndoa havihusiani so imani yake ndo imempa nguvu ya kufika hapa alipo leo
Ndoa za kikristo ndio zina stress hatari.Hebu acha kuchanganya mambo
@@mao9622 pole sana
@@malkiachristopher8732 waislam ni wabinafsi na roho mbaya sana ,aisee nlisemaga hata rafik wa kiislam stak kumsikia, na washirikina hatar
Mwaka bado anampenda Queen ndo maana anafanya yote hayo
Jap haipend lkn kawek kaniamba MashaAllah Allah akulnd sistr
Nyie hyu dada ni mzuriiiiii
Dada ukimaliza na na Dr Mwaka karibu kwangu utapata utulivu sina bugudha wala kero
Pole Sana aisee apo shida Mali tu anais Kam anaibiw achana nae Allah atakupa aliyesahihi na Bora kwako pambana n wanao mama bado u mzuri uso una Nuru mashallah Allah akujaalie wew na wanao na wakulinde zaid
nyumba kama amekupa n haki yako n akikupokonya itakuwa amekudhulumu na nimakosa hata kidini yeye kikubwa kadhi akuachishe aibu hii kaitaka mwenyewe mungekuwa mumemalizana chumbani ulimwengu usingejuwa sasa Dr.mwaka anaona haya
Anamkomoa huyu dada sio vzr mungu hapendi amuache tu kwa talaqa ndoa sio manyanyaso
Mbona mnajidhalilisha saana mitandaoni dada zetu wa kiislam aibu wallahi
Dada jasiri Sana but mungu akupe nguvu ya kuyashinda haya
Nakuoneya huruma pole. Yataisha mwenyezi Muungu Yuko pamoja na wewe au pamoja nasisi wanawake wenziko
Pole dada kwa mitihani uliyopitia, Allah atakulipa
Pole dada, kwani yuhu Dr mwaka ni kabila Gani natamani nijue ustarabu Hana zero kabisaaa
😭😭😭😭 mama we mzur sana usilie unaniliza mimi
Ataje na yeye makosa yake
Pole sana dada kwa mateso..haya sio mafundisho ya Uislamu vitisho havina nafasi...Ila Allah anayaona magomvi yenu na ndio atakaewahukumu.
Duuuh pole Sana dada huyu Dr ni kabila gan???? Jaman kwann asimuachie hiyo nyumba akalea watoto wake??? Jmn
Jipe moyo litapita Dada.
Hakuna kurudisha nyumba kuna jasho lako humo na alikupa kisheria mbele kwa mbele ushindi ni wako imekula kwake yaani nimekuelewa vizuri sana na nimegundua una akili sana na unamaono makali keep it up very good na ikawe fundisho kwa vidume wengine
Usitoe nyumba
Dad umejua kutuliza daaaa wanaume🙌🙌
Kwahiyo wewe ukisikia ya upande mmoja tu basi unaliaa.!! 😂😂😅
Wanawake Huwa hawawakosei wanaume
@@stevenbushiri2291 ...mmmmh hujakutana na Mikasa wewee broo.!! inafikiaga mpk wale wenye roho ndogo wanauwa mtu anaona potelea mbali liwalo na liwe kutokana na adha ya Hawa viumbe wanawake achaa kabisa broo.!!
Yani Yule mwaka ni mshamba sanaa
Jamani mwenyenyumba haina mtu ampe huyu dada akae , arudishe kibanda cha watu cha masumbulizi ,kikubwa awe na talaka yake
Usimpe Usiogope wala usilie, ushaamua kuachana nae aachane pia nawewe sio lazima Kwani angetaka yeye kukuacha ungemlazimisha ivi angekubali ..aende zake uko unavyomuogopa ndio anapata kichwa kuwa mgumu Akitaka mpigane pigana usimuogope yeye sio mungu, haliwi jambo bila idhini ya mungu unaogopa bure na kujistress bure.. Hali iyo umemzalia Vipi ungekua hujamzalia, au alivyokua anawapanga watatu watatu alikua anaona nanyie mnaenjoy ayo maisha kama yeye, kumbe mmekaza tu mioyo zamu yake imefika inamuuma nini sasa, liwalo na liwe Usiogope akiachwa aachike
Waombe radhi wazazi wako kwanza watanzania wanakuangalia wala hawaumii ila wazazi ndio wenye mtihani. Huko South ulikuwa umekwendaje alikupeleka yeye mumeo au uliondoka mwenyewe? Umeanza malumbano sasa unayandeleza mwenyewe fikiria athari zake.
Nimekuelewa Doctor Mwaka
Allah akupe subra na atahukumu mchana kweupe ili iwe mazingatio kwa jamii.
Mungu akutiengu Dada inasikitisha kwakweli doctor Mwaka anajifanya mtu mzuri mbona anamuhangaisha hivi mwenziwe kwani ndoa vita mapenzi yashaisha kwanini analazimisha.
Baba anarohoo ngumu hyo jmn .Eee Mungu wasikie wakina mama
Amiin
Mume kutoka Kigoma...no hapana...ungesoma alama za nyakati my dear,kwanza nakupa hata hongera kumchomoka! Inua moyo utafika mbali
Nyie ndio mnaempoteza, atateseka sana
Nahic uyo dada ana yake nyuma ya pazia
Mimi naona hata kama Watakufuata Waandishi wa Habari Ni Kunyamaza tu, Kwani Mwenyezi Mungu Mwenyewe anajua yaliyokupata Na atakusaidia Kwa njia zake, Kuliko kila Lililokutokea kuliweka mitandaoni. Lia na Mwenyezi Mungu, Usilie katika mitandao.
Am trying to understand her but kisheria ya kislamu ukidai talaka lazima urudishe Mali ya mumeo alizokupa.
Wadada mjifunze mapenzi Sio Hela Hela chimbuko lake ni shetani ndani Kuna mauza uza
Pole mama kwayote unayo yapitiya Allah akulipa kwamem abaya tumeumbiwa wanadam piy hats mazur vilevil kikubwa wewe no mwamke jasir
Kweli dada alijitahidi na amefanya kila kitu....
Una ushahidi?
Jaman Mamy usilie we nimzur San Wala asikubabaishe
Kiukweli huyu mama ni mrembo sana na mjomba nani ataki kutoa kalaka wivu unamtesa😂
Umeniliza Sana pole yatakaa Sawa pole
Dr huyu ni mkeo tu. Nikufumba macho na kujishusha hakuna aliye mkamilifu kwa hili. Na hii kuangalia bona kuna masingo mother wengi tu sio kauli zakuendekeza.
Hata huyo dada Mwaka alimloga ndio akamwoa!
Kina Mama tunaunaumizwa sana, nakuombea Mwanamke mwenzangu Mungu akutie nguvu hasa unapopitia machungu ya ndoa ya mtu asiyeona thamani yako.Pole sana
Ila nyie hamuumizi
Unafikir kila kitu ni nyinyi tu ndio mnaonewa.... aachie nyumba tu apewe talaka.
Mama acha kucheza na hisia za watazamaji acheni uongo na unafiki
Pole Dada, lakini wajua kwamba wewe pia ulimwacha bwana yako na ukamfuata dr Mwaka..kwa hivo malipo ni hapa hapa duniani tu maana yule bwana uliomuacha pia alihisi vipaya na wewe ukaona pesa ndio muimu. Kwa hivyo dada usilie saana.
Unamjua huyo aloachwa?
Sasa nmefaham kumbe tatzo ubinafsi na tamaa ya mali
Jamani jamani hakikisheni mnalitumia Jiti vizuri, jiti ni sehemu ya amani ndani ya ndoa kama jiti hukulipiga vizuri na hukujua hisia za mwenzako zinataka nini matokeo yake ndio hayo.
Ukiskia mwanamke anasema "ninapambana kulisha wanangu...." Ogopa sana..anaweza kufanya yasiyoandikika!...Hawa wanawake wa Kiswahili tatizo sana Hawa!
Naumia mimi jamani kwanini lakini mtu ateseke hivi????? Uwiiiii?????
Naomba namba ya kwini nimuoe nimpumzishe nahizo kadhia nimpe penzi Amusahau mwaka nipo mz
Kaka hata Mimi namtaka awe wifi yangu
Huyu dada muongo sana , huwezi kukaa ukaongea mambo yako na mumeo katika mitandao …. Kumbuka ulipotoka …. Kuwa na shukran
Uongo ni upi hapo, haya tuambie wewe ukweli maana unaishi nao
Mwanamuke mzuri Masha Allah
Unamtamani mke wa mtu?
Mungu uliyehai ,ukatende haki
Machozi ya uongo hayo. Ukitaka talaka wewe nenda kajivue ndoa, kitu anacho taka ni mali sio talaka. Hii sio mara ya kwanza alimfanyia hivyo hivyo mume wa kwanza akamla mali kibao
Sasa huko mtandaoni unatafuta nini tena au ndo kuendeleleza aibu umesababisha taharuki kubwa katika jamii Ina tosha tulia fuatilia jambo lako ktk vyombo husika mitandao Haina msaada na wewe
Huyu Mwaka ni freemason
Jamani SERIKALI YETU iko wapi? Mtu anadhulumiwa haki zake mchana kweupe kila mtu akiona na serikali inatazama tu? Jamani hata mtu wa kukemea tu hayupo? Tumwogopeni Mungu.
Dada usikubali tena mahojiano usitangaze tena
Jaman pole3 dada hao wake wenzio uliowalelea watoto wao wako wapi
Dada Mauri jamani afu anabusara sana
Dokta mwaka huyu mwanamke muache akiwa salama .usipende huyu mwanamke awe anadondosha machozi kiukweli sio vizuri kabisa naitakugalimu
Imeandikwa mwanamke n kiumbe dhaifu Kwan ulikuwa unamfanyia kaz yeye au ulikuwa unafanya kaz kwa ajili ya family yako au haujazaa nae? Au ulikuwa house girl?
Dada nyota yako kubwa sana wewe muachie tu kila kitu miez kadhaa kwa uwezo wa Allah s.w umeshapata vyote hivo
Sakata la huyu mama tunaomba lishiishie njiani..Gadna na mwenzio..libebeni to the END POINT...Yaani Lina mafundisho mengi sana katika Dini, na ndoa kwa ujumla
Jamani pamoja na yote wanawake Wana vitimbi na mitihani,natumaini Kwa aliyepo ktk ndoa anajua vitimbi vya wanawake,tunaweza kusema kaonewa kumbe hatujui Siri ya ndoa yao
Vikubwa tena
Jee mshasilikiza na ya Dr Mwaka au mko satisfied na story ya one side of the coin
Mungu atasimama nawe,muachie kila kitu hana aliyekuja na mali duniani
Kama uwajui wanawake unaweza kidhani uyu dada kaonewa ila kwa sisi tunao wajua hawa viumbe tulishajua tatizo mpm
Unachoreka mama mlitaftana wawili leo kuachana mitandao inahusika dah mshauri wako hafai mashehe nap wameingilia Kati dah🚶🚶🚶🚶
Usilie siosababu ya kudai tala nikuwekana sawa2 una hoja ya kudai talaka wew mama muogope mungu
Pole my dear
😭😭😭😭😭😭😭😭
Kazuri na kana akili
Sana Yan nikazuri mweee!
👌
Yaan hata Zari haingii hapa
😭😭😭😭😭 hutasahau
Umemponza Alie kua sheikh wetu wa mkoa Alhad mussa salim
Aiseee ukikosa Elimu mbaya sana
Shehe siyo Mungu wako kasome shule