#EXCLUSIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ค. 2023
  • #EXCLUSIVE: QUEEN MASANJA AFUNGUKA KUTOVAA STARA - ''MWANAMKE USIOGOPE KUANZA UPYA''...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 229

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  11 หลายเดือนก่อน +3

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

    • @fatimahwazir9179
      @fatimahwazir9179 11 หลายเดือนก่อน

      Hi Habari, sorry napata je no ya uyu dada queen?

    • @user-md6ll9mm2m
      @user-md6ll9mm2m 7 หลายเดือนก่อน

      Maashallh dadaangu umeweza mungu akutie nguvu ktk upambanaji wako

  • @bahatirobert1009
    @bahatirobert1009 11 หลายเดือนก่อน +15

    Ishi utakavyo qeen ,mbinguni unaenda mwenyewe,na watoto unalea mwenyewe,ko go on❤❤❤❤

  • @ndohoriomsacky445
    @ndohoriomsacky445 10 หลายเดือนก่อน +4

    Wanaume mnakosea Sana mnapo oa mke mpe elimu y kimaisha mpe frusa mkeo usimbane mkeo mpe nafasi y kufanya biashara mpe mtaji mkeo kidogokidogo mke anaweza akaona vingi vingi biashara mkafanya wote mke na mume mkafanikiwa siyo ukambana asifanye kazi alafu unamuolea mke huku unamdharau siyo vizuri mpe mkeo elimu ykujituma aone vingi vyakufanya

  • @ashamahadi5281
    @ashamahadi5281 11 หลายเดือนก่อน +10

    Jichanganye mdogo wangu maisha yaendelee kambi popote unavaa kawaida tu kwani kuweka nywele vizuri kuna ubaya gani. Bila ya mme inawezekana. Pambana na enjoy maisha utajua hujui.

  • @rithaferdinand3738
    @rithaferdinand3738 11 หลายเดือนก่อน +12

    Ila kuna watu wanajua kuwahukumu wenzao kaaah, hv nyie mabaya yenu nani anawahukumu? Mungu ni wa wote jamani, kila mtu ana imani yake. Hongera sn mdada na Mungu atazidi kukubariki dada.

  • @deboramartin8111
    @deboramartin8111 11 หลายเดือนก่อน +17

    Kwanza qeen ni mkristu alikuwa muislam alipokuwa na doctor mwaka ndio kabadili dini acheni kumfuatilia mdada was watu

  • @marianajohn5415
    @marianajohn5415 10 หลายเดือนก่อน +1

    Queen is 100/100 she is soooo perfect ! Mungu akupe mume sahihi dada 🥰❤️

  • @mgayamecky7380
    @mgayamecky7380 11 หลายเดือนก่อน +11

    Manamsema sana dada wa watu ohh anatembea uchi alivyokuwa kwa dr mwaka na huku alipo wapi alikuwa anaenda utupu mwacheni mtu aishi maisha yake mlitaka apate kichaa cha ndoa hebu mwachen apate fresh air ,dada piga kaz fanya kile kinachokupa furaha ilmradi humuumiz mtu

    • @kapingalucy2707
      @kapingalucy2707 11 หลายเดือนก่อน

      Kabisaa amuuzi mtyu wala MUNGU.anapambania Maisha ya Wanae Nayeye Mwanadamu kila ulifanyalo awezi lizika lazima watasema Tyuu

    • @hidayaswai3119
      @hidayaswai3119 11 หลายเดือนก่อน

      Kiumbe mwanadamu muacheni alivyo. Ya kwetu hatuyaonagi

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 11 หลายเดือนก่อน +10

    Kweli sijui wanaume wanangaliaga nn this woman is 10/10

    • @hidayaswai3119
      @hidayaswai3119 11 หลายเดือนก่อน +2

      Hawajui wakitakacho

  • @amaningalla9420
    @amaningalla9420 11 หลายเดือนก่อน +16

    Queen nakuombea sana usipande na mambo mengi ,chukua machache sana panda nayo juu,mungu akuongozee

    • @hawaamohammed6687
      @hawaamohammed6687 11 หลายเดือนก่อน +1

      Anatapa tapa huyu.Nahic anavstress anahitaji ushauri nasaha

    • @mgayamecky7380
      @mgayamecky7380 11 หลายเดือนก่อน +2

      @@hawaamohammed6687 kweli wanawake tunachukuana sana loh

    • @khadijamahmoud4365
      @khadijamahmoud4365 11 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli anatapatapa kwa standard yake hakupaswa kuingia huku kwenye uigizaji wengi wana tabla za ajabu wanalalana wenyewe kwa wenyewe, anaepinga hili atakua ameamua tu lkn ndio ukweli, alitakiwa afanye biashara na matangazo yenye heshima sababu yuko kwa ndoa zaidi ya miaka 10 sio msichana tena

    • @kapingalucy2707
      @kapingalucy2707 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@khadijamahmoud4365Kwa Hiyo Bibi Mwenda Analalana uigizaji unakila staji silazima uwe msichana Ila kikubwa ajieshimu na kuekti sehemu zenye heshima Na Maadili ili airline heshima Yake na kutomkosea MUNGU ,

    • @tukuswigaikasu5227
      @tukuswigaikasu5227 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@hawaamohammed6687 khaa mtu anatafuta riziki yake halali mwasema anatapatapa na stress. Kama ni hivyo basi watapajitapaji tupo wengi mjini hapa

  • @BhokeWarioba
    @BhokeWarioba 11 หลายเดือนก่อน +9

    Kila mtu anaishi apendavyo nakupenda buree da queen

  • @JulianaMushi-nq3kc
    @JulianaMushi-nq3kc 11 หลายเดือนก่อน +19

    Naona sura ya zari kwa mbali mara inakuja mara inakataa

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xo 11 หลายเดือนก่อน +18

    Ila jamani mwaka kapoteza dhahabu, mrembo,kauli njema na mwenye akili tulivu,pole sana Dr mwaka, natamani mrudiane huyu mwanamke SI wa kumpoteza tafadhali

    • @bakariomari8758
      @bakariomari8758 11 หลายเดือนก่อน

      Sasa, dhahabu ni ipi hapo

    • @julianapeason6254
      @julianapeason6254 11 หลายเดือนก่อน

      @@bakariomari8758 kama unamwona wa maana mchukue wewe ukae nae kwenu🤣🤣🤣🤣🤣

    • @bakariomari8758
      @bakariomari8758 11 หลายเดือนก่อน +1

      @@julianapeason6254 sasa mm jamani mtu mkongwe yule nimpeleke wapi mabinti walojaa tele

    • @julianapeason6254
      @julianapeason6254 11 หลายเดือนก่อน

      @@bakariomari8758 ndo nawe ushangae watoto wamejaa tele uhangaike na bibi

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 11 หลายเดือนก่อน +1

      Kizuri anakijua alichukuwa nacho akakiacha

  • @user-nk3ei2vb5i
    @user-nk3ei2vb5i 11 หลายเดือนก่อน +2

    Uyu Dada ni mzuri

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 11 หลายเดือนก่อน +4

    What is delay is not denied ❤❤❤

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah,umenenepa Dada.

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wajina utafika mbali mno na doctor mwaka uko aliko anajuta MUNGU akuongoze vyema in sha Allah

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 11 หลายเดือนก่อน +6

    igiza my wenye wivu wajinyonge

    • @bahathmuro7145
      @bahathmuro7145 11 หลายเดือนก่อน

      Tena hata aolewe sisi tutashika pembe
      Mwanaume ana wanawake wengi na hata akiachana na kuwa na mwanamke mwingine hawamjadili kuwa mtovu ila mwanamke sasa amoveon weeeeee utajuta kuzaliwa!

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 11 หลายเดือนก่อน

    ❤❤go on

  • @annalyimo8462
    @annalyimo8462 11 หลายเดือนก่อน +2

    Daaa huyu dada nimempenda anajua kutafuta

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 11 หลายเดือนก่อน

    😊❤

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 10 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉

  • @gabbyhenrgy1157
    @gabbyhenrgy1157 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mbn kavaa vizur sana au avae magunia 😳 kisha achika na msisahau kabla ya kuolewa alikua na maisha yake na ndo haya anayaishi sasa. Muacheni afanye yake kwa amani katoka Misri jmn mpeni kiti apumzike msisahau na maua yake ya kunukia vizur 😊

    • @sedekiabilijite5516
      @sedekiabilijite5516 11 หลายเดือนก่อน +1

      Umeongea point kabisaaaa!!! Ametoka misiri , ndoa ikisha kuwa mbaya haina tofauti na misiri😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @fatmaabdi7192
    @fatmaabdi7192 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ooooh kama karudi ktk dini yake ya zamani hapo sawa

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 11 หลายเดือนก่อน +6

    Ama kweli mwanamke ni kiumbe dhaifu na ambaye hubadilika kulingana na mazingira alionao kwa kipindi hicho. Hii ni utashi wangu na siyo sheria.

    • @Kidotii
      @Kidotii 11 หลายเดือนก่อน +1

      You very right! Chochote utakachompa au kumsababishoa mwanamke atakizalishaa mara Mia!😊

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 10 หลายเดือนก่อน

      Dhaifu maana yake ni Nini,binadamu anaishi kutegemeana n'a mazingira n'a siomwanamke

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 10 หลายเดือนก่อน

    Kapotea njia

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 11 หลายเดือนก่อน +5

    Stara ni lazima hatta kwawasio kuwa uislam mbona mwabishana kha 🙌

    • @Kalssambabo-gv6uh
      @Kalssambabo-gv6uh 11 หลายเดือนก่อน +1

      Sheytwan kishaa tawala dunia

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 11 หลายเดือนก่อน +1

      Kwa hiyo hapo yuko uchi

    • @cookwithdoublev2654
      @cookwithdoublev2654 10 หลายเดือนก่อน +2

      Unashida kichwani wewe sio bure kama unaijua stara mitandaoni unafanya nini bahna wee peleka mahubiri yako yasiokua na tija kahaba mmoja tu wewe umemuandama binadamu mwenzio kumuhukumu kama wewe ndio Mungu unaejua haki na baya na zuri ni lipi peleka usenge wako na umasikini wako uko babu ee usituchanganye kahaba mmoja wee😂😂😂😂😂

    • @halimahbwelele694
      @halimahbwelele694 10 หลายเดือนก่อน

      Hii ndio sababu mungu anachukia talaka ,ulistirika ss unajivua

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 9 หลายเดือนก่อน

    Naona mtangazaji analazimisha ujibu unajutia maisha ya NDOA....!
    Bi dada Nyota yako imeng'ara mshukuru MUNGU, ila jihadhari sana usiwatie wanawake wengine ujinga....NDOA NI STARA, bila ndoa stara hakuna, hautakua na tofauti na MPIRA wa KONA.!

  • @abdullayahya8717
    @abdullayahya8717 11 หลายเดือนก่อน +6

    Sofitanzania@ hebu muache mwanamke mwenzio! Comments zako zaidi ya 10 kumsema dada wa watu mbona amejieleza vizuri tu.

    • @khadijamahmoud4365
      @khadijamahmoud4365 11 หลายเดือนก่อน

      Hakuna cha kujieleza ndio ukweli huyu kwa standard ya maisha aluyokua na mume wake si kijana sana alitakiwa achaque kazi za kufanya sio kucharuka kama hv huyu kama ana stress anataka kuwaaminisha watu kua yuko happy lkn sio kweli huku ni kucharuka hasta ukizingazia kua amekua muislam uislam una mipaka yake, na ww ni muislam unajua hilo

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@khadijamahmoud4365sasa hapo kacharuka nini mbona wivu wa wazi kabisa nimeamini mchawi wa mwanamke ni mwanamke khaa 😮

    • @cookwithdoublev2654
      @cookwithdoublev2654 10 หลายเดือนก่อน

      @khadijamahmoud4365 huna akili wewe ni mpuuzi wa mwisho yani mtu anatafuta ugali wa watoto wake unaingiza mambo yakidini bila shaka wewe ni mwanamke gol kiper wewe hunakazi yakufanya zaidi yakugogwa na mwanaume wako ndio maana unaleta makasiriko sasa apo amecharuka ni nini na yupo kazini anaingiza pesa zakulisha wanae au ulitamani umuone analia mitandaoni kila siku kuomba msaada na anamikono na miguu yake acha roho mbaya fala wewe huna akili taira wa mwisho unaleta mambo ya mipaka ya dini kwenye riziki za mtu mwingine unajielewa kweli wee fala sana 😂

  • @CatherineKabelege-te3yo
    @CatherineKabelege-te3yo 8 หลายเดือนก่อน

    Big up sis

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 11 หลายเดือนก่อน +10

    mnalazimisha ajistiri kwani lazima nani aloenda kaburini na kurudi kusema kuna zambi nyingi.acheni uboya kama mnaona donge jistirini nyie 😏😏😏hamna lolote na wengine hata kuswali hawajui kutwa kubadirisha mabwana ,wasikuzingue queen kama vipi rudi kwenye dini yako, tafuta pesa dada achan na maboya hao kwanza hawana msaada wanaongea midomo mirefu .

    • @adamndilanna1562
      @adamndilanna1562 11 หลายเดือนก่อน +1

      Akuongoze Allah

    • @khadidjasuleiman8006
      @khadidjasuleiman8006 11 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa Stara ni lazima huwezi juwa utafia wapi

    • @joyce55727
      @joyce55727 11 หลายเดือนก่อน +2

      ​​@@khadidjasuleiman8006apo yupo uchi??

    • @asmarajabu5786
      @asmarajabu5786 11 หลายเดือนก่อน +4

      @@joyce55727 watu wana wivu kweli sio lazima usikut hao wanaojistili wamalaya hatari

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@joyce55727ndo tushangae wivu mbaya jamani

  • @juliethmunhambo4116
    @juliethmunhambo4116 11 หลายเดือนก่อน +1

    Tusihukumu maana hata sisi sio wakamilifu mbele ya Mungu

  • @RahmMudram-ys5pt
    @RahmMudram-ys5pt 10 หลายเดือนก่อน

    Allah akuongoze jmn dunia imeisha

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 11 หลายเดือนก่อน +6

    Kwin we Ni mkristo ishi kikisto aliye kusilimisha kakuacha ishi vile moyo wako unataka

    • @khadijamahmoud4365
      @khadijamahmoud4365 11 หลายเดือนก่อน

      Hata wakristo wanatakiwa kujistiri hakuna kitabu kimeruhusu mwananmke kujianika sana

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@khadijamahmoud4365halafu wewe dada mbona unaroho mbaya sana na wivu wa wazi kumchukia mtu pasipo na sababu ni matumizi mabaya ya moyo au ndg yangu mchawi khaa sasa hapo kajianika vipi jamani halafu wewe si mwanamke au jina tu punguza kijiba cha roho utakufa vibaya pia mwogope Mungu pia maana mwenye mamlaka ya kuhukumu ni Mungu na wewe

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 27 วันที่ผ่านมา

    Hivi mnaosema hajistri jaman kwa hyo ss wakristo wote ni wadhambi muacheni dada wa watu apambanie wanae kwani kajiuza mpumzishen bas😢😢

  • @estermahenge-ks3dr
    @estermahenge-ks3dr 11 หลายเดือนก่อน +1

    jumbe kweni mdogo ata kwa doctar cheni

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr 11 หลายเดือนก่อน +3

    Wanawake wapambanaji wote ndoo tunamuelewa nini Ana maanisha

  • @user-gr2ec5uj1s
    @user-gr2ec5uj1s 11 หลายเดือนก่อน +2

    Asma rajabu uko muzuri wambie kilamtu ataenda nalwake wanamuonea wivu mdada wawatu mzuri mwenyewe wacha waseme Queen wape kba ngozi mbwa izo zinzo koment ujinga

  • @madamaisha1641
    @madamaisha1641 11 หลายเดือนก่อน

    Shaitwani rajiim,mnafiki wewe subiria kidogo moto wa Allah unakusubiri

    • @patriciacarlo7236
      @patriciacarlo7236 11 หลายเดือนก่อน

      You are not God.fool

    • @pengefeza2563
      @pengefeza2563 11 หลายเดือนก่อน +1

      Shindwa wewe peleka laana zako kwa familia yako

    • @juliethmunhambo4116
      @juliethmunhambo4116 11 หลายเดือนก่อน

      Usimuhukumu si vyema,naomba umwachie Mungu tu

    • @petronillajosephat91
      @petronillajosephat91 10 หลายเดือนก่อน +1

      Kafie huko shetan la kike lililokimbia kuzimu peleka milaana yako kwenye ukoo wako nyoooo

    • @madamaisha1641
      @madamaisha1641 10 หลายเดือนก่อน

      Mashaitwani wenzake wamekuja juu hahahaha imewagusa sana ila moto wa Allah unawasubiri wahuni wakubwa

  • @pendodaniel3612
    @pendodaniel3612 10 หลายเดือนก่อน

    Wamuweke huba pia

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน +1

    Dunia ishakubadilisha

    • @Kalssambabo-gv6uh
      @Kalssambabo-gv6uh 11 หลายเดือนก่อน

      Yee ndio kabadilika dunia ipo vile vile

    • @hidayaswai3119
      @hidayaswai3119 11 หลายเดือนก่อน

      Mmxiuuu

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mrembo wa kisukuma watu wana .akasiriko juu hako achana nao songa mbele weMZURI MDOGO WANGU

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 11 หลายเดือนก่อน +2

    Hivi huy ndie Ex wa mwaka au wamefanan mnijuze

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน +2

    Sio kila fursa kuzikimbilia huko.bongo movie uhuni mtupu

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 11 หลายเดือนก่อน +26

    Jmn hijabu sio utakatifu Kuna watu wanavaa hijabu lakini Ni wazinzi,wambea, wanafiki

    • @asmarajabu5786
      @asmarajabu5786 11 หลายเดือนก่อน +1

      washamba achana nao usikute wanamuonea donge

    • @pendokomba8322
      @pendokomba8322 11 หลายเดือนก่อน

      Tena sanaaa ni wachafu kwelikweli

    • @asmarajabu5786
      @asmarajabu5786 11 หลายเดือนก่อน

      @@pendokomba8322 binadamu wana wivu sana kujistili huko kwiyooo

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 11 หลายเดือนก่อน +9

      Kujistiri ni hijabu kuzini au kusengenya ni kufanya zambi utapambana na Mungu ila hijambu ni stara na kwenda uchi ni zambi kama hizo ulizozitaja

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 11 หลายเดือนก่อน +10

      @@pendokomba8322 wewe sema tu unalopenda ila hijambu ni stara ya mwanamke tena kufanya uchafu hio ni zambi lakini stara ni kustiri mwili kwa mwanamke sema hamulitaki basi ila usiseme porojo

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 11 หลายเดือนก่อน +6

    Kuna wakati nilisikiayeye hakukulia
    Kwenye Uislamu.
    Sijui kama ni kweli.

    • @maryamathman8917
      @maryamathman8917 11 หลายเดือนก่อน +2

      Yeah yy sio muslim alifanya kuslimu alipo olewa so vile ameachika amerudi kwa dini yake

    • @nailaomar4810
      @nailaomar4810 11 หลายเดือนก่อน +2

      Subhanaallah

    • @khadijamahmoud4365
      @khadijamahmoud4365 11 หลายเดือนก่อน

      Hajarudi ktk ukristo na hajatamka hilo achen kumsingizia

    • @shamzone388
      @shamzone388 11 หลายเดือนก่อน

      @@maryamathman8917haja sema kama karudi dini ya kikiristo yupo ni muislam

    • @rahmahersi6584
      @rahmahersi6584 11 หลายเดือนก่อน

      Samahani hakuna mtu
      Atakaye mhukumu binadamu
      Mwenzake.
      Elena sentensi inasema nini??
      Kuna swali kabla ya hapo
      Mimi nilitoa nyongeza.
      Swali ilikuwa kwanini
      Avue hijabu kwa ajili ya
      Majukumu anayoanza
      Kuyafanya.???
      Soma comments.

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน +6

    Mihani umepoteza stara jamani kwa pesa

    • @khadidjasuleiman8006
      @khadidjasuleiman8006 11 หลายเดือนก่อน +1

      Na stress pia zinachangiya

    • @greysonkisinda7390
      @greysonkisinda7390 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@khadidjasuleiman8006 mi sjaelewa kwan ana stress za nini?

    • @nesymichael4286
      @nesymichael4286 11 หลายเดือนก่อน +1

      Eti kuachwa na dk mwaka mbna ashasahau 😂

    • @greysonkisinda7390
      @greysonkisinda7390 11 หลายเดือนก่อน

      @@nesymichael4286 stress za kuachwa mpaka leo jaman mbn ni mda sasa

    • @jackiefredrick586
      @jackiefredrick586 11 หลายเดือนก่อน +1

      Kapoteza stara ipi

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 11 หลายเดือนก่อน +3

    Mtihani ewe mola wetu tusamehe waja wako maana duniya imesha tufunika

    • @Muslim-gs6rn
      @Muslim-gs6rn 11 หลายเดือนก่อน

      Ameen😢😢😢❤

  • @aliemdogo
    @aliemdogo 11 หลายเดือนก่อน +4

    Ishi utakavyo wasikuendeshe hao wapuuz

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน +4

    Mtihani utu wamwanamke unazidi kupotea

  • @Kakwasi
    @Kakwasi 8 หลายเดือนก่อน

    Maisha niyake Queen tena umemuacha mume wa kiislamu Sasa uko huru

  • @user-ei7br1fw9m
    @user-ei7br1fw9m 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa hiyo mtu akivaa hijabu ndio mkamilifu na hana dhambi?

  • @moudys
    @moudys 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani kipaji chake hapo hukiona kila mwanaume anakiona ni namna kila mwanaume vile ataweza kumshawishi akitumie kipaji chake.

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 9 หลายเดือนก่อน

    Dah mpaka mandonga anaigiza 🤣🤣🤣

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx 11 หลายเดือนก่อน +2

    Daa maskini anajiona kawini maskini kuvua hijab mmmh

    • @irineemanuel9749
      @irineemanuel9749 11 หลายเดือนก่อน

      Huyu ni mkristo hijabu la nini .amerudi kwenye ukristo kwani unatakaje

    • @estherjustine8251
      @estherjustine8251 11 หลายเดือนก่อน +1

      Hijabu ni nguo tu km nguo zingine, issue ni roho ya mwenye kuvaa ijabu, km ni chafu hiyo hijabu haimpi kuwa Mtakatifu
      Wengi wa wavaa ijabu tumewaona kwa matendo yao yako kinyume na Mungu ......umalaya, uzinzi, uchawi, wezi nk

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nyota imeng'ara kwako umakamo 😂

  • @elineswai2933
    @elineswai2933 10 หลายเดือนก่อน

    Ulianza kufanana na mmeo had midomo

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน +5

    Kumbe Quen ulitakani maisha yakwenda utupu

    • @josephselesitine224
      @josephselesitine224 11 หลายเดือนก่อน

      Kwan hapo yupo utupu muachen dada wa watu jaman

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน

      @@josephselesitine224 wewe mpuuzi atikwani mpaka avuwe nguo ndio uone.kenda utupu mpumbavu we

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน

      @@josephselesitine224 eti muache dadawawatu nahuko kaburini attachable kweli

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน

      Halafu koma wewe kusapoti ujinga huko alikojiingiza tunasubiri azalilike

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน

      @@josephselesitine224 usojielewa we sasa apo manywele wazi ndio sio utupu au ulitaka uone tako ndio ujuwe uchi mwananke viungo vyake vyote uchi usojielewa we

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 11 หลายเดือนก่อน +8

    Queen ishi maisja yako..utupu utupu utupu upi huo? Mwachrn dada wa watu..mkivaa nijuba yenu mnaona mbingu hii hapa..chefuu

    • @QueenSophie-rj7hu
      @QueenSophie-rj7hu 11 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂 agiza soda nakuja kulipa

  • @syliviakente9460
    @syliviakente9460 9 หลายเดือนก่อน

    Huyu alibadili dini.kuolewa na Mwaka

    • @Kakwasi
      @Kakwasi 8 หลายเดือนก่อน

      Vizuri ako huru.

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mnamlazimisha avae mashuka shuka kwa ni mwarabu huyo ? Tanzania si nchi yakidini watu wanaoumizwa na swala la mavazi waende wakaishi Afghanistan au Brunei au Somali katika kundi la alshaab

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 11 หลายเดือนก่อน +1

    Sijui Barnaba naye akiachwa atarudi kanisani 🤫🤭🤔🤧😪😬

    • @lelaiddy6856
      @lelaiddy6856 11 หลายเดือนก่อน

      Labda

    • @yukundapeter8200
      @yukundapeter8200 11 หลายเดือนก่อน

      Kabwela taratibu na mbavu xangu.

    • @khadijayusuph2634
      @khadijayusuph2634 11 หลายเดือนก่อน

      Hilo ni jibu mbona😂

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 11 หลายเดือนก่อน

      @@yukundapeter8200 nawaza kwa sauti tu mwayego 😶

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 11 หลายเดือนก่อน

      @@khadijayusuph2634 nafikiria kwa sauti shangazi madodo urojo

  • @harodphilipo8228
    @harodphilipo8228 11 หลายเดือนก่อน

    Kwaiyo mnatakaje sasa nyie mnao mjaji kuhusu dini hebu tembeeni mbele

  • @amaningalla9420
    @amaningalla9420 11 หลายเดือนก่อน +2

    Nakupongeza sana kwa uamuzi wako mzuri ,wewe ni mwanamke jasiri kazana usirudi nyuma

    • @asmarajabu5786
      @asmarajabu5786 11 หลายเดือนก่อน

      kabisa azidi kushinda hapo ili wanochonga waumie

    • @ashamahadi5281
      @ashamahadi5281 11 หลายเดือนก่อน

      Ndio mnaambiwa kaka zetu wa kiislamu mnapowabadilisha dini wanawake mkaee nao kwa amani ili keaho muwe shahidi Ona sasa karudi kundini muacheni mrembo wa watu.

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน +4

    Dunia hii pesa inapoteza utu wa wamtu

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน +2

    Unahangaika sana dada duhh huko ulikokimbilia heshima yko ishapotea

    • @michaelmillinga5064
      @michaelmillinga5064 11 หลายเดือนก่อน +2

      Wewe mbona unajiuza makaburini na hakuna anayekusema.. takataka kabisa wewe

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 11 หลายเดือนก่อน +4

    Si lazima hijabu

    • @sisifaty9183
      @sisifaty9183 11 หลายเดือนก่อน

      Sasa mnataka nini

    • @khadidjasuleiman8006
      @khadidjasuleiman8006 11 หลายเดือนก่อน +2

      Kwa mwenye shahada ni lazima

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 11 หลายเดือนก่อน

      Shahada ya shule (degree) au?

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kaa kwa utulivu mama umri ushaenda

  • @dianajohnson7268
    @dianajohnson7268 11 หลายเดือนก่อน +8

    enjoy queen wasikupangie maisha eti utupu? 🙄 wap alipo utupu, mwacheni, nyie msio na dhambi kazaneni kumuona yeye ndio mwenye zambi

    • @FatmaMohammed-ry8yo
      @FatmaMohammed-ry8yo 11 หลายเดือนก่อน +2

      Ww pia ni mpotovu ndio unaona km anasemwa .anakumbushwa km anapotea dini alikubali sasa ww hujitambui

    • @QueenSophie-rj7hu
      @QueenSophie-rj7hu 11 หลายเดือนก่อน +1

      Wanajikuta miungu watu,

    • @scholamodestus9386
      @scholamodestus9386 11 หลายเดือนก่อน

      @@FatmaMohammed-ry8yo huyo ni mkristo unataka avae mijuba

    • @mgayamecky7380
      @mgayamecky7380 11 หลายเดือนก่อน +1

      Alivyo kuwa kwa dr alikuwa anavaa majuba?siwalikuwa wanavalishwa vibukta ama mmesahau ila waja loh

    • @joyce55727
      @joyce55727 11 หลายเดือนก่อน +1

      Kbs anfanye anacho taka huo utupu mm pia siuon ❤❤❤❤ Queen

  • @allydingi9736
    @allydingi9736 11 หลายเดือนก่อน +4

    Mama hii dunia unaona unaikimbiza lakini yenyewe inakukimbiza kuliko unavyoikimbiza utakuja kujuta

  • @OlgaBembeleza-eq3hx
    @OlgaBembeleza-eq3hx 11 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwandishi sijui mtangazaji ananikera Sana...hatumii R na L Kwa usahihi eti ongela jamani khaaaa.... woiiiiiiiii sijui kasoma chuo gani

    • @AshaMakame-zg9xi
      @AshaMakame-zg9xi 11 หลายเดือนก่อน

      Kwani mwenzangu hizi TV on-line zinamambo hawajui Kiswahili cha mjini na huko alikotoka akija mjini sifa tu kujifunza laaa

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 11 หลายเดือนก่อน

      Ugonjwa wa Tanzania matumizi ya R na L utasikia Lais

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน +3

    Ulivyovaa hijab ulikuwa nimwanqmke wastara ila sasa kama shetani wakuletwa

    • @QueenSophie-rj7hu
      @QueenSophie-rj7hu 11 หลายเดือนก่อน +4

      Ukivaa ww inatosha

    • @immaculathaemmanuel8240
      @immaculathaemmanuel8240 11 หลายเดือนก่อน +2

      Kwani hijabu ndo linampeleka pepon au ndo linamlango wa pepon?

    • @pendokomba8322
      @pendokomba8322 11 หลายเดือนก่อน

      Ushamba mzigo

    • @scholamodestus9386
      @scholamodestus9386 11 หลายเดือนก่อน

      Stara ipo moyoni unavaa mishungi ila kutwa kudanga inakusaidia nini

    • @khadidjasuleiman8006
      @khadidjasuleiman8006 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 mtihani mi nasoma coment Stara ni wajibu

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 11 หลายเดือนก่อน

    Sku ile alipotoa machozi , sababu Watanzania wengi ni madunduka. hua wanadhani machozi ndio haki walimshambulia sana dct mwaka. ila mm tokea kipindi kile niliona Huyu ana tatazo.

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน

    Wasanii wote malaya tu

    • @Kakwasi
      @Kakwasi 8 หลายเดือนก่อน

      Hatujui unachofanya kwa bedroom yako

  • @hidayah3405
    @hidayah3405 11 หลายเดือนก่อน +4

    Sasa kam kuanza upya ndo uvue hijab 😏😏😏😏😏😏

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 11 หลายเดือนก่อน +1

      Ukivaa wewe inatosha mihijab yenu

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 11 หลายเดือนก่อน +1

      @@masalakulwa7601 Hata Mariamu mama wa Yesu alivaa stara sasa wewe mwenzangu vp??!!

    • @aminamollel3571
      @aminamollel3571 11 หลายเดือนก่อน +2

      Kwani kuvaa hijabu ndiyo utakaktifu?acheni ujinga acheni kuhukumu mwacheni dada wawatu aishi apendavyo acheni maneno maneno

    • @QueenSophie-rj7hu
      @QueenSophie-rj7hu 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@masalakulwa7601❤

    • @immaculathaemmanuel8240
      @immaculathaemmanuel8240 11 หลายเดือนก่อน

      Tena hao wenye mihijabu yao wengi ndo hovyo kabisa ila waambie kujua kuhukum wenzao tu

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน +2

    Manywele wazi kama jini wakuletwa

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 11 หลายเดือนก่อน +1

      Sema unaona wivu

    • @devothamturi7571
      @devothamturi7571 11 หลายเดือนก่อน +1

      Anamakasilikooo huyooo

    • @aliemdogo
      @aliemdogo 11 หลายเดือนก่อน +2

      Kwan ulizaliwa umevaa hijabu,ulitoka uchi utarud uch

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 11 หลายเดือนก่อน +4

      Ameshatoka kwenye majini hijabu ya nini? Mwache na uhuru wake na wewe Baki na hijabu yako huku ukiwa umejaa unafikhi, Hila na uzinzi Moyoni!

    • @faudhiamushi2233
      @faudhiamushi2233 11 หลายเดือนก่อน +2

      Duh unaamini wewe ni mwema sana kwakuwa unavaa hijabu? Honestly? Kama ni hivyo utakuwa mkuu wa hayo majini bila shaka! Nani kakupa nafasi ya kuhukumu?

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona kavaa vizuri nguo sio fupi wala maziwa kuhonekana ni very classy feminine,mzuri sana Dada wa watu na anajielewa Sana ,

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 11 หลายเดือนก่อน

    Ama kweli dunia hupoteza yule atakae kumpoteza dada ushapotea maana apo utawekwa uchi dahh

    • @khadijayusuph2634
      @khadijayusuph2634 11 หลายเดือนก่อน

      Duh'" we mtu umetumwa😮unahukumu utadhani funguo za mamlaka umepewa wewe!!!😮 Isitoshe utaungua wewe ye asalimike duh'''