MAU MPEMBA KWANINI RAMADHANI SEHEMU 12
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 เม.ย. 2023
- #MauMpemba #KomboKichwa #VitukoZanzibar
Furahi na jifunze na vichekesho vya Mau Mpemba. Mau Mpemba ni msanii wa Zanzibar anaejulikana sana kwa aina yake ya sanaa ya maigizo kwa kutumia asili yake ya Pemba. Kwa kushirikiana na wasanii mbali mbali Tanzania, Mau Mpemba anasisimua na kuvunja mbavu za watu wengi wanaopenda aina yake ya maigizo.
Aina ya sanaa anayofanya Mau Mpemba ni mfano wa kuingwa kwani, anatumia kile kidogo alichonacho ili kufurahisha na kuelimisha pia.
Ukihitaji kuunga mkoni harakati za wasanii hawa ili waweze kuleta furaha kila siku katika jamii zetu, hakikisha unatangaza biashara yako au kutoa ushauri wako kupitia.
+255 777 001500 - ตลก
Leo nimechewa wapendwa nilikuwa bize sijalala mpaka nimeiyona
Hongera
Leo mapemaaaa naikifika saa saba achia nyengine mau
Kazi nzuri sana nawapenda nyote mlio shiriki ❤❤❤❤Dada etu naomba huna mby ktk sehemu yko
Mungu awapambania muweze fika mbali kwann ramadhan inamafundisho mengi sana nawapenda sana ❤ nawatakia ramadhan kareem ❤❤
Pande za n'gwachani najifunza mengi kupitia filam hiz ameen
Kazi nzuri sana❤❤❤❤❤
Kazi iendelee kazi nzuri sana hongereni sana
Kazi mzuri sana @Mau mpemba hakika hii series imeenda shule
MashaAllah mw/mungu awakinge na husda za mahasidi amin nashkuru sn nikiwa Kenya Mombasa ❤
TWENDE NIKUPE KWA MPALANGE
Hatulali aloo
Ahsante Allah Atujaalie kherii
Kaka mau nakukubali ni msani mwenye bidi director said majumba umeweza
Biti omari pesa aipeleka upatuni ramadhani hiii haaaaa mungu awa bariki nyotemulio shiriki kutuelimisha
Mchezo nzur nimeipendaa hii kaswida anayosoma juma faki anaejua jina aniambie tafadhali
Mmh mm leo nshapigwa but ÑKÛTÅKÎÊÑÎ ramadhwani qareem..!🙏🤲
Hongeren sana kwa kaz yenu kaz nzuri
Sijui kama tutaumaliza hii tmathiria maana inakwenda mwendo wa kinyonga
mung awazishie kwa ukumbusho wenu wpmba wenzangu
Leo saa7 na dakika 49 ni wakwanza
dogo umetoa funzo hongera kwenye techniques ya mauzo
Mashaallah kla la kher to you
Ungezeni juhudi
One
Shukran zangu za dhati ziwafikie wana team Mau,hakika tunaelimika sana kwa filamu zenu niwaombe tu muendelee ivo .
TWENDE NIKUPE KWA MPALANGE
Kazi mzuri Sanaaa
Waja tumetokwa na imani😢
Ipo poa huna hekma nyingi za mazungumzo makame umeacha ucheshi big up
nipo na mm naamgaliya saiv saa nane dakika ishirini na mbili
Kaz mzur San ila vipande vidogo sana
Makame nuhusi ushehe ushakuelekea mashallh 😊
Kazini nzur sanaa❤❤❤
Nakukubali .makame nuhusi kwa hekma zako
Mashangingi yana mambo wizi wawaume za wa2 looooo!!!
Good job
Ndio ukawa na macho makubwa
So I will join with your group Mr.Mau Mpemba
Hio combination ya Juma Kupendwa na dongo ... Askari kanzu na askari makoti 😅😅
Makame umetua sana kwenye ramadhan umetisha makame
✊🏻✊🏻❤
Uyo shemeji alokabiziwa duka pesa zote zitaenda kwa warda 😂😂😂😂😂
😂😅 umeona eeh fanya mthezo na mapenzi...
@@hamisidumbo1568 🤣🤣
Hayo majina sasa ya upatu lazima ucheke eti NAOMBA KIBENDERA
makame anafit kwa hii style sio uchekeshaji
Fabby mtoto wa chakechake pemba kumbe ndomana nikakukata kumbe akili huna unawele to😂😂😂❤
Haaaaah
Makame wamempa pepo bna
Hongera mau kwa lahaja zakipemba,
Mashaallah jazakumllah kheir
Akudanganya mau mpemba utashtumiwa vbya ukijulikana skunyengine haujipata tena kitu
❤❤
Sasa kweli kazizenu zinaonekana muzidi kuendelea ivyoivyo
Humu ndio usirias wa makame nilimoujua
Heee dongoo.tena unyamaze
Dongo uko juuu sn sn
Hhhhhh eti nkufundisha kuchuma
Uyu mchepuko abadilishi kanga wala iyo kofia
Yani Mimi mwenyewe naelimika kwakweli
Cucopiriana hahaaaaa