DUH! SIMBA SC ILISTAHILI KUMWADHIBU TABORA UNITED/FADLU KIKOSI AMEKIPATA HESABU ZA UBINGWA.......
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
- Karibu kutazama uchambuzi wa mechi ya Tabora united dhidi ya Simba sc ambapo mnyama ameibuka na ushindi wa goli 3 kwa bila akiwa ugenini. Fadlu Davis kwa sasa kikosi kimepatikana ni mwendo wa dozi tu kuelekea kampeni ya kuusaka ubingwa ulipotea msimbazi kwa miaka 3. Tabora United wamekubali kuwachangia simba points 6 na magoli 6 katika kampeni za kusaka ubingwa.
Inapendeza sana unyama mwingi