WAZIRI AKUTANA USO KWA USO NA MBABE WA ARDHI, HAKI YATENDEKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 248

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 7 หลายเดือนก่อน +28

    M NDO MAANA NAPINGANA NA WATU WANAO SEMA ET VIONGOZ WOTE WA SERIKAL HAWAFAI WAPO VIONGOZ WAZUR TU KAMA HUYU GOD BLESS

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 7 หลายเดือนก่อน +3

      Na mimi napingana na kuwa Serekali ya awamu 6 ndio Serekali sikivu na utekelezaji ila watu hawataka sasa sijui wanataka nini!

    • @laylayl5166
      @laylayl5166 7 หลายเดือนก่อน +1

      Hatamimi sikubaliani nao wapo viongozi waadilifu kama huyu waziri wetu MashaAllah mungu amlinde kina chalamila yaaniwapoo

    • @zulekhaponti9353
      @zulekhaponti9353 6 หลายเดือนก่อน

      Wachache😅

  • @bongo39
    @bongo39 7 หลายเดือนก่อน +23

    Piga kazi kijana walishazoea hao kuhonga sasa imefikia mwisho mungu akulinde

  • @RichardJavara
    @RichardJavara 7 หลายเดือนก่อน +12

    Mchapa kazi asie na mihemko wala jaziba ,hongera sana mkuu iwish tungekuwa na uzalendo wa kuchapa kazi namna hiii kwa mawaziri na watumishi wote wa umma. mama hajakosea kukupa nafasi hii.

  • @charlestobby6031
    @charlestobby6031 7 หลายเดือนก่อน +6

    Hongera sana mheshimiwa slaa binafsi sikuwahi kudhani kuwa kuna kipindi kingefika masikini waliodhulumiwa haki zao na watu wenye nguvu kubwa kiuchumi wangeweza kurudishiwa haki zao kutokana na siasa zetu na baadhi ya viongozi wetu wa kimamlaka kutokuwa waaminifu kwa wananchi wao wa hali ya chini waliodhulumiwa haki zao lakini kupitia wewe leo hii umeni-prove wrong mheshimiwa naona kila mtu sasa anaenda kupata haki yake👏👏👏

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 7 หลายเดือนก่อน +14

    Hongera waziri unafanya kazi nzuri

  • @MegaAbby1010
    @MegaAbby1010 7 หลายเดือนก่อน +17

    Great stuff Jerry, naona umerithi mikoba ya JPM

  • @CalistusTitus-s5o
    @CalistusTitus-s5o 7 หลายเดือนก่อน +14

    Kwa hakika mimi ni mpinzani na siipendi ccm ila Jerry slaa Daa Bwana Yesu akuinue na akulinde dhidi ya maadui zako nimetokea kukupenda,

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 7 หลายเดือนก่อน

      Kuna mawaziri expetional, hailajilish wako chama gani, japokuwa wako wachache mno

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl 6 หลายเดือนก่อน

      Mungu kakufedhehesha😅😅😅wachukie baadhi ya watendaji wa CCM,nasio Chama cha Mapinduzi. Hata ndani ya Chama chako wapo watendaji kama wa CCM

  • @harounkiyungi7288
    @harounkiyungi7288 7 หลายเดือนก่อน +3

    Asante sana mheshimiwa endelea kuwatendea haki wananchi Mungu atakulipa kwa juhudi zako na hingera pia kwa Mama Samia kwa kuona umuhimu wako kuongoza zekta hii ngumu licha ya changamoto zote ila Unayaendesha kadiri unapaswa tunakuamini mkuu, Allah akulinde dhidi ya kila baya

  • @Vike333-l8o
    @Vike333-l8o 7 หลายเดือนก่อน +14

    Waziri unafanya kazi kwa uaminifu bila Rushwa Mungu atakupa ya Dunia na ya Ahera nakuomba uje Arusha mimi nimedhulumiwa kiwanja changu na ni mjane nakuombea Mungu akupe Maisha marefu Amen

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 6 หลายเดือนก่อน +1

      Mfate ofisini kwake utapata haki yako au mfuate Makonda hawa wamebarikiwa na Mungu asaidie watu.

    • @ClementinaHabineza
      @ClementinaHabineza 6 หลายเดือนก่อน

      Amen utasaidiwa

  • @dennishyera5448
    @dennishyera5448 7 หลายเดือนก่อน +7

    Aibu kwa walio mshindwa Mush, miaka yote hiyo alikuwa anapeta tu kwa raha zake hamna wa kumgusa du. Waziri hongera, God bless you.

  • @nyakatongongo4292
    @nyakatongongo4292 7 หลายเดือนก่อน +2

    Asante baba nakufuatilia sana japo niko nje kidogo ya tanzania ila unapigania haki wanyonge wamenyanyashwa sana natamani waziri wote wachukue mfano sababu hata jela kuna waliohukumiwa bila hatia na hata kuhukumiwa kunyonga bila hstia kisa haku haki ma kama familia haina pesa basi tena

  • @muhammadvirjee
    @muhammadvirjee 6 หลายเดือนก่อน +3

    Mweheshimiwa waziri anafanya kazi yake kwa uaminifu na kwa haki kabisa mungu amsaidie aendelee kuchapa kazi 🙏🙏

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 7 หลายเดือนก่อน +14

    Huyu waziri siku 1 nilimsikia akisema yeye hanywi pombe wala havuti sigara na usiku yuko nyumban nikasema hapa nimepata kiongoz,hongera sana wazir wangu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 7 หลายเดือนก่อน +4

    Mhe. Waziri huyu mzee mwizi na ni majanja sana anamdhulumu baba wa watu.Waziri ongera sana❤❤❤❤

  • @JoshuaMusukwa-kq4ll
    @JoshuaMusukwa-kq4ll 6 หลายเดือนก่อน +1

    Waziri Silaa ongela kwa kazi zito Mungu Akubaliki sheria ni musomeno ongela sana Silaaa

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub 7 หลายเดือนก่อน +7

    Waziri nakupongeza sana kwa kazi unayofanya,unastahili kuteuliwa nafasi ya juu zaidi,viongozi wengi ni mizigo kwa serikali hawawajibiki

    • @emmanuelmwakyoma5746
      @emmanuelmwakyoma5746 7 หลายเดือนก่อน +1

      Ateuliwe nafasi ya juu alafu hii achukue nani? Maoni hayatoshi

    • @ngambikomsu64
      @ngambikomsu64 6 หลายเดือนก่อน

      Nafasi hiyo inatosha apambane kwanza na hao mazandiki wa ardhi, akitoka hapo aingie wizara ya ujenzi apambane na makandarasi uchwara.

  • @hatibbaraka3956
    @hatibbaraka3956 7 หลายเดือนก่อน +1

    Waziri hukupewa kwa kubahatisha wizara upo vizuri na unaijua hasa sheria maana unavyowachalenji matapeli asee!
    Hongera zako!

  • @nassercurtis9579
    @nassercurtis9579 7 หลายเดือนก่อน +3

    Muheshimiwa, Mungu akulinde bro uendelee kusimia haki hasa kwa wanyonge usitishwe na nguvu za wanaojiona mapapa wala ushirikina vipite mbali kabisa, Mungu akulinde akuweke mpaka uzeeke na busara zako upendo unyenyekevu vikutawale, usiache kuabudu maana ndio ngao pekee ya ulinzi juu yako na familia yako na kwa watanzania kwa ujumla. Napenda sana utumishi wako wa kujitolea maana ungeweza kukaa tu ofisini ukapigwa na kiyoyozi ukaachia wasaidizi wako ndio wafanye kazi za site, ambao mara nyingi japo si wote lakini hutumika vibaya kwa mapapa (wanaojina asali ya Tanzania ni yao peke yao)

  • @MansurPremji
    @MansurPremji 7 หลายเดือนก่อน

    Hongera Mehshiva Waziri wa ardhi kweli una fanya kazi za haki na kwa Imani, Tanzania Kuna mchezo huu kuwa nyanganya ardhi kwa nguvu za paisa na karatasi za bandia (feki). Mungu aaveke Salaam na kwa Imani pamoja na familiya. Aameen.

  • @butoyihenis1389
    @butoyihenis1389 4 หลายเดือนก่อน

    Mueshimiwa waziri Silas Mungu akulinde ajaliye ujaliye ujage kuwa rayisi wa tanzania

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 6 หลายเดือนก่อน

    Mh Waziri naomba haya maswala ya ardhi heru uyamalize wewe mwenyewe kuliko kuwaambia wananchi waende mahakani wakapate haki yao itakuwa umewaua kwa sababu mahakani ni rushwa kwenda mbele mwenye nazo ndiyo atapewa haki na mwenye haki halisi hapewi kwa sababu hana hela Mungu akibariki mh waziri kwa kazi nzuri

  • @jomba6514
    @jomba6514 7 หลายเดือนก่อน +3

    Ubarikiwe sana kiongozi kazi nzuri

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwann mataoel wengi wa ardhi ni mushi,mmasi, yaani majina yaliyotrend humu 🙌

  • @zablonnyanda6095
    @zablonnyanda6095 7 หลายเดือนก่อน +2

    Da?! Huyu mzee Mushi ni noma, Mungu amhurumie kama anafanya Mambo haya bila aibu?! Hii ni dhambi kubwa kwakweli. Watanzania tumuogope Mungu! Utakufa utaziacha mali zote, unatafuta nn binadamu??

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 7 หลายเดือนก่อน +4

    Mwisho wake umefika Mzee mzima unakula Bata mjini kwakudhulumu mpka wajane,watoto wanasomea pesa zadhulma,Rudi kanisani umatubu Mzee mushi.Huu ukoo Wa mushi unapenda sana hla nautajiri wadhulma.

    • @apolleorevocatus8577
      @apolleorevocatus8577 7 หลายเดือนก่อน

      Kuna ndugu wa ukoo wake anaitwa Ryodes Mushi naye ni mdhulumati wa viwanja na nyumba Arusha kama huyu wa Mbezi Dsm

    • @kwzjkwz3532
      @kwzjkwz3532 6 หลายเดือนก่อน

      ukilikuta kanisani kitambi mbele kutoa sadaka huku likisema vijna hawajui kutafuta hela ila wachaga duh

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 หลายเดือนก่อน

      Kuna mmasi pia yaani ni aibu jmn
      Mpk wajane jmn,🙌😭

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@apolleorevocatus8577basi atakua yule aliyekutana na makonda
      Ndo maana nashangaa mbona Majina yaleyale kumbe ni ukoo 1
      Aisee Kuna koo sio kabisa

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@kwzjkwz3532kabisa tena unakuta lizee la kanisa

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekupenda mpka mungu amesikia.Mm SIPENDI uonevu kwenye nchi hii,ila slaa mungu akupe heri.Watoto wako wawe nahkma kma zakwako,Huna hraka huna hsira huna hk hka yamajibu.Unafanya kitu kwaumakini unaheshma nahkma.Mam akuache jmn uwanyoishe wenye mabavu,hpo mama hkukosea kukuweka hpo.Kwi umesomea ardhi mkuu.

  • @SheillaJaffery
    @SheillaJaffery 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akutunze na ulinzi wa kimbingu uwe juu yako unawatetea wananakandamizwa

  • @HamzaGaudence
    @HamzaGaudence 6 หลายเดือนก่อน

    Safi sana waziri mchapa kazi hodari so kinyonge an unaijuwa kazi ako na unaifanya vyema so👏👏👏👏👏👏💪

  • @senyagwadickson9084
    @senyagwadickson9084 7 หลายเดือนก่อน +1

    Waziri Jerry wewe ni mzalendo ni waziri unaye fuata nyayo za JPM Big up waziri Jerry
    Siyo miwaziri mingine tunaiona ya hovyoo kabisa yani nyie viiana mnachapa kazi wewe na makonda tu

  • @victoriamazula5592
    @victoriamazula5592 6 หลายเดือนก่อน +1

    Peter nakuona lo ni miaka mingi sana enzi za NBC. Hongera kwa kupata haki yako

  • @NancyMatuli-fb5jp
    @NancyMatuli-fb5jp 7 หลายเดือนก่อน +4

    Mushi wewe mwogope mungu utasababisha watoto wako na wajukuu zako kupata laana

    • @EdnaMbowe
      @EdnaMbowe 3 หลายเดือนก่อน

      Asante👏🏻

  • @elizabethtenge152
    @elizabethtenge152 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera kiongozi Mungu akulinde

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mpeni ulinzi huyu mtu

  • @nkenemalulu1330
    @nkenemalulu1330 6 หลายเดือนก่อน

    Mh. Waziri unawajibika vizuri sana. Kaa ukijua waharifu katika hii Wizara ni wale waliochini yako bila kuwawajibijisha kazi bado. Sababu wao ndio wasabishi wakubwa mwananchi wa kawaida hawezi

  • @EnivaChristopherbangi
    @EnivaChristopherbangi 6 หลายเดือนก่อน

    Nimependa sana mungu akupe maisha marefu mtetezi wa wanyonge

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 5 หลายเดือนก่อน

    Unafanya kazi nzuri mbunge wangu,Mungu akubariki

  • @chemstry409
    @chemstry409 6 หลายเดือนก่อน

    Mh SLAA ABSOLUTELY YOUR AMAZING BRO' PIGA KAZI WE ARE BEHIND YOU 100%

  • @khamisjuma1278
    @khamisjuma1278 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Mr slaa kwa kazi iliyotukuka

  • @MpateIsmail
    @MpateIsmail 6 หลายเดือนก่อน

    Waziri jerry uko vizuri mungu akulinde katika kazi zako ameen

  • @ahmadseaman3487
    @ahmadseaman3487 5 หลายเดือนก่อน

    masha Allah
    thanks so much

  • @lukemelyemwenga2910
    @lukemelyemwenga2910 2 หลายเดือนก่อน

    Mh Anafanya kazi kwa uaminifu mkubwa barikiwa sanaaa

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera Wazir kwa maswali mazur yenyekueleweka

  • @salumchoma8731
    @salumchoma8731 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa ukweli mawaziri wanaoteuliwa na rais ktk wizara hii mungu awajaalie sana kz zenu zinaonekana tangia Lukuvi,na Sasa Jerry silaa

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 7 หลายเดือนก่อน +1

    Yule waziri mabula aliyeondoka ndio alikuwa anapewa hongo na kina mushi! Hongera slaa

    • @IshipalemyPasko
      @IshipalemyPasko 7 หลายเดือนก่อน

      👏👏👏👏👏

  • @simulizitanzania2571
    @simulizitanzania2571 6 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa Nchi ilivyo ya kipekee,utasikia Jerry amebadilishwa wizara

  • @ismailmuna1604
    @ismailmuna1604 6 หลายเดือนก่อน

    Waziri Ufanyayo Ndio Uwongozi Utakiwavyo Shukran Sana Kwa Utendaji Wako Mola Ndio Atakae Kulipa LAKINI TEMBELEA MIKOWANI UJIONE VIONGOZI WENZAKO WANAVYO DHULUMU WATU ARDHI ZAO NA KUWAPA MABEBERU NA AKITOKEA KIONGOZI MWENZI WAO HAYUKO PAMOJA NA WAO ATAHAMISHWA MARAMOJA ILI WATU WAENDELE KUFANYA YAO WATU WANANYANGANYWA WANADHULUMIWA UKIWEZA KUTEMBEA MIKOANI UTAWASAIDIA SANA WANYONGE ASANTE KWA UTENDAJI WAKO

  • @leahivan6915
    @leahivan6915 6 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu akutunze waziri.

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu wazir ni hazina yetu ya baadae ya nnchi yetu mwenyez mungu amtunze inshallah 🙏

  • @shaamemchauru1365
    @shaamemchauru1365 6 หลายเดือนก่อน

    BIG UP JERRY PIGA KAZI HAKUNA UOGA,KUFA MTU ANAKUFA MARA MOJA....

  • @jumaayubumohamedi4813
    @jumaayubumohamedi4813 6 หลายเดือนก่อน

    Bigg up mheshimiwa waziri hon Jerry Slaa

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mchagga MWIZI Mpare BAHILI.

  • @abuumuhammad7133
    @abuumuhammad7133 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hii ndio awamu bora na ya utendaji na haki Mh. Rais Samia hana mbwembwe ni mtkelezaji na haswa akipata Mtendaji kama alivyo Waziri wake wa Ardhi Mh. Dr. Slaa na wengine.

  • @EsterEdward-eo6ds
    @EsterEdward-eo6ds 4 หลายเดือนก่อน

    Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo ni bayana ya mambo yasiyoonekana ,tunakupongeza kwa kusimamia haki

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 6 หลายเดือนก่อน

    Asant waziri mungu akubariki naomba uje arusha

  • @EfesoSichinsambwe
    @EfesoSichinsambwe 6 หลายเดือนก่อน

    Tanzania inatakiwa kuwa na kina waziri Silaa kila mkoa na wilaya. Hongera waziri Silaa

  • @mohdmood9726
    @mohdmood9726 7 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Waziri kwa kufanya kazi kwa vitendo

  • @salimamri6738
    @salimamri6738 7 หลายเดือนก่อน

    Sio Mushi peke yake,wapo Wachaga wengi wavamizi wa ardhi za watu kwa kutumia ubabaishaji na jeuri ya pesa.Asante Waziri Slaa.

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 7 หลายเดือนก่อน

      Ukabila tena!!!! Eh!!

    • @mmichaeleletricet4554
      @mmichaeleletricet4554 7 หลายเดือนก่อน

      Wapo njoo mapungo moshi tukutane na lijamaa linaitwa mbuya linares uraia mno

  • @musayosia4081
    @musayosia4081 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde muheshimiwa uendelee kutetea wananchi🙏

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 7 หลายเดือนก่อน +2

    Wachaga ukicheka nao ni wazulumishi balaa 😂

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 6 หลายเดือนก่อน

    Mungunni.mwema sana Mungu pekee atakulinda waziri wetu

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 7 หลายเดือนก่อน

    Mama yetu samiha umetupa kiongozi huyu niwaziri mashaallah

  • @WatsonMwaigaga-uy5jk
    @WatsonMwaigaga-uy5jk 6 หลายเดือนก่อน

    Kijana anafanya kazi. Mama usimwache uyu.

  • @salummbarouk4216
    @salummbarouk4216 6 หลายเดือนก่อน

    Muheshimiwa mungu akulinde

  • @RoanCorporation
    @RoanCorporation 6 หลายเดือนก่อน

    Waziri mzuri sana , muisho mzee Meole amepata hati yake , mzuri sana

  • @malupex6299
    @malupex6299 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sn Rais na Waziri, haki huinua Taifa..

  • @JeremiahElishaMwanyesya
    @JeremiahElishaMwanyesya 7 หลายเดือนก่อน

    Magufuli wa pilii Asante waziri

  • @KeiFerouz-fn9oc
    @KeiFerouz-fn9oc 7 หลายเดือนก่อน

    Asante mama samia

  • @karimhasham8259
    @karimhasham8259 7 หลายเดือนก่อน

    Safi sana mimi lkn namsikia huyo mtu anasumbua sana,
    Na hapo ameogopa tu anazo hati zimetiwa kwenye maji ya chai zionekane zilitolewa zamani,
    Hongera sana waziri

  • @ondieckotoyo1143
    @ondieckotoyo1143 7 หลายเดือนก่อน

    Hii Sawa lakini pia ufike tarime uone malalamiko ya waliyoporwa ardhi zao na wababe na wengine kwa kutumia Baraza la ardhi kilio ni kwa wengi wengine wanazo hati lakini nyumba wanamiliki wengine Hadi eneo iliyokuwa ya kituo cha mafuta ya serekali na shirika la kahawa zote ni mifano Tu ya maeneo yaliyoporwa na matajiri wezi

  • @jamhurilibawa6505
    @jamhurilibawa6505 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ni mwema kila wakati.

  • @rashiditembo1574
    @rashiditembo1574 7 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi mungu akutangulie waziri,

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 7 หลายเดือนก่อน +2

    SHUKRAN WAZIRI

    • @matukutajuma156
      @matukutajuma156 7 หลายเดือนก่อน

      ASANTE KIJANA HUYO MUSHI ANAONEKANA MJANJAMJANJA WA MAHAKAMA!

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 4 หลายเดือนก่อน

    Wachaga ktk ubora wao wa dhuruma za Mali za watu, Huyo ni sehemu Mdogo tu ya dhuruma zao, Sababu kubwa watumishi wengi wa Kichaga wapo wizara ya Ardhi kwa Nini usiwe lahisi kwao kufanya mipango ya kutwaa maeneo kwa udanganyifu!

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 7 หลายเดือนก่อน

    Waziri mungu akusimamie .umeweza wako wengi kama uyo yaani ni balaaa.

  • @amontv8628
    @amontv8628 7 หลายเดือนก่อน

    Wizara ya aridhi inakufaa mh. Waziri ❤❤❤

  • @jumaayubumohamedi4813
    @jumaayubumohamedi4813 6 หลายเดือนก่อน

    Too much background noise, learn how to filter background noise

  • @naibalasamoralukumay332
    @naibalasamoralukumay332 6 หลายเดือนก่อน

    Waziri ni genius 🎉

  • @EzekieliKatigizu
    @EzekieliKatigizu 6 หลายเดือนก่อน

    Ndo viongozi tunaowataka mungu akubariki sana waziri

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 6 หลายเดือนก่อน

    Nimesikia aibu mzee unaaibikq kwnn jamani unakuwa na tamaa Mungu wngu Mungu akusahidie babaangu unafanyaje sasa..walah Mungu.mrehemu baba yngu apumzike kwa amani Sasa baba hapa mbona unapata aibu adharani kwa media kwa.mtandaoni kiulimwengu baba

  • @winfredkaroli5065
    @winfredkaroli5065 7 หลายเดือนก่อน

    Wale wanaopenda dhuruma utasikikia kwann wasiende mahakani na wakati wanyonge huko mahakaman ndipo wanapodhurumiwa wakiona ni tajiri anaeshitakiwa, mm naona wazir uko sahihi inch hii watu wanaonewa sana ,mungu awe pamoja katika kutetea haki za wenyewe

    • @mwarimohamisi1378
      @mwarimohamisi1378 7 หลายเดือนก่อน

      Wakifika mahakamani wamenunua hakimu

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 6 หลายเดือนก่อน

    HONGERA MH.WAZIRI JERRY SLAA.

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 7 หลายเดือนก่อน +3

    Wachaga bhana dunia ilishabadilika! Ujanja ujanja wa kuiba ardhi za watu kushirikiana na ndugu zenu walioko wazarani umeisha kaeni kwa kutulia! Pumbavu kabisa!

    • @johnmamuya5398
      @johnmamuya5398 6 หลายเดือนก่อน

      Ndugu@sambulugu9988, huyu Mushi ni mhalifu na anatakiwa ashughulikiwe kama mhalifu na sio kama mchaga

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 หลายเดือนก่อน

      Aisee too much

  • @sheilamarandu2750
    @sheilamarandu2750 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu yupo tumeteseka mno

  • @EliaEgbert
    @EliaEgbert 7 หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee anatowaga rusha silaa mungu akulinde

  • @hassannasir4561
    @hassannasir4561 3 หลายเดือนก่อน

    Alafu kwa nini Ni mabwashee Kwa Asilimia Kubwa Ndio Wanaongozaga ktk Utapeli Wa Ardhi

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 5 หลายเดือนก่อน

    Dah wachaga kwa ardhi uwiii😂😂😂

  • @YusufHamza-h3z
    @YusufHamza-h3z 7 หลายเดือนก่อน

    safi sana wazili haki itendeke nawanao tumiya pesa zao wakomeshwe

  • @mlatambuu6364
    @mlatambuu6364 6 หลายเดือนก่อน

    Sifa ya kwanza ya tapeli, ni kupekua pekua daftari au kuchezea simu wakati akihojiwa 😂😂

  • @amosmbangala9079
    @amosmbangala9079 7 หลายเดือนก่อน

    Waziri unafanya kazi nzuri naomba uje njombe kunatajili kama mushi anaitwa yohana sanga marufu makete namtoto wake endwin kasian sanga wanacheza na kaimu mkuu waidara ya aridhi kamishina namwenyekiti mtaa mjimwema lenard mkupi

  • @brightnjau651
    @brightnjau651 7 หลายเดือนก่อน

    Safi sana Slaa🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @ChristopherKiwanga
    @ChristopherKiwanga 6 หลายเดือนก่อน

    Jerry slaa mwamba WA ardhi......mbez,,bagamoyo Kuna mitapeli kama hayo mengi sana

  • @LucianSanga-q8j
    @LucianSanga-q8j 7 หลายเดือนก่อน

    Huyo Sawa Na Moleli Ana fanya hayo kwenye viwanja Huko Mbezi Beach Afuatwa na yeye Ana sumbua Wa nyonge kamata hao Wana Roho ngumu sana

  • @GervasLyimo-f7p
    @GervasLyimo-f7p 7 หลายเดือนก่อน

    Tusiseme mengi, tusubiri kama kweli atatiwa hatiani na kama waliodhulumiwa viwanja watarudishiwa. Hii ni nchi ya chochote chaweza kutokea.

  • @zafarmohamedy3013
    @zafarmohamedy3013 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaaa namkubal sana 😂😂

  • @TalhataMwalimu
    @TalhataMwalimu 7 หลายเดือนก่อน

    Kwa kweli mungu asimame na wewe hayo yapo mengi sana

  • @nassercurtis9579
    @nassercurtis9579 7 หลายเดือนก่อน

    Mwanakulitafuta mwanakulipata, angejitoa tu wala yasingemkuta haya yote, amefanyiwa ustaarabu uungwana aishie hapo amejifanya mjuaji, sasa anafanyiwa kazi kweli kweli.

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo Mzee Tapel tuuu

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee anatamani ardhi ipasuke

  • @anaabsaid3544
    @anaabsaid3544 7 หลายเดือนก่อน +1

    The wachaga system popote walipo

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 6 หลายเดือนก่อน

    Huyo Peter Mlaguzi ni mstaafu wa kampuni moja makini hawezi kuwa na uongo. Mzee Mushi babangu unaonekana mbabaishaji. Umeshakuwa mtu mzima, acha utapeli. Tulia utumie kidogo ulichonacho