Mchapa kazi asie na mihemko wala jaziba ,hongera sana mkuu iwish tungekuwa na uzalendo wa kuchapa kazi namna hiii kwa mawaziri na watumishi wote wa umma. mama hajakosea kukupa nafasi hii.
Hongera sana mheshimiwa slaa binafsi sikuwahi kudhani kuwa kuna kipindi kingefika masikini waliodhulumiwa haki zao na watu wenye nguvu kubwa kiuchumi wangeweza kurudishiwa haki zao kutokana na siasa zetu na baadhi ya viongozi wetu wa kimamlaka kutokuwa waaminifu kwa wananchi wao wa hali ya chini waliodhulumiwa haki zao lakini kupitia wewe leo hii umeni-prove wrong mheshimiwa naona kila mtu sasa anaenda kupata haki yake👏👏👏
Asante sana mheshimiwa endelea kuwatendea haki wananchi Mungu atakulipa kwa juhudi zako na hingera pia kwa Mama Samia kwa kuona umuhimu wako kuongoza zekta hii ngumu licha ya changamoto zote ila Unayaendesha kadiri unapaswa tunakuamini mkuu, Allah akulinde dhidi ya kila baya
Waziri unafanya kazi kwa uaminifu bila Rushwa Mungu atakupa ya Dunia na ya Ahera nakuomba uje Arusha mimi nimedhulumiwa kiwanja changu na ni mjane nakuombea Mungu akupe Maisha marefu Amen
Asante baba nakufuatilia sana japo niko nje kidogo ya tanzania ila unapigania haki wanyonge wamenyanyashwa sana natamani waziri wote wachukue mfano sababu hata jela kuna waliohukumiwa bila hatia na hata kuhukumiwa kunyonga bila hstia kisa haku haki ma kama familia haina pesa basi tena
Muheshimiwa, Mungu akulinde bro uendelee kusimia haki hasa kwa wanyonge usitishwe na nguvu za wanaojiona mapapa wala ushirikina vipite mbali kabisa, Mungu akulinde akuweke mpaka uzeeke na busara zako upendo unyenyekevu vikutawale, usiache kuabudu maana ndio ngao pekee ya ulinzi juu yako na familia yako na kwa watanzania kwa ujumla. Napenda sana utumishi wako wa kujitolea maana ungeweza kukaa tu ofisini ukapigwa na kiyoyozi ukaachia wasaidizi wako ndio wafanye kazi za site, ambao mara nyingi japo si wote lakini hutumika vibaya kwa mapapa (wanaojina asali ya Tanzania ni yao peke yao)
Hongera Mehshiva Waziri wa ardhi kweli una fanya kazi za haki na kwa Imani, Tanzania Kuna mchezo huu kuwa nyanganya ardhi kwa nguvu za paisa na karatasi za bandia (feki). Mungu aaveke Salaam na kwa Imani pamoja na familiya. Aameen.
Mh Waziri naomba haya maswala ya ardhi heru uyamalize wewe mwenyewe kuliko kuwaambia wananchi waende mahakani wakapate haki yao itakuwa umewaua kwa sababu mahakani ni rushwa kwenda mbele mwenye nazo ndiyo atapewa haki na mwenye haki halisi hapewi kwa sababu hana hela Mungu akibariki mh waziri kwa kazi nzuri
Da?! Huyu mzee Mushi ni noma, Mungu amhurumie kama anafanya Mambo haya bila aibu?! Hii ni dhambi kubwa kwakweli. Watanzania tumuogope Mungu! Utakufa utaziacha mali zote, unatafuta nn binadamu??
Mwisho wake umefika Mzee mzima unakula Bata mjini kwakudhulumu mpka wajane,watoto wanasomea pesa zadhulma,Rudi kanisani umatubu Mzee mushi.Huu ukoo Wa mushi unapenda sana hla nautajiri wadhulma.
Waziri Jerry wewe ni mzalendo ni waziri unaye fuata nyayo za JPM Big up waziri Jerry Siyo miwaziri mingine tunaiona ya hovyoo kabisa yani nyie viiana mnachapa kazi wewe na makonda tu
Mh. Waziri unawajibika vizuri sana. Kaa ukijua waharifu katika hii Wizara ni wale waliochini yako bila kuwawajibijisha kazi bado. Sababu wao ndio wasabishi wakubwa mwananchi wa kawaida hawezi
Waziri Ufanyayo Ndio Uwongozi Utakiwavyo Shukran Sana Kwa Utendaji Wako Mola Ndio Atakae Kulipa LAKINI TEMBELEA MIKOWANI UJIONE VIONGOZI WENZAKO WANAVYO DHULUMU WATU ARDHI ZAO NA KUWAPA MABEBERU NA AKITOKEA KIONGOZI MWENZI WAO HAYUKO PAMOJA NA WAO ATAHAMISHWA MARAMOJA ILI WATU WAENDELE KUFANYA YAO WATU WANANYANGANYWA WANADHULUMIWA UKIWEZA KUTEMBEA MIKOANI UTAWASAIDIA SANA WANYONGE ASANTE KWA UTENDAJI WAKO
Hii ndio awamu bora na ya utendaji na haki Mh. Rais Samia hana mbwembwe ni mtkelezaji na haswa akipata Mtendaji kama alivyo Waziri wake wa Ardhi Mh. Dr. Slaa na wengine.
Safi sana mimi lkn namsikia huyo mtu anasumbua sana, Na hapo ameogopa tu anazo hati zimetiwa kwenye maji ya chai zionekane zilitolewa zamani, Hongera sana waziri
Hii Sawa lakini pia ufike tarime uone malalamiko ya waliyoporwa ardhi zao na wababe na wengine kwa kutumia Baraza la ardhi kilio ni kwa wengi wengine wanazo hati lakini nyumba wanamiliki wengine Hadi eneo iliyokuwa ya kituo cha mafuta ya serekali na shirika la kahawa zote ni mifano Tu ya maeneo yaliyoporwa na matajiri wezi
Wachaga ktk ubora wao wa dhuruma za Mali za watu, Huyo ni sehemu Mdogo tu ya dhuruma zao, Sababu kubwa watumishi wengi wa Kichaga wapo wizara ya Ardhi kwa Nini usiwe lahisi kwao kufanya mipango ya kutwaa maeneo kwa udanganyifu!
Nimesikia aibu mzee unaaibikq kwnn jamani unakuwa na tamaa Mungu wngu Mungu akusahidie babaangu unafanyaje sasa..walah Mungu.mrehemu baba yngu apumzike kwa amani Sasa baba hapa mbona unapata aibu adharani kwa media kwa.mtandaoni kiulimwengu baba
Wale wanaopenda dhuruma utasikikia kwann wasiende mahakani na wakati wanyonge huko mahakaman ndipo wanapodhurumiwa wakiona ni tajiri anaeshitakiwa, mm naona wazir uko sahihi inch hii watu wanaonewa sana ,mungu awe pamoja katika kutetea haki za wenyewe
Wachaga bhana dunia ilishabadilika! Ujanja ujanja wa kuiba ardhi za watu kushirikiana na ndugu zenu walioko wazarani umeisha kaeni kwa kutulia! Pumbavu kabisa!
Mwanakulitafuta mwanakulipata, angejitoa tu wala yasingemkuta haya yote, amefanyiwa ustaarabu uungwana aishie hapo amejifanya mjuaji, sasa anafanyiwa kazi kweli kweli.
Huyo Peter Mlaguzi ni mstaafu wa kampuni moja makini hawezi kuwa na uongo. Mzee Mushi babangu unaonekana mbabaishaji. Umeshakuwa mtu mzima, acha utapeli. Tulia utumie kidogo ulichonacho
M NDO MAANA NAPINGANA NA WATU WANAO SEMA ET VIONGOZ WOTE WA SERIKAL HAWAFAI WAPO VIONGOZ WAZUR TU KAMA HUYU GOD BLESS
Na mimi napingana na kuwa Serekali ya awamu 6 ndio Serekali sikivu na utekelezaji ila watu hawataka sasa sijui wanataka nini!
Hatamimi sikubaliani nao wapo viongozi waadilifu kama huyu waziri wetu MashaAllah mungu amlinde kina chalamila yaaniwapoo
Wachache😅
Piga kazi kijana walishazoea hao kuhonga sasa imefikia mwisho mungu akulinde
Mchapa kazi asie na mihemko wala jaziba ,hongera sana mkuu iwish tungekuwa na uzalendo wa kuchapa kazi namna hiii kwa mawaziri na watumishi wote wa umma. mama hajakosea kukupa nafasi hii.
Hongera sana mheshimiwa slaa binafsi sikuwahi kudhani kuwa kuna kipindi kingefika masikini waliodhulumiwa haki zao na watu wenye nguvu kubwa kiuchumi wangeweza kurudishiwa haki zao kutokana na siasa zetu na baadhi ya viongozi wetu wa kimamlaka kutokuwa waaminifu kwa wananchi wao wa hali ya chini waliodhulumiwa haki zao lakini kupitia wewe leo hii umeni-prove wrong mheshimiwa naona kila mtu sasa anaenda kupata haki yake👏👏👏
Hongera waziri unafanya kazi nzuri
Great stuff Jerry, naona umerithi mikoba ya JPM
Kwa hakika mimi ni mpinzani na siipendi ccm ila Jerry slaa Daa Bwana Yesu akuinue na akulinde dhidi ya maadui zako nimetokea kukupenda,
Kuna mawaziri expetional, hailajilish wako chama gani, japokuwa wako wachache mno
Mungu kakufedhehesha😅😅😅wachukie baadhi ya watendaji wa CCM,nasio Chama cha Mapinduzi. Hata ndani ya Chama chako wapo watendaji kama wa CCM
Asante sana mheshimiwa endelea kuwatendea haki wananchi Mungu atakulipa kwa juhudi zako na hingera pia kwa Mama Samia kwa kuona umuhimu wako kuongoza zekta hii ngumu licha ya changamoto zote ila Unayaendesha kadiri unapaswa tunakuamini mkuu, Allah akulinde dhidi ya kila baya
Waziri unafanya kazi kwa uaminifu bila Rushwa Mungu atakupa ya Dunia na ya Ahera nakuomba uje Arusha mimi nimedhulumiwa kiwanja changu na ni mjane nakuombea Mungu akupe Maisha marefu Amen
Mfate ofisini kwake utapata haki yako au mfuate Makonda hawa wamebarikiwa na Mungu asaidie watu.
Amen utasaidiwa
Aibu kwa walio mshindwa Mush, miaka yote hiyo alikuwa anapeta tu kwa raha zake hamna wa kumgusa du. Waziri hongera, God bless you.
😅😅😅😅😅😅😅😅
Ndo huyu kumbe? Shenzi kabisa
Asante baba nakufuatilia sana japo niko nje kidogo ya tanzania ila unapigania haki wanyonge wamenyanyashwa sana natamani waziri wote wachukue mfano sababu hata jela kuna waliohukumiwa bila hatia na hata kuhukumiwa kunyonga bila hstia kisa haku haki ma kama familia haina pesa basi tena
Mweheshimiwa waziri anafanya kazi yake kwa uaminifu na kwa haki kabisa mungu amsaidie aendelee kuchapa kazi 🙏🙏
Huyu waziri siku 1 nilimsikia akisema yeye hanywi pombe wala havuti sigara na usiku yuko nyumban nikasema hapa nimepata kiongoz,hongera sana wazir wangu
Mhe. Waziri huyu mzee mwizi na ni majanja sana anamdhulumu baba wa watu.Waziri ongera sana❤❤❤❤
Waziri Silaa ongela kwa kazi zito Mungu Akubaliki sheria ni musomeno ongela sana Silaaa
Waziri nakupongeza sana kwa kazi unayofanya,unastahili kuteuliwa nafasi ya juu zaidi,viongozi wengi ni mizigo kwa serikali hawawajibiki
Ateuliwe nafasi ya juu alafu hii achukue nani? Maoni hayatoshi
Nafasi hiyo inatosha apambane kwanza na hao mazandiki wa ardhi, akitoka hapo aingie wizara ya ujenzi apambane na makandarasi uchwara.
Waziri hukupewa kwa kubahatisha wizara upo vizuri na unaijua hasa sheria maana unavyowachalenji matapeli asee!
Hongera zako!
Muheshimiwa, Mungu akulinde bro uendelee kusimia haki hasa kwa wanyonge usitishwe na nguvu za wanaojiona mapapa wala ushirikina vipite mbali kabisa, Mungu akulinde akuweke mpaka uzeeke na busara zako upendo unyenyekevu vikutawale, usiache kuabudu maana ndio ngao pekee ya ulinzi juu yako na familia yako na kwa watanzania kwa ujumla. Napenda sana utumishi wako wa kujitolea maana ungeweza kukaa tu ofisini ukapigwa na kiyoyozi ukaachia wasaidizi wako ndio wafanye kazi za site, ambao mara nyingi japo si wote lakini hutumika vibaya kwa mapapa (wanaojina asali ya Tanzania ni yao peke yao)
Hongera Mehshiva Waziri wa ardhi kweli una fanya kazi za haki na kwa Imani, Tanzania Kuna mchezo huu kuwa nyanganya ardhi kwa nguvu za paisa na karatasi za bandia (feki). Mungu aaveke Salaam na kwa Imani pamoja na familiya. Aameen.
Mueshimiwa waziri Silas Mungu akulinde ajaliye ujaliye ujage kuwa rayisi wa tanzania
Mh Waziri naomba haya maswala ya ardhi heru uyamalize wewe mwenyewe kuliko kuwaambia wananchi waende mahakani wakapate haki yao itakuwa umewaua kwa sababu mahakani ni rushwa kwenda mbele mwenye nazo ndiyo atapewa haki na mwenye haki halisi hapewi kwa sababu hana hela Mungu akibariki mh waziri kwa kazi nzuri
Ubarikiwe sana kiongozi kazi nzuri
Kwann mataoel wengi wa ardhi ni mushi,mmasi, yaani majina yaliyotrend humu 🙌
Da?! Huyu mzee Mushi ni noma, Mungu amhurumie kama anafanya Mambo haya bila aibu?! Hii ni dhambi kubwa kwakweli. Watanzania tumuogope Mungu! Utakufa utaziacha mali zote, unatafuta nn binadamu??
Mwisho wake umefika Mzee mzima unakula Bata mjini kwakudhulumu mpka wajane,watoto wanasomea pesa zadhulma,Rudi kanisani umatubu Mzee mushi.Huu ukoo Wa mushi unapenda sana hla nautajiri wadhulma.
Kuna ndugu wa ukoo wake anaitwa Ryodes Mushi naye ni mdhulumati wa viwanja na nyumba Arusha kama huyu wa Mbezi Dsm
ukilikuta kanisani kitambi mbele kutoa sadaka huku likisema vijna hawajui kutafuta hela ila wachaga duh
Kuna mmasi pia yaani ni aibu jmn
Mpk wajane jmn,🙌😭
@@apolleorevocatus8577basi atakua yule aliyekutana na makonda
Ndo maana nashangaa mbona Majina yaleyale kumbe ni ukoo 1
Aisee Kuna koo sio kabisa
@@kwzjkwz3532kabisa tena unakuta lizee la kanisa
Nimekupenda mpka mungu amesikia.Mm SIPENDI uonevu kwenye nchi hii,ila slaa mungu akupe heri.Watoto wako wawe nahkma kma zakwako,Huna hraka huna hsira huna hk hka yamajibu.Unafanya kitu kwaumakini unaheshma nahkma.Mam akuache jmn uwanyoishe wenye mabavu,hpo mama hkukosea kukuweka hpo.Kwi umesomea ardhi mkuu.
Mungu akutunze na ulinzi wa kimbingu uwe juu yako unawatetea wananakandamizwa
Safi sana waziri mchapa kazi hodari so kinyonge an unaijuwa kazi ako na unaifanya vyema so👏👏👏👏👏👏💪
Waziri Jerry wewe ni mzalendo ni waziri unaye fuata nyayo za JPM Big up waziri Jerry
Siyo miwaziri mingine tunaiona ya hovyoo kabisa yani nyie viiana mnachapa kazi wewe na makonda tu
Peter nakuona lo ni miaka mingi sana enzi za NBC. Hongera kwa kupata haki yako
Mushi wewe mwogope mungu utasababisha watoto wako na wajukuu zako kupata laana
Asante👏🏻
Hongera kiongozi Mungu akulinde
Mpeni ulinzi huyu mtu
Mh. Waziri unawajibika vizuri sana. Kaa ukijua waharifu katika hii Wizara ni wale waliochini yako bila kuwawajibijisha kazi bado. Sababu wao ndio wasabishi wakubwa mwananchi wa kawaida hawezi
Nimependa sana mungu akupe maisha marefu mtetezi wa wanyonge
Unafanya kazi nzuri mbunge wangu,Mungu akubariki
Mh SLAA ABSOLUTELY YOUR AMAZING BRO' PIGA KAZI WE ARE BEHIND YOU 100%
Hongera sana Mr slaa kwa kazi iliyotukuka
Waziri jerry uko vizuri mungu akulinde katika kazi zako ameen
masha Allah
thanks so much
Mh Anafanya kazi kwa uaminifu mkubwa barikiwa sanaaa
Hongera Wazir kwa maswali mazur yenyekueleweka
Kwa ukweli mawaziri wanaoteuliwa na rais ktk wizara hii mungu awajaalie sana kz zenu zinaonekana tangia Lukuvi,na Sasa Jerry silaa
Yule waziri mabula aliyeondoka ndio alikuwa anapewa hongo na kina mushi! Hongera slaa
👏👏👏👏👏
Sasa Nchi ilivyo ya kipekee,utasikia Jerry amebadilishwa wizara
Waziri Ufanyayo Ndio Uwongozi Utakiwavyo Shukran Sana Kwa Utendaji Wako Mola Ndio Atakae Kulipa LAKINI TEMBELEA MIKOWANI UJIONE VIONGOZI WENZAKO WANAVYO DHULUMU WATU ARDHI ZAO NA KUWAPA MABEBERU NA AKITOKEA KIONGOZI MWENZI WAO HAYUKO PAMOJA NA WAO ATAHAMISHWA MARAMOJA ILI WATU WAENDELE KUFANYA YAO WATU WANANYANGANYWA WANADHULUMIWA UKIWEZA KUTEMBEA MIKOANI UTAWASAIDIA SANA WANYONGE ASANTE KWA UTENDAJI WAKO
Mwenyezi Mungu akutunze waziri.
Huyu wazir ni hazina yetu ya baadae ya nnchi yetu mwenyez mungu amtunze inshallah 🙏
BIG UP JERRY PIGA KAZI HAKUNA UOGA,KUFA MTU ANAKUFA MARA MOJA....
Bigg up mheshimiwa waziri hon Jerry Slaa
Mchagga MWIZI Mpare BAHILI.
Hii ndio awamu bora na ya utendaji na haki Mh. Rais Samia hana mbwembwe ni mtkelezaji na haswa akipata Mtendaji kama alivyo Waziri wake wa Ardhi Mh. Dr. Slaa na wengine.
Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo ni bayana ya mambo yasiyoonekana ,tunakupongeza kwa kusimamia haki
Asant waziri mungu akubariki naomba uje arusha
Tanzania inatakiwa kuwa na kina waziri Silaa kila mkoa na wilaya. Hongera waziri Silaa
Hongera sana Waziri kwa kufanya kazi kwa vitendo
Sio Mushi peke yake,wapo Wachaga wengi wavamizi wa ardhi za watu kwa kutumia ubabaishaji na jeuri ya pesa.Asante Waziri Slaa.
Ukabila tena!!!! Eh!!
Wapo njoo mapungo moshi tukutane na lijamaa linaitwa mbuya linares uraia mno
Mungu akulinde muheshimiwa uendelee kutetea wananchi🙏
Wachaga ukicheka nao ni wazulumishi balaa 😂
Mungunni.mwema sana Mungu pekee atakulinda waziri wetu
Mama yetu samiha umetupa kiongozi huyu niwaziri mashaallah
Kijana anafanya kazi. Mama usimwache uyu.
Muheshimiwa mungu akulinde
Waziri mzuri sana , muisho mzee Meole amepata hati yake , mzuri sana
Hongera sn Rais na Waziri, haki huinua Taifa..
Magufuli wa pilii Asante waziri
Asante mama samia
Safi sana mimi lkn namsikia huyo mtu anasumbua sana,
Na hapo ameogopa tu anazo hati zimetiwa kwenye maji ya chai zionekane zilitolewa zamani,
Hongera sana waziri
Hii Sawa lakini pia ufike tarime uone malalamiko ya waliyoporwa ardhi zao na wababe na wengine kwa kutumia Baraza la ardhi kilio ni kwa wengi wengine wanazo hati lakini nyumba wanamiliki wengine Hadi eneo iliyokuwa ya kituo cha mafuta ya serekali na shirika la kahawa zote ni mifano Tu ya maeneo yaliyoporwa na matajiri wezi
Mungu ni mwema kila wakati.
Mwenyezi mungu akutangulie waziri,
SHUKRAN WAZIRI
ASANTE KIJANA HUYO MUSHI ANAONEKANA MJANJAMJANJA WA MAHAKAMA!
Wachaga ktk ubora wao wa dhuruma za Mali za watu, Huyo ni sehemu Mdogo tu ya dhuruma zao, Sababu kubwa watumishi wengi wa Kichaga wapo wizara ya Ardhi kwa Nini usiwe lahisi kwao kufanya mipango ya kutwaa maeneo kwa udanganyifu!
Waziri mungu akusimamie .umeweza wako wengi kama uyo yaani ni balaaa.
Wizara ya aridhi inakufaa mh. Waziri ❤❤❤
Too much background noise, learn how to filter background noise
Waziri ni genius 🎉
Ndo viongozi tunaowataka mungu akubariki sana waziri
Nimesikia aibu mzee unaaibikq kwnn jamani unakuwa na tamaa Mungu wngu Mungu akusahidie babaangu unafanyaje sasa..walah Mungu.mrehemu baba yngu apumzike kwa amani Sasa baba hapa mbona unapata aibu adharani kwa media kwa.mtandaoni kiulimwengu baba
Wale wanaopenda dhuruma utasikikia kwann wasiende mahakani na wakati wanyonge huko mahakaman ndipo wanapodhurumiwa wakiona ni tajiri anaeshitakiwa, mm naona wazir uko sahihi inch hii watu wanaonewa sana ,mungu awe pamoja katika kutetea haki za wenyewe
Wakifika mahakamani wamenunua hakimu
HONGERA MH.WAZIRI JERRY SLAA.
Wachaga bhana dunia ilishabadilika! Ujanja ujanja wa kuiba ardhi za watu kushirikiana na ndugu zenu walioko wazarani umeisha kaeni kwa kutulia! Pumbavu kabisa!
Ndugu@sambulugu9988, huyu Mushi ni mhalifu na anatakiwa ashughulikiwe kama mhalifu na sio kama mchaga
Aisee too much
Mungu yupo tumeteseka mno
Huyu mzee anatowaga rusha silaa mungu akulinde
Alafu kwa nini Ni mabwashee Kwa Asilimia Kubwa Ndio Wanaongozaga ktk Utapeli Wa Ardhi
Dah wachaga kwa ardhi uwiii😂😂😂
safi sana wazili haki itendeke nawanao tumiya pesa zao wakomeshwe
Sifa ya kwanza ya tapeli, ni kupekua pekua daftari au kuchezea simu wakati akihojiwa 😂😂
Waziri unafanya kazi nzuri naomba uje njombe kunatajili kama mushi anaitwa yohana sanga marufu makete namtoto wake endwin kasian sanga wanacheza na kaimu mkuu waidara ya aridhi kamishina namwenyekiti mtaa mjimwema lenard mkupi
Lusha you tube wataiona
Safi sana Slaa🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Jerry slaa mwamba WA ardhi......mbez,,bagamoyo Kuna mitapeli kama hayo mengi sana
Huyo Sawa Na Moleli Ana fanya hayo kwenye viwanja Huko Mbezi Beach Afuatwa na yeye Ana sumbua Wa nyonge kamata hao Wana Roho ngumu sana
Tusiseme mengi, tusubiri kama kweli atatiwa hatiani na kama waliodhulumiwa viwanja watarudishiwa. Hii ni nchi ya chochote chaweza kutokea.
Huyu jamaaa namkubal sana 😂😂
Kwa kweli mungu asimame na wewe hayo yapo mengi sana
Mwanakulitafuta mwanakulipata, angejitoa tu wala yasingemkuta haya yote, amefanyiwa ustaarabu uungwana aishie hapo amejifanya mjuaji, sasa anafanyiwa kazi kweli kweli.
Huyo Mzee Tapel tuuu
Mzee anatamani ardhi ipasuke
The wachaga system popote walipo
Huyo Peter Mlaguzi ni mstaafu wa kampuni moja makini hawezi kuwa na uongo. Mzee Mushi babangu unaonekana mbabaishaji. Umeshakuwa mtu mzima, acha utapeli. Tulia utumie kidogo ulichonacho