WAZIRI JERRY SILAA ABAINI MCHEZO MCHAFU, AWASHTUKIA WAPIGAJI WA ARDHI "WANATUTUMIA VIONGOZI".

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 18

  • @tumainimateru2720
    @tumainimateru2720 ปีที่แล้ว +1

    Ni kweli mhe waziri jambo hilo linafikirisha sana na wanasababisha wizara kukosa mapato ya nchi. Ukitaka kulipa wanakuwekea vikwazo wakati haki ya kulipa ushapewa. Tamka kila anayedaiwa alipe alicho nacho ata mara mbili kwa mwezi kwa kiasi chochote

  • @marypeter7209
    @marypeter7209 ปีที่แล้ว

    Upo vizuri mheshimiwa hata mijini bado kuna square tusaidie sema neno moja tu

  • @charlesally6028
    @charlesally6028 ปีที่แล้ว

    Hongera yule mama kazi ilimshinda piga kazi

  • @jacksonsawe2301
    @jacksonsawe2301 ปีที่แล้ว +1

    Waziri njoo na Nkuhungu broad acre na Matuli Dodoma Wavamizi na Viongozi wamedhulumu Ardhi hivyo hivyo

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 ปีที่แล้ว +1

    Leo umenikosha kufafanua mlengo wa chama cha TANU, baadhi ya viongozi wanajua chama cha mapinduzi ni chama cha matapeli. sio chama cha matapeli ni chama cha wakulima na wafanyakazi. Huo ndio mlengo wa chama mama cha mapinduzi.

  • @adamimis
    @adamimis 6 หลายเดือนก่อน

    Waziri silaa Akukupenda mungu na wazazi wako na mama wako wa hijari mama samia tosha wengine wanafki mataperi fukuza kazi wote😂😂😂😂❤❤❤❤

    • @selector728
      @selector728 3 หลายเดือนก่อน

      Matapeli sio mataperi

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 ปีที่แล้ว

    Well Said, Well said, well said.

  • @bongo39
    @bongo39 ปีที่แล้ว

    Kwanza kabisa naomba usipowe uwe moto mpaka kieleweke na hili swala la magomeni mpaka leo hii ni skuata Eria hivi jamani mpaka karne hii ya leo ktk jiji la daresalaam top 3 ni magomeni ukianza uhindini kko kisha magomeni lakini mpaka leo hii watu wanajenga mpaka katikati ya mitaa na hamna mtu anaemzuia magorofa yanajengwa jee mtawavunjia badae au

  • @JaziraMustafa-g9p
    @JaziraMustafa-g9p 7 หลายเดือนก่อน

    FIDDA HUSSEIN NI MWIZI MKUBWA WA NYUMBA N VIWANJA VYA WATU DAR

  • @RamadhaniAthumani-g8s
    @RamadhaniAthumani-g8s ปีที่แล้ว

    Njoo lushuto hari si shwari pia

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 ปีที่แล้ว

    Ovyo sana tushawazoea marangapi mawaziri wa aridhi mnakuja mapinga kero kibao akuna atua yoyote inayo chukuliwa

  • @LidyaKagondi
    @LidyaKagondi ปีที่แล้ว

    Mheshimiwa njoo ikungi singida utuokoe

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb ปีที่แล้ว

    Hata wakibaini hakuna hatua yoyote

  • @mmichaeleletricet4554
    @mmichaeleletricet4554 6 หลายเดือนก่อน

    Kabisa ni chama cha wasulima na wafanya kazi haya matapeli mapungo moshi vijijni hayalimi wa hayafanyi kazi ni kukaa kwenye vijiwe na kupanga njama za kutapeli

  • @daudikapange9203
    @daudikapange9203 ปีที่แล้ว

    Wakwanza

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 ปีที่แล้ว

    CCM wote wapigaji tu.