#TAZAMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
  • ‪@tanroadshq‬

ความคิดเห็น • 12

  • @LuckymusykiLuckymusyoki
    @LuckymusykiLuckymusyoki 2 หลายเดือนก่อน +2

    Na mjenge majengo ya kizaza kabisa kuliko yote ambaye yako African mashariki na kati ,kwa Kodi zetu tukioona kitu chenye hadhi hutulalamiki sisi ,bali tutapongeza,kama vile walifanya sgr kila kitu ni Cha dhamana kabisa na Cha heshima, good job serekali yetu ,Tano tena

  • @karimkinwary4668
    @karimkinwary4668 2 หลายเดือนก่อน +1

    Majengo yako wapi
    Na je yamefikia asilimia ngapi ???

  • @user-ne4lv6wn9y
    @user-ne4lv6wn9y 2 หลายเดือนก่อน +2

    Majengo ya abilia yawe mazuri zaidi kuliko ya Kenya

    • @dastanjonas2253
      @dastanjonas2253 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kwanini tujishindanishe nao kwani... Tuseme yawe mazuri zaidi ya nchi zilizoendelea na siyo Kenya.. Kenya ni ndugu zetu jmn . Pole kama nimekuelewa vibaya.

    • @jumashedafa
      @jumashedafa 2 หลายเดือนก่อน

      Yan kila vku mnatuonesha run way tu kwaiyo majengo hakun kitu

    • @hoseastephen4508
      @hoseastephen4508 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @ngaimedia
    @ngaimedia 2 หลายเดือนก่อน

    na sisi wa Arusha tunaomba ujenzi wa kituo cha mabasi cha mkoa

  • @kelvincharles7263
    @kelvincharles7263 2 หลายเดือนก่อน

    Tuonyesheni na majengo syo runway kila siku

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 2 หลายเดือนก่อน +2

    Anaye sema mama hafanyi kazi je hii ni nini?

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 หลายเดือนก่อน

    uwezo wa kujenga airport ya kisasa sidhani kama kuna akili iliyobakia zaidi ya iliyotangulia mbele ya haki

  • @samsonmwijage1869
    @samsonmwijage1869 2 หลายเดือนก่อน

    Enyi wizara ya ujenzi mbona taarifa hii haijakamilika. Hizo 60% ni pamoja na jengo la abiria au ni njia ya kurukia ndege peke yake?
    Hii picha haionyeshi jengo/majengo ya abiria kwa sababu huko ndo kuna kazi zaidi na gharama zaidi kuliko hiyo njia ya kurukua ndege mlionyesha.
    Toeni taarifa sahihi na zilikamilika tafadhali.

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 2 หลายเดือนก่อน

      Airport ni njia ya kuruka ndege na parking ya ndege,terminal building inachukua % chache tu katika asilimia kwa ujumla