#TAZAMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ค. 2024
  • ‪@tanroadshq‬

ความคิดเห็น • 12

  • @kelvincharles7263
    @kelvincharles7263 25 วันที่ผ่านมา

    Tuonyesheni na majengo syo runway kila siku

  • @karimkinwary4668
    @karimkinwary4668 26 วันที่ผ่านมา +1

    Majengo yako wapi
    Na je yamefikia asilimia ngapi ???

  • @LuckymusykiLuckymusyoki
    @LuckymusykiLuckymusyoki 26 วันที่ผ่านมา +1

    Na mjenge majengo ya kizaza kabisa kuliko yote ambaye yako African mashariki na kati ,kwa Kodi zetu tukioona kitu chenye hadhi hutulalamiki sisi ,bali tutapongeza,kama vile walifanya sgr kila kitu ni Cha dhamana kabisa na Cha heshima, good job serekali yetu ,Tano tena

  • @ngaimedia
    @ngaimedia 25 วันที่ผ่านมา

    na sisi wa Arusha tunaomba ujenzi wa kituo cha mabasi cha mkoa

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 26 วันที่ผ่านมา +2

    Anaye sema mama hafanyi kazi je hii ni nini?

  • @user-ne4lv6wn9y
    @user-ne4lv6wn9y 26 วันที่ผ่านมา +2

    Majengo ya abilia yawe mazuri zaidi kuliko ya Kenya

    • @dastanjonas2253
      @dastanjonas2253 26 วันที่ผ่านมา +1

      Kwanini tujishindanishe nao kwani... Tuseme yawe mazuri zaidi ya nchi zilizoendelea na siyo Kenya.. Kenya ni ndugu zetu jmn . Pole kama nimekuelewa vibaya.

    • @jumashedafa
      @jumashedafa 26 วันที่ผ่านมา

      Yan kila vku mnatuonesha run way tu kwaiyo majengo hakun kitu

    • @hoseastephen4508
      @hoseastephen4508 26 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 26 วันที่ผ่านมา

    uwezo wa kujenga airport ya kisasa sidhani kama kuna akili iliyobakia zaidi ya iliyotangulia mbele ya haki

  • @samsonmwijage1869
    @samsonmwijage1869 26 วันที่ผ่านมา

    Enyi wizara ya ujenzi mbona taarifa hii haijakamilika. Hizo 60% ni pamoja na jengo la abiria au ni njia ya kurukia ndege peke yake?
    Hii picha haionyeshi jengo/majengo ya abiria kwa sababu huko ndo kuna kazi zaidi na gharama zaidi kuliko hiyo njia ya kurukua ndege mlionyesha.
    Toeni taarifa sahihi na zilikamilika tafadhali.

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 26 วันที่ผ่านมา

      Airport ni njia ya kuruka ndege na parking ya ndege,terminal building inachukua % chache tu katika asilimia kwa ujumla