Yaani hapo umemchanganya na Mama yako sliyelea mimba kwa muda mreeefu mwishowe akakuzaa na taabu zote mwisho umemdharau umemtukana nk sasa tutakutazama utakavyoenenda !
Bado sijaelewa. Tunasafirisha mafuta ghafi kwenda soko la DUNIA halafu tuje tununue mafuta yaliyosafishwa kutoka nje!!!???. Mbona sioni mpango wowote wa kusafisha mafuta ndani ya East Africa??? Nadhani ni Jambo jema yasafishwe kwa soko la ndani. Ni mawazo tuu. Unalima mihogo, unaiuza unaenda kununua chips dume😢😢😢
Ni kwa sababu Afrika tungali katika ukoloni. Ili tuweze kujenga kiwa cha kusafisha mafuta ( oil refinery) lazima Marekani au Ulaya watoe ruhusa kwanza. Kama hawataki, hatuwezi kujenga
Honestly speaking, Total energies are the biggest beneficiary of these project, 62% shares and Uganda the owner 15% surely
Hakika Afrika ni tajiri
Kazi iendelee
Na sisi tutafika insha allah
Mjitahid tanzania maishamagum upande wanishat
Mimi nimtazania namba kazi ya dreva najua kuendesha naninauzoefu wa kazi iyo
Kwann tusisafishe wenyewe
Sisi KILA kitu hAtuwezi mpaka watu weupe watusaidie
Wazungu wafie mbali
Hahahahaha Waafrica vichwa vya samak
Yaani hapo umemchanganya na Mama yako sliyelea mimba kwa muda mreeefu mwishowe akakuzaa na taabu zote mwisho umemdharau umemtukana nk sasa tutakutazama utakavyoenenda !
Watuache. Miradi inapokuja Africa, ndio wanakumbuka mazingira. Huko kote wanako chimba na kusafirisha mafuta au madini aina nyingine hakuna mazingira?
Blind game watu wanaanza kutumia magari za umeme halafu sasa mafuta itaenda wapi
Duuu
Bado sijaelewa. Tunasafirisha mafuta ghafi kwenda soko la DUNIA halafu tuje tununue mafuta yaliyosafishwa kutoka nje!!!???. Mbona sioni mpango wowote wa kusafisha mafuta ndani ya East Africa??? Nadhani ni Jambo jema yasafishwe kwa soko la ndani. Ni mawazo tuu. Unalima mihogo, unaiuza unaenda kununua chips dume😢😢😢
Ni kwa sababu Afrika tungali katika ukoloni.
Ili tuweze kujenga kiwa cha kusafisha mafuta ( oil refinery) lazima Marekani au Ulaya watoe ruhusa kwanza.
Kama hawataki, hatuwezi kujenga
Kama sijakosea, Uganda itajenga kiwanda/mtambo wa kusafisha mafuta.