THE REAL TALK: Undani Kuhusu 'BIKRA' / Zipo za 'KU-FEKI' / Wanaume Hawana MPANGO NAYO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
- Hii ni 'Safe Space' Ambayo Wanawake / Wasichana (Hata Wanaume) Wanaweza Ku-share Mawazo Yao kuhusu Mambo Mbalimbali Yanayoendelea Kwenye Jamii yetu Kila Siku
Kutana na Kayla Medy na Khadija Mzee Ambao Wapo Tayari Kushare na Wewe Expirience Yao Katika Masuala Mbalimbali Kama Mapenzi na Mahusiano, Urembo, Elimu, Bata na Mengine Mengi. Hii ni THE REAL TALK YA WASAFI TV (Tazama Kila JUMATANO Saa Tatu Kamili Usiku on Wasafi TV)
THE REAL TALK: Undani Kuhusu 'BIKRA' / Zipo za 'KU-FEKI' / Wanaume Hawana MPANGO NAYO
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#TheRealTalkWasafi #wasafitv #wasafifm
Kwel zipo nyingi ila tatizo vijana tunachagua sana kiukwel tunadanganyika na urembo mwanamke mzur haitaji mapambo ili kuonesha kua yeye mzur pia kauli zenu wadada ndio tatizo kua hamuwezi kumdeti mwanaume ambae hana pesa tena mnatusema vibaya mno ndio maan vijana wakizikamata wanawachezea na kuwaacha kwani hawana iman na nyie kabisa kwan wanajua mpo nao kwaajili yapesa to
nimewakubali Kwa masomoyenu kweli watoto wa 2000 wanacheza lafu sana na akuna wasichan tena wamewazidi adi mama zao na mabibi
BONGE LA SHOW BONGE LA REAL TALK BIG UP SANA NA NAJIONA KAMA NIKO MAMBELE HUKO.. BIKRA NI SIFA TU LAKINI WE TAKE IT FOR LEISURE ILOVE THESHOW
Khadija mzee nakubali sana
Great content for Gen Z however, the name of the show is too common. There are several others with the same name. SEO will pull the popular one.
Wasafi for life❤
Big show in town
Ukweli mtupu nimepata funzu shukran kayla
There are different types of hymen the one that give bleeding from the first sex and the one that doesn't give bleeding
Mimi kwangu huwa nahona nikunipa kazi bure tu, ajigawanye na ubinti wake kwanza baadaye aje kwangu.
Faida nyingine unapunguza mikosi maana jini mahaba wanashida sana na kizazi chako mwanamke 😂😂😂
Huu ni mjadala mzuriiii sna 🔥🔥🔥
Mje mnitaje jaman mlio niona na usichana wangu😊
8.40
Salute kbs❤❤
Nmependa hiki kpnd❤
Nawakubal can
Ivi kweli hawa wanajiita bad and boujee wakingali bikra kweli??? Baada ya ndoa, kuna tendo la ndoa. Wale ambao wanataka kuolewa kwa mara yapili, hapo tutaongea sasa mahali. Ao ikibidi mwanamkee sasa atowe posa.
Kayla I see you baby❤
Nilikua nasikiliza hii interview ila DEM alivosema bikra nakaacha
Nimependa sanaaaaa🎉
KAYLA namuju bad
Qaila cjakuelewa ila hyu Khadija Mzee wahuni washapiga Ua garagaza😂
Kwanini wa 2000 tu😢😢
we wana mambo mengi sana 😂😂😂 yaani wanafamu mambo makubwa kuzidi wakubwa zao
Basataaaa wanaonaa hii amaaa
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
KWANZA NYIE NI MA BIKRA ?
Watoto WA 2000😂😂😂
😂😂😂
This talk show should not be allowed on tv. It does not conform with the cultural norms and moral standards to be talking about explicit sexual affairs.
Ndio maana kinaoneshwa usiku kama wewe huwezi kuncontrol what your kids watch usitupigie kelele
What’s your point ? Talking about culture and norms as if these kids nowadays don’t know nothing .. stop kidding yourself.