Ipm uko sahihi sana, ila nafikili siyo sawa kuongea mabaya ya watumishi wa Mungu kwasababu ww unafikili unatengeneza kumbe unatengeneza tatizo zaidi kwenye ufalme wa Mungu, ndiyo maana police hawaongei hayo unayo sema coz yatatengeneza crake katika jamii so km unao ujasili wa kuwaface watumishi wenzako bac wafuate na kuwaonya, pia nakupongeza kwa kazi nzuri unayofanya, Asante.
Kwa upande wa rohoni siasa sio zambi lakini sio sawa kuingia kwa siasa maana inakunyonya kiroho, pengine sijui vema lakini muangalie gwajima kabra ya kuingia kwa sisa na mtazame pia sada
Sasa unamwambia naninkama mkeo kama mtundu, si u qmdhalil8shq hovyo maana hayo yenu nyie ya ndani kisa cha kutangaza nini au unataka watu wakahakikishe. Mchungaji wewe lakini unachunga nini hapo sasa. Hayo ya ndani ni yenu malizaneni wenyewe chumbani.
Dunia tuliopo ndugu ya chumbani hayapo. Ukitoa ya chumbani unalipwa utalala njaa? Ndio Dunia tuliopo get it kama wewe yako unaona ni siri yako basi kaa nayo na jaribu kuyabakiza moyoni mwako!!!
Mbona huyu jamaa amekuwa mropokakaji au ndyo unareuka unaongea ongea ujinga ulitudanganya unaponya ukimwi kumbe ulikuwa mpigaji kwa sasa umeshakusanya mihela umewauzia watu maji mafuta ya dhahabu mtumishi anaropoka watumishi wa mtandao
Ipm uko sahihi sana, ila nafikili siyo sawa kuongea mabaya ya watumishi wa Mungu kwasababu ww unafikili unatengeneza kumbe unatengeneza tatizo zaidi kwenye ufalme wa Mungu, ndiyo maana police hawaongei hayo unayo sema coz yatatengeneza crake katika jamii so km unao ujasili wa kuwaface watumishi wenzako bac wafuate na kuwaonya, pia nakupongeza kwa kazi nzuri unayofanya, Asante.
Umetisha kwa mistari ya mwisho🎉🎉🎉
Kwa hilo la kuwawezesha waumini! nakupa BIG UP, nikiwa kama muumini wa kanisa flani nilijaribu hilo likanitokea puani!
Kwa upande wa rohoni siasa sio zambi lakini sio sawa kuingia kwa siasa maana inakunyonya kiroho, pengine sijui vema lakini muangalie gwajima kabra ya kuingia kwa sisa na mtazame pia sada
Anamuongelea mke wake badala ya Yesu😮😮
Daaaa.we sio poa
Kweliase
1wakirinto 10:23
Aminaa
We baba huko sawa,kweli???kua na mke hakuondoi zinaa,baba damu Yako inasoma Nini,kama ujajikana baba mule mule
Na msuluali wake ulivombana kiasi hiko mbele yaa et profet😂
Im getting a point
Mchungaji utaniuwa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ilo la kusema mkeo mtundu halitosis sawa , yan kila nkipita kwenye page yake mkeo hata hafananiii ,unamdhalilisha dada etu
Kwani utundu, ni nini
Wewe tapeli mkubwa mwizi
IPM umesema kweli kaka wanayo kupinga niwajinga tu hawaelewi chochote
Biblia ilishasema mtawatambua kwa matendo yao. Tueni makini sana na hawa wasaka tonge.
Matunda.....hakusema matendo
Bora Pi didy kuliko gwajima
Huyu ni mfanya biashara ktka jina la Yesu😢 wajinga ndio waliwao
Yaani wakirsto wanamikasa nyie jamani hadi hawa watumishi vinajitia utumishi waongo wakubwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa unamwambia naninkama mkeo kama mtundu, si u qmdhalil8shq hovyo maana hayo yenu nyie ya ndani kisa cha kutangaza nini au unataka watu wakahakikishe. Mchungaji wewe lakini unachunga nini hapo sasa. Hayo ya ndani ni yenu malizaneni wenyewe chumbani.
Mmmmmmh
Hata hii kweli asingesema
Dunia tuliopo ndugu ya chumbani hayapo. Ukitoa ya chumbani unalipwa utalala njaa? Ndio Dunia tuliopo get it kama wewe yako unaona ni siri yako basi kaa nayo na jaribu kuyabakiza moyoni mwako!!!
Nakupenda sana mchungaji
Vuil
Aksanti muchungazi, kuhusu ndoa je mutu anaeza akavunja ndoa kwakutafuta Salama yake?
Yeye mchungaji ana maana ya kuwa mcheshi kuongea
Mbona huyu jamaa amekuwa mropokakaji au ndyo unareuka unaongea ongea ujinga ulitudanganya unaponya ukimwi kumbe ulikuwa mpigaji kwa sasa umeshakusanya mihela umewauzia watu maji mafuta ya dhahabu mtumishi anaropoka watumishi wa mtandao
Anauza maji na mafuta naye?
Naayeye kesshhaanza kumne😅
MWANDISHI WA HABARI. NIMEKUPENDA SAANAAAAA KWA SWALI LAKO NI UKWELU. WANAHUBIRI VITU AMBAVYO WENYEWE HAWAVIISHI