Rais MUSEVENI Amvunja MBAVU MAGUFULI - "Unajua Maana ya Chato?"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Rais MUSEVENI Amvunja MBAVU MAGUFULI - "Unajua Maana ya Chato?"
Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni atafanya ziara binafsi ya siku moja nchini Tanzania, leo Julai 13, ambapo atamtembelea Rais Dk Magufuli kijijini kwake Mlimani, mkoani Geita.
Akiwa Chato, Rais Museveni atafanya mazungumzo na mwenyeji wake, Rais Dk Magufuli.
#MUSEVENI
www.youtube.co.... www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Hongera mh Mseveni karibu tz uhiji.
Best attractive speech
Viongozi wa zamani mnaongoza hamtawali..you Educate but not forciñg in nature!Ahsante
John Congo uwaite hatamarais wengine wa africa musaidiyane
Shemel Syi kimafikiri yakuokowa wana ichi
Museven kaja Hija ya kweli na mahali pa hija ya MUNGU BABA. YAMETIMIA NIKIWA NAONA. ASANTE SANA MUNGU BABA
Kwa Nini umesema ivo nifafanulue nikuelewe maono yako
@@jonaskilomba4094 😁😁😁😁😁kumbe nawe ujaelewa kma mm,mtu kaja chato afu Joshua anasema Mungu baba yaketimia akiwa anaona😁😁😁😁😁
Ur excellence....ur good in history . ... It will be better when u will pedagogise it
du mzee anahistoria nzuri ya mahusiano ya kibiashara kati ya tz na Ug nimependa sanaaa
Tunakupenda Rais Mseven karibu Tz
Karibu hija Kaguta.Nyegera.
Vizur mheshimiwa.
Daaaah yan asante mh yower kagut museven umeongea vizur sana nimeelimika sana hatumii nguvu bali akili na history
Asante Museveni kwa hutba yako ya leo
Older but talented president.we love Ugandan their culture also.
huyu M7 ni poa mno..safi sana
Kweli daaa!! Raisi museveni anaeleweka sana pande izo, wote kwa umoja wao wanamwelewa, na anaijua Tanzania kama njaa.
Hiyooo Kofia Mh. M7 unaishikilia km dhahabu,.. Mwl. Hayati Nyerere alikuwa anashikilia Fimbo mkononi, ww Kofia....!!!
Historia nzuri hutuba nzuri
Amen Amen. Baba Mungu awabariki nyote. Amen.
Mungu akulinde zaidi rais museveni na akubariki zaidi
Hakika Hija ya MUNGU BABA iko Tanzania , your correct Mh President Museveni
Mimi ni Mtanzania lkn Museveni anaijua Tanzania kuliko Mimi
Napenda uje kuwa tunu na kumbu kumbu nzuri kwa viongozi wajao na sipendi uje uishie kama Gadafi au Bashiri. Mungu akupe mwisho mzuri na uufrahie uzee wako. Plz mzee wetu zingatia hilo
Kenya Rwanda Kenya tananzania Uganda iongee kiswahili
Jared Mutego
@Jared Mutego kwli yko Kiswahili ndo lugha zetu za kitaifa km africa mashariki na km viongozi wetu ya waafrika wangeshikana km mandugu ningependa Kiswahili iwe lugha yetu ya kiafrika tuachane na lugha ya wakolini (kimombo) tujivunie uafrika tuishi km mandugu
hakika mseven unaeleweka zaidi bukoba,, kiganda /kinyankore ni kihaya kabisa leo nimeamini
williamson bais kiganda tofauti na kihaya
Kinyankole kitoro ndo kinafanana na kihaya
Wanyankole wana “R” wahaya wana “L”
williamson bais
Raiasi museveni ana akili sana ,huwa nampenda sana,tusidanganywe na wazungu eti raisi mwisho miaka kumi ni ujingga,rais kama museveni au magufuli hata akitawala mika 23 ni sawa kabisa,waafrika amkeni! bg up marais wetu tunawapenda sana,MUNGU AWALINDE
Labda uko kwenu
Kweli
Umri Some times huleta wisdom Mseven ana experience nzuri Sana Hata kuhusu tz kiukweli
good is good mseven God bless you. watanzania tumemsikia pres uga tujitengenezee yajira sisi wenyewe sio unamalza university macho kwa serikali unataka ajira ajira 444000 je zitawatosha watu 44million mseven in short ameeleweka.
Yes
Hapa kazitu
Umeeleweka vyema mzee wetu
Kihaya unakifaham vzr Sana
Ubwato cc waha wa kigoma tumekuelewa vizur
Mhe Museven wewe ni kiongozi. Umekomaa vyema katika uongozi. Hongera
mhe museveni ni ndg wa Kweli wa Tanzania.
Haaaa... haaa!! Sebo ameenda kutafuta tausi zake nne pia...kama zenye uhuru alipewa.
Aisee una majina ya mtoto wangu anaitwa Atieno Achieng.... Jaluo wa Tanzania
Kiswahili ni uko good
Ongeeni yoooote, Lakini Mungu ndie mpangaji wa yote, Chato ni Tanzania yetu hii hii, badala ya kushukuru na kumshukuru Mungu kuidhinisha URais wa Mh. Magufuli, kabisa na akili timamu mtu UnaComment kua ni dikteta, Kweli nimeamini kunguru hafugiki, Lakini Mungu ndio mwenye Nguvu atamlinda kwa ulinzi wa KiMungu, Aamina.
Binuru Sm kaka uk sahihi achana na wavta bang walxha choka na maixha wapumbaf2 cjui wametmwa kama hawana cha ksfia wakae watlie
Muze museveni nakwamini sana
Mali izalishe ajira, safi sana
martha mgeyekwa
Mzee Uko makini Sana nimekuelewa vizur kabisa kuhusu
Mandeleo
Utajili
Kazi
😂😂😂😂😂😂😂
Watanzania woote WA DUBAI LEO KWA WAGANDA TUNA PUNGUZO LA BEI MUSEVEN KASHATANGAZA
Bei ya nini?
Sijakupata vizuri ndugu, kwamba Watanzania watapunguziwa bei kwenye maduka ya Waganda?
Mkuu manyota me nimepata punguzo Kwa mganda Hapa Naif deira huwez amini
Salum Rashid Abdulla shmely haupo Dubai usingeuloza bei ya Nini kwa waganda
Kyangwe Suba haupo Dubai hasa Miata ya Deira ungejua ninitunamanisha kutoka kwa waganda Baniyas squire hadi albaraaa
👏🔥🔥🇹🇿
Babu M7 ni mwl mzuri wa history
amina kwamaneno yake
ahh..kumbe uyu jamaa anaongea kiswaahiliii
Amesoma UDSM huyo jamaa anajua kiswahili sana tu
bunsinsi. 😃😃😃😃👏👏👏👏
Wewe ni Mwalimu, umetoa elimu ya uchumi.
Haha haaa kasheshe ipo kwenye "
ng'ombe na ngombe '
Hahahaha kitu cha ngombe
Mama Chris m
Mnyamwezi (muungwana) ,sasa mliobakia ni wajakazi na watwana,mtusamehe jamani.
Yaani kaongea Kinyakyusa kabisa Kama Bwato na Bwalwa,Lusisi nimeshangaa sana
Hii itakua ni chato cha pombe tu. Si unaona hata Magu anaitwa pombe
Nimependa tafakari ya lugha
Mseven naona anaelewa lugha yangu kinyambo kitupu obwato _chato mwasibha MTA _habari zenu yaan nimeona ni lugha yangu kabhisa busisi _sisimizi alfu empazi _siafu yaan kama tunavyoongea ss
Hata mm mzinza ni sawa na ww na mganda
Ni lugha ya wtu wote waeneo la kagera na sisi wahaya tunamuelewa kwahyo hakuna kitu hapo
Mbona maneno yoooote yanaeleweka katika kijita pia 😨😨😨
Kibantu misamiati ya msingi inafanana
Ni sifa ya lugha za kibantu
Watu ambao hawafahamu Museveni ni mhaya ukifuatilia historia
No huyu mnyambo kabhisa make mhaya aongei hivi make hata ukifuatilia histolia wanyambo wametokea uganda
@@djonetz2730 No yeye in muhima ndani yake kuna watutsi na wanyankole
Obhusisi, obhwato, bhwanga, Niwemughizi. Wankolaho iwe msizawe! Whebhale kwiza omwihanga lyitu.
Mu 7 upo sahihi kabisa magu oyee
nmekusoma museveni
Huyo ndo rais museven, ..mtemi Wa Uganda, hahhhh
Jamani minajua kua likizo ni kulalaaaa hadi usingizi unaisha. Mi ningekua magu ninge lalaje
Tupo poa
Bwato kinyaki mtumbwi maneno yote aliongea yanaendana na kinyakisyu
Fabian Mahenge hata kihaya ni bwato
Heko Raisi mseveni uko vizuri
Dah we ni mnyambo mseven kabisaa iyo ni lugha yetu wanyambo
@@franceobed7463 hakuna lugha ya kinyambo ni lugha ya watu wajamii ya kagera hiyo wanoitwa wahaya
What is the motive of this visit?
You want to know for what
Wanajaziana philosophies na kubadilishana mbinu za udikteta
Hongera kwa kuja
Hongera mseveni
Rais mzoefu kweli
good
@@boazsigala3284 tu
hongera sana rais mseven kwa hotuba nzur,
Mbn kama wakerewe na waganda wanaingiliana maneno
frank mnale ndo walewale sababu wakelewe wametoka uganda
Mathias Kisinza
Mi na uraia wa TZ
Wabantu.
History iko hivi wakerewe wametokea uzinza Geita,history ya wazinza niwahaya na waganda,wakerewe katika hali ya utafutaji kwakutumia mitubwi wakapata kisiwa ambacho kilikuwa hakina watu wakaishi hapo
Ongera rais was jamuhuri ya mungano wa Tanzania kwa Nazi nzuri
Ongera rais
babuuuuu mu7
Museveni anaongea swahili kama lunyakore. .
wewe onaongea English kama 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
kweli uyu amekaa kwetu kyerwa, lugha yake ndo lugha ya wanyambo
obhusisi
empazi
obhwato
abhalunganwa (waungwana)
chikoloni(kikoloni)
chi (ki)
chihistoria
chiwanja chikubhwa
kweli karibu chato karibu kyerwa aswa kamuli na rwabigaga 😁😁😁😁😁😁😁😁
Hakuna kinyambo hapo nikutfta identity iliyopotea kwasababu wasubi,wanyambo na wengine wote wanaongea lugha mmoja ya kihaya inayitofautiana kidgo kidgo kutokana na mazingira
Kopo na mfuniko🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tanzania cyo ijjah uku umekuja kwa rafki bhan ijjah wafananisha na uku
Amesema kisiasa na kwa yy
Yuko sahihi kabisa, kaja hija ya MUNGU BABA.
Mr president, nakukubali sana, ila naomba urudishe uhusiano mwema kati ya Nchi tsko na Rwanda, bila kusahau Burundi na Congo, ilikudumisha amani afrika mashariki na nakati.
Chuma hichoo...Museveni!
Yupo sahihi
Wajita mpo obhwato
Duu museveni eti hijjah jamani tuachie dini yetu
Kweli kabisa km wameipenda hijja ya kiislam wasilim tu
Acheni kukariri hilo ni neno linalomanisha kuabudu kwa kumbukumbu sasa nyie mnaona ni neno la kiislamu tena? Inawezekana mkawa marufu kulitumia lkn sio maana yake kuwa ni neno la dini. Sawa na mtu kulalamika kuwa Agano ni neno la kikristo, sio kweli. Agano ni mkataba au makubaliano.
@@reachthegoal7624 so he was coming to perform pilgrimage to tz ajabu
@@reachthegoal7624 nyie mwafanya hijah wapi je kitambo ikamilike kuwa hijjah wafaham masharti yake so tunapo sema tuachie dini yetu tuna maana
@@omarbosiomar8608 Alikuwa mkimbizi Tanzania enzi za Iddi Amin.
KAMA KAWAIDA YAKE KUCHEKESHA NDO MAANA MPAMIRE ANATKUTANIA HAHAHAHAH
Watanzania wajinga wanasupport dictator Museveni! Alipigwa mawe Kenya 🇰🇪
😂😂😂Kenya hatufugagi
Museveni ni Dikteta mwingine, hataki kuondoka madarakani. Ni lazima aje kumsuport pontentially uprising new dictator.
Huna hoja looser
unajua maana ya neno dikteta au unajisemea tu
Paul you are the looser. Udikteta huoini kwa mbowe (division 0 form vi) ambaye alijipachika uenyekiti 2004 hadi leo 2019 takribani miaka 15 hataki uchaguzi!!!!!!
Hujitambui boss
Ushauri wa bure wahi mirembe kabla vitanda havijajaa
Ur excellence....ur good in history . ... It will be better when u will pedagogise it