CHAMA cha WANASHERIA TANGANYIKA WAMKANA ALIYEJITOKEZA kwa RC MAKONDA na KUTOA MSAADA wa KISHERIA...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024
  • CHAMA cha WANASHERIA TANGANYIKA WAMKANA ALIYEJITOKEZA kwa RC MAKONDA na KUTOA MSAADA wa KISHERIA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 134

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 หลายเดือนก่อน +7

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu 2 หลายเดือนก่อน +4

    Makubwa!alivyovamia maiki nyie mlikuwa wapi uyo ni mfanyakaz wenu mnakataa tu .mi nimempenda alikua jasir nyie mlimuogopa makonda big up kwake

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 2 หลายเดือนก่อน +12

    Mimi naona ni mwanasheria wenu bana😂

    • @VeronicaMsenga
      @VeronicaMsenga 2 หลายเดือนก่อน

      Ameumia hakuitwa mbele ya nabii Makonda 😂

    • @alexlyimo122
      @alexlyimo122 2 หลายเดือนก่อน

      Hahahhaa kweli kabisa

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kifupi kwa mimi ningeoma bora zaidi sheria zetu na masomo yetu yafufundishwe kwa kiswahili kingereze iwe kama ziada sasa nchi nyingi zinajifunza kiswahili mbona tunazarau ruhga yetu na tunatukuza lugha nyingine ni ujinga mtupu

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 2 หลายเดือนก่อน +10

    Kwa nini kesi iendeshwe Kwa kiswahili ushahidi Kwa kiswahili hukumu iweje itolewe Kwa kingeleza?

  • @saidabdillahi8107
    @saidabdillahi8107 2 หลายเดือนก่อน +10

    Wengi wao Tanganyika law society wako kama huuo jamaa tatizo hawaja bahatika kuanikwa mitandaoni kama ilivyotokea bahati mbaya kwa huyo jamaa kuanikwa yule jamaa inaonekana kiengereza sifuri lakini maelezo yamenyooka

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 2 หลายเดือนก่อน +7

    Ivi angefanya vizuri mngemkataaa😂

    • @1961nungwi
      @1961nungwi 2 หลายเดือนก่อน

      Hawezi hata kusoma. Sio kumkataa, hata form 6 hajamaliza. Labda kama na wewe hujasogea sogea ndio unaweza ukaona ni kawaida. Sio kawaida!!😅

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hii ndio ile ya doctor shika kupiga mnada hana hata mia 😂😂😂

  • @kevinoisso3174
    @kevinoisso3174 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mbona mnamwangusha classmate wangu M/chai sec 2020

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 2 หลายเดือนก่อน +3

    Issue sio kumtambua issue ni je amepotosha? Hapo mnataka pesa tu sio uzalendo.

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 2 หลายเดือนก่อน +3

    Yeye mwenyewe chenga😂😂😂😂 hajui lugha.

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o 2 หลายเดือนก่อน +4

    Dah wanamkana bcos acent yake ya kimombo ni mbovu mno yaani kama huyo ni wakili ndio maana tz tuko nyuma

    • @1stladyafrica402
      @1stladyafrica402 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sio ascent bana hajui kusoma kingereza bana.

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kwa mimi huku Canada naona wote wawili kizungu chao ni Africa English

    • @1961nungwi
      @1961nungwi 2 หลายเดือนก่อน

      WA kwanza si kama huyu Mwanasheria.! Rekebisha kauli yako!

    • @thespaniardinme
      @thespaniardinme 2 หลายเดือนก่อน +1

      *African English, na si 'Africa English' 😂😂😂

    • @MohamedIbrahim-bn1gz
      @MohamedIbrahim-bn1gz 2 หลายเดือนก่อน

      @@thespaniardinme Ndo hayoooooo 😅😅😅😅😅😅😅

  • @loningoletayo8453
    @loningoletayo8453 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hujaplay fair mbona side 2 hujamuhoji

  • @aminielimushi8709
    @aminielimushi8709 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ze point

  • @st.alvincollege6184
    @st.alvincollege6184 2 หลายเดือนก่อน +7

    We unatupgia kelele tu sion cha maana hapo,, RC alisema watu wa Law society watupe usaidizi hapo,, ulitaka akupgie simu huko uliko uje,, kwa nn hamkupeleka mwanasheria pale pale...
    Toka bhna unasumbua watu tu hapo

    • @VeronicaMsenga
      @VeronicaMsenga 2 หลายเดือนก่อน

      Hana hata la maana bwana yeangrtuambia km mpalamikaji hakua na haki au si kingreza chann?

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kwanza aibu sana sana

  • @tumainmkonyi8459
    @tumainmkonyi8459 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mbona alieleweka kijana nimsomi Ila ulimi au anashida kidogo Ila yupo sawa

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 2 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu ana Lafudhi isiyo vutia tu, ila ni mwanasheria wenu bhana😂😂😂

    • @1961nungwi
      @1961nungwi 2 หลายเดือนก่อน

      Hapana, huwezi kusoma.mpaka ukawa Lawyer alafu unasoma hivyo! Labda kama wewe hujui system ya Elimu Tanzania

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonje 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ila HARMONIZE bwana

  • @gracekiwelu8869
    @gracekiwelu8869 2 หลายเดือนก่อน +3

    wacheni bana Anatatizo kidogo kwenye ulimi jamani Ila kijana yuko sawa❤

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kingereza kichafu😢😢😢

  • @mushumbaeric4916
    @mushumbaeric4916 2 หลายเดือนก่อน

    Mmeanza figisu wanaharamu nyinyi sawa yeye siomwana sheria nanyinyi wanasheria mbona amjajitokeza kusaidia wananchi hivi nyinyi kama amuogopi Mungu huogopa wazazi wenu waliwasomesha msaidie jamii leo ndio mnakua waalifu wa kutetea hualifu

  • @1961nungwi
    @1961nungwi 2 หลายเดือนก่อน

    Moja kwa Moja huyo aliyesoma sio Lawyer. Sio hata graduate wa Chuo Kikuu! Hajamaliza hata form 6.

  • @rewardnjau7220
    @rewardnjau7220 2 หลายเดือนก่อน +1

    hivi huyu mwamba alipigaje hapa?

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 2 หลายเดือนก่อน

    Why kizungu bado kina tawala sheria za hii nchi wakati aslimia 98 hawajui hicho kizungu, miaka sitini bado mmetawaliwa tuu

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 2 หลายเดือนก่อน

    Kazi ya chama Cha wanasheria Tanganyika ni ipi?

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 2 หลายเดือนก่อน +2

    Tanzania kumbe Kuna vijana smart sana kama huyu wakili

  • @JoshuaMusukwa-kq4ll
    @JoshuaMusukwa-kq4ll 2 หลายเดือนก่อน

    Pole mzee huo ni.ufisadi mtawezaje kumpa maick Mutu .kama si mwana sheria hiyo ni poloji pole sana mi.niko.zambia

  • @alexlyimo122
    @alexlyimo122 2 หลายเดือนก่อน

    Mmh Sheria yake ni ya wasiwasi sasa huyu akienda mahakaman kweli anaendeshaje kesi aseee

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 2 หลายเดือนก่อน +2

    Yani hata mtoto wangu anasoma vema

  • @user-eq2xn9rb2r
    @user-eq2xn9rb2r 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yan nimecheka kama mazuri.
    Tanzania hauwezi kufa na stress bundle tu.,😂😂😂

  • @georgemahenge
    @georgemahenge 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hicho nikingereza!au kisukuma

  • @AbubakariKisuju
    @AbubakariKisuju 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo hakusoma"muelewe chuo cha sheria masomo yanaendeshwa kwa lugha ya kiingereza

  • @st.alvincollege6184
    @st.alvincollege6184 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa shida yako ni nn? Kasoma maandishi na yame eleweka kwani alitoa hukumu pale,, unajifanya msomi sasa simngekuwepo pale,, uko unazunguuka zunguuka tu kwenye kiti

  • @D7Nix
    @D7Nix 2 หลายเดือนก่อน +1

    Acheni ubabaishaji

  • @VeronicaMsenga
    @VeronicaMsenga 2 หลายเดือนก่อน

    Atujibu tu yule mlalamikaji anahaki au hana haki,sihatutaki kujua km yule alisoma vby au vp

  • @user-oz6zp8fr1c
    @user-oz6zp8fr1c 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa kweli wa somi hawa wa sasa wanatuangusha/wanatuaibisha sana. Hata kiswahili tu wanaharibu.

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we 2 หลายเดือนก่อน

    Waongo ni mwenzao

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises หลายเดือนก่อน

    mbona kama unatangaza mpila😂auna jipya unapiga kelele

  • @hassaniabdi3991
    @hassaniabdi3991 2 หลายเดือนก่อน +1

    Majanga ayooo

  • @henry1933
    @henry1933 2 หลายเดือนก่อน +1

    Aahhhhh acheni kumkana mwana bwana

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 2 หลายเดือนก่อน +1

    KIZUNGU KAMA BATA ANAHARISHA 😂😂😂😂😂 JAMAMMANIIIIII WAKILI KWA UMOMBO 😂😂😂

  • @faridahalil4456
    @faridahalil4456 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu kasomea wapi???? What type of English is this???Bora hata ange elezea kiswahili😂😂😂

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona siioni Logic..

  • @eliudgathuthi8601
    @eliudgathuthi8601 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wakili kizungu yamlemea

  • @kadilamore802
    @kadilamore802 2 หลายเดือนก่อน

    Kidhungu ilikuja na meli ..huyo kaka ni msomi

  • @cavoo4get649
    @cavoo4get649 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi naona ni mwanasheria wenu bhana 😂😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 2 หลายเดือนก่อน +1

    KISUTI MTUMBA MZUNGU MATOPEEEEEEEE 😂😂😂😂😂😂 KWANI KALAZIMISHWA ASOME????

  • @user-py9sr5zx4v
    @user-py9sr5zx4v 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kingereza bwana😂

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hakijawah muacha m Tanzania Salama

  • @mwakilamwaki1718
    @mwakilamwaki1718 2 หลายเดือนก่อน +2

    We mwenyewe mbona kusoma ujui

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 2 หลายเดือนก่อน

    HAKI KWELI SIO MWANASHERIA HUYO

  • @familytalks1
    @familytalks1 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona huyu mwenyewe hajui hata hiyo english yenyewe anayosemea?

  • @user-eh5fw5gj4c
    @user-eh5fw5gj4c 2 หลายเดือนก่อน

    Nilichogundua jamaa yuko smart tu Ila ni matamshi tu

  • @theonewrld
    @theonewrld 2 หลายเดือนก่อน

    Ukweli mgumi ni lwamba Kolumbas wew ni mwandishi mkubwa sana, unauwezo mkubwa dana, siku moja utaamini hiki nisemacho.

  • @RebecaMackenzi
    @RebecaMackenzi 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mbona naye anasoma tuu kama yule? Wamuache kaka wa watu🥲

    • @adammbuba7230
      @adammbuba7230 2 หลายเดือนก่อน

      Ha haaaaaaaa 😂

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 2 หลายเดือนก่อน

    Mwanasheria anapaswa kuwa mbobevu wa lugha hasa hizi za kigeni, English.

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 2 หลายเดือนก่อน +1

    Duu kumbe mi niljiuliza hii imekaa je anatatizo la 👅 au ndo hivo

  • @afisamipango005
    @afisamipango005 2 หลายเดือนก่อน

    Kanso kama kanso😂😂

  • @upendoshirima1704
    @upendoshirima1704 2 หลายเดือนก่อน

    Asikate tamaa nimeipenda ila pia anaoneka anakigugumizi ya kuongea lathin yake ana kma mbulu hivi ilichangia kushimdwa ongea kingereza

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mawakili utawajua ukisha walipa hela hawaonekani tena lisiti hawatowi washenzi tu ukienda kwenye chama Chao hamuna kitu

  • @reaganevral5258
    @reaganevral5258 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe waku cunguze vizuri kabisa…masemi yako ina onekana uko mupinzani kisiri siri…lakini makonda ata kulogotatu jifanye mujanja kwenyi maneno yako……

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 2 หลายเดือนก่อน

    Mtamkata ulimi huyu jamaaa😂😂😂😂😂

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k 2 หลายเดือนก่อน

    Wa vimemo hao

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 2 หลายเดือนก่อน

    Akili kuuubwaa!

  • @user-cv7vm1mx9d
    @user-cv7vm1mx9d 2 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaaa anarafudhi ya kimeru og

  • @mashimbazephania3511
    @mashimbazephania3511 2 หลายเดือนก่อน

    Shida syo kusoma ila jamaa rafudhi ya kinyumbani ndo anayo ila kusoma anajuwa

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 2 หลายเดือนก่อน

    Sema ni maumbile wala sio ishu kivile

  • @sashawambura
    @sashawambura 2 หลายเดือนก่อน

    Tumbafu kabisa...kibogoyo wahed

  • @AbubakariKisuju
    @AbubakariKisuju 2 หลายเดือนก่อน

    Advocate yenyewe kasema"advokote.

  • @LinusiMeza
    @LinusiMeza 2 หลายเดือนก่อน

    Hiiii!!! Wacha banaaa!

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 2 หลายเดือนก่อน

    ILIKUWA NI AIBU KWAKWELI AIBU KUBWA

  • @reganmartin5485
    @reganmartin5485 2 หลายเดือนก่อน

    Chukueni maamzi ya JPM kiswahili kwanza

  • @emmanuelpolle4922
    @emmanuelpolle4922 2 หลายเดือนก่อน +1

    Daa dogo umemkana 😂😂

  • @lailaiza7288
    @lailaiza7288 2 หลายเดือนก่อน

    Yupo sawa kabsa

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x 2 หลายเดือนก่อน

    ndomaana lisu alipata kuwa raisi woo,kumbe wako ovyoonamnahii,hapana hapahakunakitu changa lamacho,

  • @user-hu3bz3lv7s
    @user-hu3bz3lv7s 2 หลายเดือนก่อน +1

    Main problem we Tanzanian are not fluent in English who to be blame ?

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 2 หลายเดือนก่อน

      Watz hawalazimiki kuongea kiingereza katika shughuli zao za kila siku hivyo kukosa fluency wala hakushangazi.

    • @piusmaduka
      @piusmaduka 2 หลายเดือนก่อน

      Nyerere

    • @st.alvincollege6184
      @st.alvincollege6184 2 หลายเดือนก่อน

      Kwani kujua kingereza ndo kuwa msomi? Mbona wakorea hawajui kingereza? Na kila kukicha mnazunguusha viuno huko?
      Tumcheke kama hajui kiswahili..
      Kuku nyie mlo tawaliwa kifikra

    • @user-hu3bz3lv7s
      @user-hu3bz3lv7s 2 หลายเดือนก่อน

      Tuwe tumejua kiswahili au tusikijue ukweli unabaki tulio wengi hatujui to speak good English ila wapo wanaoweza !

  • @NowelaRaymond-zq4ys
    @NowelaRaymond-zq4ys 2 หลายเดือนก่อน

    But lugha sio maarifa!

  • @khaliduhadi2336
    @khaliduhadi2336 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo ni mlemavu wa mdomo hawezi kutoa matamshi kiusahihi hata kiswahili kinampa shida

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 2 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani ameeleza vizur Sema lafudhi yake tu.

  • @isackkivuyo1980
    @isackkivuyo1980 2 หลายเดือนก่อน

    Mawakili au wanasheria bila kuwa huna chchte mfukoni walahi unasubirishwa sana ila ni kwa baadhi yao

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu4905 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni kiio

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 2 หลายเดือนก่อน

    Wale wengineee

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 2 หลายเดือนก่อน

    Duuuu

  • @MarygetrudeKyauke-hn8hi
    @MarygetrudeKyauke-hn8hi 2 หลายเดือนก่อน

    Shida nn? Kama ameleza jambo vizur ww unataka afanyeje?

  • @rosemarykipesha3898
    @rosemarykipesha3898 2 หลายเดือนก่อน

    ATA hehe hajui kusoma Hilo neno linasomeka traibuno kweli?

    • @mcback4384
      @mcback4384 2 หลายเดือนก่อน

      Ni traibyuno

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x 2 หลายเดือนก่อน

    mmmmmhhhhhhhh hiiihapana ardi darasan

  • @officialhansi4462
    @officialhansi4462 2 หลายเดือนก่อน

    Dah kingereza cha jamaa sjui kakisomea wap teach kala adaa 😅

    • @jacksonsawe2301
      @jacksonsawe2301 2 หลายเดือนก่อน

      Kasonea Kenyy😂😂😂

  • @NowelaRaymond-zq4ys
    @NowelaRaymond-zq4ys 2 หลายเดือนก่อน

    Hata wachina hawaongei English.

  • @fauziaomar4661
    @fauziaomar4661 2 หลายเดือนก่อน

    Khaaa huyu atakuwa la 7 B

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hata la 7 hamna hopo haaa haaa

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu hata ningekua mimi ningemkana tu

  • @RabihuHussein
    @RabihuHussein 2 หลายเดือนก่อน

    Kwendraaaaaa!!! kwannmsimpe support kijana mwenzenu anaetamani kuwa mwanasheria sikumoja na nyie mnamkandia!! mlishawahi kumpa support yoyote mpaka hapo alipofikia? wajinga sana.

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay 2 หลายเดือนก่อน +1

    kingereza sio lugha yetu! Kutokujua kuongea kingereza vizuri au kukisoma kingereza sio kwamba mtu ni mjinnga! Hacheni mambo ya ajabu!

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 หลายเดือนก่อน +1

      NA ALEMLAZIMISHA KUSOMA HICHO KINGEREZA NANI??? 😂😂😂😂😂😂

  • @user-cv7vm1mx9d
    @user-cv7vm1mx9d 2 หลายเดือนก่อน

    Maneno yaliyotumika humo magumu

  • @abuibra
    @abuibra 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂hio bwana ni English

  • @alphoncembasa592
    @alphoncembasa592 2 หลายเดือนก่อน

    Duuu

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona kama ngmbalu

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 2 หลายเดือนก่อน

    Ni msomi sema ulimi ni tatizo❤

  • @salimmoha7962
    @salimmoha7962 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yuko sawa ila ni lafdhi tu ya ulimi wake

  • @LinusiMeza
    @LinusiMeza 2 หลายเดือนก่อน

    Wanafanana,kidhungu!!!!!