CHAMA cha WANASHERIA TANGANYIKA WAMKANA ALIYEJITOKEZA kwa RC MAKONDA na KUTOA MSAADA wa KISHERIA...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024
- CHAMA cha WANASHERIA TANGANYIKA WAMKANA ALIYEJITOKEZA kwa RC MAKONDA na KUTOA MSAADA wa KISHERIA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Makubwa!alivyovamia maiki nyie mlikuwa wapi uyo ni mfanyakaz wenu mnakataa tu .mi nimempenda alikua jasir nyie mlimuogopa makonda big up kwake
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mimi naona ni mwanasheria wenu bana😂
Ameumia hakuitwa mbele ya nabii Makonda 😂
Hahahhaa kweli kabisa
Kifupi kwa mimi ningeoma bora zaidi sheria zetu na masomo yetu yafufundishwe kwa kiswahili kingereze iwe kama ziada sasa nchi nyingi zinajifunza kiswahili mbona tunazarau ruhga yetu na tunatukuza lugha nyingine ni ujinga mtupu
Kwa nini kesi iendeshwe Kwa kiswahili ushahidi Kwa kiswahili hukumu iweje itolewe Kwa kingeleza?
Wengi wao Tanganyika law society wako kama huuo jamaa tatizo hawaja bahatika kuanikwa mitandaoni kama ilivyotokea bahati mbaya kwa huyo jamaa kuanikwa yule jamaa inaonekana kiengereza sifuri lakini maelezo yamenyooka
Ivi angefanya vizuri mngemkataaa😂
Hawezi hata kusoma. Sio kumkataa, hata form 6 hajamaliza. Labda kama na wewe hujasogea sogea ndio unaweza ukaona ni kawaida. Sio kawaida!!😅
Hii ndio ile ya doctor shika kupiga mnada hana hata mia 😂😂😂
Mbona mnamwangusha classmate wangu M/chai sec 2020
Issue sio kumtambua issue ni je amepotosha? Hapo mnataka pesa tu sio uzalendo.
Yeye mwenyewe chenga😂😂😂😂 hajui lugha.
Dah wanamkana bcos acent yake ya kimombo ni mbovu mno yaani kama huyo ni wakili ndio maana tz tuko nyuma
Sio ascent bana hajui kusoma kingereza bana.
Kwa mimi huku Canada naona wote wawili kizungu chao ni Africa English
WA kwanza si kama huyu Mwanasheria.! Rekebisha kauli yako!
*African English, na si 'Africa English' 😂😂😂
@@thespaniardinme Ndo hayoooooo 😅😅😅😅😅😅😅
Hujaplay fair mbona side 2 hujamuhoji
Ze point
😂😂
We unatupgia kelele tu sion cha maana hapo,, RC alisema watu wa Law society watupe usaidizi hapo,, ulitaka akupgie simu huko uliko uje,, kwa nn hamkupeleka mwanasheria pale pale...
Toka bhna unasumbua watu tu hapo
Hana hata la maana bwana yeangrtuambia km mpalamikaji hakua na haki au si kingreza chann?
Kwanza aibu sana sana
Mbona alieleweka kijana nimsomi Ila ulimi au anashida kidogo Ila yupo sawa
Huyu ana Lafudhi isiyo vutia tu, ila ni mwanasheria wenu bhana😂😂😂
Hapana, huwezi kusoma.mpaka ukawa Lawyer alafu unasoma hivyo! Labda kama wewe hujui system ya Elimu Tanzania
Ila HARMONIZE bwana
wacheni bana Anatatizo kidogo kwenye ulimi jamani Ila kijana yuko sawa❤
Kingereza kichafu😢😢😢
Mmeanza figisu wanaharamu nyinyi sawa yeye siomwana sheria nanyinyi wanasheria mbona amjajitokeza kusaidia wananchi hivi nyinyi kama amuogopi Mungu huogopa wazazi wenu waliwasomesha msaidie jamii leo ndio mnakua waalifu wa kutetea hualifu
Moja kwa Moja huyo aliyesoma sio Lawyer. Sio hata graduate wa Chuo Kikuu! Hajamaliza hata form 6.
hivi huyu mwamba alipigaje hapa?
Why kizungu bado kina tawala sheria za hii nchi wakati aslimia 98 hawajui hicho kizungu, miaka sitini bado mmetawaliwa tuu
Kazi ya chama Cha wanasheria Tanganyika ni ipi?
Tanzania kumbe Kuna vijana smart sana kama huyu wakili
Pole mzee huo ni.ufisadi mtawezaje kumpa maick Mutu .kama si mwana sheria hiyo ni poloji pole sana mi.niko.zambia
Mmh Sheria yake ni ya wasiwasi sasa huyu akienda mahakaman kweli anaendeshaje kesi aseee
Yani hata mtoto wangu anasoma vema
Yan nimecheka kama mazuri.
Tanzania hauwezi kufa na stress bundle tu.,😂😂😂
Hicho nikingereza!au kisukuma
Huyo hakusoma"muelewe chuo cha sheria masomo yanaendeshwa kwa lugha ya kiingereza
Sasa shida yako ni nn? Kasoma maandishi na yame eleweka kwani alitoa hukumu pale,, unajifanya msomi sasa simngekuwepo pale,, uko unazunguuka zunguuka tu kwenye kiti
Acheni ubabaishaji
Atujibu tu yule mlalamikaji anahaki au hana haki,sihatutaki kujua km yule alisoma vby au vp
Kwa kweli wa somi hawa wa sasa wanatuangusha/wanatuaibisha sana. Hata kiswahili tu wanaharibu.
Waongo ni mwenzao
mbona kama unatangaza mpila😂auna jipya unapiga kelele
Majanga ayooo
Aahhhhh acheni kumkana mwana bwana
KIZUNGU KAMA BATA ANAHARISHA 😂😂😂😂😂 JAMAMMANIIIIII WAKILI KWA UMOMBO 😂😂😂
Huyu kasomea wapi???? What type of English is this???Bora hata ange elezea kiswahili😂😂😂
Mbona siioni Logic..
Wakili kizungu yamlemea
Kidhungu ilikuja na meli ..huyo kaka ni msomi
Mimi naona ni mwanasheria wenu bhana 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
KISUTI MTUMBA MZUNGU MATOPEEEEEEEE 😂😂😂😂😂😂 KWANI KALAZIMISHWA ASOME????
Kingereza bwana😂
Hakijawah muacha m Tanzania Salama
We mwenyewe mbona kusoma ujui
HAKI KWELI SIO MWANASHERIA HUYO
Mbona huyu mwenyewe hajui hata hiyo english yenyewe anayosemea?
Nilichogundua jamaa yuko smart tu Ila ni matamshi tu
Ukweli mgumi ni lwamba Kolumbas wew ni mwandishi mkubwa sana, unauwezo mkubwa dana, siku moja utaamini hiki nisemacho.
Mbona naye anasoma tuu kama yule? Wamuache kaka wa watu🥲
Ha haaaaaaaa 😂
Mwanasheria anapaswa kuwa mbobevu wa lugha hasa hizi za kigeni, English.
Duu kumbe mi niljiuliza hii imekaa je anatatizo la 👅 au ndo hivo
Kanso kama kanso😂😂
Asikate tamaa nimeipenda ila pia anaoneka anakigugumizi ya kuongea lathin yake ana kma mbulu hivi ilichangia kushimdwa ongea kingereza
Mawakili utawajua ukisha walipa hela hawaonekani tena lisiti hawatowi washenzi tu ukienda kwenye chama Chao hamuna kitu
Wewe waku cunguze vizuri kabisa…masemi yako ina onekana uko mupinzani kisiri siri…lakini makonda ata kulogotatu jifanye mujanja kwenyi maneno yako……
Mtamkata ulimi huyu jamaaa😂😂😂😂😂
Wa vimemo hao
Akili kuuubwaa!
Jamaaa anarafudhi ya kimeru og
Shida syo kusoma ila jamaa rafudhi ya kinyumbani ndo anayo ila kusoma anajuwa
Sema ni maumbile wala sio ishu kivile
Tumbafu kabisa...kibogoyo wahed
Advocate yenyewe kasema"advokote.
Hiiii!!! Wacha banaaa!
ILIKUWA NI AIBU KWAKWELI AIBU KUBWA
Chukueni maamzi ya JPM kiswahili kwanza
Daa dogo umemkana 😂😂
Yupo sawa kabsa
ndomaana lisu alipata kuwa raisi woo,kumbe wako ovyoonamnahii,hapana hapahakunakitu changa lamacho,
Main problem we Tanzanian are not fluent in English who to be blame ?
Watz hawalazimiki kuongea kiingereza katika shughuli zao za kila siku hivyo kukosa fluency wala hakushangazi.
Nyerere
Kwani kujua kingereza ndo kuwa msomi? Mbona wakorea hawajui kingereza? Na kila kukicha mnazunguusha viuno huko?
Tumcheke kama hajui kiswahili..
Kuku nyie mlo tawaliwa kifikra
Tuwe tumejua kiswahili au tusikijue ukweli unabaki tulio wengi hatujui to speak good English ila wapo wanaoweza !
But lugha sio maarifa!
Huyo ni mlemavu wa mdomo hawezi kutoa matamshi kiusahihi hata kiswahili kinampa shida
Jamani ameeleza vizur Sema lafudhi yake tu.
Mawakili au wanasheria bila kuwa huna chchte mfukoni walahi unasubirishwa sana ila ni kwa baadhi yao
Huyu ni kiio
Wale wengineee
Duuuu
Shida nn? Kama ameleza jambo vizur ww unataka afanyeje?
ATA hehe hajui kusoma Hilo neno linasomeka traibuno kweli?
Ni traibyuno
mmmmmhhhhhhhh hiiihapana ardi darasan
Dah kingereza cha jamaa sjui kakisomea wap teach kala adaa 😅
Kasonea Kenyy😂😂😂
Hata wachina hawaongei English.
Khaaa huyu atakuwa la 7 B
Hata la 7 hamna hopo haaa haaa
Huyu hata ningekua mimi ningemkana tu
Kwendraaaaaa!!! kwannmsimpe support kijana mwenzenu anaetamani kuwa mwanasheria sikumoja na nyie mnamkandia!! mlishawahi kumpa support yoyote mpaka hapo alipofikia? wajinga sana.
kingereza sio lugha yetu! Kutokujua kuongea kingereza vizuri au kukisoma kingereza sio kwamba mtu ni mjinnga! Hacheni mambo ya ajabu!
NA ALEMLAZIMISHA KUSOMA HICHO KINGEREZA NANI??? 😂😂😂😂😂😂
Maneno yaliyotumika humo magumu
😂😂😂hio bwana ni English
Duuu
Mbona kama ngmbalu
Ni msomi sema ulimi ni tatizo❤
Yuko sawa ila ni lafdhi tu ya ulimi wake
Kweli iyo ni lafudh tu
Wanafanana,kidhungu!!!!!