MAPYA YAIBUKA ARUSHA|USIMFANANISHE MAKONDA NA MRISHO GAMBO|MPAKA AOMBE MSAMAHA|MAKONDA HESHIMIW3

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 123

  • @fordia1
    @fordia1 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweli kabisa... Kila siku napitia Habari za Arusha... Kuhusu Makonda...

  • @GodfreyKimath
    @GodfreyKimath 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera kwa maneno mazuri mkuu

  • @AlvinMakenzi
    @AlvinMakenzi 4 หลายเดือนก่อน +1

    Duhuuu

  • @IssaPara-bt9hg
    @IssaPara-bt9hg 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda mungu akubark San, makonda ni noma San gamboo mbali san

  • @KizaduniaLunga
    @KizaduniaLunga 4 หลายเดือนก่อน +10

    Safi sana tunamfuatilia sana makonda Niko marekani

  • @USAIDforRichardMooresAgency
    @USAIDforRichardMooresAgency 4 หลายเดือนก่อน +8

    MAKONDA MAKONDA HE IS SENT FROM GOD AS GOD'S WORKER ✌️

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 4 หลายเดือนก่อน +22

    Tuzidi kumuombea Makonda Mungu amwongezee hekima katika ufanyaji wa kazi zake.

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior 4 หลายเดือนก่อน +14

    Wote ni Majembe ila Makonda ana kitu extra ordinary.

  • @FedyKafyulilo-iz2nw
    @FedyKafyulilo-iz2nw 4 หลายเดือนก่อน +14

    Kweli makonda ni levo nyingine

  • @Cyril_James-Jr.
    @Cyril_James-Jr. 4 หลายเดือนก่อน +12

    🎉🎉🎉🎉 maua yake mkuu wa mkoa wa arusha

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 4 หลายเดือนก่อน +5

    Safi kabisaa ,Na kama wao wanaona makomda anatafuta kiki basi kuanzia leo viongozi wote wafanye kazi ili waipate iyo kiki ili wananchi wafaidike na kazi zao.

  • @Moses-ur8cr
    @Moses-ur8cr 4 หลายเดือนก่อน +1

    Chapka kazi baba makonda tunamwomba mama Samia akulete kigoma Kuna uozo mwingi hasa wilaya ya buhigwe natunaamini atakuleta tuna Imani naye

  • @bitutuatemba2164
    @bitutuatemba2164 4 หลายเดือนก่อน +13

    Kenyan we love Makonda sana # Makonda my cousin from sukuma tribe @ abagusii,kuria ,meru and sukuma jamii moja

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 4 หลายเดือนก่อน +8

    Wala hujakosea mzee.

  • @GeorgeNtauka
    @GeorgeNtauka 4 หลายเดือนก่อน +2

    Makondaaa ni chombo ya kaziiiii daima 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MarioMwambasa
    @MarioMwambasa 4 หลายเดือนก่อน +4

    Safi sana kada wrtu

  • @humphreyarumba6927
    @humphreyarumba6927 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nchini Kenya tunamtambua Makonda na kazi yake njema

  • @haryanyawu640
    @haryanyawu640 4 หลายเดือนก่อน +9

    Makknda ni moto wakuotea mbali Mungu amsaidie

  • @auriliamushi4092
    @auriliamushi4092 4 หลายเดือนก่อน +1

    Habari ya mjini makonda hakuna kama yeye wengine wanaiga tu ila kwa makonda inatoka ndani zaidi

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 4 หลายเดือนก่อน +4

    Asante mzee kama Kuna cheo Cha mkuu wa mikoa Apewe makonda

  • @PULKERIAIZIDORY
    @PULKERIAIZIDORY 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu amtunze Makonda amzungushie ukuta wa moto adui wasimukute hao wauaji wakubwa wa Tanzania

  • @paulstephen8317
    @paulstephen8317 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ni kweli ndugu

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 4 หลายเดือนก่อน +1

    BMakonda hoyeeeeeeee❤❤❤❤🎉

  • @RachelLaizer-n2p
    @RachelLaizer-n2p 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli uchaguzi unaokuja wa ccm makonda ataokoa kura za mama sana tofauti na hapo kura zitaenda chadema kiukweli

  • @anitarafa
    @anitarafa 4 หลายเดือนก่อน +9

    I'm from Kenya but for now niko sehemu ya uwarabuni. I love makonda so much God bless you makonda

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 4 หลายเดือนก่อน

      Gambo too is good. so they are all unique in theire ways

  • @papykakozi4192
    @papykakozi4192 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ni kweli mzee Nasisi uku tunamfatilia saaaana

  • @EmmanuelJankey
    @EmmanuelJankey 4 หลายเดือนก่อน +1

    Akwepeshii huyo.. mbn watakaaa kwenye laini tu

  • @anafikamugisha8834
    @anafikamugisha8834 4 หลายเดือนก่อน +6

    Magufuli alisema akiwaambia wakuu wa mikoa Tz kwanini wasijifunze Kwa Makonda!!? Harafu akamwambia chapa KAZI Makonda.Namimi nasema Makonda chapa KAZI we love you Brother Barikiwa sanaaaa

  • @judithjumapili6786
    @judithjumapili6786 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee safi

  • @maulidimopen1273
    @maulidimopen1273 4 หลายเดือนก่อน +3

    Wa Kenya tuko Qatar lakini twafuatalia Makonda, kazi safi ❤

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 4 หลายเดือนก่อน

      asante sana baba. Mungu akubariki na abariki kazi ya mikono yako. tuendlee kuombeana nchi zetu hizi mbili..Kenya/Tanzania na Africa nzima

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
    @JeremiahMwalukosya-eh5nf 4 หลายเดือนก่อน +1

    Basi gambo alikuwa vizuri kama wanamfanamisha namakonda makonda niatari sana niabari nyingine yule jamaa

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweli mzee kaja kutumalizia kiu chetu kwa jpm makonda anaweza

  • @gastondofra9151
    @gastondofra9151 4 หลายเดือนก่อน +4

    Unasema kweli mzee wangu. Makonda anafanya kazi nzuri ,wapiga dili hawawezi kufuraia utumishi wake.

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 4 หลายเดือนก่อน +6

    Makonda🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @IssaPara-bt9hg
    @IssaPara-bt9hg 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda asifananishwe kabsaa na mtuu yeyotee

  • @JoshuaMusukwa-kq4ll
    @JoshuaMusukwa-kq4ll 4 หลายเดือนก่อน +3

    Tz mama ingewezekana mim kama kocha tungechua makonda na wz jerr sila idala moja hapo kama ni tm tunauwezo wa kushinda lakini kwa kapasti ya ukubwa wa kichwa cha makonda hata ulais atkuja kuongoza tz mugu ikimpendeza mungu tuombe sana TZ kwa huku zambia wote waTZ ukifungua mtandaon hbali kubwa ni MKONDA Tuuuuuuuuu

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 4 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda❤❤❤

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ahsante sana wewe Baba alitaka asikosolewe kisa mwanamke huyo Chatanda katumwa na mahasidi wasiompenda Makonda na wala hatafanikiwa kamwe Ccm inashinda kwa kishindo Arusha

  • @fordia1
    @fordia1 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ni aibu sana Kuona Viongozi wengine hawajifunzi... Makonda ni Modal🎉🎉🎉

  • @CharlesMisungwi-f8t
    @CharlesMisungwi-f8t 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda tuliisha sema hicheokinamupwaya mambo maovuhayafanywikijinsia haowanahalakati haowanahalakati wakikewasuangushe mamartiwanawake waachwewavulugetu bilakuguswa.

  • @GamanielKatani-nw8ll
    @GamanielKatani-nw8ll 4 หลายเดือนก่อน +4

    Makonda ni hatari hatari msingi mkuu duniani Cha kwanza utu pili heshima tatu haki haki haki busara baadae ya kupata gambo alifanya vizuri Kwa uwezo wake makonda mwisho wa matatizo

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 4 หลายเดือนก่อน +14

    Ni zaidi ya mkuu wa mkoa, haina ubishi jamani

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 4 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda Ni gegedu chukua maua🎉🎉🎉

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweli huyu ni zaidi ya wakuuu wa mikoa

  • @edwardmollel2972
    @edwardmollel2972 4 หลายเดือนก่อน +3

    Viva makonda

  • @auriliamushi4092
    @auriliamushi4092 4 หลายเดือนก่อน

    Silaa na makonda Bashe na Ali Hapy inafurahisha

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda safi sanaaa

  • @mohammedabdullah5895
    @mohammedabdullah5895 3 หลายเดือนก่อน

    Umeongea sanaaaa ukweli sahihi

  • @AyoubKhatib-p4k
    @AyoubKhatib-p4k 4 หลายเดือนก่อน +4

    Rais Samia ampe unaibu Makonda ashirikiane na waziri Jerry Salaa waziri wa ardhi wizara hii itakuwa ishakamilika

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda ni habari ingine jamen

  • @RhodaLema-z8w
    @RhodaLema-z8w 4 หลายเดือนก่อน +6

    Ni kweli ni zaidi ya mikoa yote yaani hakuna wakumfananisha ila tunamfananisha na hayati magufuli jamani tuamini magufuli hajafa yeleuwiiiii hakuna kamammh makonda niko dar nakuja kumpa maua yake na nitamletea na bibilia aisome kabla ya kuamka na kabla ya kulala ndiyo zawadi yangu k

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu 4 หลายเดือนก่อน +5

    Nikweli usiofichika makonda anamalza mb zetu

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hapana makonda achukue fomu yakugombea uraisi

  • @MOSESIMCHUNGUZI
    @MOSESIMCHUNGUZI 4 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda hafananishwi

  • @paulmaduhu5855
    @paulmaduhu5855 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweli hata mimi naweka bando ili nifatilie makonda

  • @PULKERIAIZIDORY
    @PULKERIAIZIDORY 4 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda yuko safi

  • @amadihakizimana2369
    @amadihakizimana2369 4 หลายเดือนก่อน +2

    hujakoseya mzee mimi niko burundi ila bando langu makonda analimaliza kila kujicha makonda oye

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 4 หลายเดือนก่อน +6

    We acha makonda nianga nyingine

  • @akutiboysolomon9418
    @akutiboysolomon9418 4 หลายเดือนก่อน +5

    jumapili hapo umenena
    tangu nimekufahamu ujawahi sema ukweli ila leo ndiyo umesema UKWELI

  • @mercyzakariah
    @mercyzakariah 4 หลายเดือนก่อน +15

    Kabisa makonda NI zaidi ya mkuu WA mkoa huyo NI rais WA mkoa jembe letu na rais ajae

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kiongozi Na Cheo Chake Mbio Kwenda Kukamata Makahaba Makonda Ni Mkombozi Wa Maendeleo

  • @fadhililihinda6491
    @fadhililihinda6491 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kama ccm wakimpa ugombea urais mwaka 2025 atazoa KURA nyingi kuliko mgombea yoyote aliyepo ccm

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 4 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda Ana wakumlinganisha

  • @chrissamani7921
    @chrissamani7921 4 หลายเดือนก่อน +4

    Makonda ni mwamba! Haina namna.

  • @nicodemashaggite8429
    @nicodemashaggite8429 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mwandishi tumia taaluma vizuri hiyo style ya kuuliza maswali kama haulewi unachofanya ndo maana mwisho tunaambiwa wachochezi.
    Mwandishi unatakiwa kuweka jamii pamoja kumbuka misingi ya KAZI YAKO. Kahabarisha, kuelimisha na kuburudisha. Jitafuten waandishi

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mwongo gambo hajafanya chochote makonda yuko juuuuuuuuuuu sana magufuli kila kitu awe rais. Tu

  • @ziadasadiki8196
    @ziadasadiki8196 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda anamsaidia , Rais, Chama na Serikali

  • @hongerakimbwala8650
    @hongerakimbwala8650 4 หลายเดือนก่อน +1

    Giving nyie Sisi ni Vipofu matizo wasababishe wao tena watatue wao....

  • @HemedRajab-v3i
    @HemedRajab-v3i 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nimfano wa kuigwa na marc wote tz

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 4 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu baba ana akili sana

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda balaaa kweli sio utani tuna mtamani aje hata kwetu huku mkoa wa ....

  • @ibrahimhodabaksh3939
    @ibrahimhodabaksh3939 4 หลายเดือนก่อน +20

    HIYO NI MKUU WA MIKOWA YOTE YA TANZ

  • @papykakozi4192
    @papykakozi4192 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mnipeye ongera saaaaqna

  • @aloyceponela3249
    @aloyceponela3249 4 หลายเดือนก่อน +2

    Fanya kazi makonda usiogope mtu

  • @LukasPaul-i6y
    @LukasPaul-i6y 4 หลายเดือนก่อน +3

    Waandishi wa habari mmeanza sikuhizi hakuna kabisa ubunifu juu ya habari zenye tija kazi yenu saivi kuchonganisha tu,

  • @RachelLaizer-n2p
    @RachelLaizer-n2p 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jerry slaa uje arusha jamani uungane kidogo na makonda tutapona majeraha ya ardhi 😢

  • @joshualepilal7842
    @joshualepilal7842 4 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda kila mtanzani mwenye akili ana mtazama makonda

  • @MwambisaMwambisa
    @MwambisaMwambisa 4 หลายเดือนก่อน +1

    Pamoja

  • @alexkaunda4891
    @alexkaunda4891 4 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda anafanya vizr aendelee kchapa kaz

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 4 หลายเดือนก่อน +6

    Wote ni watu makini sana

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 4 หลายเดือนก่อน +1

      acha unafiki makonda 1

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mrisho hafui daf Kwa RC Makonnda.Makonda kawashinda mikoa yote Tanzania .

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 4 หลายเดือนก่อน +2

    Usimfananishe makonda na huyo sariboko bhana makonda mpango mnzima

  • @joshualepilal7842
    @joshualepilal7842 4 หลายเดือนก่อน +3

    Watanzania wote wanamtazama makonda tu

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa aachane na ccm aachane na chadema,makonda sio wa vyama ni wa wanainchi

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 4 หลายเดือนก่อน +4

    Makonda ni mkuu wa mkoa wa mikoa yote

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kada wa ccm nimekupata nilishawambia watu huku kwetu iringa kuwa makonda akiwa rc dar alikuwa rc wa mikoa yote tanzania na leo makonda ni rc arusha amekuwa ni dira ya mikoa yote tanzania unamuona na chalamila naye anaigiza eti kero za wananchi

  • @GodwinJoshwa
    @GodwinJoshwa 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda nirato nyie anawafukua wasenge

  • @saitotimemuruti9479
    @saitotimemuruti9479 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda tunamgonja kule mbele mama akimaliza tam yake yaurais makonda aendelee pia kama rais watanzania awamu ya saba

  • @willsonvallency8275
    @willsonvallency8275 4 หลายเดือนก่อน +1

    Achen unafik kulinganisha viongoz

  • @RachelLaizer-n2p
    @RachelLaizer-n2p 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mama kuna watu huko wanasema wanasema wanamtaka mikoani mwao, usije kumtoa makonda arusha amegusa mahitaji ya watu wa arusha haswa kulikuwa ni uozo hakuna kazi inayofanyika watu wanakula hela tu mabarabara yamelala magomvi ya ardhi ni mengi mnoo ila kwa kiasi yatapungua

  • @BakariMohamed-yb8eb
    @BakariMohamed-yb8eb 4 หลายเดือนก่อน +1

    Why umemhoji mtu mmoja tu

  • @AshaRamadhani-r2o
    @AshaRamadhani-r2o 4 หลายเดือนก่อน +1

    Weee unamfananisha makonda na mrisho gambo makoda yuko juuzaid wewe acha

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 4 หลายเดือนก่อน +1

    .tangazqj8 hilo sio swala la kuuliza hiyo ni fitna unataks kugswa watu. Elizabeth maswali yasio vhonganishi.

  • @MatthewSimonKanyanzulu
    @MatthewSimonKanyanzulu 4 หลายเดือนก่อน +1

    John mongera na wewe acha ushamba hata viongozi waliopita huwajui

  • @PULKERIAIZIDORY
    @PULKERIAIZIDORY 4 หลายเดือนก่อน

    Atafuti kiki bali ni mtetezi wa wa Tanzania

  • @JumaMartin-e4v
    @JumaMartin-e4v 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi Nadhan wanaojua watufahamishe nini maana ya Kiki.anachokifanya makonda hii sio kiki anatekeleza ilan ya chama na yanayo mendoza mungu sio kiki.

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 4 หลายเดือนก่อน +1

    Km yule wa KAGERA BORA ASTAAFU TUUU AU AONDOKE TUBAK8 NA KATIBU KATA

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania 4 หลายเดือนก่อน +2

    Wote Majembe

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 4 หลายเดือนก่อน

      acha ujinga wewe makond 1

  • @FatmaChezo
    @FatmaChezo 4 หลายเดือนก่อน

    Kabisa

  • @nassororajabu3800
    @nassororajabu3800 4 หลายเดือนก่อน +1

    S