@@MjunguJames-li6tz wewe ndio mjinga unaemuamini allah jiwe la makka ndio mungu wako tena unaamini allah asiye sikia lugha zingine anaskia kiarabu uislamu umeanzishwa na warabu ni dini inayo wahusu warabu ndomana nyie wajinga wajinga wengine ili muwe waislam ni lazima msomee lugha ya kiarabu kama sio u mamuma ninini
@@ramadhanmahongole9293kumbuka waarabu nao waenda madrasa kujifunza vile vile sisi twaenda madrasa sio sisi tuh waarabu pia lazima waende shuleni hayo yalio Kuwa kwenye kitabu kitukufu Qur'an hayafanani na lugha waarabu wanaongea ijapo Kuwa moja moja tuh sipo enda kusoma na kiujua pia wawezi soma . (Eleweni basi na Mungu awafunguwe mpate shahada inshallah 🤲) Siku ya mwisho ni siku nzito sana 😢😢😢.
Kusema ukweli bila kuficha sikizeni tu huu mdahalo ila ki uhalisia ikiwa yesu (isa)ni mungu je musa na daudi waitwe Nani ?ikiwa yesu ni mungu aliumba vipi Dunia wakati wa kuumbwa Dunia alikua hata hajulikani,kama yesu ni mungu asingezaliwa mamake Mariam (marry) je angelikua Dunia hayo ni maswali jiulizen wacheni kujifanya ,ikiwa yesu ni mungu musa na daudi walipataje vitabu na wakati huo yesu (issa)alikua hajazaliwa ?yesu (issa) ni mtume wa 28 na dini ilishaanzaga kutangazwa kitambo enzi za adamu na Hawa .yesu (issa) Kama ni mungu aliumbaje Pepo ?alimtegeza mda Gani adamu wakati yeye hayuko Dunian ?ikiwa ibilisi (shetan /jini mkubwa )ambae alikua kabla ya yesu (issa)je yesu alimkuza au kumlea vipi kipindi icho ibilisi ni mdogo Sana na Tena yesu (issa) hajulikani ,kwel yesu ni mungu kivipi akuwe na kitabu atangaze dini ?maswali hayo jiulize kisha sitaki jibu Baki nalo rohoni mwako.ukisema yesu ni mjumbe hapo Niko pamoja na wewe
Mashallah jazakum lakheri 🤝 Hawa watu ndugu zetu wajielewi mwanzo bible yenyewe huwa zifanani wakiwa kanisa moja huyu asome mwingine asome ni very different lakini wajielewi tuwaombee Allah mwenyewe anajuwa ni kwa nini haya yote yapo .(Allahu Akbar)😢😢
Ubishi ni upumbavu....sasa kama mtu anasimama upande wa kuume wa Mungu na ndo atakae kujah siku ya mwisho...kwann umwamin mwahad alie binadamu anasubir kukufuliwa pia
Ee Mungu muumba mbigu na ardhi ufananishwi na ulinganishwi na yeyote wala lolote wape maarifa ndugu zetu wapate ufahamu wasije wakapigwa na butwaa kuona siku isa ( yesu mwana wa Mariam)anarudi anarejea kitu cha kwanza ataswalisha watu msikitini hamna mahali paliandikwa ataenda kanisani na kuhubiri muwe tiati kwa hilo 😅 allahu Akbar Mungu hana mtoto hana mwanamke na wala sio mwanadamu .😢
Eleweni kuwa kuna watu walipinga kuwa haman mungu baada ya hawa mitume woote Mungu akajidhihirisha kuwaonyesha kuwa Mungu yupo na wanastahili kujuwa hilo ujionwa yesu Mungu alitaka hao makafiri waone miujiza zake kuwa anaeza fanya lolote mtoto bila baba kulala na mama akazaliwa ndio maana mkaona isa ni yesu Asitahfirullah atusamehe Allah subhana wataala.😢😢 Eleweni basi .( Waislamu takbirii..)
Jamani mungu ana njaa anatafuta matunda hiyo kali na kuyafata kumbe hakuna matunda.Huyo ni mungu kweli
Ndacha god bless you forever, weye ni kiboko
Ndacha mungu akubariki
Namkubali Ndacha ni kiboko ya waislamu Mungu akulinde Ndacha uendelee kutupa elimu zaidi na kuwaelimisha waislamu
Acha ujinga ww unapotea
@@MjunguJames-li6tz wewe ndio mjinga unaemuamini allah jiwe la makka ndio mungu wako tena unaamini allah asiye sikia lugha zingine anaskia kiarabu uislamu umeanzishwa na warabu ni dini inayo wahusu warabu ndomana nyie wajinga wajinga wengine ili muwe waislam ni lazima msomee lugha ya kiarabu kama sio u mamuma ninini
Acheni ujinga mlijichanganya Isa mwenyewe ni mwislamu mkubali mkatae pamoja na mamake Hadi na kuvaa sio uchi wakienda kanisani ALLAHU AKBAR.
@@ramadhanmahongole9293kumbuka waarabu nao waenda madrasa kujifunza vile vile sisi twaenda madrasa sio sisi tuh waarabu pia lazima waende shuleni hayo yalio Kuwa kwenye kitabu kitukufu Qur'an hayafanani na lugha waarabu wanaongea ijapo Kuwa moja moja tuh sipo enda kusoma na kiujua pia wawezi soma . (Eleweni basi na Mungu awafunguwe mpate shahada inshallah 🤲) Siku ya mwisho ni siku nzito sana 😢😢😢.
@@zahraabdul9652we nguruwe acha ujinga uislamu umeletwa na mhammad acheni kudanganywa na kuwa mamuma nyie manguruwe wa kiarabu
Uyu baba wamtama amekubali kuwa Mungu atabaki kuwa mungu tu
Ndacha uko sawa
Ndacha ni mwalimu wa kimataifa
Jaman mbona mnahangaika sana waislam Yesu anajiita yeye mtu sababu amevaa ubinadamu
Kusema ukweli bila kuficha sikizeni tu huu mdahalo ila ki uhalisia ikiwa yesu (isa)ni mungu je musa na daudi waitwe Nani ?ikiwa yesu ni mungu aliumba vipi Dunia wakati wa kuumbwa Dunia alikua hata hajulikani,kama yesu ni mungu asingezaliwa mamake Mariam (marry) je angelikua Dunia hayo ni maswali jiulizen wacheni kujifanya ,ikiwa yesu ni mungu musa na daudi walipataje vitabu na wakati huo yesu (issa)alikua hajazaliwa ?yesu (issa) ni mtume wa 28 na dini ilishaanzaga kutangazwa kitambo enzi za adamu na Hawa .yesu (issa) Kama ni mungu aliumbaje Pepo ?alimtegeza mda Gani adamu wakati yeye hayuko Dunian ?ikiwa ibilisi (shetan /jini mkubwa )ambae alikua kabla ya yesu (issa)je yesu alimkuza au kumlea vipi kipindi icho ibilisi ni mdogo Sana na Tena yesu (issa) hajulikani ,kwel yesu ni mungu kivipi akuwe na kitabu atangaze dini ?maswali hayo jiulize kisha sitaki jibu Baki nalo rohoni mwako.ukisema yesu ni mjumbe hapo Niko pamoja na wewe
Mashallah jazakum lakheri 🤝 Hawa watu ndugu zetu wajielewi mwanzo bible yenyewe huwa zifanani wakiwa kanisa moja huyu asome mwingine asome ni very different lakini wajielewi tuwaombee Allah mwenyewe anajuwa ni kwa nini haya yote yapo .(Allahu Akbar)😢😢
Ukisoma lugha ya kiingereza Yesu anaitwa princes,Uungu wa Yesu kama hamna roho wa Mungu hamuweze kuelewa
@@zahraabdul9652 kasome quran 2:97
@@dennisezakiel3380 kasome quran 2:97
Ubishi ni upumbavu....sasa kama mtu anasimama upande wa kuume wa Mungu na ndo atakae kujah siku ya mwisho...kwann umwamin mwahad alie binadamu anasubir kukufuliwa pia
Basi kama neno lilikuwa tamko la mungu lilipofanyika kuwa mwili lilikua nani
Wapinga kristo ohawawezi kumshinda kristo moyoni wanajua kuwa yesu ndiye bwana
Ee Mungu muumba mbigu na ardhi ufananishwi na ulinganishwi na yeyote wala lolote wape maarifa ndugu zetu wapate ufahamu wasije wakapigwa na butwaa kuona siku isa ( yesu mwana wa Mariam)anarudi anarejea kitu cha kwanza ataswalisha watu msikitini hamna mahali paliandikwa ataenda kanisani na kuhubiri muwe tiati kwa hilo 😅 allahu Akbar Mungu hana mtoto hana mwanamke na wala sio mwanadamu .😢
Sasa nyinyi mnabishana miujiza aliyo fantastic yesu mbona ni mingi kamfufua laparotomy mbona yako mengi
Eleweni kuwa kuna watu walipinga kuwa haman mungu baada ya hawa mitume woote Mungu akajidhihirisha kuwaonyesha kuwa Mungu yupo na wanastahili kujuwa hilo ujionwa yesu Mungu alitaka hao makafiri waone miujiza zake kuwa anaeza fanya lolote mtoto bila baba kulala na mama akazaliwa ndio maana mkaona isa ni yesu Asitahfirullah atusamehe Allah subhana wataala.😢😢 Eleweni basi .( Waislamu takbirii..)
kasome quran 2:97
Ndacha kwenye ubora wake....
Sure wape v2
ikiwa yesu kazaliwa na akawa mungu basi wengine wanakuja😂
John 10:30.
Walimu wa mudahalo sauti yao ikonchini sana
Wakristo na maandiko ya kiujanja ujanja tu yani hakuna hoja yenye mashiko
Eti hakuna hoja yenye mashiko 😀Sule kachindwa kwa wazi kabisa
Huyo sule ni muuni hatowi jibu sahii
Acheni kubabaisha jibuni kikweli
Uyu pastor anawapoteza wengi sana alafu mi hushangaaa kwani kua mkristo ni kupungukiwa kwa akili??? Dacha maneno meeengi jibu hoja acha porojo
Sule ameshindwa na hakuna aliyevunja hoja za Ndacha
Kasome quran 2:97
WAISLAMU KUANZIA SASA MMEELIMIKA MNAIAMINI BIBLIA
Abadan hatukubaliani na biblia
@@hasinaalrahbi6681 hahahaa poleni sana wafuga majini
@@hasinaalrahbi6681 kasome quran 2:97
Nadacha kachukue udhu
Acha kupotesa watu. hujui mandiko
Sule ndo kiboko ya dacha 😂😂😂😂 amebaki ku haha hana hoja kabisaaaaa
Sule hawezi mdahalo akipanda kwenye stage anaanza kutoa mawaidha kama yuko msikitini badala ya kujibu hoja kwa maandiko analeta vihoja
Kama ndacha anapoteza watu waislam warisha potea zamani nikilioyo