UDUGU ULIYOUNDWA NA ALLAH MBINGUNI. MUHADHARA LAMU KENYA, SHEIKH KISHKI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 31 พ.ค. 2023
- Muhadhara uliotolewa na Sheikh Nurdeen Kishkii , Masjid Jaamia Lamu Mashariki Nchini Kenya Tarehe 01/06/2023, Mada ikielezea udugu uliyoundwa na Allah Mbinguni, Ni udugu gani huo? InshaAllah fatilia hadi mwisho upate kuelimika, tunaomba usambaze ujumbe huu na Allah atawalipeni
MashaAllah Allah tuwekee nautulindie mashekhe wetu Allahumma ammiyn
Mashaallah mashaallah kheyr INSHAALLAH
Allah akuhifadhi tunakupata vyema
Maa Sha Allah tabaarakallah
Allah awalinde mashekh wetu wazid kutupa elimu ya akhera
Jazasallahkher
MashaAllah Jazakhallahu kheiri 🙏🙏🙏🙏🙏 mkono kwa mkono hadi peponi Ameen yaa Rabiih.
🤝🤝🤝🤝🤝
Masha Allah shekh kishik nakupenda Kwa Ajili ya ALLAH
Masha Allah tabarakallah ❤️ wajazakam llahu khaira shekh wangu Nureedin kishik... mawaidh mazito sana shukran mola atuongoze njia ilonyooka amiin
Aaaamina ya Rabby 🤲 🤲
Waalykum salaam warhamatullah wabarakatuh sheikh MashaAllah shukran💚💐
Pole😢
@@Assiya39 ndio habibty
Mashaallah Allah akuhifadhi❤❤❤❤
Mashaallah shukuran sheik Allah akupe afyanjema
Allah ampe ulinzi shekhe kishki kwa kazi anayo ifanya
Mashallah sheikh tabarakaallah ❤️
MashaAllah tabaraka kheir🎉kishk
Mashallah allah ❤❤awalipe inshallah
Mashallah que bom shekhe kisk
Allah Akupe kila. la kheri shekh
Mashallah
Mashallah mashallah Mashallah Jaman Mim lazma niirejee tena hii clip Mashallah Sichok kukuskiliza sheikh Nurdin wallah unatuongoza Katika njia iliyonyooka Allah akupe umr mrefu Wenye kher na wewe Sheikh wetu kipenzi TUNAKUTAKIA KILA LAKHER jazakallah kher🤲🤲🤲😍
Oooh allah hakika wewe ni mjuzi wa yakini inshallah
Mashallah Shukraan sheikh
Ammmin yarab 🤲
Masha Allah Sheikh wetu.Allah akujaalie umri na akuongezee maarifa pamoja na elmu uzidi kutufunza na sie Insha Allah
Inshaallah tutaingia peonies ❤❤❤❤❤
Mashallah ❤
MashAllah ustadh Allah atujaalie mwisho mwema 🤲🤲
Mashaallah
❤❤❤❤❤❤
MashaAllah Allah akujaze Kila la kheir sheikh wetu..❤
Allahu akbar
Allhamduilillah tunapata mawaidha
Sheikh kishki tunaokupenda tuko wengi, endelea kutumia dini ya mola, nae mola atakulipa inshaallaah🤲
Swadata imamu
Allah awalinde na walipe mema duniani na Akhera ❤na atujaalie mwisho mwema
Ma SHA Allah Tabara Allah ❤❤❤
Wallah Sheikh kishki nakupenda kwa ajili ya allah
Masha Allah ❤️❤️❤️❤️❤️
Mashallah ❤❤❤
❤❤❤❤
ALLAAHUMMA-AMEEN 🤲
mimi naitwa salim simba kutoka kahama, mimi naomba kufafanuliwa maana ya ndoto hii sheikh, niliota natembea balabalani nikenda mahala, nikafika sehemu kunanyumba ikojilani na balabala yambayo napita, nikajishauri nipite kuomba maji ya kunywa, nilipo pita katika njia inayoelea katika nyumba ile kabra sijaifikia nyumba ile kikatokea kitambaa cheusi pamoja na tasibih nyeusi pia, baada ya kuona vile nafsi ikanituma nikimbie, nikakimbia nilipo kimbia umbali frani ukatokea upepo mkali ukihitaji kunirudisha mahali nilipokiona kitambaa na tasibih vyote vinalangi nyeusi, nilianza kushindana na upepo huo kwa kulamisha kukimbia upepo ukitazimisha kuniludisha, mimi nikiwa mwisilamu lakini nilianza kukemea kikristu kwa kumta yesu katika sala hatimae nikaushinda upepo ukayeyuka na kutoweka, inamaana gani ndoto hiyo sheikh.
Pole sana ndugu Allah awe Pamoja na wewe
Mashaallah
❤❤❤❤❤❤