ما شاء الله تبارك الله Inasisimua, napenda akitajwa mtume Muhammad wanavyoitikia صلى الله عليه وسلم kwa sauti halafu bila kukumbushwa. Watu wa Burundi sio mabahili akitajwa mtume wetu Muhammad صلى الله عليه وسلم. Allah awalipe kila la kher.
Watafukuzwa kwenye hozi ya mtume kuomba maji pale mtume atakapo ita umati umati yaluma umati umati wangu njoeni itatokea sauti toka mbinguni ikisema laa tadil ma ladhii muhudathat ataambiwa mtume,hawo so katika umati wako kwanini walizua baada yako.mtume atasema suka liman badala baadi suka liman badala baadi ondekeni wenye kuzuwa baada yangu wakae mbali na mimi
ما شاء الله تبارك الله
Inasisimua, napenda akitajwa mtume Muhammad wanavyoitikia صلى الله عليه وسلم kwa sauti halafu bila kukumbushwa.
Watu wa Burundi sio mabahili akitajwa mtume wetu Muhammad صلى الله عليه وسلم. Allah awalipe kila la kher.
Jazzakallahu khayra Sheih Nourden kishki kutuelimisha kwa sunnah kuijua vyema Allah akuifadhi Ameen yaarabby 🤲🤲
Allah atujaalie tuwe ni wenye kauli zenye kumpendeza allah❤
Shukran sheikh Allah akujalie kilaraheri
Jazzakaallah kheri. Sheikh. Akujalia. Kila la kheri
Mashaalaah MUNGU awalinde inshaallah
Allahu akbar mashallah
Mashaallah ❤❤❤
Allah akilipe kwa kila unachotufundisha na umri mrefu na mwisho mwema inshaalah
Mashallah
Allah awaongoze na awalipe yaliyo mema kwa Kazi kubwa mnayofanya in Shaa Allah
Oooh allah niongoze vyema
Allah awalipeni heri kwa kazi mnayo mmfanyiya.. Inch’Allah
Allahu akbar mashallah Allah ajaalie nami niwe miongoni mwao inshallah ♥️ ❤️
Allah awalipe Kila laheri
Sheikh karibu kwetu burundi tunakupenda kwa ajili ya Allah
Mashaal alaah akulipe kilaheri
Ma shaa Allaah
Oooh allah tufanye tuwe ni wenye kuipenda quraan
Mashallah allah atujalie tuwe miongoni mwa wat wema
Amiina thumma amiiin
Famantaja shuku fahua yeye, allah akupe umri mrefu wenye manufaa tupate kuelimika
Watafukuzwa kwenye hozi ya mtume kuomba maji pale mtume atakapo ita umati umati yaluma umati umati wangu njoeni itatokea sauti toka mbinguni ikisema laa tadil ma ladhii muhudathat ataambiwa mtume,hawo so katika umati wako kwanini walizua baada yako.mtume atasema suka liman badala baadi suka liman badala baadi ondekeni wenye kuzuwa baada yangu wakae mbali na mimi
siku ya kiama watu wa bidaa watafufuliwa nyuso zao zikiwa na kiza sura zitapoteza nuru kwa wazushi
Famanta jashuku fahuwa yeye 😅😅
Xxx
❤
Mashallah